"BINAFSISHENI NA BUNGE" DR. SLAA ASISITIZA MSIMAMO WAKE KUHUSU MKATABA WA BANDARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 213

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 25 วันที่ผ่านมา +1

    asante sana dr.slaa kwa point nzuri sana zinazotuamsha watanzania leo kwa upya. mungu azidi kuwabariki sana.

  • @user-by4vz2ux8e
    @user-by4vz2ux8e 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dr silaa.tunakuombea mungu akulinde.umetumwa na mungu.

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 25 วันที่ผ่านมา

    amina dr tumewasikia sisi wananchi. mungu wasimamie vema.

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 25 วันที่ผ่านมา

    nikweli tunawasikliza sana na tuaendelea kuwafuatilia watu wa mungu kweli kweli. mbarikiwe wote sana kwakujitolea kututetea watanzania hawa.

  • @godifreyignasi2155
    @godifreyignasi2155 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana dkt siraa mungu akutunze kwa ware wauwaji wa kimiya kimiya

  • @JumaMuhamed-vl1eh
    @JumaMuhamed-vl1eh 11 หลายเดือนก่อน

    Asante wa mzee

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 ปีที่แล้ว +3

    Mwanakondoo a.eshinda tumfuate ❤❤

    • @jumambilinyi9519
      @jumambilinyi9519 ปีที่แล้ว

      JJ jjjjj we k avi we have been tryingNiliwahi kupeleka gari gelejNiliwahi kupeleka gari geleNiliwahi kupeleka gari gelej

  • @MengisonMgohamwende-vt5zd
    @MengisonMgohamwende-vt5zd ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubarik utumwa hatuutak

  • @user-yn4yk7wv3t
    @user-yn4yk7wv3t ปีที่แล้ว

    Asante sana Mungu awabariki tunakuombea sauti ya watanzania

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 ปีที่แล้ว +7

    Dr Slaa ulituudhi ila kwa sasa tuko pamoja kama WaTanzania

  • @DautchGogo-fb8cm
    @DautchGogo-fb8cm ปีที่แล้ว +2

    Amina Dokta siraa wewe nimsema ukweri

  • @eliabucrispo912
    @eliabucrispo912 ปีที่แล้ว +1

    Ulifaa kuwa rais wa 🇹🇿

  • @robertlubuva2315
    @robertlubuva2315 ปีที่แล้ว +1

    Bunge likiuzwa kipindi hichi cha mama muuza bandari napendekeza Kabala kuuzwa Bunge aanze kuuzwa spika tulia

  • @wolframmwapinga5807
    @wolframmwapinga5807 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizuri sana pambana

  • @georgembogela2317
    @georgembogela2317 ปีที่แล้ว +1

    Tupinga mkataba huu mbovu pia tunakumbuka spika mstaafu alisema nchi inauzwa

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 ปีที่แล้ว +5

    Safi ndo faida ya kuw na wazee wenye hekima

  • @willykyando5647
    @willykyando5647 ปีที่แล้ว +2

    Kweli wabinafsishe bunge hata ikulu nayo tuwape.DP word

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn ปีที่แล้ว +5

    Mungu ikomboe Tanzania

  • @ibrahimngitu6072
    @ibrahimngitu6072 ปีที่แล้ว +4

    Wezi lazima wamkashifu dk slaa tumeibiwa sana bado mnataka kutuaminisha kuwa ccm hawajui kuwa wizi huu ni mkubwa

  • @johnnyanguge97
    @johnnyanguge97 ปีที่แล้ว +2

    Mama Nchi imemshinda

  • @LalaJotta
    @LalaJotta ปีที่แล้ว

    Kutenda kosa si kosa, kosa ni kuludia kosa mtu huumia na kukumbuka kuwa kuna kutubu baada ya maisha yote na makosa yote kupta sasa huu ndo mda mzuri wa kufuta makosa ili vizazi na vizazi vije kufaidika na matunda ya nchi yetu mungu ibariki African mungu ibariki Tanzania

  • @johnnyanguge97
    @johnnyanguge97 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana dk

  • @NarmeenHarith-tt4ui
    @NarmeenHarith-tt4ui ปีที่แล้ว +1

    Baloz pole pole hv ubaloz umekufny uwe kmy mzee Silaa oyeee

  • @user-mb7sj3dy8h
    @user-mb7sj3dy8h ปีที่แล้ว

    Kuna watu wanavibuli kama vili wao ni vimungu mtu ila Mungu wetu wa mbinguni yupo na atatutetea

  • @kainimduwilemduwile7802
    @kainimduwilemduwile7802 ปีที่แล้ว

    Daah mungu amlaze mahali pema dokta jonh pombe magufuli huu uongoz aliotuachia n mbovu

  • @LabanAmbakisye-ue6dq
    @LabanAmbakisye-ue6dq ปีที่แล้ว +4

    Ni batili huo mkataba, haukufuata katiba ya nchi. Wanasheria wapo,wa kufari sheria, fani za watu,ziheshimiwe na kuzitambua.

  • @joyceathanasi8435
    @joyceathanasi8435 ปีที่แล้ว +1

    Huyu baba ni shujaa sana na jasiri,Mungu akubariki sana mzee

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 ปีที่แล้ว +1

    mwamakula mungu anakutumia kutukomboa wa tanganyika kutoka kwa wakoloni weusi walosaria tz

  • @naftaelnanyaro5000
    @naftaelnanyaro5000 ปีที่แล้ว +3

    Na Mungu atuasidie watanzania
    Tupige magoti tuombee nchi yetu amen

  • @RobertAndrea-wl4pk
    @RobertAndrea-wl4pk ปีที่แล้ว +2

    Uko sahihi kabisa mzee

  • @Papaahansmo
    @Papaahansmo ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutunze DR

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r ปีที่แล้ว

    Vizuri sana balozi

  • @georgembogela2317
    @georgembogela2317 ปีที่แล้ว +1

    Tupo pamoja ktk kupinga mkataba

  • @MashakaPaul
    @MashakaPaul ปีที่แล้ว +1

    Hongera Dr kwa uzarendo wako

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 ปีที่แล้ว +1

    Hii jamaa naongea hovyo sana.zinjibari kicha kuba sana

  • @HulumaKamwela
    @HulumaKamwela ปีที่แล้ว +1

    Waoooo

  • @ibrahimngitu6072
    @ibrahimngitu6072 ปีที่แล้ว +6

    Tumeibiwa sana watanzania

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r ปีที่แล้ว

    Nice

  • @user-eq4hs7xq8u
    @user-eq4hs7xq8u ปีที่แล้ว

    Yafike mahali nayenyewe yajiudhuru make mnangangania utadhani nyie nchi niyenu nabado mtaumbuka msipo badili tabia zenu mungu hatawaacha salama

  • @Lemalali85
    @Lemalali85 ปีที่แล้ว +2

    Ndo maana nina miaka 15 siyasomi magazeti.

  • @chigaboy1332
    @chigaboy1332 ปีที่แล้ว +1

    R. I. P JPM

  • @user-ep2cm5xo3k
    @user-ep2cm5xo3k ปีที่แล้ว +1

    Doctor gombea urais❤.

  • @juliuskulwa6101
    @juliuskulwa6101 ปีที่แล้ว +2

    Mhe. Majaliwa Wasikilizeni Hawa WAZEE mkubali Ushauri uliomzuri tuchukue, usiofaa tunaacha

  • @user-rs9vu8ty3x
    @user-rs9vu8ty3x ปีที่แล้ว

    Mmh! Haya

  • @user-jh3cm4lp1w
    @user-jh3cm4lp1w ปีที่แล้ว +1

    Mungu yuko nanyi kwa kujitoa kwenu juu ya Tanzania

    • @babaexodus7606
      @babaexodus7606 ปีที่แล้ว

      The more we open up our mind with the brightness thinkers, the more we loose our vision with the darkness thinkers. God bless our Nation as well as our Country.

  • @user-eq4hs7xq8u
    @user-eq4hs7xq8u ปีที่แล้ว

    Ukweli utawauma sana dawa nikubadilika sio kuwakamata wanao wakosowa

  • @EmanuelyOwange-ky6qi
    @EmanuelyOwange-ky6qi ปีที่แล้ว

    Dr slaa ulitukimbia ktk mpambano ktk kipindi kigumu pindi ukawa barozi ukawa uko kipya nafasi Ile imekwisha Leo unarudi apana ulitupoteza Dr

  • @JumaMuhamed-vl1eh
    @JumaMuhamed-vl1eh 11 หลายเดือนก่อน

    Juma mwambughi

  • @fanuelruhaga2960
    @fanuelruhaga2960 ปีที่แล้ว

    Happy nyuma mstaafu mzee Mwinyi alitaka kutubinafisisha Kila Mtanzania awe mwisilaam . Mwl JK Nyerere akakemea na kutuomba Watanzania wamvumilie aumalizie muda wake Soma kitabuHatima naTanzania na uongozi wetu . Ukivunja katiba Ni msaliti wa Nchi wote waliohusika Waachie Madaraka waliyonayo wakuchaguliwa na wa kuteuliwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว +2

    Ccm oyeeeee kazi inaendelea dr slaa oyeeeee kazi inaendelea chapa kazi kuikomboa bandari zetu

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 ปีที่แล้ว

      Hana ubavu huo ni MBUGILA KAMA MBUGILA MBUGILA WENGINE

  • @ananiamwigavile5874
    @ananiamwigavile5874 ปีที่แล้ว +2

    Sema baba

  • @HappyMsuya
    @HappyMsuya ปีที่แล้ว +2

    Ongea baba Ila watanzania wengi hawaelewi wanatakiwa kuelimishwa

  • @adeliusvedasto7214
    @adeliusvedasto7214 ปีที่แล้ว

    Ka rais kasema alidanganywa why upinge.

  • @IsaiahOloitai
    @IsaiahOloitai 25 วันที่ผ่านมา

    👍😭

  • @SilvanusMbata-zu6cg
    @SilvanusMbata-zu6cg ปีที่แล้ว

    We Tapeli wasiasa hakuna atakae atakae kusikiliza hatakama mama kakosea ila were dk.slaa HATUKUKUBARI HATA KIDOGO HATA WEWE NICHAWA TU ULIPOPEWA UBALOZI WAMCHONGO ULIKAA KIMYA UMEONA UMEPOKWA UBALOZI UMEANZA KUTUCHANGANYA AKILI HAPA ,kendal hukoo

  • @IsaiahOloitai
    @IsaiahOloitai 25 วันที่ผ่านมา

    👍🇹🇿

  • @salminmayila2902
    @salminmayila2902 ปีที่แล้ว

    Hakuna nchi yoyote duniani serikali au taasisi yoyote duniani ambayo imeitambua pesa kwamba ni dili wengine hawajui kutumia pesa wengine hawajui halafu nchi hiyo ikabaki salama kinasababisha vurugu nyingi sehemu nyingi huwa ni pesa naiona nchi yangu inaelekea huko walaji wamejisahau wamelewa kitawatokea puani wanatuletea vurugu wahuni

  • @SamwelyMpanda-xh8hv
    @SamwelyMpanda-xh8hv ปีที่แล้ว +3

    Tuna kuunga mkono balozi wetu mstaafu watanzania tuko pamoja na wewe kila hatua

  • @user-vu4kz2rv3i
    @user-vu4kz2rv3i ปีที่แล้ว

    Kwapamoja tupinge mkataba huu sauti ya watanzania

  • @user-by4vz2ux8e
    @user-by4vz2ux8e 11 หลายเดือนก่อน

    Mama samia rais wetu tunaomba usikie kilio cha watanzania.kubadili uamuzi nikitendo cha uungwana.mnataka kitokee nini?bandari nimali yetu watanganyika.

  • @user-bf8zr2dq4v
    @user-bf8zr2dq4v ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @DautchGogo-fb8cm
    @DautchGogo-fb8cm ปีที่แล้ว +1

    Nikweri watanzania tumekosa haki asante dokta

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 ปีที่แล้ว

    Samia.bora.ujiuzulu.tu.mie.nakwbia

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama6795 ปีที่แล้ว +1

    jamani wengine hatuna uwezo wa bando la kusikiliza maneno mazuri kama hayo kila siku hadi mengine yanayopita tunaomba kama itawezekana mturushie bando ili tusipitwe na haya maneno mazuri

  • @MikaMhila
    @MikaMhila ปีที่แล้ว

    Ukweli utakuweka huru

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 ปีที่แล้ว +2

    Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake katika nchi ili miradi havunji sheria zetu za nchi.

    • @georgetumbo9818
      @georgetumbo9818 ปีที่แล้ว

      Ongera sana Dr, jambo hili umefafanua vixuri sana. Mtanzania mwenye nia njema amepata elimu.

  • @lazaro6347
    @lazaro6347 ปีที่แล้ว +1

    Baba nimekuelewa

  • @juliuskulwa6101
    @juliuskulwa6101 ปีที่แล้ว +2

    Semeni Semeni na Wasikie Hawa Viongozi.

  • @user-dj3sd4zr2h
    @user-dj3sd4zr2h ปีที่แล้ว

    Ww na magu kaya moja hongeren

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r ปีที่แล้ว

    Hatutaki waraabu

  • @JosephinaJoseph-mn1kk
    @JosephinaJoseph-mn1kk ปีที่แล้ว +2

    Hakika huu ni msiba mzito, upo sahihi Dr Slaa. Na kupitia elimu bure kandamizi, post za pangwa ndivyo sivyo. Tumerudi zama za ukoloni.

  • @ssam3385
    @ssam3385 ปีที่แล้ว

    Kateme mate

  • @jumapaschal-nj7or
    @jumapaschal-nj7or ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 ปีที่แล้ว +1

    Sasa slaaa wewe ulikuwa katika serikali toka ujana wako mpaka hivi uko fainal wakati uko kwenye uwongozi wako mikataba mingi mlifanya je yote ilikuwa salama je mbona hadi Leo hiii hali ya mtanzania bado duni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว +1

    Sema usiogope sema hata kama wanataka kukuua sema nchi hii siyo waarabu hatutaki utumwa

  • @sadammolell
    @sadammolell ปีที่แล้ว +2

    Silaaa tupiganie sisi Wana waisiraeli tutakuombea kwa mungu

    • @MuhiddinRashidSisso
      @MuhiddinRashidSisso ปีที่แล้ว

      Ingependeza na masheikh wangekuwepo sio maaskofu peke yenu hata mkiwa na malengo mazuri kuna mashaka ya udini hapo

  • @user-fr2pf5eg2g
    @user-fr2pf5eg2g ปีที่แล้ว

    ❤❤

  • @MariaMgeni-r7d
    @MariaMgeni-r7d 25 วันที่ผ่านมา

    Hawa maccm wapigwe popote pale walipo

  • @JumaMuhamed-vl1eh
    @JumaMuhamed-vl1eh 11 หลายเดือนก่อน

    Juma mbughi

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 ปีที่แล้ว

    Nyie MNA siri gani?

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe ndo ma jp alikuona

  • @masiretv9729
    @masiretv9729 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusaidie watanzania.

  • @user-gt4dj7vr6d
    @user-gt4dj7vr6d ปีที่แล้ว

    Mmekari udini ndiyo umekuwaka hapo hunalolote padiri tu , akija mlomani katoriki unaunga juhudi akija mwislaam unapinga inakuwa mwanaharakati hufayi kabisa mskitini Wala kanisani ,

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 ปีที่แล้ว +3

    Unaongeza ukweli dr Slaa tumezoea ukasuku ndio tabia zetu, ni wavivu wa kutafakari

    • @moshikipisi9349
      @moshikipisi9349 ปีที่แล้ว

      Mzee unaniliza San reo hata Kula shida jaman man tumuogope mungu tunapata shida kwa sababu ya watu kutokujua

  • @eliabucrispo912
    @eliabucrispo912 ปีที่แล้ว

    Imi ni kweli

  • @ssam3385
    @ssam3385 ปีที่แล้ว

    Kanisa gani hilo

  • @DanielAindo-ti2uu
    @DanielAindo-ti2uu ปีที่แล้ว

    Wamefanya tumkubuke.magufuli.kwa uozo.unaoendelea

  • @KenethNdingo-tm2gc
    @KenethNdingo-tm2gc ปีที่แล้ว

    Laila wa Tanzania njaa zimetawale

  • @ssam3385
    @ssam3385 ปีที่แล้ว

    We utakuwepo

  • @MartiniKatoro-pm5xp
    @MartiniKatoro-pm5xp ปีที่แล้ว

    Magufuli alisema nimpiumbavu tu anayeweza kukubaliana na mikataba mibovu kama huu wamejipunguza akiri wanajua hakuna mtu mwenye akiri aukubari huo mkataba wa kishernzi ccm imefika mwisho japo namna ni ccm vitani kuitwa ccm kwa ujinga kama huu mkataba hauna kikomo uliuona wapi tukate wote

  • @isaliisu3408
    @isaliisu3408 ปีที่แล้ว +1

    Huo udokta wako wa dini yako ya ukristo unawahusu watu wa Dini yako tu wakati wa makufuli ulikuwa wapi vile

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 ปีที่แล้ว

      We ndo una udini, watu wanaongelea mkataba mbaya we unaleta udini, hatutakubali utumwa tena karne hii, wambie kabisa hao ndugu zako waarabu

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 ปีที่แล้ว

    Dk slaa Unda chama ndo mkombozi wa watz ote mm napenda sana mismamo yako mm namba moja nipo nyuma Yako nakupenda kupita maelezo Mzee ubalikiwe sana

  • @johnpeterbarongo6445
    @johnpeterbarongo6445 ปีที่แล้ว

    Waambie Balozi

  • @makoyemazuri2988
    @makoyemazuri2988 ปีที่แล้ว

    Kwenye kukaguliwa hapo noma

  • @yasinimanyanzira7846
    @yasinimanyanzira7846 ปีที่แล้ว

    Huyu ni mbabaishaji tu na mnafiki
    Hatujamsau aliyotusaliti 2020

  • @user-wi8ec4ir7e
    @user-wi8ec4ir7e ปีที่แล้ว +1

    Pigania mzee huenda wa Tz tutakuja kuwa watu ktk watu

  • @petrobiyaka3194
    @petrobiyaka3194 ปีที่แล้ว

    Tuombe amani

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo ปีที่แล้ว

    TBC nao wamejikita huko?? Jamani

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 ปีที่แล้ว

    Hali lazima ipiganiwe, Ni lazima Tanzania iwe salama