Utani wa Makongoro Nyerere kwa Masista na Abate Mbele ya Maaskofu, Watu waangua Vicheko Kanisani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2023
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GDS87FVmKB5...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Makongoro Nyerere tena katika ubora wake. Huyu anajua kulisha mgonjwa akala akashiba huku mwenyewe akiwa hakumbuki kama aligoma kula!... Speech flani nzuri haichoshi na yenye kuburudisha. RUKWA HOYEE😂😂
Yaaa Serikari rudisheni shule
Huyu jamaa anatosha kuwa Rais
Stendap comed
Kiki oyeee
💯
Maisha kujipendekeza 😊 kujipendekeza oyee
😂😂😂aisee
Jamaa mpenda kiki
Napenda mistari na misamiati yake jinsi anavyoipanga mwana huyu ya marehemu raisi mstaafu Mzee Nyerere,Hongera sana
😂😂😂Chai mmekunywa.
Kiki ni nini?
Mtu wa amani, anapenda watu wacheke lkn ktk kazi ni jembe..
Mpeni maua yake mzee wa Manyara
madaraka kwa nini hapendi siasa naona kama angefaa sana kama kaka yake huyu
Hanaga la msingi ni masihara na utani tu
Wewe lako la usenge liko wapi pumbu sana ww. Hivi ww na makongoro Nyerere unamzidi nini kama siyo ww ni msenge tu michaelthadeos. Eti hanaga la msingi ww la chooni tu ndio unaona hanaga. Ww hata cheo cha kusimamia mashoga wenzako haujapewa. Wachana na Mh. Makongoro Nyerere hauna Legacy ya kumfikia
Acha uongo wenyewe degree walikuwa zaidi ya kumi hasa degree za ualimu
Kama umepinga apo bas umetokea Kenya au uganda hujui lofoten kuusu histor ya tz
Ulikuepo miaka hiyo au unataka Kiki nawewe??😂😂😂😂😂
@@jimmymbella997 sikuwepo lakini baba yang alikuwrpo na akiwa mmojawapo waliokuwa na degree tena aliipata kabla ya baba wa taifa .
Makongoro ni mtu mzuri anaejua kuchomeka points muhimu mkapokea kama utani.kumbe ndio wameshamaliza linalotakiwa