MKE ANUSURIKA KICHAPO KWENYE MAZISHI YA MUMEWE, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • MKE ANUSURIKA KICHAPO KWENYE MAZISHI YA MUMEWE, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 45

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว +6

    Angekuwa mwanamme ingekuwa Sawa tu! Wangapi wanawatelekeza wamama na watoto zao, mke akifa anakuja kimya kimya msibani, na wanaume wenzie wanajikausha as if sio mkosaji. Anyway 😉 when it comes to a woman haipendezi, si mfano mzuri kuwaacha watoto na mume.

    • @princessringo2879
      @princessringo2879 2 ปีที่แล้ว +1

      Alaf watoto wengine cy wa huyo baba eti

    • @edson2450
      @edson2450 2 ปีที่แล้ว +2

      Mafeminist Kila kitu unalinganisha na Wanaume , Mwanamke ni nguzo ya familia kamwe usijilinganishe na mwanaume.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      @@edson2450 hata kama na nyie inawabidi mjitambue na kujirekebisha, kila mtu atimize wajibu wake. Pia nimesema huyo mwanamke kakosea sana kumwachia mume watoto, lakini all in all hatujui alikuwa na sababu gani ya kuamua kumwacha mume na watoto na sasa Kwa aibu hii usikute anajuta

    • @edson2450
      @edson2450 2 ปีที่แล้ว

      @@MsAggie5 No matter what hakuna sababu yeyote ya msingi ya kutetea alichofanya huyo mwanamke. Mbaya zaidi amemkimbia na kumuachia watoto wake, mbali na kumdanganya muda wote..

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 2 ปีที่แล้ว +3

    Jamaaani dah aisee 🙆‍♂️🙆‍♂️baba wawatu alijua kujituma yule

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe ndo huyu jmn 😭😭😭pumzika kwa aman baba w watu 🙏

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 ปีที่แล้ว +1

    Jmn mung wang innalillah wainnaillah rajion amekuf yule baba wa wat😥😥

  • @doreenkaiza8037
    @doreenkaiza8037 2 ปีที่แล้ว +6

    Hii nchi ina vituko

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      Kila kukicha matukio

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 ปีที่แล้ว +1

    Ohhh it is so sad,this guy had a perfect healthy not long time ago

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 2 ปีที่แล้ว +3

    Maskini badala ya kurudi kwao kasafiri mazima,lala salama

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 2 ปีที่แล้ว +1

      Unacheza NA njombe labda wamemuuwa

  • @marthamilaji9385
    @marthamilaji9385 2 ปีที่แล้ว +1

    Uonevu huo bana mbona sisi wanaume wanatutelekeza muacheni mama wawatu

  • @cattydaniel5016
    @cattydaniel5016 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbona wanaume wanatelekeza watoto kila siku

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 ปีที่แล้ว

    Mmfungulie kesi yamapenzi 🤣nyie mm mwenyewe mpenzi wangu Anasumbuwa nisaidieni akae ata rokap lisaa tu 😋🙏🏻

  • @gressluhimbo1020
    @gressluhimbo1020 ปีที่แล้ว

    Duh Kumbe amefariki Yule baba Dah apumzike kwa amani

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 ปีที่แล้ว

    Hiyo nimeipenda

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm wala siwaungi mkono Kwa mlichomfanyia huyu mama kwani ni wanawake wangapi wanatelekezwa na watoto halafu mwanaume anaenda kuanzisha familia nyingine bila hata kujali.

    • @arafaoman9504
      @arafaoman9504 ปีที่แล้ว

      my tatiz wengine sio watoto wake pia ameenda kuishi na mwanaume mwingine a gechukua watoto wake na bado alipewa mimba na mtu mwingine na bado alinikuta na mtoto mwingine na akamlea vizuri tu

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 หลายเดือนก่อน

    Mh.mh.kwanini alimkimbia🎉🎉🎉mh

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 ปีที่แล้ว +4

    Mola msamehe mja wako

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q 7 หลายเดือนก่อน

    Mfunge huy0 muache raymond lukete wa kitunda kila kona anawatoto wafungwe wakinalukete kwanza

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani mfungen raymond luketr kila kona anawatoto anaterekeza

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 10 หลายเดือนก่อน

    Achani ujinga wanaume wanafanya mangapi , mnajiona Bora sana au nyie Hanna dhambi

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 8 หลายเดือนก่อน

    daaah kuna wanawake wana roho za ajabu jaman

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 ปีที่แล้ว

    😢😢😢😢😢

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 10 หลายเดือนก่อน

    Achani kujihesabia haki nyie watu mtaukuhujumiwa

  • @badaral6167
    @badaral6167 ปีที่แล้ว

    Acheni kumuukumu wanaume wenyewe ndio wakeaza

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    😓😓😓😭

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 ปีที่แล้ว

    Uonevu huo tena hana ndugu wajuaji

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 ปีที่แล้ว +1

    Hee

  • @hanifaalbalushi2483
    @hanifaalbalushi2483 ปีที่แล้ว

    hana adabu wala huruma

  • @aprow2059
    @aprow2059 ปีที่แล้ว

    Malaya mkubwa

  • @lameckntibandenche9553
    @lameckntibandenche9553 2 ปีที่แล้ว

    duuuu

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 ปีที่แล้ว

      ongeren sn wananchi😂😂Allah amfanyie wepeai maiti yetu

  • @witnessmassawe932
    @witnessmassawe932 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna wanawake wanajitoa akili mbona wanaume wanatutelekza

    • @junior-zj6bs
      @junior-zj6bs 2 ปีที่แล้ว

      Ukion umezaa. Mwanaum amekutelekeza.. jichunguze tabia zako.. ttzo lzm n wewe

  • @doreenkaiza8037
    @doreenkaiza8037 2 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 ปีที่แล้ว

    Mmfungulie kesi yamapenzi 🤣nyie mm mwenyewe mpenzi wangu Anasumbuwa nisaidieni akae ata rokap lisaa tu 😋🙏🏻