JAMAA ALIEFARIKI MIAKA 20 ILIYOPITA AFUFUKA, MZIMA HAJAOZA, SHEREHE YAFANYIKA KUMPOKEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ธ.ค. 2020

ความคิดเห็น • 1.7K

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah 3 ปีที่แล้ว +929

    Kama unaamini mungu yupo gonga like hapa uki reply amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @herifridgmsigwa180
    @herifridgmsigwa180 3 ปีที่แล้ว +471

    Kama unakubali kuwa Mungu mtenda miujiza gonga like hapo chini

    • @zkiduku4068
      @zkiduku4068 3 ปีที่แล้ว +3

      @Daniel thomas Msigwa 😆😆😆😆😆

    • @ludacrissrangiyabank3737
      @ludacrissrangiyabank3737 3 ปีที่แล้ว +3

      Kma mtu una akili timamu asaa na unamuamini Mungu huwez kuamini ujingaa kma huu ata kwa bahati mbaya cz hakuna kitu kma hicho kua mtu afe hlf kafufuka agh hakuna kitu kma hicho

    • @gersonntihalizwa913
      @gersonntihalizwa913 3 ปีที่แล้ว +1

      Yesu anaweza

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 3 ปีที่แล้ว

      @@ludacrissrangiyabank3737 labda alitoloka warikuwa wanamtumikisha

    • @davidevarist6371
      @davidevarist6371 3 ปีที่แล้ว

      Name of Jesus

  • @isaacbichwa4234
    @isaacbichwa4234 3 ปีที่แล้ว +245

    Kama unaamini yupo Mungu kwaajili yetu gonga like hapa

    • @dorcasaruni4432
      @dorcasaruni4432 3 ปีที่แล้ว

      Mungu ni mwema wakat wote Yani wachawi Jamn Daah utafikili wenyewe awafi daah mungu anawaona na wachukia sana 🤮🤮

    • @challesjonh7609
      @challesjonh7609 2 ปีที่แล้ว

      Ioo

    • @lovelnyrose2181
      @lovelnyrose2181 2 ปีที่แล้ว

      Mungu atulinde jaman inahuzunisha sana

  • @marthajulius5293
    @marthajulius5293 3 ปีที่แล้ว +38

    Mungu ni yule yule Jana hata leo milele habadiliki......LOVE U LORD JESUS

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 ปีที่แล้ว +140

    Daah 😥 kwel MUNGU 🙏 ni mkubwa wacha tuendelee kumuomba MW/MUNGU kwa kila Jambo

  • @emmanuelkyando2125
    @emmanuelkyando2125 3 ปีที่แล้ว +93

    Mungu alie mleta tena duniani ndie atakae mfungua kinywa tena AMEN

  • @alicemuthoni8177
    @alicemuthoni8177 3 ปีที่แล้ว +129

    Eeeh Mungu uliefanya huyu arudi na ewe Mfalme wa wafalme warudishe na hao wengine ..asante Mungu kwa kumfanyia huyu mama muujiza😢😢

    • @abduljaffar875
      @abduljaffar875 3 ปีที่แล้ว

      Uongo mtupu nyinyi mnaamini t

    • @alicemuthoni8177
      @alicemuthoni8177 3 ปีที่แล้ว

      @@abduljaffar875 mpaka uwe ni mwenye kukubali kuwa kuna Mungu mkuu anaewapenda bunadamu wote na kuwarudishia tumaini wanapo dhulumika hakika yeye anauwezo wakufanya jambo lolote asiloweza mwanadamu na yeye sidhalimu wala hako na madhalimu ila upendo wake mkuu hufanya madhalimu waone kama hawajui wala hatambui ila siku yaja....

    • @user-zh8uf3wy2z
      @user-zh8uf3wy2z 5 หลายเดือนก่อน

      Mungu wangu anisaidie na mimi

  • @abubakaryyunus9297
    @abubakaryyunus9297 3 ปีที่แล้ว +148

    Ila nyie Millard ayo mnajua kufatilia mambo mpo vizur ma brother

    • @goldlediamante6259
      @goldlediamante6259 3 ปีที่แล้ว +1

      Jamaa akikuambia story ndo hii kweli ndn panakuwa Hakuna chenga ndani ake

    • @anastaziuscyriacus5415
      @anastaziuscyriacus5415 3 ปีที่แล้ว

      Millard namuita LEGENDI sasa hivi

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 3 ปีที่แล้ว +66

    Ukirogwa ahufi, unahamishwa tu na wachawi. In fact, ukifa naturally, uwezirudi tena.

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 3 ปีที่แล้ว +2

      Kweli kabsaa uyu msukulee,. Wanasherekea ujingaa,kizazi chaishaa, unachukua msukulee unaeka ndan? Kitasafisha kizaziii uyu n msukulee

    • @faithmarita9759
      @faithmarita9759 3 ปีที่แล้ว

      Very true

    • @meshacksamson1008
      @meshacksamson1008 3 ปีที่แล้ว +2

      @Daniel thomas Msigwa dada hii dunia ucje ukasema ety pepo mchafu huyo m2 akupenda awe hivyo,,afu unasema asikae na wa2 sasa ulitaka akae na nani??? Kuwa na akili bax

    • @AliMohamed-kd1uc
      @AliMohamed-kd1uc 3 ปีที่แล้ว +2

      Huyu alichukuliwa kichawi mbona haongei alikatwa ulimi

    • @nolascodismassilayo3927
      @nolascodismassilayo3927 2 ปีที่แล้ว

      Uko sawa waache sanaaa

  • @scopionclever5196
    @scopionclever5196 3 ปีที่แล้ว +9

    Mungu yu mwema kila wakati ....gonga like twende saw

  • @linamacha7686
    @linamacha7686 3 ปีที่แล้ว +11

    Sifa na utukufu zimrudie Mwenyezi Mungu wewe Mungu uliyemrudisha huyu kijana tunaamini utamfungua na kuwa na afya njema na lipo kusudi lako ndani ya maisha yake 🙏🙏

    • @scolamsisi9306
      @scolamsisi9306 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu alietenda kwenye familia hii atende kwa familia nyngne pia

    • @assiakiboko2033
      @assiakiboko2033 ปีที่แล้ว

      @@scolamsisi9306 0pp

  • @mariammammu9641
    @mariammammu9641 3 ปีที่แล้ว +57

    Hakuna kinachoshinda MAOMBI.......TUKESHE TUKIOMBA HUKU TUKISUBIR

  • @tinadarius7691
    @tinadarius7691 3 ปีที่แล้ว +111

    apelekwe maombi jmn atakaa sawa Mungu ni mwaminifu sana tumrudie Yeye

    • @WaridawaridaWarida
      @WaridawaridaWarida 3 ปีที่แล้ว +2

      Amen

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว +1

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 3 ปีที่แล้ว +1

      Amen

    • @franciskavyega280
      @franciskavyega280 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @samuelemmanuel3400
      @samuelemmanuel3400 3 ปีที่แล้ว +1

      Amen

  • @doctorzero-dj5xg
    @doctorzero-dj5xg 3 ปีที่แล้ว +81

    Akiombewa atafunguka vizuri zaidi , Mungu atukuzwe

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @nurathissa1422
      @nurathissa1422 3 ปีที่แล้ว

      Washamkata ulimi jamani

    • @hindisaid2413
      @hindisaid2413 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyu kuongea ni miujiza myengine.ila ni wenyewe hao

    • @estasage498
      @estasage498 3 ปีที่แล้ว +1

      Apelekwe ufufuo na uzima. Pastor Gwajima ni kiboko

    • @doctorzero-dj5xg
      @doctorzero-dj5xg 3 ปีที่แล้ว

      @@estasage498 Mungu yuko popote ,imani tuu, watamrudusha , waombe bila kuchoka

  • @joachimdemarine369
    @joachimdemarine369 3 ปีที่แล้ว +35

    Kama uliskiliza hii story kwenye radio twende pamoja apo

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 3 ปีที่แล้ว +3

    WACHAWI WOTE MUNGU AENDELEE KUWALAANI LEO KESHO NA MILELE AAAMIN🙏🏻

  • @abelmwakipesile4503
    @abelmwakipesile4503 3 ปีที่แล้ว +147

    Mungu ni yeye yule jana leo na milele,hakika matendo yake ni makuu.

  • @mangapineema7652
    @mangapineema7652 3 ปีที่แล้ว +91

    Uhimidiwe Mungu wetu

  • @love__ness7943
    @love__ness7943 3 ปีที่แล้ว +11

    Kwa uwezo wa Allah wote waliokufa kwa nguvu za giza watarejea

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 ปีที่แล้ว

      Mie pia mtoto wa mama yangu mdogo naisi kabisa wala ajafa ila wanga ni watu wabaya sana 🥲

    • @mamyjunaithar9562
      @mamyjunaithar9562 9 หลายเดือนก่อน

      Amin 😢

    • @khadujifuad9360
      @khadujifuad9360 5 หลายเดือนก่อน

      Amin

  • @imathomas6531
    @imathomas6531 3 ปีที่แล้ว +10

    Daaah 1994 mimi ndyo nazaliwa mpk sasa 2020 nina miaka 26 ni parefu jmn Mungu mwema

  • @puregamers4215
    @puregamers4215 3 ปีที่แล้ว +124

    2020 tutaona mengi ila mung atusaidie tuumalize salama.

    • @icegtz5204
      @icegtz5204 3 ปีที่แล้ว +3

      21ndoo hatar mpaka marekan utasikia wamefufuka

    • @januarymassawe1945
      @januarymassawe1945 3 ปีที่แล้ว +1

      Kigoma mwisho wa reli utaikubali

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 3 ปีที่แล้ว +3

      Sikuizi watu wanafufuka😂😂😂Yesu mwenyewwe alifufuka kwa siku tatu lakini siku hizi wanafufuka bahada ya mika 20 😂😂 kuja ujione Yesu

    • @chauligemeka7840
      @chauligemeka7840 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣👍

    • @gogonta5508
      @gogonta5508 3 ปีที่แล้ว

      Kweli

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 ปีที่แล้ว +71

    Wachawi jamanii..!! Basi Ni wengi wamekufa lakini hawajafa

    • @ivankinabo1226
      @ivankinabo1226 3 ปีที่แล้ว +4

      Wengi mno wamechukuliwa misukule asee inauma mno, unadhan mzaz wako amekufa kumbe yupo sehemu anatumikishwa na kuteswa huko

    • @ramadhanikibenga6317
      @ramadhanikibenga6317 3 ปีที่แล้ว +2

      Hahahaha wamekufa lakini hawajafa hahahaha umetisha

    • @afrieagle8314
      @afrieagle8314 3 ปีที่แล้ว +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @niwemugenimediatrice5640
      @niwemugenimediatrice5640 3 ปีที่แล้ว

      Nimeogopa sana

  • @estasage498
    @estasage498 3 ปีที่แล้ว +11

    Jamani kamupeleke kwa pastor Gwajima ufufuo na uzima. Please, take him to pastor Gwajima so he could be prayed for.

    • @mamarahel6837
      @mamarahel6837 3 ปีที่แล้ว

      Unaongelea gwajima yupi?

    • @eliamkonda5162
      @eliamkonda5162 3 ปีที่แล้ว +2

      Gwajima ni tapeli kama matapeli wengine alie Mungu pekee alie mrudisha ndio atamulinda

    • @rehemamhanje3420
      @rehemamhanje3420 3 ปีที่แล้ว

      Ahhh gwajima mbunge ndio aombe eh

    • @glorymhanga3917
      @glorymhanga3917 3 ปีที่แล้ว

      wampeleke kwa mwamposa!!

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 3 ปีที่แล้ว +8

    Kuna binadamu wanataka kuingilia kazi yamungu waifanye wao!kwenye njia na mipango yamungu hakuna wakuweka ukuta,mungu amemtetea huyu kijana ili aendelee kuishi.

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 3 ปีที่แล้ว +61

    Labda boss wao alikufa Sasa wakakosa mtu wakuwapa chakula Mumgu anawaona wachawi 😭😭

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @ismailkatala4792
      @ismailkatala4792 3 ปีที่แล้ว +1

      Sure inawezekana alichukuliwa na wachawi

  • @siwemamahenge3275
    @siwemamahenge3275 3 ปีที่แล้ว +11

    Milado ayo wewe ni mziki mnene, mi nakupa Big Up sana

  • @nornooo7225
    @nornooo7225 3 ปีที่แล้ว +34

    Inawezekana hata ndugu zake wapo huko wamegeuzwa misukule 😢 ee mungu nilinde mja wako na kizazi changu epusha haya yasijetokea' ameen.

    • @neemaneema6825
      @neemaneema6825 3 ปีที่แล้ว

      Amina

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 3 ปีที่แล้ว

      Haya ni maajabu ya Mungu huyu kijana kutokeza duniani , watu wanajifanya wana ujuzi wa kuchukua misukule wenzao, MUNGU atawalaani wachawi hawataiona pepo kwa nguvu zake MUUMBA kwa kuwatesa na kuwadhulumu viumbe ikiwa kwa makosa au bila makosa .

    • @merikizedeckmwaniwe5358
      @merikizedeckmwaniwe5358 3 ปีที่แล้ว

      Amina mungu tusaidie tuepushe na haya majaribu

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 3 ปีที่แล้ว

      @@merikizedeckmwaniwe5358 Wala hatukunusurika, mungu mkubwa tu. Itafika siku tutawaona waliolaanika.

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 ปีที่แล้ว

      Ameeen 🙏

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk3377 3 ปีที่แล้ว +1

    Kama unaamin kwa mungu kila kitu kinawezekana gonga like yako hapo

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 3 ปีที่แล้ว +46

    mmh!dunia hii,basi tu,Acheni Mungu aitwe Mungu.

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @sherin3171
      @sherin3171 3 ปีที่แล้ว

      Wallah

    • @hildamaziku4385
      @hildamaziku4385 3 ปีที่แล้ว

      Nashauri wakapime DNA kabla Ili tuishangaze dunia

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 ปีที่แล้ว

      Walimchukua msukule

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +69

    Huu mwaka wa maajabu ni mwaka ambao utakumbukwa kwa mengi sana

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare8070 3 ปีที่แล้ว +7

    Ukute hata hao wachawi wapo hapo wanapika na kufurahi pia🙌🙌🙌

  • @paidenasra4548
    @paidenasra4548 3 ปีที่แล้ว +8

    Duu Allah ni mueza wa kila kitu.
    Mungu anazidi tuonyesha majab. Kama mnamini gonga like zenu apa.

  • @samuerypaulo5711
    @samuerypaulo5711 3 ปีที่แล้ว +40

    Mimi nimkazi wakigoma wilaya ya Kasulu mjini matukio kama haya nimengi sana mungu atusimamie 🙏

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว +1

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @rukiaali2786
      @rukiaali2786 3 ปีที่แล้ว

      Ameen

  • @Ailestv
    @Ailestv 3 ปีที่แล้ว +35

    Mungu amlejeze kijana huyu kila kilichopotea

  • @lawrenciamkolwe4875
    @lawrenciamkolwe4875 3 ปีที่แล้ว +8

    Mungu yupo ndugu zang mama endelea kuomba wote watalud

  • @kelvinmligo4915
    @kelvinmligo4915 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nipo hapa nasubiri ile siku brayoo wangu anarudi nasubiri kwa imani sana

  • @efajuforeal8740
    @efajuforeal8740 3 ปีที่แล้ว +25

    Kigoma hiyo aisee hakika Mungu simama na kigoma

  • @asiamwarabu7510
    @asiamwarabu7510 3 ปีที่แล้ว +3

    Napaliza sauti Kwa nguvu zangu zote kuwa Mungu yupo na kwake hakuna linaloshindikana hakika Kwa Iman tutashinda Allahuakbar Allahuakbar X1000

  • @b.a.m6243
    @b.a.m6243 3 ปีที่แล้ว +7

    Ee MUNGU tusaidie vizazi vyetu na watoto wetu. Amen

  • @mishibaron5021
    @mishibaron5021 3 ปีที่แล้ว +4

    Yesu ni bwana jina lake litukuzwe ...Nakupenda Mungu wangu maana unaniepusha na mengi ...nakuomba uzidi kumsaidia kijana huyu...aki machozi yanitoka tu

  • @tauvurilytrics4648
    @tauvurilytrics4648 3 ปีที่แล้ว +8

    Daaa! Kweli mungu Mimi umenipendelea Sana kumbe kuna watu wanapitia magumu Asante mungu

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 ปีที่แล้ว +23

    Watu tunadhambi nyingiii sana..Mungu aliachilia Corona ili kutupunga ila bdo hatukomii tu jmn..wachawi wanatesa watu jmn duuuh 😥😥😥😥😥😥

    • @robertlukosy1000
      @robertlukosy1000 3 ปีที่แล้ว

      Juju juju juju juju juju juju juju juju juju I

  • @yusuphjonathanmwanzonje9902
    @yusuphjonathanmwanzonje9902 3 ปีที่แล้ว +1

    Haleluya jina lako Bwana lihimidiwe nakusihi Bwana na Mimi nirdudishie baba yangu arudi maana kifo chake kilikuwa na mkono WA mtu

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 3 ปีที่แล้ว +13

    Nimeshtuka Sana hadi nikakumbuka watoto wangu wawili jameni 😢😢 walifariki kiajabu ajabu Sana mpaka leo mm huwa naamini wako wanatumika. Mwanyezi Mungu halali haki pole sana mamangu 😢😢

  • @doreengomes3489
    @doreengomes3489 3 ปีที่แล้ว +23

    ⚘🥰...All thanks and Praise be to God forever. Amen

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว +1

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

  • @WaridawaridaWarida
    @WaridawaridaWarida 3 ปีที่แล้ว +6

    Amen Mungu amfungue huo ulimi

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu anilinde mm na kizazichangu pamoja na familiya yangu japokua bado sijawa na familiya

  • @breymbasa3451
    @breymbasa3451 ปีที่แล้ว +1

    Mungu baba tusaidie magufuri tuna kazi nae Tulelee🙏

  • @occupeparjesus6768
    @occupeparjesus6768 3 ปีที่แล้ว +4

    Kupitia video hii nimeamini sasa kilichotokea nchini kwetu CONGO 🇨🇩 nimehakikisha kwamba story tuliyonayo hapa ya Mathieu Badjoko ambae nae pia alizikwa, baada ya miaka mitatu akarudi kumbe ni story ya kweli. Basi mpelekeni kanisani nae pia ataongea.
    *MUNGU NI MKUBWA !*

  • @pastormoseschami7208
    @pastormoseschami7208 3 ปีที่แล้ว +22

    Gwajima akihubiri misukule ipo mnapinga, Aya oneni wenyewe, jamani uchawi upo na misukule ipo

    • @elicegeorge9991
      @elicegeorge9991 3 ปีที่แล้ว +2

      Misukule ipo na ndo wanaowafanyia kazi wafanyabiashara kariakoo madukani mwao

    • @WaridawaridaWarida
      @WaridawaridaWarida 3 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @WaridawaridaWarida
      @WaridawaridaWarida 3 ปีที่แล้ว

      @@elicegeorge9991 Amen

    • @ashaomary347
      @ashaomary347 3 ปีที่แล้ว

      I receive it in the name of Jesus amen wapo

    • @geraldtarimo9960
      @geraldtarimo9960 3 ปีที่แล้ว +2

      Huyo alikuwa gamboshi, mtafuteni zabroni C,mwita,akarudishiwe kivuli

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana mamaangu Atukuzwe Mungu aliemrejesha ndugu yetu

  • @celinamgundoi8420
    @celinamgundoi8420 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ulie mrudisha mtoto wako hakika utamfungua knywa chake na vyote walivyo mfunga hakika mungu wewe unaweza asante yesu🙏🙏

  • @elkapius5005
    @elkapius5005 3 ปีที่แล้ว +5

    Akika Mungu yupo na anatenda kwa wakati🙏

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 3 ปีที่แล้ว +25

    Natamani ingekuwa dada yangu ndo arudi

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 ปีที่แล้ว

      Tuombe Mungu na kufunga ukimaanisha inawezekana hasa km alikufa kwa utata

    • @luludaudi6416
      @luludaudi6416 3 ปีที่แล้ว

      Mi nataman mama angu alud jaman

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 ปีที่แล้ว +1

      @@luludaudi6416 oooh km una uhakika aliondoka kwa utata amua kusimama na Mungu sawasawa shirikisha Watumishi unaowaamini guseni pale mlipomuhifadhi bila woga na mseme wewe ardhi tapika mama yetu anaeteseka tunaamuru kwa jina la Yesu

    • @didadisminder5559
      @didadisminder5559 3 ปีที่แล้ว

      Kama mimi

  • @barakapaul3855
    @barakapaul3855 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama unaamini wachawi ni wapuuzi gonga like

  • @jamesbonaventure4708
    @jamesbonaventure4708 3 ปีที่แล้ว

    Kwa mungu akuna kinacho shindikana mungu kibowao ww kama una ana amini mungu ana tenda miujiza gonga like mungu ata baliki njia za maisha zetu Amina

  • @vianmarcel818
    @vianmarcel818 3 ปีที่แล้ว +20

    nahisi hata hao wengine wanaweza kurudi one day, naanza kuelewa concept ya misukule ipo...

  • @mirynjeri5850
    @mirynjeri5850 3 ปีที่แล้ว +8

    Walimchukua msukule sasa mungu kamtoa huko alikuwa amewekwa.

  • @user-hf5qq2qy4y
    @user-hf5qq2qy4y 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Asante Mungu kwa muujiza wako juu ya huyu kijana

  • @sethibrahim7563
    @sethibrahim7563 2 ปีที่แล้ว

    Aletwe Dar kwa Mtumishi wa Mungu Sunbella Kyando, Ataombewa naamini atakaa vizuri

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 3 ปีที่แล้ว +19

    Duuh mjomba sio poa ,
    Katika awamu hii mengi tutayaona
    Mpakaa wafu wana...
    Great

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @omarymushehe5496
      @omarymushehe5496 2 ปีที่แล้ว

      Eee! Maajabu jamani

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 ปีที่แล้ว +9

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Mungu ni Mkubwa kwa hakika.

    • @chilandeTv
      @chilandeTv 3 ปีที่แล้ว

      Hello

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 2 ปีที่แล้ว +1

      Msekule hakunq anaekufa mara2 lbd kama sio muisilam

  • @kelvinidamiani7808
    @kelvinidamiani7808 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Dunia hii simama nishuke 🙌🙌🙌🙌

  • @eliudijastini8143
    @eliudijastini8143 3 ปีที่แล้ว +2

    Aseee tuleteeni mwendelezo wahii story asee mpaka mwisho 🌍🇹🇿📖

  • @abdullahrashid6297
    @abdullahrashid6297 3 ปีที่แล้ว +5

    Kigoma hiyo noma sana aisee
    Sijui tunapoelekea ni wapi
    Allah atunusuru in shaa Allah

  • @yassinsaidi697
    @yassinsaidi697 3 ปีที่แล้ว +39

    But hata kimtazamo tu ni mama yake, wamefanana sana

    • @rehemambito7989
      @rehemambito7989 3 ปีที่แล้ว

      Yassin Saidi kwele wamefanana

    • @yasintamalando8438
      @yasintamalando8438 3 ปีที่แล้ว

      Mungu mfufue na dada yangu Mimi arudi nyumbani kwa jina la yesu

  • @ClenMoses-hi5mg
    @ClenMoses-hi5mg หลายเดือนก่อน

    Mungu ulie tenda muujiza huu nitendee namim Baba yangu arudi Haman😭😭😭😭😭

  • @saurimwaitenga6121
    @saurimwaitenga6121 3 ปีที่แล้ว +22

    Mmh mungu yupo

  • @user-ij2bf8of8h
    @user-ij2bf8of8h 3 ปีที่แล้ว +8

    Subhaana Allah

  • @justusmuendo7823
    @justusmuendo7823 ปีที่แล้ว

    God is good,,he does like God and no one can stop God,,Ndugu zangu Mungu yupoo...Ukifanyia mtoto ya mtu mazigaombwe,jua Mungu anaona na atatenda kama Mungu,let God be praise Forever...

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 ปีที่แล้ว +1

    Eee Mungu! Naomba uthihirishe michawi yote.Mungu ona tunavyoteseka.

  • @jeremiahsanare8057
    @jeremiahsanare8057 3 ปีที่แล้ว +9

    Tegemea kwa mungu kwa imani yote yanawezekana amin

  • @emmanelly6864
    @emmanelly6864 3 ปีที่แล้ว +12

    Glory to God if this is true. Basi atakapoongea naomba mleteni atusimulie ilikuaje!

  • @AyubuJafari-vo3us
    @AyubuJafari-vo3us 5 วันที่ผ่านมา

    Maaajabu gani yadunia MUNGU atuponye🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @lydiahmartinz925
    @lydiahmartinz925 3 ปีที่แล้ว +2

    God is good. N God's tym is the best.soo torching .blood is thicker the water. May Gods hands n his angels keep on surrounding hm with the blood of Jesus. The God who has brought hm back will c him prosper in Jesus name. SHEDDING TEARS. Love u young boy#prayers #254

  • @jackjoshua3666
    @jackjoshua3666 3 ปีที่แล้ว +10

    Eee mungu wakumbuke na wengne walikufa kifo Cha dhuluma watoe huko waliko kwa uwezo wako ww ni mungu usieshindwa jina lako libarikiwe

    • @rukiaali2786
      @rukiaali2786 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameen ameen

    • @rukiaali2786
      @rukiaali2786 3 ปีที่แล้ว +2

      Tuwaombeeni wote waliodhulumiwa

    • @adeladominic8820
      @adeladominic8820 3 ปีที่แล้ว +2

      Amen mpendwa lkn mda mwingine ukumbuke Mungu kuanza kwa heruf kubwa co mungu

    • @mariamfaki1498
      @mariamfaki1498 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameen

    • @mohamedmuhajiri4690
      @mohamedmuhajiri4690 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwel kbsaa km bimkubwa bdo nayey yup hai

  • @brownbryson9293
    @brownbryson9293 3 ปีที่แล้ว +4

    Kama unamwamini Mungu. Gonga like cz Mungu ni muweza

  • @paulineMmbulika1533
    @paulineMmbulika1533 ปีที่แล้ว

    Watanzania n wachawi mwanadamu akifua akifufuka haongeangi kuna jama mmoja alikufua badae akafufuka bt hakuwai ongea glory to God 🙏🙏🙏🙏

  • @hellennasambumasibo917
    @hellennasambumasibo917 3 ปีที่แล้ว

    Mushukuru mungu sana kuwa naimani atakuja kuongea na tena nawapongesa sana hii familia kumpokea kijna wao juu ingekuwa familia ingine wange mutoro lakini sifa na shukurani murutishieni bwana 😭😭natwakwa na majozi ya furaha jina lakini mungu lipewe safa🙏🙏🙏

  • @omarsultan7195
    @omarsultan7195 3 ปีที่แล้ว +47

    Hajafa uyo aliekufa harudi

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 3 ปีที่แล้ว +3

      Kabisaa

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 3 ปีที่แล้ว +4

      @@iraqgirl2143 nikweli kabisa alie Kufa kafa uyo akufa aliwekwa msukule

    • @Easy.matter
      @Easy.matter 3 ปีที่แล้ว +1

      Haswa

    • @mishibaron5021
      @mishibaron5021 3 ปีที่แล้ว +4

      Sasa awe msukule awe nn si kila mtu alijua amekufa so wataka watu wasemeje wakati walizika na wakajua amekufa...kwa sisi binadamu wa kawaida amechukuliwa msukule hajafa na tunaona amekufa tumelea tezika wataka watu wasema nn

    • @mamymdogomamy3670
      @mamymdogomamy3670 3 ปีที่แล้ว

      @@mishibaron5021 Hawakuzika mtu walizika mgomba huyo aliekwa msukule

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 3 ปีที่แล้ว +6

    Mungu ni mwemaa wakat wote ,,ya rabby mwingi wa rehma mjaalie apone vyema tunusulu na mabaya yote Amin 🙏

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana mama mungu akutangulie maana ni mambo mazito haya.

  • @masekemustapha4784
    @masekemustapha4784 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema kila wakati🙏

  • @noelkipera4871
    @noelkipera4871 3 ปีที่แล้ว +3

    Big up ayo TV godbless more ur channel,,,,tunaziona hustle zako bro,,,,

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

  • @wemaroy1535
    @wemaroy1535 3 ปีที่แล้ว +3

    Eeh mungu nataman ungemludisha mama angu😭😭😍😍

  • @daisybuyantsi5953
    @daisybuyantsi5953 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimesikia uchungu sana ndugu yangu alirogwa akafariki hii mwaka mwisho july..alileta ndoto akisema anateseka sana ako tu duniani..wachawi mbona mnakatizia mtu maisha yake

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 ปีที่แล้ว +1

    Wachawi jamani mungu anawaona najua ata umu mpo mutasoma hii comment yangu mjue ipo siku isiyo julikana mtazalilika na mtajuta kufanya iyo kazi isiyo na faida

  • @mathewdeus4462
    @mathewdeus4462 3 ปีที่แล้ว +39

    Tufatilie vizuri huwenda wengine wapo huko tuzame kimaombi

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 3 ปีที่แล้ว +1

      Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
      th-cam.com/video/M4GyEil-nAo/w-d-xo.html

    • @niyonzimafafa2501
      @niyonzimafafa2501 3 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 3 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @bobchanda2460
      @bobchanda2460 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @nuruelmada9570
      @nuruelmada9570 3 ปีที่แล้ว

      Kweli ,tuombe

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 3 ปีที่แล้ว +8

    God is good 🙏

  • @btracymrope1168
    @btracymrope1168 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashauri wapime DNA ya mama na mtoto pia wachimbue kaburi wapime DNA ya maiti ili kujua kuwa ukweli ni upi. Maana tunaweza tukawa na imani za ushirikina wakti kwa karne hii ya 21 technology tulionayo haiongopi.

  • @shijakishosha2644
    @shijakishosha2644 3 ปีที่แล้ว +20

    Nimeelewa kwnn baba levo kakatalia dar hatak kurudi kigoma daaaah

  • @joshyt1745
    @joshyt1745 3 ปีที่แล้ว +10

    Mungu ni mwema Kama unamwamini yesu wambinguni gonga like

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 2 ปีที่แล้ว

    God is great mungu atufungue macho tuweze kuona na kufichua hiki kitenda wili cha wachawi. Wame chukua watu wengi tukindanganyika wamekufa

  • @empresslulu9775
    @empresslulu9775 3 ปีที่แล้ว +2

    Ewe Mungu mfufue dada yangu ili arudi kuwalea watoto wake ....

  • @zipporahzilpahmungohe9763
    @zipporahzilpahmungohe9763 3 ปีที่แล้ว +7

    Everlasting father i trust in you🙏🙏🙏🙏

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 3 ปีที่แล้ว +6

    Mtu kazaa kuku(Uvinza-kigoma),Mtu kafufuka(Bugaga-Kigoma)
    Kigoma FILE LENU tunalo

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 2 ปีที่แล้ว

    Mungu ndie mtenda miujiza gonga LIKE na kusema AMEN.

  • @user-gz6bj9lk6r
    @user-gz6bj9lk6r 3 หลายเดือนก่อน

    Nataman na mtoto wa dada yangu arudi mungu wa muujiza Fanya na kwetu

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 3 ปีที่แล้ว +9

    Nafikiri tutaelewana kwa karibu ile taaluma ya Bishop Gwajima.

  • @teddyjohn5339
    @teddyjohn5339 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyo kaka atakuja kuwa kiongozi mkubwa wa dini