Alicho kisema Prophet edmound kuhusu UCHAGUZI 2025 | KUHUSU MAKUNDI MATATU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW:
    INSTAGRAM:
    / edmound_mys .
    .
    TH-cam:
    / edmoundmuye. .
    AUDIO PODCASTS:
    player.fm/seri....
    .
    FACEBOOK ACCOUNT
    web.facebook.c....
    .
    church.heavenl...

ความคิดเห็น • 227

  • @deborahmwaipopo833
    @deborahmwaipopo833 6 หลายเดือนก่อน +35

    Tunapotoa comments, ni vyema kujua namna ya kuandika neno la muumba wetu. Ni Mungu au ukipenda andika MUNGU, HATUNA neno mungu likamaanisha Muumba wa Mbingu na Nchi. Pitia Biblia na tuone inavyoandikwa. Ameeen Ameeen, Shalom Maranatha.

    • @stephenkalidush5446
      @stephenkalidush5446 หลายเดือนก่อน

      hilo ni dogo sana herufi kubwa iko moyon, unaweza andika herufi kubwa ila moyon hayupo.
      lakn asante kwa ukumbusho mzuri

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 6 หลายเดือนก่อน +12

    Mapenzi ya Mungu yatimie,Amen.Ccm ife kama inavyouwa wengine!

    • @rastheunique
      @rastheunique 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tena ife na ioze kabisa japo hatutaisahau Kwa ilichotufanyia

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 4 หลายเดือนก่อน

      Hujausikia unabi unasema watashka serikali za majimbo

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 7 หลายเดือนก่อน +25

    Bwana tunamuomba Mungu atuletee mtu kama JPM

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 6 หลายเดือนก่อน

      Nani alimuondoa

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@frankjohn8706waliomuondoa

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@frankjohn8706nyie majambazi

    • @rastheunique
      @rastheunique 5 หลายเดือนก่อน +2

      Jpm nammiss ila kamwe asitokee kiangozi kama huyo tena Tanzania! Ilikuwa ni ajali

    • @sethymagyo3405
      @sethymagyo3405 4 หลายเดือนก่อน

      Una roho ngumu wewe dada

  • @OzonMwangosi
    @OzonMwangosi 24 วันที่ผ่านมา +1

    Aminaa,mtumishi wangu wa ibrahimu na isaka,mungu azid kukuonyesha na jina lake libarikiwe sana,ntajinyenyekeza mbele za bwana ili atakaporud nimlaki mawingun,mungu aisaidie tanzania

  • @NeemaRamadhani-wm8vv
    @NeemaRamadhani-wm8vv หลายเดือนก่อน +2

    Amina mchungaji naomba tupate kiongozi bora ajaye.

  • @MicahLutambi
    @MicahLutambi หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU atuepushhe na dhoruba hiyo nchini TANZANIA amen

  • @ahazichunya4265
    @ahazichunya4265 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika Mungu amekuita kutusaidia katika macho ya rohoni tutambuee yatupayao kutenda mbele za Muumba wetu Mungu wa Mbinguni akutunzee

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 6 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe ulio wazi. Na iwe vile Mungu mwenyewe apendavyo kwa Jina la Yesu. Amen

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 หลายเดือนก่อน +6

    AMEN Mtumishi wa Mungu aliye hai. Hakuna kundi lolote linalomuishia MUNGU wa kweli aliye hai...! Tunamuombea yupi kati ya hawa wasioamini?! Nabii wa Mungu, je, sio sahihi tukiomba kwaajili ya Taifa lote badala ya makundi haya?

  • @PascalPascual-rn6fx
    @PascalPascual-rn6fx 7 หลายเดือนก่อน +9

    Pascal Bujimu classmate wako shule ya msingi, nafarijka sana kwa hatua uliyofikia Mungu akubariki sana katika huduma yako.

    • @edmoundmystic
      @edmoundmystic  7 หลายเดือนก่อน +4

      Oh waoh Bwana akubariki sana. Tutafutane ndugu yangu. Wewe ni ndugu yangu!

    • @PascalPascual-rn6fx
      @PascalPascual-rn6fx 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@edmoundmystic haya mtumishi wa Mungu.

    • @Shedrackwilfred
      @Shedrackwilfred 7 หลายเดือนก่อน +2

      Yaan Rose Huyu unamwamini naye Kama nabii?

    • @edmoundmystic
      @edmoundmystic  7 หลายเดือนก่อน +8

      @Shedrackwilfred Nuhu alitumwa na Mungu hilo halikupi shida. Yohana alitumwa na Mungu, hilo nalo halikupi shida. Moses Kulola alitumwa na Mungu najua haikupi shida. Unataka Mungu amfufue Nuhu wa Biblia aje Tanzania aseme ndo utaamini n Mungu anaongea?? Ni nani ulitamani Mungu amtume, na mwenye vigezo gani ungemsaidia Mungu kuchagua! Fungua macho yako uone jinsis maisha yako unavyoyaingiza penye jangwa!

    • @Shedrackwilfred
      @Shedrackwilfred 7 หลายเดือนก่อน +2

      @@edmoundmystic ndugu Kama Umeweza Muita Geodavie Mtumishi wa Mungu basi *ni wazi njia unayoipita sio ya Kweli*

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 7 หลายเดือนก่อน +16

    Amina NABII wa Bwana

    • @ryobanchagwa2499
      @ryobanchagwa2499 5 หลายเดือนก่อน

      Rose nimefurahi kukuona king wa Muziki wa injili

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 7 หลายเดือนก่อน +5

    Nitamuombea Samia kwa kuwa tu imeandikwa,, waombeeni mema maadui zenu ila moyo wangu uko mbali kabisa nae so aruhusu katiba mpya ili wizi ukome ktk nchi hii

  • @YusufuNyangusi
    @YusufuNyangusi 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akurnde hofu yangu usje ftwa kwenye uso wadunia maana unayaweka lehani maisha yako' talatbu unawatoto tofauti naiman yako ebu tzama yesu mwenyewe aliumizwa unaongea mwri wangu unatetemeka navja jasho mungu akurnde mtumishi.

  • @graceshayo5763
    @graceshayo5763 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jmn hakun mtu ambaye ni nabii Mungu pia amemwonyesha haya ili unabii uwe na usibidiashwe

  • @user-ge7tc6ur8x
    @user-ge7tc6ur8x 5 หลายเดือนก่อน +1

    munguu nimwenye haki kuna viogozi wanatunyanyasa baadhi yawanaichi

  • @user-fv1qo5lh8z
    @user-fv1qo5lh8z 6 หลายเดือนก่อน +3

    Acha Mungu awafyeke wote walioharibu nchihii tukiwaombea wanakuwasalama wanaendeleakuharibu nchiyetu.

  • @user-ls6me1de4k
    @user-ls6me1de4k 7 หลายเดือนก่อน +8

    Mapenzi ya mungu yatimiye . Amen

  • @user-tp5dn3jb9g
    @user-tp5dn3jb9g 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina mtumishi tuombe sana jamni.usiogpe kufa kimwili maana utaurithi ufalme wa mungu muumba mbingu na ichi

  • @edmoundmystic
    @edmoundmystic  5 หลายเดือนก่อน +3

    2:56 wa kwangu…Prophecy has began to be fulfilled.

    • @josephmutalemwa1461
      @josephmutalemwa1461 5 หลายเดือนก่อน +1

      Suree prophecy confirmed kbsaa Mambo yasha anza

  • @GidionRaphael-j8g
    @GidionRaphael-j8g 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mapenzi ya mungu yatimizwe

  • @user-ur8ex5mq3l
    @user-ur8ex5mq3l 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nabiii ubarikiwe na bwana na Mungu aendelee kukupa maono zaidi naamini napokea unabii kwaj kina la yesu

  • @user-gu6en8ct4m
    @user-gu6en8ct4m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hikawe ivyo ivyo ktk jina la YESU

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 7 หลายเดือนก่อน +6

    Huu unabii ni WA kweli ni muhimu kumuombea sana sana mama Samia

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 7 หลายเดือนก่อน +12

      Ili mapenzi ya Mungu yatimizwe tumechoka na uongozi dhalimu

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 6 หลายเดือนก่อน +1

      Na yeye inatakiwa ajimbee alone jee aliyoyaacha Magufuli alifuatisha au

    • @princenelsonsinko5237
      @princenelsonsinko5237 4 หลายเดือนก่อน

      @@mariamfaicalhassan2890 kwahiyo hujamuombea

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mtumishi kama unasukumwa na mungu saw ila kama ni binadamu umefeli😢😢😢😢😢

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ulikuwa kushashiba tu, nabii wa siasa , kazi uongo tu.

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aliichukia ccm kitambo

  • @pastorabraham7551
    @pastorabraham7551 7 หลายเดือนก่อน +7

    Nalipokea Neno la Bwana .

  • @CharlesMwakanyanyila
    @CharlesMwakanyanyila 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina ila kama unasukumwa naMungu safi

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x 6 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana afrika sida tu usaliti utaisha lini?ni ole ole kabisa

  • @patrickJosse-t7h
    @patrickJosse-t7h 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tunachoomba Huyu mama asiendelee kuongoza inchi 😂😂tunapigwa mno

  • @samuelmakara
    @samuelmakara 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe ombea katiba ambayo itaweka wagombea katika mizani sawa.

  • @AnneyAmablique-tw5mi
    @AnneyAmablique-tw5mi 6 หลายเดือนก่อน +2

    The prophecy is very clear what we all need is prayers. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu isaidie Tanzania

  • @lemalema5221
    @lemalema5221 7 หลายเดือนก่อน +10

    Kazi nzuri classmate...nakuona mbali sana..Mungu akusimamie

  • @MSHUA1985
    @MSHUA1985 26 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu nabii ni msenge Sana tena ni nabii wa mchongo sasa hapo anahubiri injili au anasimulia hadithi alizozitunga mwenyewe na waumini wake ni kama mazuzu wanavomsikiliza Aache uongo na atafute kazi ya kufanya nabii choko

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 23 วันที่ผ่านมา +1

      Wewasema ila chunga sana kinywa chako wekijana,usiwe kam yule aliyekuw na YESU msalabani

    • @jumamario-vr1mw
      @jumamario-vr1mw 22 วันที่ผ่านมา

      We mwenyewe no Zuzu kwakuwa umemusikiliza

  • @franciswillfred9763
    @franciswillfred9763 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu atupatie Raisi sahihi 2025

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 4 หลายเดือนก่อน

      Mwenye uruma na watanzania ni Gwajima na anauwezo wa kuendesha nchi bila kuiuza

  • @rizicksaruni3538
    @rizicksaruni3538 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mama aligeuka mipango ya magu kuusu taifa

  • @kepharichard4183
    @kepharichard4183 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kitu ambacho huwa nashindwa kukuelewa ni unabii wako unavyokuwa unauongea kwa mafumbo, wakati manabii walikuwa wakiongea direct na kutoa solutions ili jamii na uongozi ujiandae au ubadilike. Lakini manabii waleo utadhani Mungu yupo mbali nao. ni jamaa mmoja wa arusha @huduma ya kristo you tube ndiye anaenda direct

  • @HAAM670
    @HAAM670 7 หลายเดือนก่อน +7

    Amen Prophet, unabii upo clear kabisa. What we need is to pray for this Nation ili tuvuke salama.

  • @pilimpinga647
    @pilimpinga647 13 วันที่ผ่านมา

    Amina mtumishi wa Mungu 🙏

  • @user-zj1oz5wl5r
    @user-zj1oz5wl5r 6 หลายเดือนก่อน +3

    Haya maelezo kama samia anapita tena 😭😭😭😭

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 6 หลายเดือนก่อน +3

    Ndo tunachotaka Mungu atamweka anaeona anafaa

  • @barnabasjosiah2554
    @barnabasjosiah2554 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jiombee mwenyewe mkuu hujui ulisemalo

  • @AlphaBukuku-f9j
    @AlphaBukuku-f9j หลายเดือนก่อน +1

    Acha siasa bro mungu sio wa mchezo wanao kusikiliza ni wengi kwanini uciongee yanayo Toka ktka biblia acha ubbaishaji

  • @kabichishida8137
    @kabichishida8137 7 หลายเดือนก่อน +3

    Unaacha kuhubiri neno la mungu unawaka tamaa

    • @belovedflorence4109
      @belovedflorence4109 6 หลายเดือนก่อน

      Ninatafuta kwenye huduma ya Yesu na mitume, labda sijasoma biblia yote bado nione kama nao walifundisha siasa.😢. Biblia siyo ya mzaha na wavivu, ndo maana wanafanya siasa na saikolojia kwenye madhabahu ya Bwana.

    • @user-in6eg5np7l
      @user-in6eg5np7l 6 หลายเดือนก่อน

      Siasa ni mfumo wa Dunia , kilicho mfanya shetani awe adui mkubwa wa Mungu na wanadamu ni madaraka

    • @rynerlinuma8484
      @rynerlinuma8484 6 หลายเดือนก่อน

      Tena tamaa kweli

    • @Punda284
      @Punda284 6 หลายเดือนก่อน

      Uongozi hutoka kwa Mungu,tofauti kabisa na inavyidhaniwa kuwa siasa.

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 6 หลายเดือนก่อน

      Ukisikia kikulacho ndioo hii sasa😂😂Walimsaliti kipenzi chetu wacha watafunanee tuu

  • @AlphoncePaulo-u1k
    @AlphoncePaulo-u1k 13 วันที่ผ่านมา

    Kazi

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 6 หลายเดือนก่อน +1

    Muñgu atusaidie ni hatari 😊

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yohana 14:6
    Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
    Mtumishi. Acha kutisha watu. Umekosa neno la kuhubiria waumini wako.

  • @timothngassa9237
    @timothngassa9237 6 หลายเดือนก่อน +1

    Unarikiwe mtumishi

  • @nurumnyumba7964
    @nurumnyumba7964 7 หลายเดือนก่อน +4

    Uchawa kanisani!

    • @kobylwaho3191
      @kobylwaho3191 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂uchawa tena?😂😂

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaah

  • @ramsomnanka8688
    @ramsomnanka8688 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sahihi kabisa mtumishi,

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 21 วันที่ผ่านมา

    Acha Mungu afanye

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kama sijaelewa vizuri namba 4 ni Kikwete, 5 Magufuli na 6 ni Samia

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hallelujah

  • @ChristinaJulius-ss7ir
    @ChristinaJulius-ss7ir 29 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU tusaidie

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 6 หลายเดือนก่อน +1

    4,5,6
    Aisee
    Haya mi naombea nchi na viti ,watakaa wanaotakiwa kukaai ,siombei mtu ,wasiotakiwa watajiju,Mungu anajua yupi anafaa

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga1942 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu inusuru tz

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sina shida na unabii wa uliooteshwa ,lkn swali langu ni kwamba tutaaminije kuwa niya KIMUNGU

  • @brunomchalla4439
    @brunomchalla4439 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huo sio utabiri ila ni UCHAMBUZI wa hali ya kisiasa nchini. 😮Tunajua mgawanyiko ulioko ndani ya CCM kwa sasa. Tunajua jinsi upinzani unavyozidi kujiimarisha kwenye mikoa yote. Tunajua mkakati unaofanywa wa kuwa na Tume ya Uchaguzi itakayo hakikisha Chama fulani kinashinda.

  • @juliuskasasa7485
    @juliuskasasa7485 6 หลายเดือนก่อน +2

    Usanii katika ubora wake

  • @livingmunisi5963
    @livingmunisi5963 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie manabii Wa uongu mtazidi kulitabiria taifa mabaya mpaka lini ushuhuda Wa uongo utawapeleka jehanam

  • @c.bproduction2576
    @c.bproduction2576 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen. ..Camera man na editor jitahidini muaplod material ambayo ipo clear mtumishi aonekane sisi tunaona gizagiza tu

  • @eliassampa8719
    @eliassampa8719 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana alitetee taifa lake

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili2481 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kidogo upatie

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo ndipo nawashangaa serikali inavurunda halafu mnaitetea kuendelea kuharibu nchi

  • @InnocentKnittingYarn-rn3zv
    @InnocentKnittingYarn-rn3zv 5 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli kabisa Kwa sbb hayo mambo tayari yashaanza kimya kimya

  • @festokastory5282
    @festokastory5282 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh 😮😮😮

  • @mrhekimasuleiman3884
    @mrhekimasuleiman3884 11 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi halisi hana chama, Kazi yake kuombea watu wote, ni wakiri wa Mungu anaye wanyeshea mvua wanao amini na wasio amini,
    wala kwenye siasa hayuko kabisaa,
    kwani imeandikwa kila alitajaye Jina la Bwana na auache uovu! uliona wapi mwanasiasa ameacha uongo.

  • @getrudankole7445
    @getrudankole7445 23 วันที่ผ่านมา

    Natamani awamu ya nne ikufe na ya sita , Nimechoka

  • @NeemaJoseph-uo2gw
    @NeemaJoseph-uo2gw 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kusudi la MUNGU litimie katka nchi yetu tupate kiongoz mwenye hofu na MUNGU tu bas

  • @Shafiikabelwa
    @Shafiikabelwa 5 หลายเดือนก่อน

    Mh! Mtihani huu wakristo mnapotea xana dini ya uongo mtupu na mnakalilishw kila kitu na mnaamin

  • @user-tv5os6rc3w
    @user-tv5os6rc3w 7 หลายเดือนก่อน

    mungu atusaidie

  • @user-ni5mu4er8z
    @user-ni5mu4er8z 7 หลายเดือนก่อน

    Amen mno

  • @SamweliMwamulima
    @SamweliMwamulima 25 วันที่ผ่านมา

    Tusilaumu manabii Bali tuombe ili Mungu atuonyeshe walio wa kweli tusikimbilie kuhukumu Bali tuombe kwa bidii ili tupewe macho ya Kuna maana imeandikwa

  • @emmanuelbusuti8800
    @emmanuelbusuti8800 หลายเดือนก่อน

    Maandiko yametimia watatokea manabii wa uongo si ndiyo hawa

  • @BakariCheo
    @BakariCheo หลายเดือนก่อน

    Kwan kanisa ni siasa au mbn kila mtumisha anazngmza habar za siasa kisa uchagz umekarbia kanisa bwana wat ata awaamki bongo zao toeni maubr acheni siasa

  • @salama1113
    @salama1113 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acha uchawa waimize waumini kufanya mema na ibada

  • @SofiaMvungi-zu5tg
    @SofiaMvungi-zu5tg 7 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU TUNAKUOMBA UTUINULIE KIONGOZI MZALENDO MWENYE UCHUNGU NA TZ

  • @user-ow9qm7nr3k
    @user-ow9qm7nr3k 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mtumishi wa Bwana watachagua wenyewe kuamini au kutoamini..

    • @yusuphibrahim-yq9mv
      @yusuphibrahim-yq9mv 6 หลายเดือนก่อน

      Hata hamjie lewi kabisa wakristo wajinga sana

    • @graceshayo5763
      @graceshayo5763 6 หลายเดือนก่อน

      Wajinga wenyew kwenda zako

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 4 หลายเดือนก่อน

    Mnamjua mtu mwenye uruma na watanzania na mwenye akili nyingi na Muombaji

  • @user-ry8vh8hw3z
    @user-ry8vh8hw3z 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mamayetu amjiingiza kwenye vita isiomhusu kwahio Mungu atamazibu. Yeye nakikwete mshauri mbaya wataazibiwa vibayasana😂

  • @user-qh8jb9kh6i
    @user-qh8jb9kh6i 6 หลายเดือนก่อน

    Unauakika kuwa ni mungu ama shetani

    • @user-fv1qo5lh8z
      @user-fv1qo5lh8z 6 หลายเดือนก่อน

      Pokea tarifa.niM 9:33 ungu au shetani munchies mtoataarifa

  • @pilillasijaona3307
    @pilillasijaona3307 7 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba Prophet

  • @saalim5401
    @saalim5401 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna hiyo uongo mtupu tafuta kaz hivi mm nashangaa wakristo mnakuaje mnadanganywa hivi mmebweteka tu kweli mmepotea poleni sana kila mtu utabiri utabiri hamuoni aibu wehu Nyie?

  • @hildegardangowi5383
    @hildegardangowi5383 7 หลายเดือนก่อน

    mungu atunusuru

  • @qmanelikemwenda2621
    @qmanelikemwenda2621 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna unabi hapo. Ila ni uchawa na kujipendekeza tu. Kweli makanisa ya kujipendekeza ni shida tu.

    • @user-om6wy1vo3o
      @user-om6wy1vo3o 7 หลายเดือนก่อน

      We pumba tu mambo ya rohoni hujulikana kwa jins ya rohon

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n 5 หลายเดือนก่อน

      Kanisan mambo siasa Nini

  • @georgeexavier5921
    @georgeexavier5921 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU mwema prophet

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 6 หลายเดือนก่อน

    Wahimize watu wafanye mema ili Mungu atupe mtu sahihi

  • @user-fe6mq4qt4i
    @user-fe6mq4qt4i 4 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi mwaka 2025 Kuna makundi mengi yapo kinyume na mama ila tutashinda

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 5 หลายเดือนก่อน

    Siamini mwanadamu yeyote aliyeumbwa kama mimi naamini mungu ndyo muamuzi wakila jambo😅😅😅😅😅😅

  • @ElishaJohn-ws5ix
    @ElishaJohn-ws5ix 5 หลายเดือนก่อน

    Nabii unazingua tushachoka aya maisha ya ccm kama umeota ccm itachukua madaraka tena saa ccm tumeichoka sana wananchi

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 4 หลายเดือนก่อน

    Tena magu alikua akisema niletee .... na alisimama kutokomeza corona

  • @BakariCheo
    @BakariCheo หลายเดือนก่อน

    Toen mahubr kaz za kn mwijaku hizo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 6 หลายเดือนก่อน

    Ninavyojua Awamu za uongozi zinaundwa au kutokana na uchaguzi mkuu kwa mabadiliko . Utabiri huo unagusa namba na makundi ..
    Maana kuna Unabii na Utabiri na Maono..!!

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 7 หลายเดือนก่อน

    Mzee acha ushabiki Wa kisiasa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 6 หลายเดือนก่อน

      Utabiri huu nao umechukua MB zetu ..!!
      Amesikia rohoni ameoneshwa kwa macho. Naona anasimulia mtazamo wake !!

    • @stewartmlanga1263
      @stewartmlanga1263 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@richardnganya2311kweli

    • @mrhekimasuleiman3884
      @mrhekimasuleiman3884 11 วันที่ผ่านมา

      mtumishi halisi hapaswi kuzungumza mambo ya siasa, kwani yeah ni mtumishi wa Mungu aliye juu sana, ambaye America kila kitu, hivyo mtumishi ni wakiri wa Mungu, anapaswa afanye ya Mungu ambayo ni
      Upendo: kumpenda kila mtu aliyeko Duniani
      kuombea nchi, vyama vyote bila kubagua.
      kupinga unyanyasaji, ukatiri, ulevi,uzinzi nk
      lakini si.....................................

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 หลายเดือนก่อน

    Hii sina.hofu lazima kuna uhakika

  • @SeperaKahabuka
    @SeperaKahabuka 28 วันที่ผ่านมา

    Mbona wote wanatabili makundi?mabaya?