UKWELI KUHUSU 'AY' KUMILIKI KISIWA CHA MBUDYA, MSIMAMIZI AFICHUA UKWELI WOTE...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 31

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb5227 2 ปีที่แล้ว

    Mzee mtu wa mitungi au🤣🤣🤣 mbna simuelewi

  • @georgeisdory3610
    @georgeisdory3610 2 ปีที่แล้ว +4

    huyuzee ni mjanja watu jamii ya chidy Benz kupata kitu kilicho nyooka na kikaeleweka kwa watu kama hawa sahau😁😁😁

  • @Buelli3
    @Buelli3 9 หลายเดือนก่อน

    Dont be mean.... Umoja ni nguvu, uza shares za kampuni kazi iwe rahisi....😊

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 ปีที่แล้ว +1

    Ana changia na Mwana fa hela hizo suna kumbuka walilipwa na mtandao wa sim

  • @CharlesSomeke-p8m
    @CharlesSomeke-p8m 16 วันที่ผ่านมา

    Tatizo jez

  • @dominicjulius3108
    @dominicjulius3108 2 ปีที่แล้ว +3

    Uyu mzee jina lake la utani wanamwita mzee wa mjini mipango

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 ปีที่แล้ว

    Tanzania Mwaka1964 Uhuru Cha Ajabu Intaneti Inasumbua Simu Kibao Kwanini Kusiwe Na Mtandao Mmoja2 Wenye Intaneti Mingine Hi Mibovu Tupeni Uko

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 ปีที่แล้ว +2

    mzee ana ongea vipi huyu?? sa muelewa kabisa yani hajui kueleza

  • @vipajionetv2075
    @vipajionetv2075 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mzee, aise majibu yake haeleweki, utadhani Ni rafiki wa Chid Benz

  • @abdulialiy5411
    @abdulialiy5411 2 ปีที่แล้ว +3

    Mbona simuelewi naona anaongea pumba tu

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 2 ปีที่แล้ว

    Mjini Mipango dah kukuelewa ni mahomi wako tu

  • @peterlaurent4046
    @peterlaurent4046 2 ปีที่แล้ว

    Kwan Ay alisema kisiwa chake??

  • @selesaid4367
    @selesaid4367 2 ปีที่แล้ว

    local and tourist destroyed the beach, through bott5les, take away boxes , i was collecting willingly so sad

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 2 ปีที่แล้ว +2

    translate

  • @gracemalatwe6064
    @gracemalatwe6064 2 ปีที่แล้ว

    Mweeeeeee jaman

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 ปีที่แล้ว +1

    Mie simwelewi

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbona ugomvi

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 2 ปีที่แล้ว +1

    Kisiwa kinaitwaje?

  • @binjmwinyirain1133
    @binjmwinyirain1133 2 ปีที่แล้ว +2

    Duuuh duniani hapa Tanzania eti nchi yako kuna sehemu kukanyaga ni elfu kumi uuuuhhh hatareeee

    • @glorynguma3593
      @glorynguma3593 2 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo unataka uende bure then uchumi WA nchi yako utaongezekaj??

    • @nellymatalanga5033
      @nellymatalanga5033 2 ปีที่แล้ว

      Kama vile Maldives tu kuishi ni expensive sasa mbona sio Africa??

    • @sultansallah4509
      @sultansallah4509 2 ปีที่แล้ว

      Nenda na godoro uwanja wa taifa ukalale

    • @glorynguma3593
      @glorynguma3593 2 ปีที่แล้ว

      @@sultansallah4509 Ha haaa povu la nn sasa umepanic..😂😂😂 alafu nikishalala???

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 2 ปีที่แล้ว +1

    Sijamuelewa huyu mzee

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 ปีที่แล้ว +5

    Kwanza hayo mapato yanaenda wapi? Na mgawanyo vipi? Kwanini wasinunue madustbin makubwa wayaweke kila baada ya hatua kadhaa then waweke onyo mtu kutupa taka hovyo atapigwa fines, mbona ni akili ndogo tu?

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 2 ปีที่แล้ว

      Wew ni master mind watu kama nyinyi mnaitajika sana kwenye hili taifa lkn nashangaa wenye HQ hapa bongo ni masikin tofaut na inch za wenzetu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania Mwaka1964 Uhuru Cha Ajabu Intaneti Inasumbua Simu Kibao Kwanini Kusiwe Na Mtandao Mmoja2 Wenye Intaneti Mingine Hi Mibovu Tupeni Uko