🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 พ.ค. 2024
- 🔴#Live: WAZIRI GWAJIMA AFIKA NYUMBANI kwa MAMA ALIYEFARIKI KISA WANAYE KUFANYIWA UNYAMA wa KUTISHA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mama aliefariki alikuwa anaitwa nani? Maana kama namfahamu
Kwakweli Kwa upande wa mawaziri wanawake Mimi ninamfahamu Dorothy Gwajima tu! Wengine siwafahamu kabisa. Maana wamejifungia maofisini. Asante Mungu Kwa mbegu ya Magufuli. Wamebaki wachache tu. Silaa, Biteko, Bashungwa, Makonda, Hapi.😭😭😭🙏
Yaani huyu mama Hanaga longolongo yupo very active kusikiliza matatizo ya wananchi Mungu amkumbuke katika kazi zake zote
Yani mama nakupenda sana mungu akubaliki
Pole sana kwa wanafamilia wote. Mama Dorothy Gwajima, Mungu aibariki sana kazi ya mikono na ofisi zako. You are exemplary in what you do.
naomba muheshimewa waziri na polisi wahusishwe kutokana na makosa waliyoyafanya kwa uzembe kituo cha magoneni na haki itendeke kwakweli inaumiza sana iwe fundisho kwa wengine,,,,, tunashukuru sana viongozi wetu wa Tanzania hakika kazi mnaifanya hatujutiii kuwachaguwa
Naomba HUYO mtuhumiwa HATA kama kakimbia picha yake IRUSHWE MITANDAONI ATAPATIKANA TU
Kabisaaaa na akipatikana auliwe auliwe
Kwel
Umeongea point serikal yetu viongozi na maaskali ni wala rushwa yaani rushwa uko mbele kuliko haki
Yaani akipatikana alawitiwe kwanza then ndio auwawe kwa maumivu makali
Hata binadam tusipompata Allah anajua Cha kumfanya
Tunaomba namba maalum kuchangiya chochote kwa hiyo familiya
Wallah tanzania muko vizuri sana ila polisi walizembea kwa kutomshika mtuumiwa
Mungu akubariki sana D Gwajima kwa kuwafikia wanyonge 🙏🙏
Asante sana Mama Gwajima. Uko vizuri Kwa jamii na tutazidi kukupenda Kwa moyo wako wa huruma. Mungu akubariki na kukupa afya njema Siku zote ili usaidie wengi.👏
Baba uko vzur unajua kujielezea sana MashaALLAH 😢❤
Poleni sana wafiwa mwenyezi Mungu yumwema ailaze mahali pema peponi
wanawake tunauliwa na maumivu ya watoto wetu mtihani
Mama Mungu akuzidishie ubarikiwe kwa moyo wa upendo na ukarimu wako mm binafsi nakupenda sana❤
Mama hongera Sana,washuhulikie mama,wamezoea
Mwenyezi Mungu Akutunze Mama Dorothy Gwajima kwa Huduma yako kwa Jamii Ubarikiwe Mama
Mungu akubariki muheshimiwa
Asante sana.Nashukuru sana kwa kutusaidia sisi wanawake na watoto. mimi mwenyewe umenimbambania sana….🙏🙏
Ukipeleka kesi polisi wanaifanya mtaji.
Uswaz mzee baba vichochoro zaid ya 7 ,songela,Igembe liasoo,Iramba,one, mashaaalah,
Inasikitisha sana poleni wafiwa mama gxajima mungu akuzidishie napolisi kama halali haitoshi hata halamu haitofaaa
Tungepata viongozi Kama huyu mama. Tanzania yetu tungekua mbali Sana.Mungu akulinde mama
Namuamini huyu mama Yuko vizuri sana
Hongera sana mheshimiwa waziri kwako udhubutu, utendaji mwema kwa walengwa mungu akuongeze daiman kwenye majukum ya kuwatumikiya wenye uhitaji, pole sana baba allah akupe subra na akupe taafifu afya yake imarike
Waziri kazi mzuri.Mungu akubariki sana❤❤❤
Pole sana familia mwenyeMungu awape subira na faraja...
Lkn nimpongeze mama Dorosi gwajima hakika anapiga kazi hasa lkn pia hao polisi wa magomen wote waliohusika na uzembe huo wachukuliwe hatua kalisana
Mama Mungu akupe maisha marefu mno
Moyo wangu una uma sana wazir mungu akujalie kwa kuwapambania hao wazee
Dah hongera sana mama, ila tunahitaji mabadiliko ya adhabu inaonekana adhabu wanayopewa hai washtui hata wanaona ni kawaida sana n dhamana isiwepo Kwa hao watu, jeshi la polisi like macho sana hizi issue zimezidi n watu wa chini haki kupata ni mtihani ...
Mama gwajima hongera sana 💖💖💖,,poleni wafiwa kwa kipindi hiki kigumu mnachopitia
Hongera sana Globar TV mnafanya kazi zuri
Aamin Mama gwajima🙏🏽🌹
Mungu akubaliki sana mama hendelea kuwajali watu wako mungu atakulipa
Ubarikiwe Dr Doroth
Mama Gwajima❤️❤️❤️
Waziri uko vzr Mungu akubariki Kwa utendaji mzuri
Mungu amkumbuke huyu waziri Gwajims kwa kufstilia mstukio km haya,ee Mungu baba mpe uponyaji huyu baba,afya yake itengamae ili awatunze hawa watoto,pole sana kwa kufiwa na mkeo
Nimekupenda mheshimiwa
Poleni sana ndugu zangu
Mama ahondoka kabla ya kupata haki ya mtoto wake inauma ila kazi ya MUNGU haina nakosa.kwa Mungu tulitoka na kwake tutarejea
Pole kwa familia Subhana Allah inasikitisha sana Allah atamlipia kwa hili atapatikana tuu😢
Ubarikiwe Sanaa Mama gwajima
Mama gwajima mungu akulipe na akupe uzima na nguvu ili uyatimize yote uliyoahidi!tunakuamini
Mama Gwajima ubarikiwe sana Allah azidi kukuinua zaidi
Tunakushukuru Sana mm Gwajima mungu atakulipa
Mungu akuweke mama Dorothy gwajima
Mama jasir mungu akubariki. Sana❤
Subhanalllah😢😢
Nakupenda sana mama
Maombi yangu hee! Mola! Huyu waziri arudi katika nafasi yake ya Kuwa waziri wa afya. Ninaamini Mungu atatenda.🙏🙏🙏
Masha Allah uko vizuri saana Mheshimiwa, Mwenyezi Mungu akuzidishie imani na huruma
❤ ccm ndio hii ufuatiliaji sahih
ALHAMDULLAH
Mamagwajima polenahongerasana kazi nzuri sana munguakubariki
Waziri mtu wa maana kabisa 🙌🏻
Polesana.baba allh akupesubra inasikitisha na inaumiza polisinimbwatu kazikubambikiyakesiwaso hatiya wenehatiya wakitowapesatubasi wanawabeba
POLISI NIMESEMA wanahitaji kurekebisha kupiga msasa kuanzia juu mpaka chini
Neema ya Mungu ikutunze mama
Safi sana mama angu. Uko transparent
Mh waziri hongera
Baba anapitia wakati mgumi xana.anaumia na mengi.kufiwa na mke.kuharibiwa wtt .yeye mwenyewe anaumwa ....jamani
😊😊😊EWEMUNGU.
MUNGU MWEMA.ASANTE MAMA GWAJIMA M.MUNGU AKUBEBE MAMA SKULINDE UNAJITAHIDI
Mama hongera kwa kuwakimbilia wafiwa.
Polen ndugu pamoja na jamaa Mungu aingilie kati
Waziri hongera kwa utu huu,umenigusa
Inauma sana jamani mungu akusaidie baba upone halaka
Kazi nzur mh
Mungu ndie muamuz 4:23
Mtangazaji wa Grobo tv ubarikiwe sana
Mama.Mungu.akubariki.ujue.wanachi.wahali.yachini.tunapata.shida.mpaka.kwnye.ajira.kama.huna.mtu.mkubwa.mwanao.hapatite.kazi.Mungu.akubariki.kwautendaji.wako
Mimi ninacho walaumu awa watu wanao waharibu amùwafungi mnawaacha waendelee kuwaharibu watoto wetu ila mungu yupo nyie mungu atawaonyesha kwenye vizaxi vyenu tunajua watoto wenu ni ngumu kwa sababu mna mabavu ila mungu fundi atasema na nyinyi mana haya mnayamudu ila mnayaacha bimana mnayajua mungu wetu atasema na nyinyi na ato waacha mana mnayajua vizuri tu
Welcome to tanzania
❤
Ushirikina ume sambaa sana tena Sana mtu anataka utajiri bila kutoka jasho au kufanya kazi kwa uhalali anategemea nyoka kumpa utajiri
Mungu awe nawe
Masikini mungu atakuenuwa bbetu utampata usaidizi
Poleni sana inauma sana haya mambo yako sehemu nyingi. Mmm 😭😭😭
Wazir Hadi raha
Haki.pole dada Mungu akur3hemu na.Mungu at atatoa hukumu😢
😢😢😢😢 Inauma Sanaa
😢
Ee Mungu tuwafiche wapi watoto wetu 😢😢😢 police Mungu anawaona kwani hamna watoto 😢
Irusheni picha yake huyo muhusika alotenda hill kosa ili iwe rahisi kujulikana na kukamatwa. Polisi walioandika hiyo pf3 ya kutaka mhalifu aende kituo cha polisi mwenyewe huo ni upumbadu kwa jeshi la polisi lazima wawajibishwe.
Kwakweli muheshimiwa anajitahidi si mara ya kwnza kufika vichochoroni
Utunzwe na Mungu mama Kwa upendo ulio nao
Katika Mawaziri wote wa Serikali hii Gwajima na Kairuki hawa wapo vizuri sanaaaa
😢😢😢
Poleni sana familia nzima kwa huo msiba mzito.
Hao Polisi waliohusika: Mpelelezi wafukuzwe kazi,hakuna haja ya kuwasikiliza kujitetea kwa sababu kosa la kukataa kutoa PF3,mtuhumiwa kutomkamata mpaka anahamua kukimbia huo ni uzembe wa Polisi na Mkuu wa kituo na yeye ajitadhimini kwa makosa hayo.
Wito kwa Waziri Masauni awe mkali na kutoa adhabu hapo kwa hapo.
😭😭😭😭😭police police mnaumiza sana watu uenda wangemsikiliza mama wa watu umaut usingemkuta
Innalillah wainnailaihi rajiun.
Polen
Mama Gwajima sijui niseme nini,wewe mama ni mama wa ukweli ukweli
Akamatwe jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭💔
Hongera Mh,Mahala wanandamu tunakosea na tunapoteza watenda kazi waaminifu ni pa kutokusifia watendaji wa serikali wazuri,umesema vizuri tuwatambue ili wapewe nafasi hizi kero ziweze kupungua ama kwisha kabisa,lawama tu zinafanya tuendelee kuhudumiwa na watu wasio waadilifu kwa sabb hakuna anaemtaja mzuri ili huyo sasa tumpate kutupa huduma Bora,Dodoma mjini kuna afsa wa Polisi dawati la jinsia anaitwa Teddy,nataman siku moja nisikie yuko mahala pa juu,hajui pesa ya vocha,masaa yote anapokea cm,kila anachopokea anafanyia kazi na kutoa mrejesho kwa mteja,hachagui nani anamsikiliza yy wanadodoma wote ni wateja kwake,na mkweli hata pale mlalamikaji anapokuwa kakosea yy anamwambia,kifupi amenyoooka,Lkn sisikii hizi sifa kabisa,Naamin hii clip yako itasaidia lkn Global mngeweza hiki kipande cha kuwataka wananchi kutaja watendaji wazuri kutoka kwa Mh kieditiwe kisambae kama elimu kitusaidie,tuseme wabaya,hapohapo tuainishe wazuri ili tupate cream ya kutuvusha.
Tatizo polis hawafati sheria ya kazi zao wameendekeza rushwa s kuzarau matatizo ya watu 😊😊😊
Shida cc
Police n ya nani??
Very shame
Yani waziristan bora ucngeenda hapo
Yani wazirin anachukua maelezo ya waziri wa ndani Rb ? Tena mungu atusaidie tufike
Dunia inamaajabu Hilijambo ni laajabu🥺 Kweli Dunia maajabu🤔
116
😭😭😭
Tumeni picha ya MTUHUMIWA
😭😭😭😭