Mungu akulinde kabisa zidi kiwaponya wote walio na shida mbalimbali na utuombee watu wote tudumishe mapendo na pia utuombee Kwa mama yetu tuwezekuwa wachaji wa mungu
Sijui niamini au nisiamini.ila Mimi naamini Yesu na mungu .sjui about bikira maria.maria alifariki according to holy bible .just ombeni guys shetani pia anaponya vizuri tu...hii story ni kama movie ya unholy .alitokewa na maria na akawa anaponya wengi ..mwisho wa Siku sio maria ni shetani .so sjui kwa kweli
Kila ninapockia haya ayatendayo huyu mtoto mwili unanisisimka sana. Ila, ushauri wangu, tafuteni shuhuda kutoka kwa wale wahusika waliopona. Mm ninaamini Ila wakishuhudia wenyewe, ni vizuri sana. NB: ni ushauri tu.
Mtoto ni chombo tu ,anayeponya ni Mungu .Shida ya watu wanamwangalia huyo mtoto kwamba ndiye anawaponya, ndo maana wengine wanadhubutu kukufuru wakimuita shetani.Hicho ni chombo tu .Je tunategemea kwamba B.Maria tutamwona kwa sura yake ? Sio rahisi labda tu kwa wale walioteuliwa.Hata mtoto huyo akitokewa naye kwenye kundi LA watu wengi , ni yule tu aliyeteuliwa .
Mimi pia nimewahi kutokewa na B.maria nilipo kuwa mtoto ila kumbukumbu zangu ni sanamu yake tu nilipo waambia wakubwa nilipelekwa hospital ilikuwa ni homa
Tatizo watu wanapenda kupinga kila kitu. Yesu mwenyewe alipingwa na watu wengi sana. Hata yanayotokea leo ya kupinga mambo ya imani ni mwendelezo tu wa yale yaliyowahi kutokea kipindi cha nyuma.
Mimi ni mkenya nimekua nikifuatilia hii habari ya mtoto yunis sababu ilinipendeza niko na swali kwamba Hii maji niya uponyaji pekee ama pia na mashida zingine??
mungu wa mbinguni adhiakiwi. Watu wanapenda, jia ya mikato kutafuta msada, amelaniwa anaye tengeya mwanadamu na moyoni mwake amemuacha bwana yeremia 17:5-8
Kwann ufafanue mzazi na asifafanue wewe je huyo mtoto ndio anatengeneza mawe na chumv embu tumwache mungu afanye Kaz yake mtoto huyo ndio inatakiwa aongee na kama alikuja malaika na alikuwa haongei je alimuitaje baba njoo tusali wakat mtoto mdogo
Très chère bien aimée unise pardon essais d adresse mes prières à la vierge Marie quel intercede pour devant le seigneur Jésus . Que le seigneur me localisé et visité et restore moi agir dans ma vie seigneur mon dieu exaucé mes surpplication entend mon cris vers toi seigneur Jésus Christ amen amen amen
Can I make an order so that the water can reach me please.....currently am at Lebanon. I want the water to reach my sick mum in kenya ......please is their any way I can be helped
May God continue to used the Eunice to touch our hearts. Is it possible to translate these stories. We need to hear the message yet we can't speak Swahili. Thanks.
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kukufuru NA kupoteza dini yako ya uslaam muoba mungu wako katika salah tano yako
Hail Mary full of grace the Lord is with you blessed are you among women and blessed is the fruit of your womb Jesus holly Mary Mother of God pray for us sinners now and at the hour death Amen 🙏
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam
Jaman kumbukeni shetani aliachiwa nguvu na mnaambiwa msifungwe nira na wasio aminitafuteni ufalme was mungu nafasi ingalipo yalinenwa manabii was uongo watatokea s k u za mwixho na watapewa uwezo na nguvu ta kuponya watu waangamia kwa kukosa maarifa jiulizeni babu wa loliondo Yuko wapi !?? At amxhtuki jamani.
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis th-cam.com/video/qmCohLLxlOA/w-d-xo.html namba iko kwenye hii video.
Mungu ambariki jaman
@@SalomeAgustino-iv6hp amen
Namba iko wap?
@@felisterandrew8741 karibu tena
Mungu amusidishie nguvu mtoto yunis na hata aniombee NAMI pia
much blessings sister Eunice nakupenda sana mungu wetu ni mwaminifu 🙏🙏🙏🙏🇪🇺
Imani mtoto huyu ni wa mungu na mungu azidi kumkuzaa zaidi
Amen
This child is really blessed by God . But let us here testimony from the people who have received there healing but not fro the child father .
Barikiwa mtangazaji pia kwa kutufikizia Habari njema, God's wonders are real
Divine Protections to sista Yunis.. Amen.
Eunice, God's blessing Mungu akubariki sana.
Mungu akubariki sana mtoto unice
Amen
Mungu akulinde kabisa zidi kiwaponya wote walio na shida mbalimbali na utuombee watu wote tudumishe mapendo na pia utuombee Kwa mama yetu tuwezekuwa wachaji wa mungu
Mungu azidi kutu Lindatumwamini yeye tu 🙏🙏
Mungu awezi kukuacha Kwa shida
Amen
Dada yunis ubarikiwe Na omba kufunguliwa (delivrancy ) Na uponyaji wa Kaka yangu Alphonse sibo mungu amuponye kifafa
There is God in heaven,be blessed baby Eunice
Mzee tunamshukuru muumba kwa yoote hayo, tunaomba matendo makuu hayo ya Mungu yarekodiwe tuonyeshwe na watoa ushuhuda waseme wenyewe.
Sijui niamini au nisiamini.ila Mimi naamini Yesu na mungu .sjui about bikira maria.maria alifariki according to holy bible .just ombeni guys shetani pia anaponya vizuri tu...hii story ni kama movie ya unholy .alitokewa na maria na akawa anaponya wengi ..mwisho wa Siku sio maria ni shetani .so sjui kwa kweli
Amen, fact
Eunice God bless you
Mungu bariki huyu mtoto yunis naumuongezee maarifa yakuponya watu Amen
Amen
Amen niombee Kuna mwenye ananinyanganya peza eti stanitafutia kazi amekataa kunirudisia na hka kazi tafadhali nahitaji maombi mmi nko 🇰🇪
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis th-cam.com/video/qmCohLLxlOA/w-d-xo.html namba iko kwenye hii video.
uchawi mtupu
@@mosesmaina2227 Una haki ya kuamini unachoamini
@@BMGOnlineTV we we naamini una share apo huna lolote washirikina wakubwa
Wanataka kupiga pesa wanaita wateja haraka, kama ni kweli aachwe mtoto alone afanye dawa mbali na wao hasa kule arumeru
Mungu akubaliki sana
God bless you my dear sister
God bless you how can I get the water? Mnawez kuombea mtu kama Yuko mbali
Blessed
Tunashukuru mama Maria sister Yunis niombee na mtoto Dorine Mungu atuponye
Amen
Kila ninapockia haya ayatendayo huyu mtoto mwili unanisisimka sana. Ila, ushauri wangu, tafuteni shuhuda kutoka kwa wale wahusika waliopona. Mm ninaamini Ila wakishuhudia wenyewe, ni vizuri sana. NB: ni ushauri tu.
Mtoto ni chombo tu ,anayeponya ni Mungu .Shida ya watu wanamwangalia huyo mtoto kwamba ndiye anawaponya, ndo maana wengine wanadhubutu kukufuru wakimuita shetani.Hicho ni chombo tu .Je tunategemea kwamba B.Maria tutamwona kwa sura yake ? Sio rahisi labda tu kwa wale walioteuliwa.Hata mtoto huyo akitokewa naye kwenye kundi LA watu wengi , ni yule tu aliyeteuliwa .
Mimi pia nimewahi kutokewa na B.maria nilipo kuwa mtoto ila kumbukumbu zangu ni sanamu yake tu nilipo waambia wakubwa nilipelekwa hospital ilikuwa ni homa
Akina peter wanaambiwa Yesu amefufuka wanasema lazima tumuone
Ni uongo mtupu
Uongo gan sasa@@alialamoudi9729
Indeed God is great,, Mungu azidi kumuuinua sana,, ni upande gani Tanzania nko kenya mm
Kijiji cha Bukama, Rorya
@@BMGOnlineTV Thanks nitafika huko, kutoka kenya hadi Tanzania ni pesa ngapi?
@@daughterofzion135 Utauliza hapo hapo Kenya
@@BMGOnlineTV ok poa
@Ed In Isibania ama Namanga kulingana na eneo ulilopo. Ila Isibania karibu zaidi
imani upendo matumaini uvumilivu katika maisha ya kristor amina
Amen
Niko Saudi Arabia na Mimi ni mkenya nahitaji kubarikiwa na sister Eunice
Mungu nimwema Amen naomba mawasiliano yakufika uko
Tatizo watu wanapenda kupinga kila kitu. Yesu mwenyewe alipingwa na watu wengi sana. Hata yanayotokea leo ya kupinga mambo ya imani ni mwendelezo tu wa yale yaliyowahi kutokea kipindi cha nyuma.
Blessed
❤❤
Na walio mbali hawezi ombea mtoto yunis❤❤❤
Mungu akubariki yunice akutie nguvu
Amen
Nampenda huyu mtoto jamani, Mungu akubariki mtoto mzuri
Amen
Anapatikana wapi mkowa gani
Dar... Au sehem gani
Mungu alinde familliya yote na bikira Maria Awa sayidiye kwa uponiadi
All glory to God Almighty. Mary mother of God and our mother pray for us
Mungu atukuzwe
Yunis naomba uniombee uwa nikiingia kusali uwa naumia sana kama vile naunguzwa na moto nisaidie
Pole, Mungu akuponye
Mungu ndio kila kitu
I love you Jesus and Mary protect your little child Unice
Mungu amuongoze na Mimi niombee mama maria amuongoze
Mama maria mama wa mkombozi wetu yesu krsto naomba msaidie mama yangu Capone apate kuona tena maana ni Kippur zaidi ya miaka kumi ss
Ave Maria Amen
Tunashukuru Ee Mama yetu Bikira Maria kwa kutuonekania,watanzania tunajivunia kuwa na mtoto Eunice!!
Tumshukuru Mungu asante tutapataje hayo maji mikoani Asante Mungu
Anapatikana wap njami
Msiamini kila roho , zichunguzeni na mzijaribu kama zinatoka kwangu, asema BWANA WA MAJESHI
Amina
God is so great
Baba yunisi naomba namba za sim zauko nije na mm niudumiwe na yunisi ninamatatizo mengi sana,
Mama Yunis +255693268319
Amen 🙏
Jamani tunaomba na sisi wa mbali tupate huduma ili tupone uwezo wa kuja huko ni mdogo hali zetu za chini sana
Amen
Ee mama yetu maria twaomba Sana ee mm usituache ngizani kwa mwanao tuombee
I pray for Eunice
Yunis!Bwana asifiwe,ninaomba uponyaji na ukombozi .Ameen.
Mungu n mwema kila wakat maisha marefu baby unice🙏🙏 naamin siku moja nitamfikia tukoka Kenya ishalah 🙏
Mimi ni mkenya nimekua nikifuatilia hii habari ya mtoto yunis sababu ilinipendeza niko na swali kwamba Hii maji niya uponyaji pekee ama pia na mashida zingine??
Tumia kulingana na unavyoamini
mungu wa mbinguni adhiakiwi. Watu wanapenda, jia ya mikato kutafuta msada, amelaniwa anaye tengeya mwanadamu na moyoni mwake amemuacha bwana yeremia 17:5-8
Mungu anipe uzime na siku moja nimfikie huyu mtoto
Amina
@@BMGOnlineTV naomba mawasiliano ya mzee ogot kama anaweza kunitumia maji ninashida
Amen
Mtakatifu yunis uniombee
🙏
Kabisa
Mungu azidi kuoneka
How can I get her contact
Amen yarabbi
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kukufuru
Wacheni watoto wadogo waje kwangu
Sure
Kwann ufafanue mzazi na asifafanue wewe je huyo mtoto ndio anatengeneza mawe na chumv embu tumwache mungu afanye Kaz yake mtoto huyo ndio inatakiwa aongee na kama alikuja malaika na alikuwa haongei je alimuitaje baba njoo tusali wakat mtoto mdogo
Fika nyumbani umuulize mwenyewe
@@BMGOnlineTV hasante kwa jibu hilo
Wazushi unataka kiki
@@samxx411 Hakuna aliyekamilika chini ya jua, kikubwa ni mtu mwenyewe kufuata anachokiamini na kuachana na asichokiamini
Nitumie namba
Ya nani?
Très chère bien aimée unise pardon essais d adresse mes prières à la vierge Marie quel intercede pour devant le seigneur Jésus . Que le seigneur me localisé et visité et restore moi agir dans ma vie seigneur mon dieu exaucé mes surpplication entend mon cris vers toi seigneur Jésus Christ amen amen amen
Mmh! 😳
Naomba kupata mwelekeo ili niweze kufika mliko,nko Kenya naezatulia njia gani
Pitia Isibania-Sirari hadi Tarime stendi, ulizia magari ya kwenda kwa Yunis
Shukurani
nitumie namba yasimu
Iko Mtandaoni, anaitaja mwenyewe
Naomba ya simu nigan
Mungu amusayitie uyu mutoto ahanze
Tumboni,miaka,3
ndiyo
I thank you God, for ur Grace and Mercy on us. Praise the Lord.
Nani kawaloga enyi wenye imani potofu?
Imeandikwa usihukumu
Naomba number zao
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis th-cam.com/video/qmCohLLxlOA/w-d-xo.html namba iko kwenye hii video.
Hello how can I reach the girl please my mum has a problem.....am from kenya....is their any way I can reach her
Isibania-Sirari then to Bukama Rorya, Tanzania.
Can I make an order so that the water can reach me please.....currently am at Lebanon. I want the water to reach my sick mum in kenya ......please is their any way I can be helped
@@alicenyabuto2202 ok th-cam.com/video/1Dg11QvZXIc/w-d-xo.html
Nitapataje mahali mtoto mponyaji unice
Unaulizia nyumbani kwao?
Anapatikana wap
Bukama Rorya Tanzania
Kabisa letu lasemaje kuhusu hay wamemkubali mtoto au
Linachunguza bado
jmn naomba mawasiliano na huyo mtt
+255693268319
Mungu anaweza yote
Nielezeeni directions pia mmi niende
Sasa Direction kutokea wapi?
Eunice pray for me 😭😭😭🙏
May God continue to used the Eunice to touch our hearts. Is it possible to translate these stories. We need to hear the message yet we can't speak Swahili. Thanks.
This is a little girl, named Sr. Yunis from Rorya Tanzania. The Virgin Mary appeared to her and gave the ability to pray for water that healing.
Tunaomba namba za kuwapata huko tunahitaji huduma
@@BMGOnlineTV tunaomba namba plz ile inayoishia 97 haipatikani
Ningetaman niende hii sehem na familia yangu naomba namba za wazazi watuelekeze.
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis th-cam.com/video/qmCohLLxlOA/w-d-xo.html namba iko kwenye hii video.
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kukufuru NA kupoteza dini yako ya uslaam muoba mungu wako katika salah tano yako
Hail Mary full of grace the Lord is with you blessed are you among women and blessed is the fruit of your womb Jesus holly Mary Mother of God pray for us sinners now and at the hour death Amen 🙏
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo kabisa kamwe ni shirk usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni shirk thambi isio samehewa milele NA unapotea dini yako ya uslaam
Jaman kumbukeni shetani aliachiwa nguvu na mnaambiwa msifungwe nira na wasio aminitafuteni ufalme was mungu nafasi ingalipo yalinenwa manabii was uongo watatokea s k u za mwixho na watapewa uwezo na nguvu ta kuponya watu waangamia kwa kukosa maarifa jiulizeni babu wa loliondo Yuko wapi !?? At amxhtuki jamani.
pray for me.
Natoka mkoani nikifika mwanza niulize wapi
Kweli watu wanaliwa kijanja utapeli huu hauna utofauti wa babu wa loriondo shetani amepewa utukufu hapa
Naitwa generoza vicent mhoza namuomba unince aniombee nipone mattinzo yangu
Mtumishi wamng naombauponyaj mm namtoto wang .kain naiman.ntafunguliwa amee
Mungu awahurumie sana maana mmepotea jameni
Amen
No ya wazazi wake ndio tuweze kudika huko
Mama Yunis +255693268319
mimi naomba namba
Wanaohitaji mawasiliano ya mtoto Yunis th-cam.com/video/qmCohLLxlOA/w-d-xo.html namba iko kwenye hii video.
Namba ya fone
OK
@@BMGOnlineTV could you please pray for me and my husband
I'm called malish Nadia from Uganda suffering from inability to produce thanks 🙏
@@anyovidenis183 God bless you according to His will and give you the need of your heart, Amen!
@@BMGOnlineTV amen
Could you please pray for my family thanks 🙏 and me too thanks 🙏
Chumvi ya mawe ndio ngani?
Remember wat Jesus told people about children
Tuwekeeni namba za cm ndugu zetu.
Gweth moa kuom nyasaye manie polo
Pamoja sana
Maajabu ya mlemavu
Tanzania sehemu Gani nipeni mwelekeo tafadhali Niko Kenya nije
Bukama Village in Rorya District, Tanzania, through Isibania-Sirari border
Hi everyone naomba kupata number Sahao wa ndugu please
God is Great. How can i visit. Unice you are blessed.