UKWELI KUHUSU 'AY' KUMILIKI KISIWA CHA MBUDYA, MSIMAMIZI AFICHUA UKWELI WOTE...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 เม.ย. 2022
- UKWELI KUHUSU 'AY' KUMILIKI KISIWA CHA MBUDYA, MSIMAMIZI AFICHUA UKWELI WOTE...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - บันเทิง
huyuzee ni mjanja watu jamii ya chidy Benz kupata kitu kilicho nyooka na kikaeleweka kwa watu kama hawa sahau😁😁😁
🤣🤣
Tanzania Mwaka1964 Uhuru Cha Ajabu Intaneti Inasumbua Simu Kibao Kwanini Kusiwe Na Mtandao Mmoja2 Wenye Intaneti Mingine Hi Mibovu Tupeni Uko
Dont be mean.... Umoja ni nguvu, uza shares za kampuni kazi iwe rahisi....😊
Uyu mzee jina lake la utani wanamwita mzee wa mjini mipango
Mzee mtu wa mitungi au🤣🤣🤣 mbna simuelewi
Ana changia na Mwana fa hela hizo suna kumbuka walilipwa na mtandao wa sim
Huyu mzee, aise majibu yake haeleweki, utadhani Ni rafiki wa Chid Benz
Hahahahaha
mzee ana ongea vipi huyu?? sa muelewa kabisa yani hajui kueleza
Mbona simuelewi naona anaongea pumba tu
Mweeeeeee jaman
local and tourist destroyed the beach, through bott5les, take away boxes , i was collecting willingly so sad
translate
Mie simwelewi
Mbona ugomvi
Kwanza hayo mapato yanaenda wapi? Na mgawanyo vipi? Kwanini wasinunue madustbin makubwa wayaweke kila baada ya hatua kadhaa then waweke onyo mtu kutupa taka hovyo atapigwa fines, mbona ni akili ndogo tu?
Wew ni master mind watu kama nyinyi mnaitajika sana kwenye hili taifa lkn nashangaa wenye HQ hapa bongo ni masikin tofaut na inch za wenzetu
Mjini Mipango dah kukuelewa ni mahomi wako tu
Kwan Ay alisema kisiwa chake??
Sijamuelewa huyu mzee
Msimamizi wa kisiwa wa hovyo .
Duuuh duniani hapa Tanzania eti nchi yako kuna sehemu kukanyaga ni elfu kumi uuuuhhh hatareeee
Kwahiyo unataka uende bure then uchumi WA nchi yako utaongezekaj??
Kama vile Maldives tu kuishi ni expensive sasa mbona sio Africa??
Nenda na godoro uwanja wa taifa ukalale
@@sultansallah4509 Ha haaa povu la nn sasa umepanic..😂😂😂 alafu nikishalala???
Kisiwa kinaitwaje?
Mbudya
Tanzania Mwaka1964 Uhuru Cha Ajabu Intaneti Inasumbua Simu Kibao Kwanini Kusiwe Na Mtandao Mmoja2 Wenye Intaneti Mingine Hi Mibovu Tupeni Uko