Nakupenda sana bwana Makonda naninamuomba Mungu akulinde na kukuzidishia maisha marefu ili uzidi kutenda wema saizi niviongozi wachache wanaojari watu wa hari ya chini ila ni mfano wa kuigwa;
💖💖🙏🙏🙏😭😭mungu akubariki sana mkuu wetu wa mkoa Arusha tupiganie sisi pia ni wananchi wako pia wananchi wa Tanzania kwa ujumla I love Tanzania❤❤❤❤❤makonda 💪💪💪💪💪🙏?
Christian mwanawa makondo mwanangu mmni mmyako ww ni stress free maana siyo kwa ugumu wa kazi ,kupigania haki ni kazi maalumu kwa watu maalumu,inamaana huwezi kufanya kazi hiyo bila wito mwenyezimungu alikuumba tayari kwa kazi ya uchungjaji ambao uchungaji huo niwa kipekee barikiwa sana libarikiwe pia TUMBO lililokuzaa bbyangu mwenyezi mungu akulinde na unapowapongeza wengine na basi na ww pongezizako pokea amen ninakufurahia sanaa bbkigan mjukuu wangu na familia yako ni kanisa. linalofanya maandalizi yakuingia ktk mji mpya wa jerusalim
Aaaaaa! Duuuh , nyie ndo selikali mnasumbua wananchi alaf baadae ndo mnakuja kujisafishaa aise kweli wanasiasa bana , kwahyo waliokuwa wanafukuza watu ni wakinanani, alafu pia samia mbn Yuko hvyo aliombwa na watu wa ngorongoro aje mwenyewe lakini hajaja, wanaimba tuu uko na mwana FA kizimumkazi , ccm oye samia mitano tena😢😢😢😢
Wanarubuniwa tu ili wapige kura Kwa CCM 2025. Baada ya hapo Uchaguzi ukipita,watakiona Cha mtema Kuni! Mbona walizuiwa hata kujiandikisha ktkdafyari la wapiga kura,na majina Yao kudsemekana kupelekwa huko Handeni. CCM ni sawa na"chatu"ambae hujifanya anamnyenyekea mbuzi au mnyama yeyote anaetarajia kumnyakua.Huonyesha na kujibadilisha rangi pamoja na madoadoabuzi akiona hivyo,hujongea Hadi karibu kabisa na huyo chatu.Nypka huyo akiona hivyo,haraka hujirusha pamoja na kumbana huyo mhanga wake,Kwa kujizungushia Kwa mkia Hadi kumvunja mbavu mbuzi huyo.Hatimae kumeza. Ndivyo CCM inavyofanya Kwa Hawa Wamaasai. Mwisho wa siku wataisoma namba,na kujuta.Watafurushwa,Tena Kwa nguvu nyingi Kwa kutumia vyombo vya Dola. Watakaokuwepo hai baada ya Uchaguzi MKUU,mtaukumbuka Utabori wangu huu. NB:-Mimi so mpiga-ramuli au mganga wa jadi,Bali ni mtu ninaesoma alama za nyakati. Ni Mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima Kishapu,Shinyanga.
Hapo kunamqjibu kweli kama mmekula vya waraabu mvirudishe hqtutaki mahubiri ya kinafiki mrudishe mlicho chukuwa kwa mwaraabu! Kwa nini mnajificha kwenye majeshi yetu ndani ya uhalifu wenu?
Safi Mama katuma watu wakazi Mungu ajalie Amani Inchi yetu hawa wachawi wanasiasa wanaotaka umafufu kupitia matukio hawana chao tena watoe ujanja ujanja na kuminya haki kwenye vikundi vyao wanavyo viongoza
Nawashangaa sana binadam wanaosema makonda ana mungu,hivi waliowafurumua hawa masai ni akina nani haswa au ni vyama vya upinzani siyo ccm?kama siyo ccm haohao mtwambie,siyo huyo bashite kwenda kuanza kuwahadaa wamasai tena kama vile hajui kinachoendelea huko ngorongoro.mungu awalaani kabisa hawa wote wana ccm wanaoigiza,huu ni uhuni kama uhuni mwingine.
@@OmmyJames-xn7ji kuhususu kuuziwa am not sure lakini ndo kuna wale waarabu wenye kampuni ya uwindaji wenye mkataba wa miaka 100 tangu uongozi wa Mwinyi sio kwamba wameanzia kwa mama Samia!
Nakupenda sana bwana Makonda naninamuomba Mungu akulinde na kukuzidishia maisha marefu ili uzidi kutenda wema saizi niviongozi wachache wanaojari watu wa hari ya chini ila ni mfano wa kuigwa;
Makonda❤ uko powa sana sana❤ kila unacho kifanya unaniliza sana ilove Makonda makonda Mungu akubariki❤
Jembe 🔥🔥 tinga tinga ... Damu ya hapa kazi tuuu ... Limerudi kazini tayar kupiga kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Makonda unadalili nzuri sana za kuwa na Busara za uongozi huwa nakupenda sana na nakuombea sana kaka Allah akupe NUru Inshaallah
Hongera sana Mh Mungu akulinde ubarikiwe Sana na busara zako
Hongera sana makonda unajua kuzungumza kwakutumia hekima
Mwenyezi Mungu akulinde na maadui
Mh MAKONDA wewe ni top top pafomanz wa kazi hapa Tanzania 🇹🇿 tunakuaminia na mungu hatokuacha kamwe
Mungu akulinde sana mpendwa wetu❤❤❤❤
Hongera sana mh mkuu wa mkoa wa Arusha, chapa kazi
MUNGU shukulani kwako narudi kushukulu Kwa kumpigania huyu mja wako karud Tena Asante! BABA
Hongeraa sana mh jembee maaduii wasikuonee chapa kazi baba Mungu akutangulieeee
Jembe la mapumbavu
Heeeeeeei
Mungu akulinde na akupe afya njema Makonda wetu Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote
Hiyo team ikiwa Na Lukuvi na profesa Kabudi,that is a sure bet,.,very wise and competent personalities kwenye C.C.M
Pongezi mheshimiwa Kaka yangu Makonda kwa kazi nzuri
Good brother ✅✅✅
Good,chapa kazi baba!!
Mungu
Akusaidie
Vizuri sana makonda kuzumuza na wamaasai wao pia niwanaihichi wa Tanzania. Mungu hakubarikie sana.
Chapakazi..kiongoziwawatu.nanimpendwawawatu.munguakubaliki
Jembe lakazi Mungu akulinde sana brother
Kazi nzuri sana kutuliza na kulinda amani ya nchi🙏
Mungu akubariki naiwe kweli na haki mungu anaona barikiwa
Mtihani mgumu sana huu kwa mhe. Makonda
Mtumishi wa Mungu nakupenda sana
ilimlad umeshika maiki na kucmama kwenye ardhi hiyo ya wamasai..naamini utalimaliza MAKONDA nakuamini wasaidie hao wamasai maskini me nawaonea huruma
💖💖🙏🙏🙏😭😭mungu akubariki sana mkuu wetu wa mkoa Arusha tupiganie sisi pia ni wananchi wako pia wananchi wa Tanzania kwa ujumla I love Tanzania❤❤❤❤❤makonda 💪💪💪💪💪🙏?
❤❤❤tutapata majibu mungu akutunzee akupe maishaa marefuu tunakuombeaa kaka
Sawa ndg,mwenyezi mungu akuzidishie umri mrefu
Amina baba.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mungu akutunze na familia Yako 🙏🙏🙏🙏
God bless you brother Paul Makonda
Makonda Mungu azidi kukubariki.
Amen mungu akupe Maisha marefu father ❤❤❤❤
Mungu akulinde upiganie hakizawatazania
Christian mwanawa makondo mwanangu mmni mmyako ww ni stress free maana siyo kwa ugumu wa kazi ,kupigania haki ni kazi maalumu kwa watu maalumu,inamaana huwezi kufanya kazi hiyo bila wito mwenyezimungu alikuumba tayari kwa kazi ya uchungjaji ambao uchungaji huo niwa kipekee barikiwa sana libarikiwe pia TUMBO lililokuzaa bbyangu mwenyezi mungu akulinde na unapowapongeza wengine na basi na ww pongezizako pokea amen ninakufurahia sanaa bbkigan mjukuu wangu na familia yako ni kanisa. linalofanya maandalizi yakuingia ktk mji mpya wa jerusalim
Mungu akufunike na mabaya dunia
Kazi nzur sana viongozi wangu wa muhimu
Aaaaaa! Duuuh , nyie ndo selikali mnasumbua wananchi alaf baadae ndo mnakuja kujisafishaa aise kweli wanasiasa bana , kwahyo waliokuwa wanafukuza watu ni wakinanani, alafu pia samia mbn Yuko hvyo aliombwa na watu wa ngorongoro aje mwenyewe lakini hajaja, wanaimba tuu uko na mwana FA kizimumkazi , ccm oye samia mitano tena😢😢😢😢
Wanarubuniwa tu ili wapige kura Kwa CCM 2025.
Baada ya hapo Uchaguzi ukipita,watakiona Cha mtema Kuni!
Mbona walizuiwa hata kujiandikisha ktkdafyari la wapiga kura,na majina Yao kudsemekana kupelekwa huko Handeni.
CCM ni sawa na"chatu"ambae hujifanya anamnyenyekea mbuzi au mnyama yeyote anaetarajia kumnyakua.Huonyesha na kujibadilisha rangi pamoja na madoadoabuzi akiona hivyo,hujongea Hadi karibu kabisa na huyo chatu.Nypka huyo akiona hivyo,haraka hujirusha pamoja na kumbana huyo mhanga wake,Kwa kujizungushia Kwa mkia Hadi kumvunja mbavu mbuzi huyo.Hatimae kumeza.
Ndivyo CCM inavyofanya Kwa Hawa Wamaasai.
Mwisho wa siku wataisoma namba,na kujuta.Watafurushwa,Tena Kwa nguvu nyingi Kwa kutumia vyombo vya Dola.
Watakaokuwepo hai baada ya Uchaguzi MKUU,mtaukumbuka Utabori wangu huu.
NB:-Mimi so mpiga-ramuli au mganga wa jadi,Bali ni mtu ninaesoma alama za nyakati.
Ni Mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima Kishapu,Shinyanga.
Mh MAKONDA kigamboni akulinde mungu!!!!!!
Kaka makonda Pole sana.mungu akuvushe salama
Ongera sana makonda kaz uzuri sana
Hapo sawa makonda,unafaa kua kiongozi
Nguvu nyingi sana inatumika. Ngoja tuone. Maana hawa ndiyo viongozi wa juu wa ccm. Kinana hayupo, mangula, nk.
Mhe makonda mungu akubariko sana mtetezi wa wanyonge kwani mungu hatukuacha kamwe kwani wee wanyonge hukuwaacha .
Mungu awe pamoja na wewe mdogo wangu
Asante kaka angu
Uko vizuri mkuu
Napenda sana uongozi wako mh.Makonda.
Goo
d
❤❤Mungu akutunze , Baba!
Ugar wa sembe ni tatizo jingine linalopunguza ufahamu wa mtu.Bro makonda you should know that
. other factors remain constant but keep God first
Hongera sana Makonda
Vizuri sana
Hongera mtumishi
Hapo kunamqjibu kweli kama mmekula vya waraabu mvirudishe hqtutaki mahubiri ya kinafiki mrudishe mlicho chukuwa kwa mwaraabu! Kwa nini mnajificha kwenye majeshi yetu ndani ya uhalifu wenu?
Big up bro
Yes of course this show's hope 😢😢
Kiongozi huwa anazaliwa big up kiongozi
KAMA MAKONDA KAFIKA KULE BASI LEO TUNAPATA MAJIBU SAHIHI KABISAA SISI WATU WA NGORONGORO
Mungu wa haki na amani awasimamie
Mh. Makonda unasomamia haki Kwa Kila mtu. mungu akusimamie Kwa Kila jambo.
❤❤❤❤❤
Kama in hivyo muheshimiwa chapa kazi mungu akusaidie
big up
Hongera RC,lakini natitizo litatuliwe.
Hi Rc Makonda wewe ni jembe la kutetea haki za wamyonge mungu akulinde kuwa n maisha mema
Rc MAKONDA ❤❤❤❤
Makonda.hoyeeee❤❤❤❤❤
Safi Mama katuma watu wakazi Mungu ajalie Amani Inchi yetu hawa wachawi wanasiasa wanaotaka umafufu kupitia matukio hawana chao tena watoe ujanja ujanja na kuminya haki kwenye vikundi vyao wanavyo viongoza
Makonda kaka safi sana
❤❤
Mwambaa ❤❤❤
safi mkuu
asant mheshimiwa makonda cku zote kuona kimya nlipata mashaka
Safi mheshimiwa ngorngoro ni haki ya wamasai
Pamoja
Binafsi sijaona sababu za kumwagia Makonda hata kidogo,hv swala la wamasaai wa Ngorongoro limeanza lini??
Siasa nying nenda Kweny point
Mtu huyu safi sana
Makonda kaka yangu nakuamini sana naomba uwasaidie ndugu zetu wamasai wanaonewa
Mbona Kama sasa ni siasa😢😢😢
You deserve to be our president .....
🎉
Wamasai wameng'atwa na ccm sasa wanapulizwa watarudi Tena mwaka mwingine.
Alikaaa kimya Sasa ametumwa kujisafisha baada ya kuwa yamewashinda
Alizuiliwa na wale wakubwa. Yamewashinda ndo wakamwachia
Kala sumu na bonge ya warning Sasa ana adabu anaongea kama kiongozi sasa
Hahahaha
@@christinainnocent3184uko nashida ww!
❤ makonda uwasaidie
Allah AKULINDE mh RC MAKONDA. ASANTE SANA KWA UMAKINI WA KAZI ZAKO.
Ndio maana nakupenda sana makonda,wateteee wanyonge usijali cheo inatoka Kwa Mungu Wala siyo Kwa mtu
Ila mnawakosea mungu yupo ataj
Uyu ni Zaidi ya kiongoziii 🎉🎉
Moja ya zao zuri la chama cha mapinduzi hongera comedy Paul makonda
Yeah, zao la JPM hilo
Nawashangaa sana binadam wanaosema makonda ana mungu,hivi waliowafurumua hawa masai ni akina nani haswa au ni vyama vya upinzani siyo ccm?kama siyo ccm haohao mtwambie,siyo huyo bashite kwenda kuanza kuwahadaa wamasai tena kama vile hajui kinachoendelea huko ngorongoro.mungu awalaani kabisa hawa wote wana ccm wanaoigiza,huu ni uhuni kama uhuni mwingine.
Masai washajisahau kamawameumizwa wanapiga makofi sasasubilini kiwalambe😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂NINI KIWEMBE?
Rais hakuna kitu kaka ongea wewe kwani nani kawapa waarabu ngorongoro
We unaona kama Mimi,watu wanaitaji ngorongoro yao sio ya waarabu ni ya wamasai nyie ongeeeni yooote lkn eneo ni la wamasai
@@OmmyJames-xn7ji kuhususu kuuziwa am not sure lakini ndo kuna wale waarabu wenye kampuni ya uwindaji wenye mkataba wa miaka 100 tangu uongozi wa Mwinyi sio kwamba wameanzia kwa mama Samia!
@@farajaMezza-qn4be Hiyo ni LOLIONDO
Nakumbali sanaa makonda na ninaimini nae hatakubalina na wangamizi wa haki wanangorongoro
@@OmmyJames-xn7ji
Acha kiburi ommy una dharau
Maneno yako ni ya kiburi
Shobo tu huheshimu watu
🎉🎉🎉 unajua sanaa Yan ww ni really reader mungu akulinde sanaa daa lait ungekuja rais tungekua mbali sanaaa
Uyu jamaa ana. Mungu kwel
😮
Siasa t..nothing more
wamasai simamieni msimamo wenu wa maelezo hayo yawe Kwa maandishi na warudishe huduma za kijamii soon maneno mengo SEMA point he yule kijana wapi?
Mungu Baba azidi kukutunza CR P Makonda ❤❤❤❤
Love❤ wewe unamtambua Mungu barikiwa sana jamani. Jamani mimi ntakutafta uwiii
Saf kaka
Ktaa huo ni mtego kwako brother, KAA MBALI , Hilo tukio ni aibuu mbona vijiji vingine hawajahamishwa Kwa Nini Ngorongoro???