1_UNAWEZA KUWA MTUMISHI MZURI KABISA WA MUNGU NA UKIFA UKAENDA KUZIMU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Amen. Neno La MUNGU Li hai! Tena Lina Nguuvu. Ubarikiwe SANA Kutufumbua Macho Mtumishi.
Ameni mtumishi barikiwa
Habari njema ndizo hizo kamili
Mungu akubaliki mtumishi
Haha. Eti can I pro can I pro Mimi hutoka mbiooooo
Somo nzuri lakini andiko zinazotolewa ni tofauti na mada, amena
Unasema kwere
Amen amen amen
Ni kweli mtumishi wa Mungu
Mungu akubarikisana mtumishi wamungu umenifungua mashoyangu nilikua sijakutana na injili kamahii ila yesu amenileta apa mungu 🙏🙏 akujaze roho wake ili ufunguwe wengi kiroho amen amen amen
Ameeen
Thank you for this message thank you father ❤❤
Amen Amen mtumishi Langi Stany umenibariki sana na ni ukweli naomba Mungu anipe ufahamu wa kumjua kweli kweli.. Thank you man of God
Bwana asifiw Mtumishi Mungu mbarikiw kwakweli
We mis u so much,msalimie adam mbay,kaka jack asante kutuletea neno jaman
Asante mchungaji hili neno NI Tamu kuliko asali, nimejua nimefahamu , be bless my brother. Sayuni from Tanzania
amena mtumishi
Nimebalikiwa sana na neni hili leo yani mpaks nimelijua hilo neno la wakina kenaprofesa hata nilikuwa nawasikiaga tu
Balikiwa sana mtumishi wa MUNGU,AMINA
unachosema mtumishi ni kweli manabii wa uongo ni wengi sana profesai hao ni hatari
Hakika neno la Mungu lina bariki
Nakuelewa kabisa mchungaji ukweli usemwe
Barikiwe saana baba 🙏🙏🙏🙏🙏
Uyu jamaa napenda sana mafundisho yake
Neno halibandiriki ni sisi tubandirike,,,,me I believe
Ubarikiwe saana
Mtumishi mbona husemi kuhusu pete
Pete zina nini?
Ameeeeeeeeeeeeeeeen
Mungu atusaidie sana
Aiseee nilimiss haya mahubili ya kweli
Tuna wa miss sana wewe na Adamu mbaya mimi uwa na barikiwa sana na mahubiri yenu hallelujah hallelujah
Nakubaluana na Mtumishi wa Mungu aliye Hai ni neno la Uzima, endelea kutufundisha ili tufahamu sisi wanafunzi.
Aminaaaa! Mtumishi , Mungu azidi kutufundisha na kutufunulia siri zake kila iitwapo Leo.
kwan manabii n vijana tu mbona kuna watu wazima na ni manabii wa uongo tu
Well versed in the word of God
Amen, P. Lang Stany
This all we need man of God your very collect
Amen Barikiwa Sana Pastor Langi. Barikiwa Sana Jacktan
Ameeen, Haleluyaaaa we miss you so much, Mtumishi Lang Stan
Amen Amen MUNGU ATUSAIDIE
Amen amen Mtumishi Bwana Mungu wetu muweza wa yote na Mwanawe Yesu Kristo aliyekufa na kufufuka na sasa yu hai milele na milele naye anazo funguo za mauti na za kuzimu akulinde na kukuepusha na Jehanam ya mateso
Nilidhani yesu ndiyo mungu
Mungu. Akubariki. Sana. Kwa. Ujambuzi. Mzuri. Wa. Neno. La. Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi
Mungu atusaidie. Asante sana Mtumishi. Sasa tumejua.
Mutumishi unafundisho vizuri
Mubarikiwe sana
Katika Luke 10:20 inasema “majina yenu yameandikwa mbinguni.” Je, majina yao wanafunzi 70 yamekuwa yameadikwa mbinguni lakini apana wote 70 walikuwa wameo kokwa? Iyi ina wezekanaaje? (Line 00:00 - 35:30) Tueleze vizuri Luke 10:70, na John 6:66
Asante mtumishi kwa neno
Amen amen
Why all this, anyway. Go on.
👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️
Amen
Yaani wewe ukiwa mkristo basi jua kuwa wewe ni mshirikina na hukumu ya washirikina woote ni motoni tena milele!!
Ufafanuzi Mtumishi wa Mungu : Unasema kubatizwa kwa Jina la Baba, la Mwana na la Roho Mtakatifu ni Ukatoloki....
Mbona ktk Mathayo 28:19 imeandikwa hivo ; Tena ni agizo la Bwana Yesu mwenyewe....!!!?
Kabisa BWANA YESU alisema hivyo Wala so uwongo.
mmmmmmmmmmh huyu anachanganya mambo sidhan km yuko sahihi mungu aliinue neno la kwel la mungu ndan yake
Powerful.
Mchungaji hakupata muda wa kutosha wa kusoma na kuelewa, andiko anazo soma na mada anayo zungumza haviendani hata kidogo, hajaelewa vizuri alicho kimaanisha bwana yesu kwenye kitabu cha yohana 6:22 na kuendelea mpaka chini.........tuwe makini sana jinsi tunavyo tafsiri neno la bwana, tujuwe kwamba chanzo cha zehebu kuwa nyingi ni kwa ajili ya tafsiri mbaya ya neno la bwana .
Eeee bwana, tuokowe.
Zehebu lipi ni sahihi? Heelp
na mm naamin ivo najua ivo, kwan hajui chanzo ni km yeye anatfasiri tofaut anaanzisha dhehebu lake
@@nuswemwaipopo9558 dhehebu sahihi ukitaka kulijua funga kwa iman mwombe mungu wako soma bible kwa iman ya roho wa kweli amin kataka bwana na mungu atakujib kuwa ni lip neno lake lililo la kwel
Nashukuru kw neno,nauliza swali sheria ya Musa ilikataza watu kula nyama na dam,Sasa Je ninayekula nyama Ni kosa? 7bu agano la kale linakataz na agano jpya linaruhusu kula; plz msaada cjaelewa nifate neno lip.
@Agatha kula nyama isiyo na damu Kwa maana uhai wa mtu ama mnyama upo ndani ya damu.Osha vizuri damu itoke kabisa usile damu ya nyama ama kuku
lakin nn alianzisha haya maagano ya kuvaa pete wakati wa kufunga ndoa ineandikwa wap katka bible et lazma kuvaa pesa ndo umefnga ndoa, hili swala mm sijalielewa katka maandiko
Hakuna ulazima bali ni taratibu za madhehebu
@@christianmwabukusi8132 ndugu kwani kila jambo lazima hadi liwe limeandikwa katika biblia? Mbona uvutaji wa sigara haujaandikwa katika biblia je ni halali mbele za Mungu? Mimi naona ulimbukeni wa kiimani unazidi kupoteza wengi hata desturi za kawaida zisizohusisha ibada ya sanamu nazo mtu anahoji iko siku watahoji kwanini wachungaji wavae kora.
A
mmmmmmmmh wewe yan ufanye miujiza kwa jina la yesu akukane mmmmmh huyu jmaaa hapan, yan labda analitumia kwa uongo lkn yesu alokuwa wa kweli hawez kukaa mahala penye dhambi na huwa hackilizi maombi au sala za mtu mwovu sasa atamsaidiaje mtu mwovu kufanya miujiza!??? hakuna ktu kama hicho, mtumishi anatafasili vibaya maandiko huyu
Yuko xahihi kabixa mungu anaweza kukutumia kwaajili yawengi hiyo tunaixhuhudia hata kwetu nikwaxababu yaupendo wamungu nakama hapo mahali hapana mtumixhi mungu atamtumia kwaajil yawengine
Shida wachungaji they don't rebuke sins in the church na hiyo ndo makosa.
Mimi nafikiri ungetumia muda huu mzuri uliopewa kwa kuhubiri neno la Mungu unalolijua wewe kuliko kutumia references kufanya upinzani na huku unacheka please be careful.
Kwahivyo amefanya vibaya kuonya watu awasche huko asiwaambie kitu wee vipi. huelewi huoni kua anasomesha kutokana naebibilia inavyosema. Ndo nyinyi mnao ambiwa lakini naona hutaki kuambiwa wacha watu wasikize kama haikujalishi ni wewe.
Amen Amen Amen
Amen 🙏
Amen
Amen,amen
Ameeen
Amen
Amen