Huyo alie mnyoshea mkonomwandishi namchukia sana ndio yule aliekua akimsokomeza ķojoleo lake mtoto wawa2 mpaka makoo yakamkaoka akaomba maji yakunywa waka mnyima akazidi2 kumkandamiza kwenye hilo kojoleolake tena mungu amlaani kabisa😢🙄😏
Aya mambo yakupelekana jeshini kindugu ndugu pasipo kufuata vigezo kisa tu ni mtoto wa baba mdogo..matokeo tunakwa na watumishi ovyo wa selekari ambao ni wabakaji na ambao wanaamini Tanzania ipo Kiwanjani kwao
Shoga kweli huyu jamaa eti nakutamani Yani watuhumiwa eti wakati wabakaji na ushahid upo wazi Hawa ni wakuvunjwa tu shingo zao naona washatuzoea kua tanzania sisi nikunguru waoga
Hapo washajua watatoka sio muda jamani Tanzania tutamkumbuka magufuli nchi hii ya ajabu polisi sio watu wakuwaamini wao ndo wanabaka na kulawiti halafu wanateteana TU tusiwaamini polisi nawakitoka tusipige kula kabisa
Tuna zugwa tu hawa dawa yao kuwaroga wanakuwa machizi ili familia zao zijutiwe wana jiamini mapaka wana sema tukitoka duh inaamaana wana uhakika wa kutoka sio duh kwel hii nchi bora niahame kenya
Jaman Kuna haki kweli .nchi hii ya Tanzania mtu ana nakosa lkn anajiamin ivyo .duYan watu awaogopi Sheria ..sijui miak ijayo itakuaje n vizazi vyetu..mama samia tizama hili wewe Muslim mzur n unajua maandiko ya mwenyezi mungu
@@zaidiissa3714lazima tuilamu serekali maana anatishia aman wakati anajua serekali haimfanyi kitu uwe una makosa hasa hpo alafu bdo uwe na mikwala ww mwenyewe hupimi
Hao papa mnawapa ulinzi mkubwa wakati mna pingu za kuwanyuka na smg moja mnamalizi mafuta ya bule ningewatembeza kwa miguu mpaka jera nikiona kuna Helement za kukimbia navunja miguu yote naita mkokoteni hawafai kupakia kwenye Gari hao vibaka hao ni washamba tu azabu yao wahasiwe tu wawaachie
Yani bola wafungwe tu lkn wakitoka sijui km watakua salama kwa hasira hizi za wananchi, hapa tupu tunaona km uko lumande wanawapendelewa km vp wachomwe hata moto
Hawa inavyoonekna watakuja kufungwa kwa kumrizisha mlalamikaji yaani mtendewa alafu watatoka kwenye rufaa mtanikufaa wana watu nyuma hawa mtakuja kuniamini hii comenty
mimi sio muumini wa watu kufungwa jera, lakina ukiangalia kama hapo unaona vijana tunaendekeza uhuni zaidi na hawaogopi
Anyway, GOD OVER EVERYTHING 🙏😢
Kweli wanajiamin
@@EdnaMboweKwasababu wanajua ypo mtu anaewalinda
Kwanini usijiami sasa mbaya nimbayatu hakuna mbaya mzur
@@silivestatesha9262 over confidence inaua brother
inawezekana ndo hicho hicho kilisababisha kujiamini hadi kufanya vitendo kama hivo
Kwa mwenye akili timamu hawez SEMA hvyo Mbele ya camera Na Mbele ya ma askari😢😢
Heeeeee 😟 kumbe hawa jamaa inavyoonekana mnawatunza sanah huko sello😂 yaan mpk anapata nguvu za kunyosha kidole 😅😅 pumbav sana uyo kjana 😀
😂😂😂😂
Hao hawajaguswa hata kibao, yaanibkuna dalili ya kuachiwa ama kufungw kifungo kisicho zidi mwaka
Huyo alie mnyoshea mkonomwandishi namchukia sana ndio yule aliekua akimsokomeza ķojoleo lake mtoto wawa2 mpaka makoo yakamkaoka akaomba maji yakunywa waka mnyima akazidi2 kumkandamiza kwenye hilo kojoleolake tena mungu amlaani kabisa😢🙄😏
😂😂😂😂😂😂
Aya mambo yakupelekana jeshini kindugu ndugu pasipo kufuata vigezo kisa tu ni mtoto wa baba mdogo..matokeo tunakwa na watumishi ovyo wa selekari ambao ni wabakaji na ambao wanaamini Tanzania ipo Kiwanjani kwao
Ila kujiamini😊😊😊
Wakaishi kenya
Mimi nashangaa sana ushahidi wa video upo tayari ite wanaleta mashahidi wengine kweli nimeamini sheria haina macho sheria kipofu
Ndugu zangu naombeni muacheni matusi litawakuta lakuwakuta mutajilaumu sana ndugu zangu
mtuhumiwa ameingia mahabusu na kofia. hawa wanapata wapi hvyo vitu.. kama mkanda wallet simu kila kitu unakabidh pale mapokezi ya kiumeni
Hawa Askari nao kama wanaendesha kesi ya ugaidi vile mnawatesa vijana wa watu bure na kutumia mafuta ovyo.
Kabla auja mtafta na ujampata raia tushakuwai
😂😂😂😂
Yaan wamevaa na raba kbsa jmn khaa....na ujasiri wanao awajepewa kisago ao cha kueleweka
Yani mi ndo ningekuwa nimenyooshewa kidole ningeenda kumzaba kofi kwanza msenge sana
Uyo camera woman inaoneka ndio anawachukuaga vizuri kila siku 😅😅😅 pia hongera kwa jibu lake et " si utanioa bwana naww" 😂😂😂😂😂
Mwandishi mfungulie kesi huyo kwa kukutishia wakati uko kwenye majukumu yako ya kazi.😊
Halfu hana hata wasiwasi
Itakuwa kaongea shiti ndo mana jamaa ka panic kila mtu ana hisia sio ukiwa mtuhumiwa ndo huna haki
@@Alexismadimo itakuwa kwajili ya kuchuikuliwa video shit iyo kaongea mda gani na wamemuuona kwasababu mwanamke si wamezoea kuonea wanawake
@@Alexismadimo hata kama mbona wao walikuwa wanamtukana yule dada uku wanamfira sasa yy analeta kiburi wakati bado hajaingia jela 😂😂😂
@@analisacecy feminist kumekucha
Kila cku wanabadil Nguo tu km wapo home kwann wasinyooshe vidole kwa dharau
Itakuwa keshajua hakuna kesi ya kuwasumbua
Kwel maan xi kwakuxema vileeee
Ndiyo awo jama
Wanauakika wa kotoka Hao hadi amwambie nitakutafuta 😅😅😅😅
Umesema kweli hii Tanzania ni nchi ya ajabu snaa
Kabisaaaa umesema kweli mbwa hawa
Daaaaa😢😢😢😢😢
Walisha Data 😢
Khaaaa mfungulie kesi huyoooo kakutishiaaa
Kabsaaa 😢😢
Ukweli aisee wanayo jeuriii
😢
Shoga kweli huyu jamaa eti nakutamani Yani watuhumiwa eti wakati wabakaji na ushahid upo wazi Hawa ni wakuvunjwa tu shingo zao naona washatuzoea kua tanzania sisi nikunguru waoga
Hii kesi nyingine. Mwandishi fungua kesi
HAPO ungemfungulia kesi ya kutishia MAISHA YAKO KENGE HUYO
mi naona wapewe na cm wachezee ukiiba kuku tu nangumi unachezya ukigeuka ila wao km wpo matembez
Hao washatoka mbona maana afande mwenye haonekani
Amna kesi apo bana
Hapo washajua watatoka sio muda jamani Tanzania tutamkumbuka magufuli nchi hii ya ajabu polisi sio watu wakuwaamini wao ndo wanabaka na kulawiti halafu wanateteana TU tusiwaamini polisi nawakitoka tusipige kula kabisa
Asante Mwandushi, uliye wapiga Picha, umwnifurahisha
😅😅😅😅Inabidi Nicheke kwanza ,,mbona wanajiamini Sana hawa watuumiwa
Kamela mani kaziunayo dada
Izoo nguoo za kubadilisha wanapataa wapiii 😢
Tuna zugwa tu hawa dawa yao kuwaroga wanakuwa machizi ili familia zao zijutiwe wana jiamini mapaka wana sema tukitoka duh inaamaana wana uhakika wa kutoka sio duh kwel hii nchi bora niahame kenya
Jaman Kuna haki kweli .nchi hii ya Tanzania mtu ana nakosa lkn anajiamin ivyo .duYan watu awaogopi Sheria ..sijui miak ijayo itakuaje n vizazi vyetu..mama samia tizama hili wewe Muslim mzur n unajua maandiko ya mwenyezi mungu
Dawa yake Iko jikoni, hapo ndiyo anaithibitisha Ujasiri wa Kikatili alionao.
Ingekuwa tuko korea hao ni kuchinjwa hadharani tena uwanja wa wataifa.
Hawa wanatuzuga tu ana nguvu gani kusema ivyo😢
Mmmmh jmn mbona wanajichekesha adi kumnyooshea mwandishi kidole mm bado cjaridhika mbona hta hawjakoma jmn
atanyooka tu mpumbavu uyo...aliona kumnyonyesha ndonga mtoto wawatu mpaka akaomba maji ilkua n raha.
Duuu nchi ngumu sana hii kaah yan ni mtuhumiwa bado anajiamin namna hiyo
Hamkawii kuilaumu selikali bilakujua laia wenyewe ndio tunasababisha sasa kama huyu kijana anavyo Fanya
@@zaidiissa3714lazima tuilamu serekali maana anatishia aman wakati anajua serekali haimfanyi kitu uwe una makosa hasa hpo alafu bdo uwe na mikwala ww mwenyewe hupimi
Watambaka pia ,Yan Hawa vijana wana uwakika watatoka watashinda mana afande wao ni mtu mkubwa
Huyo mtuhumiwa anajiamini nini had anamnyoshea mwandish wa habar wakati bad ni mtuhumiwa.
Hao papa mnawapa ulinzi mkubwa wakati mna pingu za kuwanyuka na smg moja mnamalizi mafuta ya bule ningewatembeza kwa miguu mpaka jera nikiona kuna Helement za kukimbia navunja miguu yote naita mkokoteni hawafai kupakia kwenye Gari hao vibaka hao ni washamba tu azabu yao wahasiwe tu wawaachie
Huyo bangiii
Kwel kesi wemeshnda awa jamaa had wanaujasiri wa kunyooshea waandish vidole ivo
Visomewe tu al badr vikings sana me naona hata ndugu wa huy binti wanachelewesha ingekuwa me ndugu yangu zaman washafukiwa na 40 ishapita ukinga hiu
Katika comment zote hii nimeiyelewa yaan nasikia uchungu Kama nazaa ingekua Mimi saaizi washasahaulika mda Sana alilbadir moja tu
Yani bola wafungwe tu lkn wakitoka sijui km watakua salama kwa hasira hizi za wananchi, hapa tupu tunaona km uko lumande wanawapendelewa km vp wachomwe hata moto
nimesikia kama askali anawaambia wafungwa msijali 😮 nimerudia kama mara tatu
Mmmh, dogo amejikinai
Khaaa ... Nime shangaa 😮😮😮
Hao wakiachiwa nikudilinao ss wananchi tunawauwa mmojammoja
Dah
Kuni huko rumande walienda kufanyiwa massage au?mbona hawana hata hofu wala majuto?
Watu hao waso hukumiwa mpaka leo ah inatia uchungu yani ivyo wanavyo fanya unajua haswa kamacwana toka bada wana achiwa
Hiko kidole akamuonyeshee mama yake mbwa huyo
Mwandishi mfungulie kesi uyo jamaa kwanza ni mshenzi alafu aoni ata haya
amedhihirisha moja kwa moja kuwa yeye nd muhusika
Hao bado awaja shika jembe la Gerezan wakisha vikwa Karoti mbona watanyooka 2 na wataanza kunyoosha mikono juu sio kidole tena mbele
Jamani
Yan huyo aliemnyooshea mwandishi kidole mtt mlaini kabisa huyo akifika jela lazma awe mke wa mtu😂😂😂
Mtoto mlain sana mm mwnyew nimeona uyo sisi huku kwetu chuga tuna mvunja mapak mishipa yaa😮
😂😂 vijana mtihan kweli hao
Hao Sasa ndio askari wetu busara na hekima zero sijui kwenye mafunzo wanafundishwa nguvu tu unyang'au
Apa amna kitu apa tunazugwa tu
Mimi nina wasi wasi tu hawa watatolewa saa yoyote waje kulipiza mtaani hebu ona kaanza na mwandishi je akifika mtaani si atakuwa tishio 😭😭😭
Utakuja kufa acha kiherehere kenge maji wewe mwandishi sisi tutaweka bando tu bc tuangalie ulivo fanywa
Ivi ilo basi lina viti? Mbona kama wamekaa chini awaonekani, au ndo watachafua siti😃 eti takutafuta kijana wa ovyo kabisa.
Hamna kesi hapo
Eti nitakutafuta mbele ya askari kweli mtuhumiwa unaweza kuongeza ivyo 😱😱😱
Hapo nikiwa kama askar magereza nampiga bonge la banziiiiii
Kwan ukimwmbia mtu utamtafuta ..Ni kesi
Bado ajasema mpaka aseme
Huyooo mtotooo mtoto kautak xaxa saiv mnautaka nyinyi kwa nyampala 😂😂
The audacity waaaah
Atamtafuta ambake au?
Ajifanya muhuni na kakifika gerezani kanaenda kua mke wa mtu.....😅😅😅
Hawa inavyoonekna watakuja kufungwa kwa kumrizisha mlalamikaji yaani mtendewa alafu watatoka kwenye rufaa mtanikufaa wana watu nyuma hawa mtakuja kuniamini hii comenty
Tena huyo ndio alikuwa ananyonywa mdudu wake huku anakenua minjino yake akataka kumpa denda bint ya yombo akakatazwa na mwenzie pemben mbwa huyu
simumuachie kwa laia apoyupo mkono salama ndoma mkimuacha kwa raia atoboi siku
Vibakaji alaf vinaleta ujeuri
UNATOMBWA WEWE TOKA TUKUFIRE NA SISI
😂😂😂😂jmn
Hem mpeni kichapo kwnza huyo fala mbn km analeta sharau
Yan hii mipumbavu naichukia
Kwaiyo wanajiamini kiasi icho mpaka kuwatisha waandish wa habar. Hii kesi inaenda kimagumashi kuna kitu nyuma ya pazia si bure
Kijeuri kama dunia ni ya baba yake hajui huu ni ulimwengu
Binadamu tunajisahahu dada.
@@LizenMaker kanajifanya uatawamdu Tanzania nzima na kimwili chake kama kinchiti
Nini
Mbna watuhumiwa wanabadiri nguo kila siku kwani uko mahabusu waliingia na mabegi
Nikajua ni Mimi peke yangu ndo nashangaaaa😮
ukute wanalalia magodoro
afu si ndo uyu alimwambia mtoto lamba JOKER 😢
Kwahyo ameshajua kuwa kesi ikiisha tu watarudi uraiani??Maana anaongea kwa uhakika kabisa.
Una mwanasheria?😂😂😂😂😂
Hao wanatoka
Bado hawajaacha tabia mbaya
😂😂😂kweli
😂😂
Iliyobak ni kiki sasa
😂😂😂😂nacheka kama mazuri
Achana nae mwandishi kesha data mzenge huyo akitoka tunae huku kitaa tunakusubir kwa hamu wasenge nyie
Huyu jamaa akili itamkaa viziri akishasota jela mda mchache tu sahivi ajajua bado
Chakula ya nyapara
icho ni kiini macho mtu anatuhuma halafu anaongea ivyo du..
Yaani anapata wapi ujasiri huo huyu dogo, itakuwa no mvuta bangi
Mtuumiwa anapiga mikwara kama yote!
Watuhumia wanakula bata la hatari😂😂 wananawili tuu
Bado hukumu haijasoma but ikisomwa ataelewa ukubwa wa wake
Anazani masiala