MTUHUMIWA UBAKAJI AMTISHIA MWANDISHI WA HABARI, ADAI 'ATAMTAFUTA' | DAY 5

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 190

  • @lazarokanga7446
    @lazarokanga7446 2 หลายเดือนก่อน +26

    mimi sio muumini wa watu kufungwa jera, lakina ukiangalia kama hapo unaona vijana tunaendekeza uhuni zaidi na hawaogopi
    Anyway, GOD OVER EVERYTHING 🙏😢

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli wanajiamin

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@EdnaMboweKwasababu wanajua ypo mtu anaewalinda

    • @silivestatesha9262
      @silivestatesha9262 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanini usijiami sasa mbaya nimbayatu hakuna mbaya mzur

    • @lazarokanga7446
      @lazarokanga7446 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@silivestatesha9262 over confidence inaua brother
      inawezekana ndo hicho hicho kilisababisha kujiamini hadi kufanya vitendo kama hivo

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa mwenye akili timamu hawez SEMA hvyo Mbele ya camera Na Mbele ya ma askari😢😢

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 2 หลายเดือนก่อน +15

    Heeeeee 😟 kumbe hawa jamaa inavyoonekana mnawatunza sanah huko sello😂 yaan mpk anapata nguvu za kunyosha kidole 😅😅 pumbav sana uyo kjana 😀

    • @frankmlalila1705
      @frankmlalila1705 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 2 หลายเดือนก่อน

      Hao hawajaguswa hata kibao, yaanibkuna dalili ya kuachiwa ama kufungw kifungo kisicho zidi mwaka

  • @shangazshangaz4222
    @shangazshangaz4222 2 หลายเดือนก่อน +7

    Huyo alie mnyoshea mkonomwandishi namchukia sana ndio yule aliekua akimsokomeza ķojoleo lake mtoto wawa2 mpaka makoo yakamkaoka akaomba maji yakunywa waka mnyima akazidi2 kumkandamiza kwenye hilo kojoleolake tena mungu amlaani kabisa😢🙄😏

    • @AbuodSeleman
      @AbuodSeleman 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 2 หลายเดือนก่อน

    Aya mambo yakupelekana jeshini kindugu ndugu pasipo kufuata vigezo kisa tu ni mtoto wa baba mdogo..matokeo tunakwa na watumishi ovyo wa selekari ambao ni wabakaji na ambao wanaamini Tanzania ipo Kiwanjani kwao

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 2 หลายเดือนก่อน

    Ila kujiamini😊😊😊

  • @daltonpaul5838
    @daltonpaul5838 2 หลายเดือนก่อน

    Wakaishi kenya

  • @saidimgina8299
    @saidimgina8299 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nashangaa sana ushahidi wa video upo tayari ite wanaleta mashahidi wengine kweli nimeamini sheria haina macho sheria kipofu

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 2 หลายเดือนก่อน

    Ndugu zangu naombeni muacheni matusi litawakuta lakuwakuta mutajilaumu sana ndugu zangu

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm 2 หลายเดือนก่อน

    mtuhumiwa ameingia mahabusu na kofia. hawa wanapata wapi hvyo vitu.. kama mkanda wallet simu kila kitu unakabidh pale mapokezi ya kiumeni

  • @fadhilishaha8000
    @fadhilishaha8000 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa Askari nao kama wanaendesha kesi ya ugaidi vile mnawatesa vijana wa watu bure na kutumia mafuta ovyo.

  • @KurthumKhamis
    @KurthumKhamis 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kabla auja mtafta na ujampata raia tushakuwai

  • @ShamsaMmero
    @ShamsaMmero 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan wamevaa na raba kbsa jmn khaa....na ujasiri wanao awajepewa kisago ao cha kueleweka

  • @subiramussa1428
    @subiramussa1428 2 หลายเดือนก่อน

    Yani mi ndo ningekuwa nimenyooshewa kidole ningeenda kumzaba kofi kwanza msenge sana

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo camera woman inaoneka ndio anawachukuaga vizuri kila siku 😅😅😅 pia hongera kwa jibu lake et " si utanioa bwana naww" 😂😂😂😂😂

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 2 หลายเดือนก่อน +41

    Mwandishi mfungulie kesi huyo kwa kukutishia wakati uko kwenye majukumu yako ya kazi.😊

    • @analisacecy
      @analisacecy 2 หลายเดือนก่อน +2

      Halfu hana hata wasiwasi

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 2 หลายเดือนก่อน +1

      Itakuwa kaongea shiti ndo mana jamaa ka panic kila mtu ana hisia sio ukiwa mtuhumiwa ndo huna haki

    • @analisacecy
      @analisacecy 2 หลายเดือนก่อน +4

      @@Alexismadimo itakuwa kwajili ya kuchuikuliwa video shit iyo kaongea mda gani na wamemuuona kwasababu mwanamke si wamezoea kuonea wanawake

    • @highskills5883
      @highskills5883 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Alexismadimo hata kama mbona wao walikuwa wanamtukana yule dada uku wanamfira sasa yy analeta kiburi wakati bado hajaingia jela 😂😂😂

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 2 หลายเดือนก่อน

      @@analisacecy feminist kumekucha

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kila cku wanabadil Nguo tu km wapo home kwann wasinyooshe vidole kwa dharau

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 2 หลายเดือนก่อน +13

    Itakuwa keshajua hakuna kesi ya kuwasumbua

    • @ChipoZau
      @ChipoZau 2 หลายเดือนก่อน

      Kwel maan xi kwakuxema vileeee

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 2 หลายเดือนก่อน

    Ndiyo awo jama

  • @ShivoKombo
    @ShivoKombo 2 หลายเดือนก่อน +20

    Wanauakika wa kotoka Hao hadi amwambie nitakutafuta 😅😅😅😅

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 2 หลายเดือนก่อน

      Umesema kweli hii Tanzania ni nchi ya ajabu snaa

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaaa umesema kweli mbwa hawa

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 2 หลายเดือนก่อน

      Daaaaa😢😢😢😢😢

    • @jovithakawimbe7472
      @jovithakawimbe7472 2 หลายเดือนก่อน

      Walisha Data 😢

  • @momylaviel
    @momylaviel 2 หลายเดือนก่อน +6

    Khaaaa mfungulie kesi huyoooo kakutishiaaa

    • @tynashao9200
      @tynashao9200 2 หลายเดือนก่อน

      Kabsaaa 😢😢

    • @epielamu891
      @epielamu891 2 หลายเดือนก่อน

      Ukweli aisee wanayo jeuriii

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 2 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @feisalomar-hr3hq
    @feisalomar-hr3hq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shoga kweli huyu jamaa eti nakutamani Yani watuhumiwa eti wakati wabakaji na ushahid upo wazi Hawa ni wakuvunjwa tu shingo zao naona washatuzoea kua tanzania sisi nikunguru waoga

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 2 หลายเดือนก่อน

    Hii kesi nyingine. Mwandishi fungua kesi

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 2 หลายเดือนก่อน

    HAPO ungemfungulia kesi ya kutishia MAISHA YAKO KENGE HUYO

  • @MariamJuma-y2w
    @MariamJuma-y2w 2 หลายเดือนก่อน

    mi naona wapewe na cm wachezee ukiiba kuku tu nangumi unachezya ukigeuka ila wao km wpo matembez

  • @ChullyKassa
    @ChullyKassa 2 หลายเดือนก่อน

    Hao washatoka mbona maana afande mwenye haonekani

  • @NasibunanaIsack
    @NasibunanaIsack 2 หลายเดือนก่อน

    Amna kesi apo bana

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo washajua watatoka sio muda jamani Tanzania tutamkumbuka magufuli nchi hii ya ajabu polisi sio watu wakuwaamini wao ndo wanabaka na kulawiti halafu wanateteana TU tusiwaamini polisi nawakitoka tusipige kula kabisa

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 2 หลายเดือนก่อน

    Asante Mwandushi, uliye wapiga Picha, umwnifurahisha

  • @irenlaurent9650
    @irenlaurent9650 2 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅Inabidi Nicheke kwanza ,,mbona wanajiamini Sana hawa watuumiwa

  • @Muheramaneva
    @Muheramaneva 2 หลายเดือนก่อน

    Kamela mani kaziunayo dada

  • @FatmaF-p5k
    @FatmaF-p5k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Izoo nguoo za kubadilisha wanapataa wapiii 😢

    • @Mrmohadi.OFFICIAL
      @Mrmohadi.OFFICIAL 2 หลายเดือนก่อน

      Tuna zugwa tu hawa dawa yao kuwaroga wanakuwa machizi ili familia zao zijutiwe wana jiamini mapaka wana sema tukitoka duh inaamaana wana uhakika wa kutoka sio duh kwel hii nchi bora niahame kenya

  • @JeminAbraham-f1o
    @JeminAbraham-f1o 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman Kuna haki kweli .nchi hii ya Tanzania mtu ana nakosa lkn anajiamin ivyo .duYan watu awaogopi Sheria ..sijui miak ijayo itakuaje n vizazi vyetu..mama samia tizama hili wewe Muslim mzur n unajua maandiko ya mwenyezi mungu

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 2 หลายเดือนก่อน +1

      Dawa yake Iko jikoni, hapo ndiyo anaithibitisha Ujasiri wa Kikatili alionao.

  • @HeriRamadhan-q7m
    @HeriRamadhan-q7m 2 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa tuko korea hao ni kuchinjwa hadharani tena uwanja wa wataifa.

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanatuzuga tu ana nguvu gani kusema ivyo😢

  • @RahmahossseniMadandi
    @RahmahossseniMadandi 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh jmn mbona wanajichekesha adi kumnyooshea mwandishi kidole mm bado cjaridhika mbona hta hawjakoma jmn

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 2 หลายเดือนก่อน

    atanyooka tu mpumbavu uyo...aliona kumnyonyesha ndonga mtoto wawatu mpaka akaomba maji ilkua n raha.

  • @RosalinaMakenzi
    @RosalinaMakenzi 2 หลายเดือนก่อน +8

    Duuu nchi ngumu sana hii kaah yan ni mtuhumiwa bado anajiamin namna hiyo

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hamkawii kuilaumu selikali bilakujua laia wenyewe ndio tunasababisha sasa kama huyu kijana anavyo Fanya

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@zaidiissa3714lazima tuilamu serekali maana anatishia aman wakati anajua serekali haimfanyi kitu uwe una makosa hasa hpo alafu bdo uwe na mikwala ww mwenyewe hupimi

  • @PeninaAdam
    @PeninaAdam 2 หลายเดือนก่อน

    Watambaka pia ,Yan Hawa vijana wana uwakika watatoka watashinda mana afande wao ni mtu mkubwa

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtuhumiwa anajiamini nini had anamnyoshea mwandish wa habar wakati bad ni mtuhumiwa.

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 2 หลายเดือนก่อน

    Hao papa mnawapa ulinzi mkubwa wakati mna pingu za kuwanyuka na smg moja mnamalizi mafuta ya bule ningewatembeza kwa miguu mpaka jera nikiona kuna Helement za kukimbia navunja miguu yote naita mkokoteni hawafai kupakia kwenye Gari hao vibaka hao ni washamba tu azabu yao wahasiwe tu wawaachie

  • @OmegaJustine
    @OmegaJustine 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo bangiii

  • @HamiduMrisho-ck1ft
    @HamiduMrisho-ck1ft 2 หลายเดือนก่อน

    Kwel kesi wemeshnda awa jamaa had wanaujasiri wa kunyooshea waandish vidole ivo

  • @AminaOmary-sm4wl
    @AminaOmary-sm4wl 2 หลายเดือนก่อน +1

    Visomewe tu al badr vikings sana me naona hata ndugu wa huy binti wanachelewesha ingekuwa me ndugu yangu zaman washafukiwa na 40 ishapita ukinga hiu

    • @zaiogy5787
      @zaiogy5787 2 หลายเดือนก่อน +1

      Katika comment zote hii nimeiyelewa yaan nasikia uchungu Kama nazaa ingekua Mimi saaizi washasahaulika mda Sana alilbadir moja tu

  • @acobisrem2project360
    @acobisrem2project360 2 หลายเดือนก่อน

    Yani bola wafungwe tu lkn wakitoka sijui km watakua salama kwa hasira hizi za wananchi, hapa tupu tunaona km uko lumande wanawapendelewa km vp wachomwe hata moto

  • @jacksonndomba9770
    @jacksonndomba9770 2 หลายเดือนก่อน

    nimesikia kama askali anawaambia wafungwa msijali 😮 nimerudia kama mara tatu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmh, dogo amejikinai

  • @teller_julio
    @teller_julio 2 หลายเดือนก่อน

    Khaaa ... Nime shangaa 😮😮😮

  • @AishaOmari95
    @AishaOmari95 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wakiachiwa nikudilinao ss wananchi tunawauwa mmojammoja

  • @Mudathiliyavuz
    @Mudathiliyavuz 2 หลายเดือนก่อน

    Dah

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 หลายเดือนก่อน

    Kuni huko rumande walienda kufanyiwa massage au?mbona hawana hata hofu wala majuto?

  • @AbuuMkabugo
    @AbuuMkabugo 2 หลายเดือนก่อน

    Watu hao waso hukumiwa mpaka leo ah inatia uchungu yani ivyo wanavyo fanya unajua haswa kamacwana toka bada wana achiwa

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 หลายเดือนก่อน

    Hiko kidole akamuonyeshee mama yake mbwa huyo

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi mfungulie kesi uyo jamaa kwanza ni mshenzi alafu aoni ata haya

  • @paullameck-r5j
    @paullameck-r5j 2 หลายเดือนก่อน +1

    amedhihirisha moja kwa moja kuwa yeye nd muhusika

  • @Gwen5845
    @Gwen5845 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hao bado awaja shika jembe la Gerezan wakisha vikwa Karoti mbona watanyooka 2 na wataanza kunyoosha mikono juu sio kidole tena mbele

  • @KhadijaChembela
    @KhadijaChembela 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน

    Yan huyo aliemnyooshea mwandishi kidole mtt mlaini kabisa huyo akifika jela lazma awe mke wa mtu😂😂😂

    • @Mrmohadi.OFFICIAL
      @Mrmohadi.OFFICIAL 2 หลายเดือนก่อน

      Mtoto mlain sana mm mwnyew nimeona uyo sisi huku kwetu chuga tuna mvunja mapak mishipa yaa😮

  • @HajiSebastian
    @HajiSebastian 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂 vijana mtihan kweli hao

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 2 หลายเดือนก่อน

    Hao Sasa ndio askari wetu busara na hekima zero sijui kwenye mafunzo wanafundishwa nguvu tu unyang'au

  • @Tarent-o8f
    @Tarent-o8f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Apa amna kitu apa tunazugwa tu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi nina wasi wasi tu hawa watatolewa saa yoyote waje kulipiza mtaani hebu ona kaanza na mwandishi je akifika mtaani si atakuwa tishio 😭😭😭

  • @japhetmathayo7594
    @japhetmathayo7594 2 หลายเดือนก่อน

    Utakuja kufa acha kiherehere kenge maji wewe mwandishi sisi tutaweka bando tu bc tuangalie ulivo fanywa

  • @victoriapatrick9840
    @victoriapatrick9840 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ivi ilo basi lina viti? Mbona kama wamekaa chini awaonekani, au ndo watachafua siti😃 eti takutafuta kijana wa ovyo kabisa.

  • @SajentElly
    @SajentElly 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna kesi hapo

  • @IssaIssa-h1d
    @IssaIssa-h1d 2 หลายเดือนก่อน

    Eti nitakutafuta mbele ya askari kweli mtuhumiwa unaweza kuongeza ivyo 😱😱😱

  • @maestro9618
    @maestro9618 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo nikiwa kama askar magereza nampiga bonge la banziiiiii

  • @joachimjoseph239
    @joachimjoseph239 2 หลายเดือนก่อน

    Kwan ukimwmbia mtu utamtafuta ..Ni kesi

  • @BenjaminiZakariya
    @BenjaminiZakariya 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado ajasema mpaka aseme

  • @JackMsuya-j6q
    @JackMsuya-j6q 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyooo mtotooo mtoto kautak xaxa saiv mnautaka nyinyi kwa nyampala 😂😂

  • @ayshunamir
    @ayshunamir 2 หลายเดือนก่อน

    The audacity waaaah

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 หลายเดือนก่อน

    Atamtafuta ambake au?

  • @mimazcollectionmimaz8874
    @mimazcollectionmimaz8874 2 หลายเดือนก่อน

    Ajifanya muhuni na kakifika gerezani kanaenda kua mke wa mtu.....😅😅😅

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa inavyoonekna watakuja kufungwa kwa kumrizisha mlalamikaji yaani mtendewa alafu watatoka kwenye rufaa mtanikufaa wana watu nyuma hawa mtakuja kuniamini hii comenty

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

    Tena huyo ndio alikuwa ananyonywa mdudu wake huku anakenua minjino yake akataka kumpa denda bint ya yombo akakatazwa na mwenzie pemben mbwa huyu

  • @Geofreysteven-f5x
    @Geofreysteven-f5x 2 หลายเดือนก่อน +2

    simumuachie kwa laia apoyupo mkono salama ndoma mkimuacha kwa raia atoboi siku

  • @HamadJumaa-xj7py
    @HamadJumaa-xj7py 2 หลายเดือนก่อน

    Vibakaji alaf vinaleta ujeuri

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 2 หลายเดือนก่อน +7

    UNATOMBWA WEWE TOKA TUKUFIRE NA SISI

  • @alitante4279
    @alitante4279 2 หลายเดือนก่อน

    Hem mpeni kichapo kwnza huyo fala mbn km analeta sharau

  • @LeylaHamisi-qh3kb
    @LeylaHamisi-qh3kb 2 หลายเดือนก่อน

    Yan hii mipumbavu naichukia

  • @KareemDully
    @KareemDully 2 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo wanajiamini kiasi icho mpaka kuwatisha waandish wa habar. Hii kesi inaenda kimagumashi kuna kitu nyuma ya pazia si bure

  • @AminaOmary-sm4wl
    @AminaOmary-sm4wl 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kijeuri kama dunia ni ya baba yake hajui huu ni ulimwengu

    • @LizenMaker
      @LizenMaker 2 หลายเดือนก่อน

      Binadamu tunajisahahu dada.

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl 2 หลายเดือนก่อน

      @@LizenMaker kanajifanya uatawamdu Tanzania nzima na kimwili chake kama kinchiti

  • @ibrahimmwanza6162
    @ibrahimmwanza6162 2 หลายเดือนก่อน

    Nini

  • @NgambaMussa
    @NgambaMussa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbna watuhumiwa wanabadiri nguo kila siku kwani uko mahabusu waliingia na mabegi

    • @vanesahilali6122
      @vanesahilali6122 2 หลายเดือนก่อน

      Nikajua ni Mimi peke yangu ndo nashangaaaa😮

  • @rechomwaigaga2476
    @rechomwaigaga2476 2 หลายเดือนก่อน

    ukute wanalalia magodoro

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 หลายเดือนก่อน

    afu si ndo uyu alimwambia mtoto lamba JOKER 😢

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo ameshajua kuwa kesi ikiisha tu watarudi uraiani??Maana anaongea kwa uhakika kabisa.

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน

      Una mwanasheria?😂😂😂😂😂

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416 2 หลายเดือนก่อน

    Hao wanatoka

  • @MaurusMpinga
    @MaurusMpinga 2 หลายเดือนก่อน +7

    Bado hawajaacha tabia mbaya

  • @RaiyaanRasheedRay
    @RaiyaanRasheedRay 2 หลายเดือนก่อน

    Iliyobak ni kiki sasa

  • @JamesZakayo-o2f
    @JamesZakayo-o2f 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂nacheka kama mazuri

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 2 หลายเดือนก่อน

    Achana nae mwandishi kesha data mzenge huyo akitoka tunae huku kitaa tunakusubir kwa hamu wasenge nyie

  • @highskills5883
    @highskills5883 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa akili itamkaa viziri akishasota jela mda mchache tu sahivi ajajua bado

  • @zully756
    @zully756 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chakula ya nyapara

  • @SaidHamis-hy5ps
    @SaidHamis-hy5ps 2 หลายเดือนก่อน

    icho ni kiini macho mtu anatuhuma halafu anaongea ivyo du..

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani anapata wapi ujasiri huo huyu dogo, itakuwa no mvuta bangi

  • @nordinebaraca4635
    @nordinebaraca4635 2 หลายเดือนก่อน

    Mtuumiwa anapiga mikwara kama yote!

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 2 หลายเดือนก่อน

    Watuhumia wanakula bata la hatari😂😂 wananawili tuu

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado hukumu haijasoma but ikisomwa ataelewa ukubwa wa wake

  • @fanitofaustino4108
    @fanitofaustino4108 2 หลายเดือนก่อน

    Anazani masiala