MAUAJI MENGINE GEITA! MTOTO AKUTWA AMEKATWA UNYAYO NA SEHEMU ZA SIRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 52

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo1467 2 ปีที่แล้ว +10

    Pole sana mama nurse umeongea kwa uchungu sana na unamjua Mungu sana. Mungu akubariki sana kwa upendo wako

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 ปีที่แล้ว +7

    Tunazaa kea uchungu unamlea mtoto wako kwa shida afu kuna mtu anasubiri kumuaa kwa ajiri ya ushetani wake😭😭😭😭😭😭Ee Mungu wetu uko wapi mbona umetuacha baba😭😭😭😭😭😭

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 ปีที่แล้ว +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 poleni sana Mungu amlaani kabisa aliye tuuliya mtoto wetu narohoyake itamsumbua huyo aliye muuwa jamani vibaya hivoo huyo mtoto kawafanyeni niniii 😭😭😭😭uchawi utawatesa

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +1

      😭😭😭Amina Mungu awaaangamize kabisa

  • @rosenoah2190
    @rosenoah2190 2 ปีที่แล้ว +1

    Jaman. Jaman. Kwa nn. Lkn. Mungu. Binadam. Aliefanya. Hv. Mungu. Wew. N mungu. Usieshindwa. Fanya jambo kwa huyu. Shetan. MAMA. Uliepoteza. Mtoto. Faraja kubwa n kwa Mungu

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 ปีที่แล้ว +5

    😭😭😭inallh wainaillh rajiwuna kwani kwanini jamani munawatesa watoto hivyo 😭😭😭😭😭

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +3

    😭😭😭😭 Sijui niseme nini, Mungu tuhurumie

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA 2 ปีที่แล้ว +4

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 imeniuma Sana jamani jamani mbona hatutoondoka na kitu hapa duniani! Nini kinatuhadaa?!

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole dada muuguzi ulionyesha kuguswa kabla hamujajua kifo cha mtt

  • @muniraassenga1068
    @muniraassenga1068 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wewe ni mwema sijui sijui nothing to say

  • @vivianmaro1336
    @vivianmaro1336 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ailaze roho ya mtoto pema peponi

  • @mwanahamisbwanga1184
    @mwanahamisbwanga1184 2 ปีที่แล้ว

    Jamaniii uwiii😭😭😭nalia tuu mimi

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว +1

    Inauma sanaa mtoto huyu alikua Na kosa gani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @agyjackkalwela6377
    @agyjackkalwela6377 2 ปีที่แล้ว

    Eee Mungu tulinde na watoto wetu baba, Inauma mnoo poleni saana ndugu jamaa na marafiki

    • @zulfaissa7814
      @zulfaissa7814 2 ปีที่แล้ว

      Polen sn mmaake mzazi kwayalio kufiken imeniuma sn

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 ปีที่แล้ว +6

    SINA CHAKUSEMA NCHI YENYE MA MILIONI YA WEMA INATESWA NA MAADUI WA CHACHE MUNGU REHEMU NAFSI ZETU

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 2 ปีที่แล้ว

    Maumivu ni makali mno haielezeki Kwa kweli😭😭😭😭😭

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 2 ปีที่แล้ว

    Jamanii jaman mungu tusamehe tumekosa tusamehe

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 2 ปีที่แล้ว +1

    Maoni.hii taratibu za polis taarifa itashuhulikiwa baada ya masaa 24.ingerekebishwa.inawezekana ripot ikishuhulikiwa mapema inaweza ikanusuru .Msiba mzito saaana.INAUMA SANA.

  • @teodoramgaya3638
    @teodoramgaya3638 2 ปีที่แล้ว +1

    Polen inauma sana

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wangu heeee 😭😭😭😭😭😭

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 ปีที่แล้ว

    Nimeumia sana

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa6683 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana kwa familia, RIP mtoto Wilson

  • @sophialaizer9171
    @sophialaizer9171 2 ปีที่แล้ว +1

    Imeniuma jaman😭😭😭😭

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 ปีที่แล้ว

    Eee Mungu tukumbuke😭😭

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 2 ปีที่แล้ว +1

    Who ever have hand on his death will not see peace in his or her life 😭 Rest well Johnson

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว

    Inalillahi wainailahi rajuun Subuhanallah binaadam sijuitunarlekeawapi

  • @anisiamalyagili9723
    @anisiamalyagili9723 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu ampokee mtt huyo tutamkumbuka jpm molele

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 ปีที่แล้ว

      Kiatu cha uyu mama ni kikubwa😪p0le sn mama

    • @njuka3515
      @njuka3515 2 ปีที่แล้ว

      "mtanikumbuka Sana TENA MTANIKUMBUKA Kwa mazuri'"

  • @feykimaro4615
    @feykimaro4615 2 ปีที่แล้ว

    Duuuuuuh sina la kuandikaa

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 ปีที่แล้ว

    Hayo mambo ya kishirikina, waganga wote wauliwe, tumechoka

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 ปีที่แล้ว

    Aise

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 ปีที่แล้ว

    Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 ปีที่แล้ว

    We mama nurse umeongea had machoz yamenitoka jaman polen jaman

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 2 ปีที่แล้ว

    Kwanini lakini pumzika kwa Amani mtoto wetu mzuri

  • @minakhamiskhamisi6193
    @minakhamiskhamisi6193 2 ปีที่แล้ว +2

    Alf mnasem inch yetu inaaaman kwel ninaimaan itakuwa inch y yeny ukatil wa siri Rais Rais

  • @upendomwasamboma7967
    @upendomwasamboma7967 2 ปีที่แล้ว +2

    Duh

    • @muzdatsuleiman3186
      @muzdatsuleiman3186 2 ปีที่แล้ว

      Yaan ni htri hii nchi yet

    • @aminamavura6834
      @aminamavura6834 2 ปีที่แล้ว +1

      Nimelia kwa uchungu kwa nini watu wamekuwa na roho ngumu kiasi hicho jamani tuombe na kuomboleza tumlikie mungu

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 2 ปีที่แล้ว

    Innalilah wainalilah rajuun poleni sana 😭😭😭😭

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 หลายเดือนก่อน

    Jmn bc naona ni huku kwetu Kenya tu kumbe nyinyi wenzetu piya kazi nihiyo tupoweni SOTE duh cjui tufiche watt wetu wapi jmn cjui tuwarudishe matumbo I hata celewi

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeona uchungu sana 😭😭😭😭 waliyo fanya hivyo WANAFURAHIA tu haki ya MUNGU MASHETANI wanafanya tuone MUNGU WAKWAO PEKE YAO OOOH

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 ปีที่แล้ว

      Hao watakuwa wa fanya biashara wanadanganywa NA WAGANGA hivyo viungo vinaingiz ahela. Kumbe niuongo ukimwamini mungu tuu inatosha

    • @lucyjeremia1381
      @lucyjeremia1381 2 ปีที่แล้ว

      @@زيتونتنزانيا Kama ndo hao watu wa madini kwanin wasiue watoto sasa

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 ปีที่แล้ว

      @@lucyjeremia1381 hee mhh yani tena watu wa madini wa naushilikina balaa

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 ปีที่แล้ว +3

    Hao wa fanya biashara hao huko kuna migodi ya madini

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 ปีที่แล้ว +1

    Inauma kwakweli zama izi usiogope simba ogopa binaadamu mwenzio

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭

  • @sophialaizer9171
    @sophialaizer9171 2 ปีที่แล้ว

    Imeniuma jaman😭😭😭😭

  • @rachelemanuel7691
    @rachelemanuel7691 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭