Mwanzo Mwisho Wakili Madeleka Afanya Uchambuzi wa Mkataba wa Bandari na DP World

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 216

  • @robertmisako
    @robertmisako ปีที่แล้ว +9

    Eeee mwenyezi mungu wasaidie hawa wana sheria wazalendo wa inchi yangu kwa kazi nzuri ya kutetea rasilimali za inchi,Ameeen

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 ปีที่แล้ว +8

    Umeeleza Vizuri sana Petter Madereka.Mungu akulinde na Wenzako wote pia.

  • @sylivestermchafu2891
    @sylivestermchafu2891 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali Sana huna unafki, umeongea point tangu mwanzo mpaka mwisho! Unajua sana

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob ปีที่แล้ว +24

    Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.

    • @davidfanuel1241
      @davidfanuel1241 ปีที่แล้ว +2

      P

    • @marijanimohamed8875
      @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว +1

      nondo ziko vizuri maongo na manyang'au mpaka yarudi nyuma

    • @marijanimohamed8875
      @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว +1

      kitu haramu ni haramu tu hawa ni mafisadi ya humuhumu 😅😅 ndio maana ni makosa mengi

    • @ahmadikauru6592
      @ahmadikauru6592 ปีที่แล้ว

      Nikwelimkuu alafu awa wamezowea awanisawa nawezimkuu nandomana wamewapeleka wabunge wakatembee dubai nawabunge ao awaijuwi vizulibandali walewote wezituu apanikuwachambatu

  • @rahalee5479
    @rahalee5479 ปีที่แล้ว +6

    Duh Allah akupe maisha marefu, umeongea vitu vinaeleweka endelea kutuamsha ni hatari nchi inapoelekea.

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 ปีที่แล้ว +9

    Asante Yesu kumbe bado tuna uzalendo hapa TANZANIA.

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki kwa busara zako mtetezi wa Taifa.

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 ปีที่แล้ว +6

    Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.

  • @majii5591
    @majii5591 ปีที่แล้ว +11

    Kwann tuendelee na serikali iliyo tayari kudanganya wananchi?

    • @florangido202
      @florangido202 ปีที่แล้ว +3

      Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu
      Watuue ndiyo wajue Tumechoka.
      Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 ปีที่แล้ว +10

    NAKUPONGEZENI SANA, SANA KWA UJASIRI HUU...
    -PONGEZI SANA NA TUPO PAMOJA NANYI

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 ปีที่แล้ว +17

    Mawakili wana akili kubwa ya sheria hawa ccm wamekalia kuti kavu

  • @mussabalola3692
    @mussabalola3692 ปีที่แล้ว +5

    Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..

  • @ZenaBakari-fz4jp
    @ZenaBakari-fz4jp ปีที่แล้ว

    Asante tumekuelewa sana Sasa tumejua hatuna wabunge Wala spika.

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 ปีที่แล้ว +5

    Ongera

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaa kaongea vizuri sana sio wale wengine kazi yao kukashifu wengine hongera wakili

  • @godfreyerasto4298
    @godfreyerasto4298 ปีที่แล้ว +3

    so geneous lawyer

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 ปีที่แล้ว +2

    Mamaaaaaaaaaaaa kiiiiiruuuuuuuuu Samia na Serikali yako jiuzulu haraka

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 ปีที่แล้ว

    Mungu ambariki sana Wakili Madeleka.

  • @masakakasiri-xq6ce
    @masakakasiri-xq6ce ปีที่แล้ว

    Mkuu umeelewèķa vizuri sana kutuelimisha. Ubarikiwe

  • @aloycemahanga2290
    @aloycemahanga2290 ปีที่แล้ว +4

    Fact fact fact ever!!!

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 หลายเดือนก่อน

    Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe

  • @franciskulwa2322
    @franciskulwa2322 ปีที่แล้ว +5

    Kwani Hawa wanasheria waserikali wao wamesoma wapi si shule zile zile walizosoma mawakili duh cjapata jibu

    • @mlandasymon1980
      @mlandasymon1980 ปีที่แล้ว

      Pumbavu kbs, unakua msomi alaf unakua mjinga tena

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 ปีที่แล้ว +3

    Safi

  • @herbertlevery1077
    @herbertlevery1077 ปีที่แล้ว +1

    Tunamshukulu Mungu kwa kuwa kunawasomi waojielewa

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 ปีที่แล้ว +3

    Ni vituko vya Karne ,mungu aliyeumba serikali duniani ,atatusimamia ,

    • @omaryhabibu2746
      @omaryhabibu2746 ปีที่แล้ว +2

      Tuko tayari kunavingozi wanatakuwa kufa kabra huu upumbavu hajapita

    • @daudifrank5886
      @daudifrank5886 ปีที่แล้ว +1

      Nchi hii anaiua kikwete

    • @daudifrank5886
      @daudifrank5886 ปีที่แล้ว +1

      Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...

    • @daudifrank5886
      @daudifrank5886 ปีที่แล้ว +1

      Wazanzbar wanatuuzia hii Tanganyika yetu jaman

  • @Ashangaipaulo-yn1hq
    @Ashangaipaulo-yn1hq ปีที่แล้ว +2

    Tuna shukuru mungu sana Siri hii mbaya afichuka wa ccm wame jaribu sanakuweka nji pabaya

  • @PascalBujimu-lw5io
    @PascalBujimu-lw5io ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki.

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 ปีที่แล้ว +8

    Hii nchi inaumiza sana

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb ปีที่แล้ว +5

    Labda ndo yaliyosababisha kifo cha makufuli ili wauze nchi sasa aibu imewakuta hao majambazi ya ccm

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 หลายเดือนก่อน

    Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 ปีที่แล้ว +2

    Yaani umeitendea haki taaluma yako.Mungu akulinde wasije wakakuuwa hao wezi wa Taifa hili

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 ปีที่แล้ว +3

    Mungu anaukumu maovunimengi wamemsahaumungu wamefanyamengi mungu kaamua sasabas wanafanyavitu kamahawasoma

  • @leonardZacharia-jg8no
    @leonardZacharia-jg8no ปีที่แล้ว

    Mungu liangalie sasa taifa hili

  • @justinwangi4912
    @justinwangi4912 ปีที่แล้ว +8

    Hii serikali yote imeoza niyakuondoa yote ikafie mbali uko

  • @emmanuelkayavugwa8049
    @emmanuelkayavugwa8049 ปีที่แล้ว +5

    Aibu yao wanao beza msimamo huu

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 ปีที่แล้ว +5

    na mbaya zaidi hakuna mtawala anayejibu hoja hizi kwa ufasaha.

  • @evansmtalo8924
    @evansmtalo8924 ปีที่แล้ว +6

    Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!

    • @florangido202
      @florangido202 ปีที่แล้ว +4

      Wanajua sana
      Hilo ni Dili, Ingekuwa sio Dili kwanini asihingize na Bandari ya Zanzibar

    • @AmbakweteMwakalugirao
      @AmbakweteMwakalugirao ปีที่แล้ว +3

      SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio watetezizi wawa tanganyika mungu awabaliki

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c หลายเดือนก่อน

    Hadi nimeishiwa nguvu na hii maelezo mikataba mibovu mungu amulinde huyu mwanasheria

  • @ezamnzava8555
    @ezamnzava8555 ปีที่แล้ว

    Safi sana...

  • @lovechadali3923
    @lovechadali3923 ปีที่แล้ว +2

    Wakili yuko vizuri

  • @mathewpaul629
    @mathewpaul629 ปีที่แล้ว +2

    Daaaaaaaaaaaaaaa.... nakosa cha kusema zaidi ya kuwaombea heri kwa elimu kubwa sana uliyoitoa. Hakika tunahitaji ukombozi wa fikra

  • @SaidAbubakari-m8k
    @SaidAbubakari-m8k ปีที่แล้ว

    Tunashukulu sana zaidi sana kwa hekima uliyotumia ALHAA awape nguvu zaidi.

    • @mkude
      @mkude ปีที่แล้ว

      ALHAA NDO NANI.nyinyi mmepotoshwa sanaa Kwa chuki tu,mkataba hauna shida

  • @wilbertmanjonda5835
    @wilbertmanjonda5835 ปีที่แล้ว +8

    Ila CCM, ni janga kamili!!!

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 ปีที่แล้ว +3

    WAKILI PETER MADELEKA HUWA TUNAKUKUBALI SANA WATANZANIA. UNAJUA KUFAFANUA NA KUSAIDIA WANANCHI

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 ปีที่แล้ว +3

    Mi nashauri nchi nzima tuungane kumuomba mungu siku tatu kwa mazehebu yote then aliyehusika kutuingiza chaka apite ivi

    • @mkude
      @mkude ปีที่แล้ว

      Hakuna shida na sisi tunaounga mkono huu uwekezaji tunaswali na kuomba mungu

  • @gerraldchristian2001
    @gerraldchristian2001 ปีที่แล้ว +3

    CCM haijawahi kupenda watanzania tuwe na maisha mazuri wanafurahi kuona watu tunaishi maisha haya mabovu tuliyo nayo

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 ปีที่แล้ว +6

    Aibu jamani

  • @rightvision3092
    @rightvision3092 ปีที่แล้ว +3

    Sitisheni huo mkataba mpaka tufike muafaka wa Kitaifa juu ya mambo ambayo hatukubaliani

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏🙏Ameen tuna muani Allah tu hatuamini matapeli waongo na walagai

  • @emanuelshula6030
    @emanuelshula6030 ปีที่แล้ว

    Umefikisha ujumbe kwa namna ya kipekee Sana hongera sana

  • @Poltechie
    @Poltechie ปีที่แล้ว

    Mungu ambariki sana wakili madeleka, haongei lugha za matusi ila kaongea ukwel

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 ปีที่แล้ว +2

    Nawapongeza sana tusaidie

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Mungu kwa kuwa sasa tumeamka!

  • @EmmanuelPaul-n5f
    @EmmanuelPaul-n5f ปีที่แล้ว

    Excellence ❤❤❤❤

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 ปีที่แล้ว +2

    Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 ปีที่แล้ว +3

    MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn ปีที่แล้ว

    Fact

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 ปีที่แล้ว

    Mungu awape mafanikio mema

  • @mwakilulelefrancis280
    @mwakilulelefrancis280 ปีที่แล้ว +3

    BIG UP NDUNGU ZETU WASOMI

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 ปีที่แล้ว

    Good

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 ปีที่แล้ว +1

    Hivi kumbe Tanzania Ina watu wasomi wazuri kiasi hiki hongereni sana

  • @AmbakweteMwakalugirao
    @AmbakweteMwakalugirao ปีที่แล้ว +4

    HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 ปีที่แล้ว +3

    TUMESHA WAAMBIA SHETANI WA NCHI HII NA MAENDELEO YAKE NI CCM

  • @Ambwene
    @Ambwene ปีที่แล้ว

    DAAAH 😔

  • @fredymahinda4024
    @fredymahinda4024 ปีที่แล้ว

    Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 ปีที่แล้ว +3

    Kama mawakal wote Tanzania watapasa saut Kama hiz bas Tanzania na serikali watajua now watu wameamka upigajji utapungua

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 ปีที่แล้ว +2

    MH. RAIS SAMIA....UKO 'UCHI'....WATANZANIA WANAKUONA UKO 'UCHI'....MAMA 'CHUCHUMAA'!

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c หลายเดือนก่อน

    Mungu awe pamoja nanyi watetezi wa ichi yetu jamani

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla7690 ปีที่แล้ว

    KUMBE KWELI,SIASA ZA TZ ,ZINAFURAHISHA,NA HAWA ATA ,MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA AMREHEMU MAALIM SEIF ,AMEEN

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 ปีที่แล้ว

      Leo wanaitaja kanganyika nao wanasema TANGANYIKA nchi et

  • @johnpeterson9333
    @johnpeterson9333 ปีที่แล้ว +1

    Duh ata Dubai wanashangaaa wameingia mkataba na vichaaaaaa🤭🤭🤭

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 ปีที่แล้ว +1

    Huu Moto wasipostuka ccm , ndio unaamsha katiba na haupoi mpaka NEC 2025 ambapo mama atapumzishwa...

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 ปีที่แล้ว +6

    Katika jambo Baya Kwa serikali ni kushindana na mawakili

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 ปีที่แล้ว +2

    Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali

  • @fredmabundagilo6954
    @fredmabundagilo6954 ปีที่แล้ว +2

    Ee mwenyezi Mungu uwatie nguvu Hawa Wana Sheria wapate ushindi zidi ya mafisadi wa inchi yetu...

  • @BeatriceHenry-t3i
    @BeatriceHenry-t3i ปีที่แล้ว

    Chezeyaa wasomi ongereni sana kwa kutufundisha

  • @PascalBujimu-lw5io
    @PascalBujimu-lw5io ปีที่แล้ว +3

    Hakika mnaacha alama katika nchi yetu.

    • @mkude
      @mkude ปีที่แล้ว

      Wanaacha alama za nini au alama za kupotosha,mkataba hauna shida yoyote

  • @JacksonHenjewele-dl6rc
    @JacksonHenjewele-dl6rc ปีที่แล้ว +2

    Hapo ndo selikali ijue Kua watu wakicgukia nizaid yachui au Simba imewachezea watanzani Sasa imefika mwisho angalieni hisia zatu wako tayari kufa hao niwanashelia sio chadema Sasa mkubali yaishe CCM moto unakuja

  • @assahalex356
    @assahalex356 ปีที่แล้ว +2

    Mchawi alieiloga Tanzania ameshakufa

  • @MeshackMollely-s3v
    @MeshackMollely-s3v ปีที่แล้ว +4

    Wambien hao wazee wa ndio mzee waamke hizo zama kale zimeshapitwa na wakati watu washakuwa waelewa hawawezi kukubali kila kitu.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว +1

    wafungulieni kesi dubai kwa kosa la utapeli

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 ปีที่แล้ว +1

    Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge

  • @saidimadunda4576
    @saidimadunda4576 ปีที่แล้ว +1

    Inna linlhah raajun. Kwa haya, naamini Samia amesikia na kukuellea. Vinginevyo itakuwa sikio la kifa?

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 ปีที่แล้ว +3

    Hivi watanzania tumerogwa na nani kusaini upuuzi kama huu ?

    • @2002-h6c
      @2002-h6c ปีที่แล้ว +1

      Mbona Wakristo tu hapo, kwani Waislam hawana uchungu na bandari ?

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 ปีที่แล้ว +1

      @@2002-h6c 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje

  • @rebeccamsami4580
    @rebeccamsami4580 ปีที่แล้ว +1

    Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.

  • @MusyangiMatoti
    @MusyangiMatoti 5 หลายเดือนก่อน

    Mh. Soma katiba ya Zanzibar, inaseme ni nchi.

  • @dahirgaraar360
    @dahirgaraar360 ปีที่แล้ว

    Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..

  • @paitomsuva3817
    @paitomsuva3817 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?

  • @ibrahimrobart38
    @ibrahimrobart38 ปีที่แล้ว

    Serikali ya awam 6 ni ya hovyoo sanaa

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 ปีที่แล้ว

    Poleni Watanganyika 😂😂😂😂

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 ปีที่แล้ว

    Huyu mwamba anajua sana

  • @Bizzyyoyo-nw8dp
    @Bizzyyoyo-nw8dp ปีที่แล้ว

    Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu,
    Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji,
    Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa,
    Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu,
    madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu,
    Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano,
    Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi,
    Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu,
    Mama samia MITANO TENA.

  • @kiatu
    @kiatu ปีที่แล้ว +3

    Serkali ikubali tu. Ijiuzulu tufanye uchaguzi mapema kabisa

  • @petermakubi
    @petermakubi ปีที่แล้ว

    Mi nazani CCM nikoloni lilobaki.

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 ปีที่แล้ว +1

    kinacho niumiza ni kuona hamna ata mwana ccm anae upinga huu mkataba uko juu

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga ปีที่แล้ว +2

    Linalotiliwa shaka, hilo ni shaka; viongozi serikalini tafadhari rudisheni mioyo yenu nyuma!

    • @mussandoipo6551
      @mussandoipo6551 ปีที่แล้ว

      Jamani mkataba hii upitiwe upia na utolewe elimu Ili watanzania warizike na kile kinacho endeshwa na serikali

  • @wakatinisasa
    @wakatinisasa ปีที่แล้ว +1

    Amakweli wanaupigamwingi ngrawa woyee hii ndo tanganyika walisi hawana uchungu na nchi hii

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili

    • @amlikendelwa8974
      @amlikendelwa8974 ปีที่แล้ว

      Nimefikiri hivyo pia,wenda ikawa hii kitu ni hewa.

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 ปีที่แล้ว

    Mama umeingia chooo Cha kiumeeeeeee!!!!

  • @jivunemedia
    @jivunemedia ปีที่แล้ว +1

    MAKUBALIANO NDO MKATABA WENYEWE, KWA MUJIBU WA SHERIA YA MIKATABA