ATAANZIA WAPI NA MAMA HATAKI LAKINI KIUKWE HAO WOTE WALA RUSHWA WANGETOLEWA JPM ANGEJUA KESHO YAKE HUYU ANGEMUWEKA MAKAMU WAKE TUNGEFIKA MBALI.MUNGU AMPE AFYA NJEMA MAJALIWA,JPM MUNGU AKULIPE MAZURI YAKO AKUSAMEHE ULIPOKOSEA
Jamani inauma mbona tumetokomea wataz kwenye ufisadi ? Ona hata vanishi hayajapakwa je hawakuwa na maelekezo ya namna ya kuyatengeneza ? Mungu utuhurumie
Wilaya ya iranba hovyo sana utapeli mwingi sana tumefanya kazi za serkal milango na madawati nina mwaka na miezi 5 mpaka sasa sijalipwa hela yangu hili swala litafika kwa waziri mkuu naamini hilo hii wilaya imekaliwa na matapeli watupu tumefanya kazi wilaya nyingi lakin hii hovyo sana
ukifuatilia sana,hayo usishangae ukiyapata yalimsibu Yahya nawanda!!watu wamebobea ktk ubadhirifu wa pesa za serakali na imeshakuwa ni mambo ya kwaida tu!!
Huo ni uchakachuaji wa hali ya juu saana hata mkaguzi w hiyo tenda sidhani kama ameenda shule na kama amesoma ni kweli alisomea kwenye madawayi yasiyo na droo ya kuwekea daftari?
Tatizo hapo sio fundi ila tatizo linaanzia kwenye kamati ya shule unaweza Kuta fundi katengenezea kwa sh.25000 au sh. 35000 na pesa ya juu yote ina enda kwenye kamati na dawati zenyewe hata vanishi hazina ila kamati sio wasio watu wazuri kwa kupenda %100🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Madawati ya hovyo uvungu or not hivyo viti ndio kabisaaa hata mwisho wa siku matako yote yanauma. Kwa mnaomsifu waziri mkuu mlikuwa mumuone wakati wa Marehemu Magufuli then alikuwa strong now nimepoteza imani nae kabisa kawa km hao viongozi wa hovyo kazi kupaka kanta na kuchana nywele tu. Hapo kajitutumua kuna vitu kibao kavifumbia macho aghhh
Kazi iendelee lets the work continue, kazi njema Mheshimiwa Kassim Majaliwa kila la kheri katika ufanisi wa ujenzi wa Taifa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🐘
Mwenyezi mungu mwingi wa rehema akupe Maisha marefu na baraka Tele 🎉🎉
Ata sisi wazamani Atujasomea madawati kamahayo! Nipongezi kwa waziri Mkuu KASIMU MAJALIWA Kwa kugundua hiyo shida😊
Mm nimesomea hay tang primary 😂😂 kit na kimeza
Nawewe ni Hoya Hoya huyu ndo waziri hewa. Ccm hamnaga jibya wanachezatu na akili ya watanzania
Kazi nzuri kwa Mtendaji Mkuu wa serikali big up Majiliwa
Ndiyo Baba Wakumbushe Wajibu Wao Wamejisahau sana
Asanteh waziri wetu kipenzi Cha wengi , wana Itandula tunakushukuru sanaaa!
Nataman ingekuwa rais wetu Tanzania
wamuige waziri mkuu mzee wa ulipo tupo au awamwoni
Baba Chkua Nchi Tushachoka Sie Watumishi Wanajisahau Ingewezekana Ungewachapa Viboko Kama Ulivyowatandika Wale Kipindi Kile.😂😅
AHSANTE SANA MH. WAZIRI
MUNGU AKUBAARIK KAKANGU
UNGEWAPIGA CHINI TUU HAO
ATAANZIA WAPI NA MAMA HATAKI LAKINI KIUKWE HAO WOTE WALA RUSHWA WANGETOLEWA JPM ANGEJUA KESHO YAKE HUYU ANGEMUWEKA MAKAMU WAKE TUNGEFIKA MBALI.MUNGU AMPE AFYA NJEMA MAJALIWA,JPM MUNGU AKULIPE MAZURI YAKO AKUSAMEHE ULIPOKOSEA
🙏🏻🙏🏻
Halafu nikwambie mwl majaliwa watu wanakupenda kuliko unavyofikiri yaai we basi tu yaaaaan
Safi sana Bwana Kasim,uwezo wa kuwa na hayo madawati tunao kwa sababu tuna misitu
Mh.majaliwa ongera sana kiongozi
🙏
🙏🙏🙏🙏
Jamani inauma mbona tumetokomea wataz kwenye ufisadi ? Ona hata vanishi hayajapakwa je hawakuwa na maelekezo ya namna ya kuyatengeneza ? Mungu utuhurumie
Wilaya ya iranba hovyo sana utapeli mwingi sana tumefanya kazi za serkal milango na madawati nina mwaka na miezi 5 mpaka sasa sijalipwa hela yangu hili swala litafika kwa waziri mkuu naamini hilo hii wilaya imekaliwa na matapeli watupu tumefanya kazi wilaya nyingi lakin hii hovyo sana
Ulifurahije wakati unapewa hiyo tenda huku ukitoa rushwa Leo umegubdua umeingia tenda na matapeli ya ccm Pambana na hali yako
Asant Mzee Wetu
Mh waziri mkuu wadabishe na hao wasimamizi wa ndani kwan hakuona kama hayo madawati hajakamilika wakachukua hatua mapema kabla ya wewe kufika hapo.
Hi inchi tunaongozwa na vingozi wasanii eti waziri anashangaa wakati hayomabo ni tanzania nzima
Kila mtu mwizi daah Tanzania nchi ya ajabu kweli
Safi mkuu
JMOO kasema shule kama iramba ukimpeleka mwanao lazma ataferi😂
Majaliwa umefanya vema,,
Pongezi mingi
Daah😂😂😂😂aisee 😢😢
ukifuatilia sana,hayo usishangae ukiyapata yalimsibu Yahya nawanda!!watu wamebobea ktk ubadhirifu wa pesa za serakali na imeshakuwa ni mambo ya kwaida tu!!
Vitu vya aibu sana.
Ccm hivi hamuoni aibu? 😢😢😢😢 Mnamdhalilisha waziri
Ni mambo ya aibu sana hivi mkuu WA wilaya huwa anafanya Kazi gani ? Mpka waziri afike ndio aone Kazi hazikufanyika .,wangekuwa Wanafungwa tu maisha .
Washapiga pesa, alafu mbona mbao sio mninga?
Rais 😅😅
Tatzo mbunge wa hapo
Huo ni uchakachuaji wa hali ya juu saana hata mkaguzi w hiyo tenda sidhani kama ameenda shule na kama amesoma ni kweli alisomea kwenye madawayi yasiyo na droo ya kuwekea daftari?
50,000 kwa dawati ? ndiyo maana ni sub standard mbao, misurmari, gundi, umeme, machines labour na usafiri labda kama amekosea kusema bei
Tatizo hapo sio fundi ila tatizo linaanzia kwenye kamati ya shule unaweza Kuta fundi katengenezea kwa sh.25000 au sh. 35000 na pesa ya juu yote ina enda kwenye kamati na dawati zenyewe hata vanishi hazina ila kamati sio wasio watu wazuri kwa kupenda %100🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Aibu yako afisa elimu,acha uhuni wewe ulisomea dawati gani
Madawati ya hovyo uvungu or not hivyo viti ndio kabisaaa hata mwisho wa siku matako yote yanauma. Kwa mnaomsifu waziri mkuu mlikuwa mumuone wakati wa Marehemu Magufuli then alikuwa strong now nimepoteza imani nae kabisa kawa km hao viongozi wa hovyo kazi kupaka kanta na kuchana nywele tu. Hapo kajitutumua kuna vitu kibao kavifumbia macho aghhh
Anayeshikilia camera mzembe sana
Badala aonyeshe kinachokaliwa anaonyesha nini
Hao ni wapigaji . Waliamini hakuna kiongzi atakayekagua. Endelea kukagua na mahali pengine. Utakuta madudu kama hayo.