Makongoro nyerere alivochukua maamuzi magumu na kutoa tamko la kuondoka ndani ya ccm'naondoka mimi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ม.ค. 2024
  • #samia #ccm #chadema #tazania #mbowe #makongoronyerere

ความคิดเห็น • 121

  • @user-vr2wt7el2m
    @user-vr2wt7el2m 4 หลายเดือนก่อน +5

    Asante saana Makongoro Isaidie Tz Ndoto ya Baba Yako Inazama Hiko Matopeni!

  • @elizaluchagula9787
    @elizaluchagula9787 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kikwete ndiye Kibaka mkubwa kuliko hata hao

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 4 หลายเดือนก่อน +9

    Umeongea kweli tupu Mungu akulinde

  • @brycesonmswia
    @brycesonmswia 4 หลายเดือนก่อน +8

    Napenda sana hotuba yako hiyo Unaongea UKWELI mtupu sasa basi unakwaza wapigaji wa CCM lakini UKWELI ni UKWELI asante kwa hekima zako na UBARIKIWE

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Mzee makongoro, you did a good work.Welldone.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 4 หลายเดือนก่อน +14

    Na kweli maneno ya mwl yametimia! Nawe mwanae ubarikiwe kwa kuwa muwazi bila kujali chama chako huo ndiyo uzalendo

    • @user-kj2cy5ji7f
      @user-kj2cy5ji7f 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiye uliyefaa kuwa katibu mkuu wa CCM. Hiki chama kinatakiwa kuwa nawatu wasema kweli nawasiojali chochote ila nimaslahi ya Tanzania. Ubarikiwe sn' MUNGU akupe umri mrefu.

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yaaan wewe saiz ulifaaa uwe rais basi tu mmepigwa vita 😅😅😅😅

  • @mohamedothman5792
    @mohamedothman5792 4 หลายเดือนก่อน +4

    KAULI NJEMA. Hizi hata nyerere alikuwa nazo lakini hazijawahi kuleta tija kwa watu. Tumeishia kuwa watumwa kwa waTZ wenzetu. Nchi inahitaji uwajibikaji sio tena hotuba nzuri

  • @rogartlema5120
    @rogartlema5120 3 หลายเดือนก่อน +2

    This man was one year behind me huko minaki high school and he was a very quiet man

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 4 หลายเดือนก่อน +8

    Asante kumbe una hekima ya mzee wako hongera kwa kuwa mkweli

  • @user-ux3it4bh7b
    @user-ux3it4bh7b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wachane mzazi
    Natumai watakuelewa
    Na (muumba) akulinde na ubarikiwe.

  • @user-po9jw6pz8s
    @user-po9jw6pz8s 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wameanza kusuntana wao kwa, wao😅😅😅

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ccm aiseee kama mungu anahukumu kweli yy ndo anajua maana sio vizuri hali ya tanzania.sio nzuri kabisa kila.kona.ccm imechukiwa ila.ikulu wapo kwa mabavu isingekuwa.hivo mhh ikulu ingekuwa na chama.kingine

  • @akilyemily5788
    @akilyemily5788 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona wezio huwa wana fosi baba ako alikuwa sahii sana kuliko hao majambazi walio achiwa hicho champ.

  • @dastanjack9741
    @dastanjack9741 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hii Ccm ni Majanga,wali

  • @FatumaShabani-mp9vt
    @FatumaShabani-mp9vt 4 หลายเดือนก่อน +11

    Umefanana na baba Ako wallah mungu amlaze maali pema peponi yaraby 🙏🙏🙏😭😭😭

    • @salehothman6144
      @salehothman6144 4 หลายเดือนก่อน

      Unafahamu na unachokisema dada

    • @YohanaKitegelo-eb5gs
      @YohanaKitegelo-eb5gs 4 หลายเดือนก่อน

      JJ@as qq

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 4 หลายเดือนก่อน

      Hata kuchekà,

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 4 หลายเดือนก่อน

      Fatumaaa

    • @mohamedmagongo9348
      @mohamedmagongo9348 4 หลายเดือนก่อน

      Unaweza kuwa na rafiki mlevi au mvuta sigara lakini wewe usiwe mlevi au mvutaji. Ila ni nadra sana uwe na rafiki mwizi halafu wewe usiwe mwizi!

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mh huyu namkubali sana makongoro

  • @user-mh1vw6fw7t
    @user-mh1vw6fw7t 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli mzee baba umenena kwa luqha

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara 4 หลายเดือนก่อน +3

    ❤ nakukubali sana nyerere mdogo

  • @user-jd7zf3cm2h
    @user-jd7zf3cm2h 4 หลายเดือนก่อน +3

    Uko sawa mkuu

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 4 หลายเดือนก่อน +3

    duhh UKWELI MTUPU SIO UTAMADUNI WETU KUSEMA UKWELI

  • @ibrahimmsula201
    @ibrahimmsula201 3 หลายเดือนก่อน

    Nimependa maneno mazuri sana

  • @user-ux3it4bh7b
    @user-ux3it4bh7b 4 หลายเดือนก่อน +2

    Vizuri sana wachane mzazi
    Kuzaliwa ni sku 1 nakufa ni siku moja.
    (Mwenyezimungu) akulipe mzazi.

  • @jamesmfinanga1717
    @jamesmfinanga1717 4 หลายเดือนก่อน +1

    Haya maneno ni ya ukweli kwa mwenye hofu hata sasa anaeza timua mbio akawa free heart fully 🎉

  • @muhidinishauri5035
    @muhidinishauri5035 4 หลายเดือนก่อน +6

    Viongozi wote wa ccm ni wabinafsi sana wanajilimbikizia mali utafikiri wataondoka nazo akhera kumbe watandoka na sanda tena rangi moja nyeupee innalillah waynnailahin rajun

  • @jafetichusi284
    @jafetichusi284 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba nimekubali

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hiii bwana hiii n kweli kabisa hiii kweli tupu

  • @petrusmakupe2093
    @petrusmakupe2093 4 หลายเดือนก่อน

    Sikujua ! kumbe ni kama Mwalimu mwenyewe!. Vladimir atachumbia binti yako ili kutimiza maono Well done SANCHI

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hii kabla ya Hayati
    Magu. Ni ya zamaniii

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli mkuu

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 หลายเดือนก่อน

    Umezeeka mzee

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 4 หลายเดือนก่อน +3

    Safi Kabisaa

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kihame cha kinachokinzana na maoni ya mwasisi

  • @user-zz4hr7dj9u
    @user-zz4hr7dj9u 4 หลายเดือนก่อน +2

    RC wa rukwa ,,akiwakirishaaa

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu2750 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli kabisa

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makongoro unajifanya nichekee simu...

  • @user-mc8rz4yp4r
    @user-mc8rz4yp4r 3 หลายเดือนก่อน

    Makongoro Nyerere hoyeeeee🎉

  • @TitoMwaisoba-cb1ir
    @TitoMwaisoba-cb1ir 4 หลายเดือนก่อน +2

    CCM WENGI NI VIBAKA 2

  • @leonardmagwayega4149
    @leonardmagwayega4149 4 หลายเดือนก่อน

    So amazing, so ambitious

  • @user-gh9qf5ps7d
    @user-gh9qf5ps7d 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @judicatendengerio-ndossi1583
    @judicatendengerio-ndossi1583 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ni kweli yote unayosema. Maskini hana nafasi CCM hasa ya sasa.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 หลายเดือนก่อน

      Acha kupotosha huyo ni mkuu wa mkoa.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 4 หลายเดือนก่อน +5

    Baba yako alikuwa nimtu anayeheshimumaadili.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tatzo linalokitafuna chama cha mapinduzi ni ufamilia zaidi

  • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
    @NATACIARAPHAEL-iz8kr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wachache sana wanaosema kweli

  • @galluskanenge4898
    @galluskanenge4898 4 หลายเดือนก่อน +2

    Vigeugeu ni mithili ya macho ya Vinyonga ,njaa +kelele ,(shibe +ukimya .Hovyooo😂

  • @yesgood3491
    @yesgood3491 4 หลายเดือนก่อน +5

    Most they don't know you,but your very very resourcefully person.
    Your level is presidential post.

  • @LiciasNzaniye
    @LiciasNzaniye 3 หลายเดือนก่อน

    Utauawa wew

  • @user-og4ox5jb4v
    @user-og4ox5jb4v 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chukua nchi ya baba yako

  • @mttanzaniamalimilo6657
    @mttanzaniamalimilo6657 3 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli leo Makongoro,(mzee wa mauzauza umeongea ya maana na ukweli usiopingika kuhusu ccm nimekuelewa sana na kl alie na akili timamu atakua nimekuelewa, tunaomba muambiane ukweli ndani ya chama na badilisheni mfumo wenu huo wa kupata mgombea

  • @amosshindik
    @amosshindik 3 หลายเดือนก่อน

    Pombe inamazara Rose mhando

  • @zebedayodiganyeck2046
    @zebedayodiganyeck2046 4 หลายเดือนก่อน +2

    Busara

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 3 หลายเดือนก่อน

    Yatatimia tu.

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 4 หลายเดือนก่อน +8

    Ukimwangalia Mzee huyu na kumsikiliza unaweza kuona kama masiharaa.ila hapa kicheko chake kinadhihirisha wazi anachukizwa na mambo haya.leo wapo baadhi ya viongozi wanamuharibia mama samia.na mama anachapa kazi kwelikweli ila jitihada zake zinakwamishwa na wasio mpenda ili wamuharibie.watanzania tulijue hilo mama anachapa kazi

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 4 หลายเดือนก่อน

      Ukikaa na mwizi na wewe unakuwa mwizi kwanini usimtoe

    • @elipidhugotesha1909
      @elipidhugotesha1909 4 หลายเดือนก่อน

      sasa hao si waondolewa na mama tuu

  • @allyorry2013
    @allyorry2013 4 หลายเดือนก่อน +1

    Umbea tu uongo!

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Heee sauti kama anatafsiri muvi zakigeni !!!

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 3 หลายเดือนก่อน

    M
    R Makongoro Uko Unasema Nini Unahamaje Chama Chako? Si Ulizaliwa nacho. Usikiache Endelea kukosoana ni Kawaida.Kula nao.

  • @user-rp8vz2yt4j
    @user-rp8vz2yt4j 4 หลายเดือนก่อน +3

    Na kamwe hasingeweza kukusaidia,,,ulitakiwa hujipabanue na kukubalika ww kama ulivyo.,...siasa n juu ya hoja,,,,na hitikadi ... Nyerere alizigatia kwanza uzalendo,,,uliobebwa na hoja za kupambania wananchi....mbali na taratib za kichama....lkn hoja bnafsi na mitazamo bnafs vnatakiwa vikubebe ,..

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 4 หลายเดือนก่อน

      Ameeleza vzr angekuwa mzazi mwingine angeinua simu tu na wangepitisha jina

  • @user-wr8se5re4j
    @user-wr8se5re4j 4 หลายเดือนก่อน +2

    YETUMACHO CCM INAVITUKO WA TANZANIA

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mtoto wa simba ni simba 🤔

  • @user-uf6lo1iu2q
    @user-uf6lo1iu2q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waambie ukweli hao

  • @iddymussa8406
    @iddymussa8406 4 หลายเดือนก่อน

    Kama mwalimu!!

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani kumbe mzee nyerere sio mchezo aiiseee asante mh .makongoro kwa kuongea ukweli

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tema nyongo

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 4 หลายเดือนก่อน

    Umenena lakini Chama ch Mapinduzi ni cha maheremu babako unaondoka kwenda wapi?warekebishe tu.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ni kama wanavyomuharibia Mama samia yaani kwa sasa hivi kila kona viliio😢

  • @kanyikakatikaza1081
    @kanyikakatikaza1081 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmmmmmh

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 3 หลายเดือนก่อน

    Nyote ni vibaka hata Wewe mwenyewe ndiye kwani hamujuikani muliyoyafanya mwaka 2020 hata mmoja hamukuchaguliwa na wananchi mulipewa na Dola na Tume ya Uchaguzi wote Wabunge nani anabisha

  • @daisynyerere5730
    @daisynyerere5730 4 หลายเดือนก่อน +2

    😅😅😅😅😅

  • @masiretv9729
    @masiretv9729 4 หลายเดือนก่อน

    Wataje kama inawezekana

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba kiondoka ccm kutakuwepo na mpasuko mkubwa sana

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tv ya kipumbavu sana hiii

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 4 หลายเดือนก่อน

    Tafsiri yke ukiwa na rafiki kibaka tusemeje😅😅😅

  • @eng.lazarongoro
    @eng.lazarongoro 4 หลายเดือนก่อน

    Kama wenzako hawakutaki kua mpole, nenda kafanye siasa sehemu nyingine. Iko siku watajua umhimu wako, Wakijua umhimu wako watakutafuta

  • @SabilaJohn-hf9qu
    @SabilaJohn-hf9qu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ibula

  • @mrajani786
    @mrajani786 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anaugonjwa waa kucheka k

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 4 หลายเดือนก่อน +2

  • @zablonhibwanashon9770
    @zablonhibwanashon9770 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumekucha

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli mchungu lkn umewachana

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 4 หลายเดือนก่อน

    Anacheka kama baba ake

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kakuahidi nafasi nini?.

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anachukua video ya miaka tisa nyuma. Anaileta leo. Ili apate VIEWS!

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. Makongoro umenena yote! Huu ndio uhalisia na ukweli wa CCM. Katiba na miongozo imelemewa na 'wamiliki wa chama'

    • @josephkaveya4284
      @josephkaveya4284 4 หลายเดือนก่อน

      Kamanda wangu hekima huu kama babako

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 4 หลายเดือนก่อน

    yani makongoro anaongeaga ukweli kabisa hawa ndo watu wanaye takiwa wapewe inch najiulizaga kwanini hagombei urais sio ubunge

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kati yawezi wakubwa ..nchini... ni hao nahuyo..

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 4 หลายเดือนก่อน +5

    CCM 99% ni vibaka

  • @charlesaketch3647
    @charlesaketch3647 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kama mtu ni rafiki yako mantis heshma umenena vyema

  • @user-rp8vz2yt4j
    @user-rp8vz2yt4j 4 หลายเดือนก่อน +3

    Aya!! Bhana ....Ila kama hayati jk Nyerere angefanya siasa kama zako ,sidhan kama angefika mbali...ukiwa kiongoz mkuu na kuendekeza marafk ,,,kamwe huwez kupata ufanis.....wewe Huna itikad za kizaledo,,,Bali za kishabiki...rip julias kambarage Nyerere...,.

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂😂

  • @dastanjack9741
    @dastanjack9741 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hii Ccm imetuchosaa,kikwete anamharibia Mama 5:50

  • @abochejuniorhutingwa223
    @abochejuniorhutingwa223 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nitafurahi km kuna siku apata nafasi ya kugombea urais wa jamhuru ya muungano wa Tanzania

  • @user-lb2xm9rt8m
    @user-lb2xm9rt8m 4 หลายเดือนก่อน

    U

  • @7wilsonemmanuel541
    @7wilsonemmanuel541 3 หลายเดือนก่อน

    😂

  • @MohamedSleyim
    @MohamedSleyim 4 หลายเดือนก่อน +2

    Clip ya enzi za awamu ya 4 hii.

    • @Goofyplayz-fj3ce
      @Goofyplayz-fj3ce 3 หลายเดือนก่อน

      Kinacho shangaza ni kama ameongea Jana!

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 4 หลายเดือนก่อน +1

    HAPO UMEPATIA KABISA.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wamezidi sana hao c c m kweli Makongoro unasema ukweli wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya arusha hawajalipwa mafao Yao mpaka Leo Makongoro tusaidie tupate haki yetu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 4 หลายเดือนก่อน +2

    Msilete utani kwenye mambo serious. Huu si utani. Ni mambo yanawagusa watu moja kwa moja. Be serious.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 4 หลายเดือนก่อน

      Anachukua video ya miaka tisa nyuma. Anaileta leo. Ili apate VIEWS!

  • @asheryngaiti5549
    @asheryngaiti5549 4 หลายเดือนก่อน +1

    We jamaa muongo sana 1995 Act wazalendo?

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 4 หลายเดือนก่อน +1

      We ujui kitu ulikuwa ujazaliwa labda. Alikuwa NCCR MAGEUZI.

    • @Linconmedia
      @Linconmedia  4 หลายเดือนก่อน

      NCCR MAGEUZI ,IMEKOSEWA TU CHANGAMOTO ZA KAZI

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@saliminyusuph6122 Hakusema ACT kasema NCCR mageuzi, hakuna alichoongopa nikweli amewahi kuwa mbunge wa Arusha kwenye uchaguzi wa vyama vingi kwa mara ya kwanza 1995

  • @dastanjack9741
    @dastanjack9741 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii Ccm ni Majanga,wali

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wachaneeee wezi tu eti mtumishi wa Uma anakuwa milionea kwa wizi mtupu

  • @keshimediatv2489
    @keshimediatv2489 4 หลายเดือนก่อน

    😂