TAHARUKI: BABA AMZIKA MTOTO WAKE MCHANGA BILA WATU, WANANCHI WAINGIWA NA WASIWASI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 48

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 หลายเดือนก่อน +4

    Binadamu wanavyochosha yupo tu sawa kuchagua kuishi maisha yake na Imani yake.

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 2 หลายเดือนก่อน +4

    Majirani wambea sanaa mimi naona yupo sahihi tu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 หลายเดือนก่อน +4

    Bora huyu katoa taarifa, kuliko Mzee makonyagi wakule Chuga town hataki mtu yoyote kwenye msiba wa mtoto wake.

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 2 หลายเดือนก่อน +4

    Marasi hawana mambo mengi sana

  • @snico2275
    @snico2275 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mtoto mchanga ujaze watu 😂😂 msiba wa kichanga hauna watu muacheni baba wa watu

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w หลายเดือนก่อน

    Jamani majirani acheni unafki na kufwatilia maisha ya watu mbona mnahangaika sana,na amejieleza vizuri kabisa

  • @user-tq5di6mv9c
    @user-tq5di6mv9c 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ndio hivyo mtoto wako lakini hauwezi kujipangia kumzika au kufanyaje

  • @serengetiduma1090
    @serengetiduma1090 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni kuongea sana, kama ni huyo Ras anaye fua nguo hapo! Huyo anaishi katka imani ya kirasta na huwa awana mambo mengi! ..

  • @khabibahussein7239
    @khabibahussein7239 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh inashangaza jmn nashindwa niseme nini ,apumzike kwa Aman mtoto mzuri

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 หลายเดือนก่อน

    Duuu pole sana

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni maisha yake aliyojipangia kama alijulishq wengine Kuna Kosar gani😊

  • @rhobywerema6996
    @rhobywerema6996 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo mtoto mchanga naye ujaze watu 😆

  • @RehemaShaban-bo4qe
    @RehemaShaban-bo4qe 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwacheni kabisa uwezi jua Nini kimemsibu

  • @victoriapatrick9840
    @victoriapatrick9840 2 หลายเดือนก่อน

    Kwetu usukumani usipo jihusisha na jamiii/ nzengo basi likikukuta jambo we tulia tu upambane nalo au utozwe faini ya pesa na ng'ombe ndio watu waje kwako. Itakua ye pia aliwaza atawaambiaje jamii watamsimanga.

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna chochote mtoto mchanga hata kwetu tunazika wenyewe syo lazima watu ni watu hao watosha msimjaj hyo baba ni kawaida tu. Yuko sawa tu nyie majilan kunawatu hawapendi mambo mengi

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 2 หลายเดือนก่อน

    Akuna maajabu apo wala ofu ilonijambo la kawaidatu mtoto mcha malanyingi ndio uzikwa ivo uwezi kuita watu ata sisi. Tunazika ivo. Tu baba. Na kaka. Basi

  • @KukuWaMayai
    @KukuWaMayai 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo yako ya mwanzo ni marefu sana!

  • @irhamseif
    @irhamseif 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman msiba bajet hari yenyewe ya mchungaji inaonyesha sio nzur muhim katoa taarifa ajataka mambo mengi gharama kubwa vyakula sijui nn ko kaona amalize tu

  • @user-ky5wu4gc9g
    @user-ky5wu4gc9g 2 หลายเดือนก่อน

    Inawezekana kuna watu walimkamia kwamba siku akipata tatizo watamsusia yawezekana akaona isiwe tabu bora amalize mwenyewe tu, lkn chamsingi si amezika tayari? Bas imeisha hiyo

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 หลายเดือนก่อน

    Kichwa cha habari kinasema mtoto Mchanga kwenye maelezo unasema mtoto wa miaka miwili

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ndo umbea unajua ana miaka mitano lkn usijue Hana familia

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji 2 หลายเดือนก่อน +1

      Umeonaee

  • @Neema-lh3pb
    @Neema-lh3pb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magugu jmn

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 2 หลายเดือนก่อน

    Shida nini mtu kuishi maisha yake

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 หลายเดือนก่อน +1

    Labda kamtoa kafala duuuu maajabu kuzika watu watatu tuuu mmmm

  • @agreynkya4876
    @agreynkya4876 2 หลายเดือนก่อน

    polen watu wa mbugan

  • @vero57
    @vero57 2 หลายเดือนก่อน

    Imetokea arusha kitu kama hiki juzi

  • @vero57
    @vero57 2 หลายเดือนก่อน

    Kutakua na kitu kwanini wanazika bila kuwaambia ndugu????

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

    Kaskazini mapepo yapo kwenu tu kila siku?😢 mjitafakari sana,je hakuna waombaji na wanawake waombolezaji huko kaskazini,kufunga hayo maroho? Manyara,arusha na kilimanjaro.

  • @user-tk2we7cp5w
    @user-tk2we7cp5w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mchungaji alikuwepo basi.

    • @user-bo5qp9gz8m
      @user-bo5qp9gz8m 2 หลายเดือนก่อน

      Uyo Rasta mwenyewe ndo mchungaji

  • @LukaNyagenda-pb9eo
    @LukaNyagenda-pb9eo 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee unazingua na wewe kwani kichanga huwa kinazikwa na watu wengi kichanga kinazikwa na watu wacheze mbona kama mnamkandia jamaa wa watu,acheni hizo,wabongo wengi huwa wanafata mikumbo,kuliko kutafakari uhalisia

  • @AllyTingi
    @AllyTingi 2 หลายเดือนก่อน

    Tulip lalini tena jamani

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona Hilo tulio Ni Kama la kata ya kiutu Arusha jamani!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu kaskazini kuna mambo ambayo hata SHETANI ANAWASHANGAA

    • @joyce55727
      @joyce55727 2 หลายเดือนก่อน

      Pia nashangaa ila yule hana lasta alitoka adi getini kwake akawa anafokeana na wananchi

    • @verynicemonyo8671
      @verynicemonyo8671 2 หลายเดือนก่อน

      Ni maisha yake aliyojipangia ili mradi havunji sheria

  • @naimajuma647
    @naimajuma647 2 หลายเดือนก่อน +4

    Itakuwa kauwawa huyu mtoto kwa iyo kawai kuzika ili isigundulike 😢

    • @user-pz5qs4ki7s
      @user-pz5qs4ki7s 2 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ujinga wewe

    • @naimajuma647
      @naimajuma647 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yawezekana mjinga ni wewe coz kama hujaelewa taarifa basi utakuwa na utindio wa ubongo

    • @merrynancesimon1562
      @merrynancesimon1562 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisaaa❤huyu mtoto kauwa😢😢

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 หลายเดือนก่อน

    Bakali sauti yako iko chin sana uongezage sauti bana unaongea kama unanon'gona

  • @BONGOYV
    @BONGOYV 2 หลายเดือนก่อน +1

    😮😮😂

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 2 หลายเดือนก่อน +1

      Asa wewe unacheka nini

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@user-sv6zy3hc8okichaa sio lazima kutembea uchi😢😢😢😢

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 2 หลายเดือนก่อน

    Meru leo tupo magugu yote ni kaskazini ndio maana majanga hayaishi tumrudie Mungu jaman inauma nyie

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 2 หลายเดือนก่อน

    Umbea unakuwasha wewe