Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.
Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.
Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu Watuue ndiyo wajue Tumechoka. Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!
Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..
Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...
Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!
SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.
Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.
HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???
Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.
Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali
Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge
@@2002-h6c 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje
Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.
Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..
Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?
Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu, Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji, Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa, Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu, madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu, Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano, Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi, Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu, Mama samia MITANO TENA.
Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili
Eeee mwenyezi mungu wasaidie hawa wana sheria wazalendo wa inchi yangu kwa kazi nzuri ya kutetea rasilimali za inchi,Ameeen
Umeeleza Vizuri sana Petter Madereka.Mungu akulinde na Wenzako wote pia.
🙏
Nakukubali Sana huna unafki, umeongea point tangu mwanzo mpaka mwisho! Unajua sana
Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.
P
nondo ziko vizuri maongo na manyang'au mpaka yarudi nyuma
kitu haramu ni haramu tu hawa ni mafisadi ya humuhumu 😅😅 ndio maana ni makosa mengi
Nikwelimkuu alafu awa wamezowea awanisawa nawezimkuu nandomana wamewapeleka wabunge wakatembee dubai nawabunge ao awaijuwi vizulibandali walewote wezituu apanikuwachambatu
Duh Allah akupe maisha marefu, umeongea vitu vinaeleweka endelea kutuamsha ni hatari nchi inapoelekea.
Asante Yesu kumbe bado tuna uzalendo hapa TANZANIA.
Mungu akubariki kwa busara zako mtetezi wa Taifa.
Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.
Kwann tuendelee na serikali iliyo tayari kudanganya wananchi?
Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu
Watuue ndiyo wajue Tumechoka.
Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!
NAKUPONGEZENI SANA, SANA KWA UJASIRI HUU...
-PONGEZI SANA NA TUPO PAMOJA NANYI
Mawakili wana akili kubwa ya sheria hawa ccm wamekalia kuti kavu
Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..
Asante tumekuelewa sana Sasa tumejua hatuna wabunge Wala spika.
Ongera
Huyu jamaa kaongea vizuri sana sio wale wengine kazi yao kukashifu wengine hongera wakili
so geneous lawyer
Mamaaaaaaaaaaaa kiiiiiruuuuuuuuu Samia na Serikali yako jiuzulu haraka
Mungu ambariki sana Wakili Madeleka.
Mkuu umeelewèķa vizuri sana kutuelimisha. Ubarikiwe
Fact fact fact ever!!!
Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe
Kwani Hawa wanasheria waserikali wao wamesoma wapi si shule zile zile walizosoma mawakili duh cjapata jibu
Pumbavu kbs, unakua msomi alaf unakua mjinga tena
Safi
Tunamshukulu Mungu kwa kuwa kunawasomi waojielewa
Ni vituko vya Karne ,mungu aliyeumba serikali duniani ,atatusimamia ,
Tuko tayari kunavingozi wanatakuwa kufa kabra huu upumbavu hajapita
Nchi hii anaiua kikwete
Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...
Wazanzbar wanatuuzia hii Tanganyika yetu jaman
Tuna shukuru mungu sana Siri hii mbaya afichuka wa ccm wame jaribu sanakuweka nji pabaya
Mungu akubariki.
Hii nchi inaumiza sana
Labda ndo yaliyosababisha kifo cha makufuli ili wauze nchi sasa aibu imewakuta hao majambazi ya ccm
Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi
Yaani umeitendea haki taaluma yako.Mungu akulinde wasije wakakuuwa hao wezi wa Taifa hili
Mungu anaukumu maovunimengi wamemsahaumungu wamefanyamengi mungu kaamua sasabas wanafanyavitu kamahawasoma
Hakika.
Mungu liangalie sasa taifa hili
Hii serikali yote imeoza niyakuondoa yote ikafie mbali uko
Aibu yao wanao beza msimamo huu
na mbaya zaidi hakuna mtawala anayejibu hoja hizi kwa ufasaha.
na awajibu kwa kwa vifungu
Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!
Wanajua sana
Hilo ni Dili, Ingekuwa sio Dili kwanini asihingize na Bandari ya Zanzibar
SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.
Hawa ndio watetezizi wawa tanganyika mungu awabaliki
Hadi nimeishiwa nguvu na hii maelezo mikataba mibovu mungu amulinde huyu mwanasheria
Safi sana...
Wakili yuko vizuri
Daaaaaaaaaaaaaaa.... nakosa cha kusema zaidi ya kuwaombea heri kwa elimu kubwa sana uliyoitoa. Hakika tunahitaji ukombozi wa fikra
Tunashukulu sana zaidi sana kwa hekima uliyotumia ALHAA awape nguvu zaidi.
ALHAA NDO NANI.nyinyi mmepotoshwa sanaa Kwa chuki tu,mkataba hauna shida
Ila CCM, ni janga kamili!!!
WAKILI PETER MADELEKA HUWA TUNAKUKUBALI SANA WATANZANIA. UNAJUA KUFAFANUA NA KUSAIDIA WANANCHI
Mi nashauri nchi nzima tuungane kumuomba mungu siku tatu kwa mazehebu yote then aliyehusika kutuingiza chaka apite ivi
Hakuna shida na sisi tunaounga mkono huu uwekezaji tunaswali na kuomba mungu
CCM haijawahi kupenda watanzania tuwe na maisha mazuri wanafurahi kuona watu tunaishi maisha haya mabovu tuliyo nayo
Aibu jamani
Sitisheni huo mkataba mpaka tufike muafaka wa Kitaifa juu ya mambo ambayo hatukubaliani
🙏🙏🙏🙏Ameen tuna muani Allah tu hatuamini matapeli waongo na walagai
Umefikisha ujumbe kwa namna ya kipekee Sana hongera sana
Mungu ambariki sana wakili madeleka, haongei lugha za matusi ila kaongea ukwel
Nawapongeza sana tusaidie
Ahsante Mungu kwa kuwa sasa tumeamka!
Excellence ❤❤❤❤
Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.
Fact
Mungu awape mafanikio mema
BIG UP NDUNGU ZETU WASOMI
Good
Hivi kumbe Tanzania Ina watu wasomi wazuri kiasi hiki hongereni sana
HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???
TUMESHA WAAMBIA SHETANI WA NCHI HII NA MAENDELEO YAKE NI CCM
DAAAH 😔
Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.
Kama mawakal wote Tanzania watapasa saut Kama hiz bas Tanzania na serikali watajua now watu wameamka upigajji utapungua
MH. RAIS SAMIA....UKO 'UCHI'....WATANZANIA WANAKUONA UKO 'UCHI'....MAMA 'CHUCHUMAA'!
😅😅😅😅😅😅 mwambie uyo
Mungu awe pamoja nanyi watetezi wa ichi yetu jamani
KUMBE KWELI,SIASA ZA TZ ,ZINAFURAHISHA,NA HAWA ATA ,MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA AMREHEMU MAALIM SEIF ,AMEEN
Leo wanaitaja kanganyika nao wanasema TANGANYIKA nchi et
Duh ata Dubai wanashangaaa wameingia mkataba na vichaaaaaa🤭🤭🤭
Huu Moto wasipostuka ccm , ndio unaamsha katiba na haupoi mpaka NEC 2025 ambapo mama atapumzishwa...
Katika jambo Baya Kwa serikali ni kushindana na mawakili
Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali
Ee mwenyezi Mungu uwatie nguvu Hawa Wana Sheria wapate ushindi zidi ya mafisadi wa inchi yetu...
Chezeyaa wasomi ongereni sana kwa kutufundisha
Hakika mnaacha alama katika nchi yetu.
Wanaacha alama za nini au alama za kupotosha,mkataba hauna shida yoyote
Hapo ndo selikali ijue Kua watu wakicgukia nizaid yachui au Simba imewachezea watanzani Sasa imefika mwisho angalieni hisia zatu wako tayari kufa hao niwanashelia sio chadema Sasa mkubali yaishe CCM moto unakuja
Mchawi alieiloga Tanzania ameshakufa
Wambien hao wazee wa ndio mzee waamke hizo zama kale zimeshapitwa na wakati watu washakuwa waelewa hawawezi kukubali kila kitu.
wafungulieni kesi dubai kwa kosa la utapeli
Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge
Inna linlhah raajun. Kwa haya, naamini Samia amesikia na kukuellea. Vinginevyo itakuwa sikio la kifa?
Hivi watanzania tumerogwa na nani kusaini upuuzi kama huu ?
Mbona Wakristo tu hapo, kwani Waislam hawana uchungu na bandari ?
@@2002-h6c 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje
Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.
Mh. Soma katiba ya Zanzibar, inaseme ni nchi.
Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..
Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?
Serikali ya awam 6 ni ya hovyoo sanaa
Poleni Watanganyika 😂😂😂😂
Huyu mwamba anajua sana
Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu,
Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji,
Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa,
Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu,
madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu,
Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano,
Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi,
Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu,
Mama samia MITANO TENA.
Serkali ikubali tu. Ijiuzulu tufanye uchaguzi mapema kabisa
Mi nazani CCM nikoloni lilobaki.
kinacho niumiza ni kuona hamna ata mwana ccm anae upinga huu mkataba uko juu
Linalotiliwa shaka, hilo ni shaka; viongozi serikalini tafadhari rudisheni mioyo yenu nyuma!
Jamani mkataba hii upitiwe upia na utolewe elimu Ili watanzania warizike na kile kinacho endeshwa na serikali
Amakweli wanaupigamwingi ngrawa woyee hii ndo tanganyika walisi hawana uchungu na nchi hii
Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili
Nimefikiri hivyo pia,wenda ikawa hii kitu ni hewa.
Mama umeingia chooo Cha kiumeeeeeee!!!!
MAKUBALIANO NDO MKATABA WENYEWE, KWA MUJIBU WA SHERIA YA MIKATABA