🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 พ.ค. 2024
  • 🔴#Live: WAZIRI GWAJIMA AFIKA NYUMBANI kwa MAMA ALIYEFARIKI KISA WANAYE KUFANYIWA UNYAMA wa KUTISHA!
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 276

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +9

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q หลายเดือนก่อน +2

      Mama aliefariki alikuwa anaitwa nani? Maana kama namfahamu

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t หลายเดือนก่อน +18

    Kwakweli Kwa upande wa mawaziri wanawake Mimi ninamfahamu Dorothy Gwajima tu! Wengine siwafahamu kabisa. Maana wamejifungia maofisini. Asante Mungu Kwa mbegu ya Magufuli. Wamebaki wachache tu. Silaa, Biteko, Bashungwa, Makonda, Hapi.😭😭😭🙏

    • @rosekajuki1787
      @rosekajuki1787 หลายเดือนก่อน +3

      Yaani huyu mama Hanaga longolongo yupo very active kusikiliza matatizo ya wananchi Mungu amkumbuke katika kazi zake zote

  • @user-op3lx5ls4k
    @user-op3lx5ls4k หลายเดือนก่อน +13

    Yani mama nakupenda sana mungu akubaliki

  • @AggiesVine
    @AggiesVine หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana kwa wanafamilia wote. Mama Dorothy Gwajima, Mungu aibariki sana kazi ya mikono na ofisi zako. You are exemplary in what you do.

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 หลายเดือนก่อน +4

    naomba muheshimewa waziri na polisi wahusishwe kutokana na makosa waliyoyafanya kwa uzembe kituo cha magoneni na haki itendeke kwakweli inaumiza sana iwe fundisho kwa wengine,,,,, tunashukuru sana viongozi wetu wa Tanzania hakika kazi mnaifanya hatujutiii kuwachaguwa

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 หลายเดือนก่อน +45

    Naomba HUYO mtuhumiwa HATA kama kakimbia picha yake IRUSHWE MITANDAONI ATAPATIKANA TU

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi หลายเดือนก่อน +5

      Kabisaaaa na akipatikana auliwe auliwe

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n หลายเดือนก่อน +1

      Kwel

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d หลายเดือนก่อน +2

      Umeongea point serikal yetu viongozi na maaskali ni wala rushwa yaani rushwa uko mbele kuliko haki

    • @jade75798
      @jade75798 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani akipatikana alawitiwe kwanza then ndio auwawe kwa maumivu makali

    • @margarethndyamkama5537
      @margarethndyamkama5537 หลายเดือนก่อน +4

      Hata binadam tusipompata Allah anajua Cha kumfanya

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 หลายเดือนก่อน +11

    Tunaomba namba maalum kuchangiya chochote kwa hiyo familiya

  • @agnesnandutu3877
    @agnesnandutu3877 หลายเดือนก่อน +8

    Wallah tanzania muko vizuri sana ila polisi walizembea kwa kutomshika mtuumiwa

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akubariki sana D Gwajima kwa kuwafikia wanyonge 🙏🙏

  • @erodiasmallya2869
    @erodiasmallya2869 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Mama Gwajima. Uko vizuri Kwa jamii na tutazidi kukupenda Kwa moyo wako wa huruma. Mungu akubariki na kukupa afya njema Siku zote ili usaidie wengi.👏

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 24 วันที่ผ่านมา +1

    Baba uko vzur unajua kujielezea sana MashaALLAH 😢❤

  • @user-qi6ql1lp9k
    @user-qi6ql1lp9k หลายเดือนก่อน +7

    Poleni sana wafiwa mwenyezi Mungu yumwema ailaze mahali pema peponi

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 หลายเดือนก่อน +10

    wanawake tunauliwa na maumivu ya watoto wetu mtihani

  • @witnesrobson
    @witnesrobson หลายเดือนก่อน +2

    Mama Mungu akuzidishie ubarikiwe kwa moyo wa upendo na ukarimu wako mm binafsi nakupenda sana❤

  • @claudiamacha502
    @claudiamacha502 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mama hongera Sana,washuhulikie mama,wamezoea

  • @JoyceKiheka
    @JoyceKiheka หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu Akutunze Mama Dorothy Gwajima kwa Huduma yako kwa Jamii Ubarikiwe Mama

  • @navioma4882
    @navioma4882 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki muheshimiwa

  • @belindashija4452
    @belindashija4452 หลายเดือนก่อน

    Asante sana.Nashukuru sana kwa kutusaidia sisi wanawake na watoto. mimi mwenyewe umenimbambania sana….🙏🙏

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 หลายเดือนก่อน +4

    Ukipeleka kesi polisi wanaifanya mtaji.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน +2

    Uswaz mzee baba vichochoro zaid ya 7 ,songela,Igembe liasoo,Iramba,one, mashaaalah,

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk หลายเดือนก่อน +2

    Inasikitisha sana poleni wafiwa mama gxajima mungu akuzidishie napolisi kama halali haitoshi hata halamu haitofaaa

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 หลายเดือนก่อน

    Tungepata viongozi Kama huyu mama. Tanzania yetu tungekua mbali Sana.Mungu akulinde mama

  • @luckyrayyan0013
    @luckyrayyan0013 หลายเดือนก่อน +2

    Namuamini huyu mama Yuko vizuri sana

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mheshimiwa waziri kwako udhubutu, utendaji mwema kwa walengwa mungu akuongeze daiman kwenye majukum ya kuwatumikiya wenye uhitaji, pole sana baba allah akupe subra na akupe taafifu afya yake imarike

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri kazi mzuri.Mungu akubariki sana❤❤❤

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana familia mwenyeMungu awape subira na faraja...
    Lkn nimpongeze mama Dorosi gwajima hakika anapiga kazi hasa lkn pia hao polisi wa magomen wote waliohusika na uzembe huo wachukuliwe hatua kalisana

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 หลายเดือนก่อน +1

    Mama Mungu akupe maisha marefu mno

  • @hamidaomary6800
    @hamidaomary6800 หลายเดือนก่อน +1

    Moyo wangu una uma sana wazir mungu akujalie kwa kuwapambania hao wazee

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 หลายเดือนก่อน +1

    Dah hongera sana mama, ila tunahitaji mabadiliko ya adhabu inaonekana adhabu wanayopewa hai washtui hata wanaona ni kawaida sana n dhamana isiwepo Kwa hao watu, jeshi la polisi like macho sana hizi issue zimezidi n watu wa chini haki kupata ni mtihani ...

  • @hamisaramadhan-ft9mi
    @hamisaramadhan-ft9mi หลายเดือนก่อน

    Mama gwajima hongera sana 💖💖💖,,poleni wafiwa kwa kipindi hiki kigumu mnachopitia

  • @user-xq6rg2pb1x
    @user-xq6rg2pb1x 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana Globar TV mnafanya kazi zuri

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 หลายเดือนก่อน

    Aamin Mama gwajima🙏🏽🌹

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y หลายเดือนก่อน

    Mungu akubaliki sana mama hendelea kuwajali watu wako mungu atakulipa

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Dr Doroth

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 หลายเดือนก่อน

    Mama Gwajima❤️❤️❤️

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu หลายเดือนก่อน +1

    Waziri uko vzr Mungu akubariki Kwa utendaji mzuri

  • @TullyMwakibete-xt5xm
    @TullyMwakibete-xt5xm 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu amkumbuke huyu waziri Gwajims kwa kufstilia mstukio km haya,ee Mungu baba mpe uponyaji huyu baba,afya yake itengamae ili awatunze hawa watoto,pole sana kwa kufiwa na mkeo

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha หลายเดือนก่อน +2

    Nimekupenda mheshimiwa

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana ndugu zangu
    Mama ahondoka kabla ya kupata haki ya mtoto wake inauma ila kazi ya MUNGU haina nakosa.kwa Mungu tulitoka na kwake tutarejea

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r หลายเดือนก่อน

    Pole kwa familia Subhana Allah inasikitisha sana Allah atamlipia kwa hili atapatikana tuu😢

  • @lucydavid9093
    @lucydavid9093 11 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe Sanaa Mama gwajima

  • @user-oq2wp8oh1f
    @user-oq2wp8oh1f หลายเดือนก่อน +1

    Mama gwajima mungu akulipe na akupe uzima na nguvu ili uyatimize yote uliyoahidi!tunakuamini

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r หลายเดือนก่อน +5

    Mama Gwajima ubarikiwe sana Allah azidi kukuinua zaidi

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 หลายเดือนก่อน

    Tunakushukuru Sana mm Gwajima mungu atakulipa

  • @user-xq6rg2pb1x
    @user-xq6rg2pb1x 29 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuweke mama Dorothy gwajima

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 หลายเดือนก่อน

    Mama jasir mungu akubariki. Sana❤

  • @omanmct135
    @omanmct135 หลายเดือนก่อน

    Subhanalllah😢😢

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana mama

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t หลายเดือนก่อน

    Maombi yangu hee! Mola! Huyu waziri arudi katika nafasi yake ya Kuwa waziri wa afya. Ninaamini Mungu atatenda.🙏🙏🙏

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah uko vizuri saana Mheshimiwa, Mwenyezi Mungu akuzidishie imani na huruma

  • @HildaMlay
    @HildaMlay 11 วันที่ผ่านมา

    ❤ ccm ndio hii ufuatiliaji sahih

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe หลายเดือนก่อน

    ALHAMDULLAH

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v หลายเดือนก่อน

    Mamagwajima polenahongerasana kazi nzuri sana munguakubariki

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 หลายเดือนก่อน

    Waziri mtu wa maana kabisa 🙌🏻

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u หลายเดือนก่อน

    Polesana.baba allh akupesubra inasikitisha na inaumiza polisinimbwatu kazikubambikiyakesiwaso hatiya wenehatiya wakitowapesatubasi wanawabeba

  • @athmanomar1448
    @athmanomar1448 หลายเดือนก่อน +2

    POLISI NIMESEMA wanahitaji kurekebisha kupiga msasa kuanzia juu mpaka chini

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas9422 หลายเดือนก่อน

    Neema ya Mungu ikutunze mama

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 24 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mama angu. Uko transparent

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 หลายเดือนก่อน

    Mh waziri hongera

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe หลายเดือนก่อน +3

    Baba anapitia wakati mgumi xana.anaumia na mengi.kufiwa na mke.kuharibiwa wtt .yeye mwenyewe anaumwa ....jamani

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 หลายเดือนก่อน +1

    😊😊😊EWEMUNGU.
    MUNGU MWEMA.ASANTE MAMA GWAJIMA M.MUNGU AKUBEBE MAMA SKULINDE UNAJITAHIDI

  • @Sararich.
    @Sararich. หลายเดือนก่อน

    Mama hongera kwa kuwakimbilia wafiwa.

  • @danielkanso
    @danielkanso หลายเดือนก่อน

    Polen ndugu pamoja na jamaa Mungu aingilie kati

  • @user-gv4jx2fp4u
    @user-gv4jx2fp4u หลายเดือนก่อน

    Waziri hongera kwa utu huu,umenigusa

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y หลายเดือนก่อน

    Inauma sana jamani mungu akusaidie baba upone halaka

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk หลายเดือนก่อน

    Kazi nzur mh

  • @GloryChete
    @GloryChete 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu ndie muamuz 4:23

  • @luckyrayyan0013
    @luckyrayyan0013 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji wa Grobo tv ubarikiwe sana

  • @user-dj2kj7gs5p
    @user-dj2kj7gs5p หลายเดือนก่อน

    Mama.Mungu.akubariki.ujue.wanachi.wahali.yachini.tunapata.shida.mpaka.kwnye.ajira.kama.huna.mtu.mkubwa.mwanao.hapatite.kazi.Mungu.akubariki.kwautendaji.wako

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ninacho walaumu awa watu wanao waharibu amùwafungi mnawaacha waendelee kuwaharibu watoto wetu ila mungu yupo nyie mungu atawaonyesha kwenye vizaxi vyenu tunajua watoto wenu ni ngumu kwa sababu mna mabavu ila mungu fundi atasema na nyinyi mana haya mnayamudu ila mnayaacha bimana mnayajua mungu wetu atasema na nyinyi na ato waacha mana mnayajua vizuri tu

  • @HappyOutdoors-eo6tf
    @HappyOutdoors-eo6tf หลายเดือนก่อน

    Welcome to tanzania

  • @FortunateAlphonce
    @FortunateAlphonce 20 วันที่ผ่านมา

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb หลายเดือนก่อน +1

    Ushirikina ume sambaa sana tena Sana mtu anataka utajiri bila kutoka jasho au kufanya kazi kwa uhalali anategemea nyoka kumpa utajiri

  • @AbdallahKumba
    @AbdallahKumba 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu awe nawe

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 หลายเดือนก่อน +1

    Masikini mungu atakuenuwa bbetu utampata usaidizi

  • @strongarmsecurity4949
    @strongarmsecurity4949 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana inauma sana haya mambo yako sehemu nyingi. Mmm 😭😭😭

  • @user-oq2wp8oh1f
    @user-oq2wp8oh1f หลายเดือนก่อน

    Wazir Hadi raha

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 หลายเดือนก่อน

    Haki.pole dada Mungu akur3hemu na.Mungu at atatoa hukumu😢

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda6658 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢 Inauma Sanaa

  • @rahiyayousaf3093
    @rahiyayousaf3093 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh 27 วันที่ผ่านมา

    Ee Mungu tuwafiche wapi watoto wetu 😢😢😢 police Mungu anawaona kwani hamna watoto 😢

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf หลายเดือนก่อน +2

    Irusheni picha yake huyo muhusika alotenda hill kosa ili iwe rahisi kujulikana na kukamatwa. Polisi walioandika hiyo pf3 ya kutaka mhalifu aende kituo cha polisi mwenyewe huo ni upumbadu kwa jeshi la polisi lazima wawajibishwe.

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 หลายเดือนก่อน +3

    Kwakweli muheshimiwa anajitahidi si mara ya kwnza kufika vichochoroni

  • @williambega7810
    @williambega7810 หลายเดือนก่อน

    Utunzwe na Mungu mama Kwa upendo ulio nao

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Katika Mawaziri wote wa Serikali hii Gwajima na Kairuki hawa wapo vizuri sanaaaa

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana familia nzima kwa huo msiba mzito.
    Hao Polisi waliohusika: Mpelelezi wafukuzwe kazi,hakuna haja ya kuwasikiliza kujitetea kwa sababu kosa la kukataa kutoa PF3,mtuhumiwa kutomkamata mpaka anahamua kukimbia huo ni uzembe wa Polisi na Mkuu wa kituo na yeye ajitadhimini kwa makosa hayo.
    Wito kwa Waziri Masauni awe mkali na kutoa adhabu hapo kwa hapo.

  • @elizabethmashiba8799
    @elizabethmashiba8799 13 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭😭police police mnaumiza sana watu uenda wangemsikiliza mama wa watu umaut usingemkuta

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 หลายเดือนก่อน

    Innalillah wainnailaihi rajiun.

  • @moreenonesmo-jz2ws
    @moreenonesmo-jz2ws หลายเดือนก่อน

    Polen

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj หลายเดือนก่อน +1

    Mama Gwajima sijui niseme nini,wewe mama ni mama wa ukweli ukweli

  • @athmanomar1448
    @athmanomar1448 หลายเดือนก่อน +1

    Akamatwe jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @omanmct135
    @omanmct135 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭💔

  • @namsifumihungo8504
    @namsifumihungo8504 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mh,Mahala wanandamu tunakosea na tunapoteza watenda kazi waaminifu ni pa kutokusifia watendaji wa serikali wazuri,umesema vizuri tuwatambue ili wapewe nafasi hizi kero ziweze kupungua ama kwisha kabisa,lawama tu zinafanya tuendelee kuhudumiwa na watu wasio waadilifu kwa sabb hakuna anaemtaja mzuri ili huyo sasa tumpate kutupa huduma Bora,Dodoma mjini kuna afsa wa Polisi dawati la jinsia anaitwa Teddy,nataman siku moja nisikie yuko mahala pa juu,hajui pesa ya vocha,masaa yote anapokea cm,kila anachopokea anafanyia kazi na kutoa mrejesho kwa mteja,hachagui nani anamsikiliza yy wanadodoma wote ni wateja kwake,na mkweli hata pale mlalamikaji anapokuwa kakosea yy anamwambia,kifupi amenyoooka,Lkn sisikii hizi sifa kabisa,Naamin hii clip yako itasaidia lkn Global mngeweza hiki kipande cha kuwataka wananchi kutaja watendaji wazuri kutoka kwa Mh kieditiwe kisambae kama elimu kitusaidie,tuseme wabaya,hapohapo tuainishe wazuri ili tupate cream ya kutuvusha.

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 หลายเดือนก่อน +6

    Tatizo polis hawafati sheria ya kazi zao wameendekeza rushwa s kuzarau matatizo ya watu 😊😊😊

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 หลายเดือนก่อน

      Shida cc

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 หลายเดือนก่อน

      Police n ya nani??

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 หลายเดือนก่อน

      Very shame

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 หลายเดือนก่อน

      Yani waziristan bora ucngeenda hapo

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 หลายเดือนก่อน

      Yani wazirin anachukua maelezo ya waziri wa ndani Rb ? Tena mungu atusaidie tufike

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq หลายเดือนก่อน +1

    Dunia inamaajabu Hilijambo ni laajabu🥺 Kweli Dunia maajabu🤔

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 หลายเดือนก่อน +1

    116

  • @user-nr2xh4ui2f
    @user-nr2xh4ui2f หลายเดือนก่อน

    😭😭😭

  • @athmanomar1448
    @athmanomar1448 หลายเดือนก่อน +2

    Tumeni picha ya MTUHUMIWA

  • @cecyngitu4752
    @cecyngitu4752 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭