Wawasikilize kwanza,gharama kwenye ujenzi inategemea na mambo mengi,kwa hiyo watu wasikariri.Materials yanazidiana ubora,yenye ubora wa juu,gharama zake nazo ziko juu.,pia mazingira ya sehemu husika
Hahahahaha waziri mkuu unavyo wauriza mkuu hadi mimi nasikia raha nabaki nacheka tu kwa madudu yanayo fanywa ha ha ha apewe onyo kari ha ha ha aandikiwe barua ya onyo kari aiseee waziri mkuu mungu akubariki sana mkuu mwamba upo kazini mbegu Bora irio pandwa na magufuri ipo kazini kweri kweriiii
Asante Baba
Yan huyu mzee bora angekuwa ndo makamo wa rais leo hii angekuwa rais dahh😭😭😭
Kasimu asate sana baba
😮fukuza tu muheshiwa
Hawa wote wanatakiwa wachukuliwe hatuakali iwefundisho kwa wengine,pongezi kwa waziri mkuu!
Wawasikilize kwanza,gharama kwenye ujenzi inategemea na mambo mengi,kwa hiyo watu wasikariri.Materials yanazidiana ubora,yenye ubora wa juu,gharama zake nazo ziko juu.,pia mazingira ya sehemu husika
Hilo nalo jambo lakufatilia nalo kweli!!
Majaliwa kaza ivo ivo
Hahahahaha waziri mkuu unavyo wauriza mkuu hadi mimi nasikia raha nabaki nacheka tu kwa madudu yanayo fanywa ha ha ha apewe onyo kari ha ha ha aandikiwe barua ya onyo kari aiseee waziri mkuu mungu akubariki sana mkuu mwamba upo kazini mbegu Bora irio pandwa na magufuri ipo kazini kweri kweriiii
Tatizo bosi wake wa sasa ovyo