iko siku Mungu atalipa kisasi kwa hawa wasio nautu dhidi ya wanadamu wengine,kwajina la yesu kristo aliye hai dam za watu hao zikawe juu yao wenyewe na vizazi vyao,daa tumefika pagum
Hatawewe unahaki ya kulianzisha na tukakuunga mkononkaka sio lazima aanzishe mbowe tu ili ni jukumu la Kila mtu ndugu. Tz hatua uongozi serikali unatumia nguvu nyingi kutetea usalama wa ccm sio wananchi wenye nchi Yao . Tunakibalua kiziito ndugu yangu. Lkn ususubili mbowe aseme.ndio uchukue hatua. mbowe.aauchumi lkn bado anatupigsnia cc tusiomuwa na kitu. hasida za ujinga wa serikali Yako na utekaji wao haiiraji mbowe atoe ruhusa nduguyangu ....ni susi tuliochishwa na jupotezewa time na maccm Aya.
Mungu wa mbingu, nakusihi Ee Mfalme usilale wala usifunge macho yako kamwe.wanaohusika na utekaji huu haijalishi wana nguvu gani, Wewe ni mkuu mno kuliko miamba yote hii. Uwapige kipigo ambacho kitawagarimu na familia zao ktk Jina la Yesu. Upofu uwapige hadi wakutafute kwa ukuu wako.ni aibu sana lkn Uko Mungu.
Lakini siogopi na sitanyamaza mkija kuniteka nawajazia nzi napambana na ninyi watekakaji mpaka kieleweke kama nitakufa nitakufa kishujaa kama chief mkwawa
Police ndo watekaji Nyara police wa tanzania ni majambazi wakubwa tena hawafai kuishi majumbani mwetu hawa police tuwafukuze wapange kwenye cotta zao za police
Duuh huyu mzee anajua ila kwa Tanzania hiki ni kitu kipya Sana kuteka na kuua hapana cyo utamaduni wetu huu! Mbona awamu ya kikwete kurudi nyuma haya Mambo hayakuepo!?
Mh rais wa jamuhuri anatakiwa akisimama mbele za wa Tanzania aongelee kwa kina haya yanayosemwa,,,,,,,, naomba mpelekeeni hizi taarifa kwasababu Kuna watu wa serikali wanaofuatilia hizi taarifa na kusoma comment nini Watanzania wanacholalamika
Hii nchi inaeendeshwa kipambavu hii nchi haina mkuu wa majeshi wala mkuu wa jeshi la police ivi haya matukio hawayaoni na kama wanayoona mbona wapo kimyaa? Ss raia tuwaelewe vip?
Watu wasianze kulaumu fungueni Dangulo show au Chisaka show hao watu wanatuonesha jinsi watu wanavyopotea na kutekwa kutolewa Figo na Maini nk hapa ndo mtaelewa kwamba hivi na vitu yawezekana wapo Tz kwenye misitu
Rahel kama una upendo na Raia wetu, ungana nao kumwabia Rais kwamba kuna tatizo. CCM haijachoka kutawala. Hivyo hebu tusadie ili mama aongoze vizuri kama waliomtangulia. Kama wapinzani wanapata namna ya ubaya unavyotendea ujue hata system aikubaliani na kinachoendelea. Yesu alisema tupende adui Zetu. Vyama hivi ni washindani wa CCM. Hivyo CCM ipende washindani wao . Hawa washindani ni wa kwanza kuona mapungufu wa serikali Zetu. Unajifariji na nini uovu haukubaliki hao sio sehemu ya CCM kwa sababu katiba ya CCM haina kifungu cha kuteka au kuua. Elimu yetu inazalisha kizazi mnao waza kinyume. CCM haiko nao wapumbavu si sehemu ya CCM. Tusijidanganye tendeni mema CCM ina katiba yake. Haijafutwa.
Mbowe usiachie uenyekiti mpaka tupate uhuru kutoka kwa wakoloni weusi mungu akulinde kazi ngumu kwelikweli
Amina kubwa
Mungu amtunze
Kuna wajinga wasiojielewa wanamtukana muheshimiwa sijui akili zao zimekaa wapi
@@elizammariwanaomtukana Mbowe hawajui umuhimu wa SACCOS
@@walidmgonja3644 wacha unafiki
2025 kura yangu kwako
Kwa sasa itabidi nihamie upinzani nashindwa kuielewa ccm yangu jmn😢😢
Safi sana mbowe mungu akupe maisha marefu
Kumbe police ndo wanaoteka watu duuh....hii ni Hatari aisee
Mwenyeti wetu tuko pamoja😂😂
Mbowe anazidi kuwa kijana. Msigwa anazeeka na stress😂😂😂
Mbowe wanaotaka uachie uenyekiti ni hayo maccm sisi tunakuunga mkono mzee
Hawa watekaji wanatuchafulia nchi yetu Tanzania njema
Bongo imekua kama Iraq 😢yarab nusuru taifa letu tuepushie vifo visivokua na hatia yarab tunaomba neema yako
Iraqi siku hizi haina vita walipigana hapo nyuma waksuwana na he's himalayas ikaja siku hizi watoto wao wanaishi vizuri tu
iko siku Mungu atalipa kisasi kwa hawa wasio nautu dhidi ya wanadamu wengine,kwajina la yesu kristo aliye hai dam za watu hao zikawe juu yao wenyewe na vizazi vyao,daa tumefika pagum
Shida ni umasikini tulionao Pesa ndio zinafanya hivo mpaka watu wanapoteza maisha ya wenzao
Alafu mnaimba nchi ya amani wakati inaitwa silent killer nation
Ukisikiliza hii utaichukia CCM mpaka
Tanzania hii Aman hamna Hawa makatili ipo cku Mungu atashuka juu ya hii serikali
koment kama hiz hazna faida kwnye maumivu mungu gan inabd hatua mm na ww tuchukue sasa unasubir mungu ashuke lini huo muda tunaendelea kuumia tu
Mungu nikila kitu usipuuze anaweza kufanya tofauti na unvo fikilia
Ndo maana wanajifanya oh mwenyekiti jiuzuru,mbowe usitoke
😂😂😂😂😀
Uliza yoko na kenge ni nan watu hatari au usiombe wakukute
Duuu Bora nihamie Gaza. Kuliko bongo mamayezao hii serikali ya kikatili
Mboqe mungu akufunike kwa damu yake
Mungu aendelee kukulinda
Mwenyejiti tuko tayari
Mimi sipend viongoz wanao ongea tarabu lianzisheni wananchi tumechok kw kufa nini
Lianzishe wewe taahira
Hatawewe unahaki ya kulianzisha na tukakuunga mkononkaka sio lazima aanzishe mbowe tu ili ni jukumu la Kila mtu ndugu. Tz hatua uongozi serikali unatumia nguvu nyingi kutetea usalama wa ccm sio wananchi wenye nchi Yao . Tunakibalua kiziito ndugu yangu. Lkn ususubili mbowe aseme.ndio uchukue hatua. mbowe.aauchumi lkn bado anatupigsnia cc tusiomuwa na kitu. hasida za ujinga wa serikali Yako na utekaji wao haiiraji mbowe atoe ruhusa nduguyangu ....ni susi tuliochishwa na jupotezewa time na maccm Aya.
Tunateswa na watanzania wenzetu
Msiwapangishe mm mtt wangu akichagua kazi chafu kama ya upolisi namfukuza kwnngu
Mh mbowe tutafanyaje tuepukane na unyanyasaji ktk nchi yeti
Yaa unasema ukweli jeshi letu ni la kihuni
#Mbowe_4_life #Chadema
Sifa ya mtu dhaifu muda mwingi hana hoja ila anatumia vitisho mama uko wapi hii nchi ni ya watanzia na c ya chama fulani Mungu yupo ujue
Mungu wa mbingu, nakusihi Ee Mfalme usilale wala usifunge macho yako kamwe.wanaohusika na utekaji huu haijalishi wana nguvu gani, Wewe ni mkuu mno kuliko miamba yote hii. Uwapige kipigo ambacho kitawagarimu na familia zao ktk Jina la Yesu. Upofu uwapige hadi wakutafute kwa ukuu wako.ni aibu sana lkn Uko Mungu.
Kaka umenyooka kama rula yaan kama Mungu anatenda iposiku kitaeleweka
mistake ilianzia pale tu sativa alipo kitoroka kifo na ndie kamwaga mchele kwenye kuku wengi
Kwan kiongoz mkuu si ni huyu dem wa zanzibar au ndo anawatuma
Lakini siogopi na sitanyamaza mkija kuniteka nawajazia nzi napambana na ninyi watekakaji mpaka kieleweke kama nitakufa nitakufa kishujaa kama chief mkwawa
Mheshimiwa mwenyekiti hata mimi ni shuhuda wa mambo ambayo polisi wanayafanya ni kweli tupu hata mimi wamewahi nifanyia vitendo vya kinyama
Ukimya nijibu, ukiwa rais ukakimya ktk haya manake wewe ndie muuaji na unahudika kuwatuma.
Police ndo watekaji Nyara police wa tanzania ni majambazi wakubwa tena hawafai kuishi majumbani mwetu hawa police tuwafukuze wapange kwenye cotta zao za police
Walaaniwe wote wote
Mungu amlinde mbowe
Mapato na matumizi yanaingilia wapi wakati roho za watu zinapotea hivyo kabisa.
Tumechoka sasa tumwachie Mungu.Ila mwisho wayote utaua na wewe unakufa. Nafuu tuu ungemwacha akaishi maana Kila nafsi ya mtu itaonja MAUTI.
Mungu ni fundi.Naamini muda utasema
Mbona wanatekwa chadema sijasikia ccm kulikoni
Ngumu sana! Siwewe ulisema haki haiwezi kutendeka kwakua viongozo wote niwateule wa raisi? Itawezekana madai hayo unayo yatoa? Mungu aingilie kati
Inasikitisha sana aisee…Mungu atalipa
Sasa tz naogopa
Mungu awashughulikie
Ee Mungu Tanzania nchi yangu inakuhitajiiii
Duuh huyu mzee anajua ila kwa Tanzania hiki ni kitu kipya Sana kuteka na kuua hapana cyo utamaduni wetu huu! Mbona awamu ya kikwete kurudi nyuma haya Mambo hayakuepo!?
Safi sana mbowe
Uyo mafwele tuekeeni picha yake tumjue
Tunakushukuru mwenyekit mbowe tunasubili uchanguzi wawenyevit utuvushe watanzania tumeumizwa sana na wenyeviti hawa
Dah mungu shuka please njoo uone
kesho sijui nani siku zina kwenda maa muzi akuna wanyonge tuna potezwa
Mungu tusaidie
Assanteee,
CCM ni ovyo Sana pamoja na Polisi wate
Mboetusaidie watuwanakufa kiunyamakikatili borawaambie,
Mmmmmmmh sasa kwann mnakalia kuongea tu? Fanyeni mipango
IPo siku
Tuwe na hofu ya Mungu,Tanzania nchi yangu haya yanatokea hapa????
Mh rais wa jamuhuri anatakiwa akisimama mbele za wa Tanzania aongelee kwa kina haya yanayosemwa,,,,,,,, naomba mpelekeeni hizi taarifa kwasababu Kuna watu wa serikali wanaofuatilia hizi taarifa na kusoma comment nini Watanzania wanacholalamika
Walishasema wakiwapoteza polic wasiulizie Sasa tunamtafuteje mchawi wakati mbogamboga walishasema Tena hadharani
Sativa alipotekwa alipelekwa karakana ya usta bey na mwenyewe kasema nilitekwa na police nikapelekwa osta bey huko kuna karakana yao ya mateso
Mzee asaivi tumechoka nahaya
Tanzania 🇹🇿 yetu tunaitaji katiba pia Tanzania yetu atuna raisi sisi yani ujiga umezidi
Jamani hakuna taifa linalofanikiwa kwa damu hakuna heshma inayopatikana kwa kudhulumu mwisho wa ubaya ni ubaya
All innocent blood will cry on their lives forever, Shame on them
Yani na maneno yote ayoo serekalii ata istuki kabisaa tena ndo kwanza mambo yanaenda kubayaaa
Duuh wanafundisha nini watanzania wenye Tanzania yao ikiwa nao wanao fanya hivo nao niwatanzania wao au wananch nyingine😭?
Hii nchi inaeendeshwa kipambavu hii nchi haina mkuu wa majeshi wala mkuu wa jeshi la police ivi haya matukio hawayaoni na kama wanayoona mbona wapo kimyaa? Ss raia tuwaelewe vip?
Watu wasianze kulaumu fungueni Dangulo show au Chisaka show hao watu wanatuonesha jinsi watu wanavyopotea na kutekwa kutolewa Figo na Maini nk hapa ndo mtaelewa kwamba hivi na vitu yawezekana wapo Tz kwenye misitu
Ww unaesema waongo subili apothecary mama yako
Mheshimiwa mbowe mbona uchaguzi ukikaribia mukuja na utekaji?
Mungu akusamehe
Ivi jamani mmesikia chochote kuhusu yule kijana tuliyemchangia akatoka jela???
Daaaah sjui yupo wapi kiukweli
Jaman naye hayupo
SERIKALI YA CCM ,NISERIKALI YAKISHENZI KABISAA,YAKISHETANI NAZAIDI MAPOLISI.😢
Daaah awa jamaa hatr
Jamani Nchi hii nibalaa
Tu
At Kristofa yumo bro
Mtu mwovu hawezi kuchukia waovu ili kuondoa uovu ni lazima uuchukie kwanza
Mboehongela waambie askariwetu niwamezanituu, siowadoli
Tatizo ni ccm ipo siku watakufa tu
kwel binadam ww unamuua mwenzio wakati na ww unakufa
hatujasikia hata mimi natamani kujua
Mafisadi na wauaji hawawezi kutaka ukwel
Tatizo ni kiziwi
jaman
Itafikia hatua ukivaa nguo za CCM na Chadema ni bita
Nchi inaendeshwa KIDIKTETA, inatesa wananchi.
Polisi duu
😢😢😢😢😢😢😢😢 😅
Mbowe na chadema mnasema uongoooo
Waambie kwanza wanachama mapato na matumizi ya chama cha CHADEMA
Sambamba na kuorodhesha Mali za chama
Hawa watu wako na biashara gani??
Small mind
Ujuha mtupu!
Kwani wewe Nani unasema una vyyombo vya kuchunguza mboe acha uwongo
Dada yangu unaweza usiumie kwa sasa sababu hujapoteza ndugu yako katika mazingira hayo
SACCOOS WAMECHEMSHA KWENYE MAIGIZO
Malaya mkubwa weye kama hayajakukuta ngoja yatakukuta
Rahel kama una upendo na Raia wetu, ungana nao kumwabia Rais kwamba kuna tatizo. CCM haijachoka kutawala. Hivyo hebu tusadie ili mama aongoze vizuri kama waliomtangulia. Kama wapinzani wanapata namna ya ubaya unavyotendea ujue hata system aikubaliani na kinachoendelea. Yesu alisema tupende adui Zetu. Vyama hivi ni washindani wa CCM. Hivyo CCM ipende washindani wao . Hawa washindani ni wa kwanza kuona mapungufu wa serikali Zetu. Unajifariji na nini uovu haukubaliki hao sio sehemu ya CCM kwa sababu katiba ya CCM haina kifungu cha kuteka au kuua. Elimu yetu inazalisha kizazi mnao waza kinyume. CCM haiko nao wapumbavu si sehemu ya CCM. Tusijidanganye tendeni mema CCM ina katiba yake. Haijafutwa.
@@sandaymgunyi6268 MAONI YANGU HAYO NI MAIGIZO
Kama ni kweli na unavyombo vya uchnguzi si uonyeshe kila kitu
Mboe achia madaraka tushaaa kuchoka wewe na CCM akuna utofauti kwanza ushanunuliwa wewe mwachie LISU nafai baki kama mshauri tuu zama zako zimepita
Shoga hili mbona mwalimu hakuachia madaraka mpaka tupate uhuru
@@JosefuSwai limtokaalo mjinga ndivyo alivyo
Waachie madaraka kwanza CCM waliokaa madarakani kwa miaka 60.
Unaumiaeee! Tuachie mwenyekiti wetu baki na wenu
Mwongo wewe mwenyewe
H
Kama uwa upo mbona huwa hure kodi tupate ukweli muongo wapishe wenzio wewe Huna jipya muongo
Nyie ikifika wakati wa uchaguzi mtasema mengi sana hayo mnasababisha muongo wewe tumekuchoka
Ngoja yakukute
Kwahiyo anachokisema ni uongo