Tunazaa kea uchungu unamlea mtoto wako kwa shida afu kuna mtu anasubiri kumuaa kwa ajiri ya ushetani wake😭😭😭😭😭😭Ee Mungu wetu uko wapi mbona umetuacha baba😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 poleni sana Mungu amlaani kabisa aliye tuuliya mtoto wetu narohoyake itamsumbua huyo aliye muuwa jamani vibaya hivoo huyo mtoto kawafanyeni niniii 😭😭😭😭uchawi utawatesa
Jaman. Jaman. Kwa nn. Lkn. Mungu. Binadam. Aliefanya. Hv. Mungu. Wew. N mungu. Usieshindwa. Fanya jambo kwa huyu. Shetan. MAMA. Uliepoteza. Mtoto. Faraja kubwa n kwa Mungu
Maoni.hii taratibu za polis taarifa itashuhulikiwa baada ya masaa 24.ingerekebishwa.inawezekana ripot ikishuhulikiwa mapema inaweza ikanusuru .Msiba mzito saaana.INAUMA SANA.
Jmn bc naona ni huku kwetu Kenya tu kumbe nyinyi wenzetu piya kazi nihiyo tupoweni SOTE duh cjui tufiche watt wetu wapi jmn cjui tuwarudishe matumbo I hata celewi
Pole sana mama nurse umeongea kwa uchungu sana na unamjua Mungu sana. Mungu akubariki sana kwa upendo wako
Tunazaa kea uchungu unamlea mtoto wako kwa shida afu kuna mtu anasubiri kumuaa kwa ajiri ya ushetani wake😭😭😭😭😭😭Ee Mungu wetu uko wapi mbona umetuacha baba😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 poleni sana Mungu amlaani kabisa aliye tuuliya mtoto wetu narohoyake itamsumbua huyo aliye muuwa jamani vibaya hivoo huyo mtoto kawafanyeni niniii 😭😭😭😭uchawi utawatesa
😭😭😭Amina Mungu awaaangamize kabisa
Jaman. Jaman. Kwa nn. Lkn. Mungu. Binadam. Aliefanya. Hv. Mungu. Wew. N mungu. Usieshindwa. Fanya jambo kwa huyu. Shetan. MAMA. Uliepoteza. Mtoto. Faraja kubwa n kwa Mungu
😭😭😭inallh wainaillh rajiwuna kwani kwanini jamani munawatesa watoto hivyo 😭😭😭😭😭
😭😭😭😭 Sijui niseme nini, Mungu tuhurumie
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 imeniuma Sana jamani jamani mbona hatutoondoka na kitu hapa duniani! Nini kinatuhadaa?!
Pole dada muuguzi ulionyesha kuguswa kabla hamujajua kifo cha mtt
Mungu wewe ni mwema sijui sijui nothing to say
Mungu ailaze roho ya mtoto pema peponi
Jamaniii uwiii😭😭😭nalia tuu mimi
Inauma sanaa mtoto huyu alikua Na kosa gani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Eee Mungu tulinde na watoto wetu baba, Inauma mnoo poleni saana ndugu jamaa na marafiki
Polen sn mmaake mzazi kwayalio kufiken imeniuma sn
SINA CHAKUSEMA NCHI YENYE MA MILIONI YA WEMA INATESWA NA MAADUI WA CHACHE MUNGU REHEMU NAFSI ZETU
Maumivu ni makali mno haielezeki Kwa kweli😭😭😭😭😭
Jamanii jaman mungu tusamehe tumekosa tusamehe
Maoni.hii taratibu za polis taarifa itashuhulikiwa baada ya masaa 24.ingerekebishwa.inawezekana ripot ikishuhulikiwa mapema inaweza ikanusuru .Msiba mzito saaana.INAUMA SANA.
Polen inauma sana
Mungu wangu heeee 😭😭😭😭😭😭
Nimeumia sana
Pole sana kwa familia, RIP mtoto Wilson
Imeniuma jaman😭😭😭😭
Eee Mungu tukumbuke😭😭
Who ever have hand on his death will not see peace in his or her life 😭 Rest well Johnson
Inalillahi wainailahi rajuun Subuhanallah binaadam sijuitunarlekeawapi
Mungu ampokee mtt huyo tutamkumbuka jpm molele
Kiatu cha uyu mama ni kikubwa😪p0le sn mama
"mtanikumbuka Sana TENA MTANIKUMBUKA Kwa mazuri'"
Duuuuuuh sina la kuandikaa
Hayo mambo ya kishirikina, waganga wote wauliwe, tumechoka
Aise
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun
😭😭😭😭😭😭
We mama nurse umeongea had machoz yamenitoka jaman polen jaman
Kwanini lakini pumzika kwa Amani mtoto wetu mzuri
Alf mnasem inch yetu inaaaman kwel ninaimaan itakuwa inch y yeny ukatil wa siri Rais Rais
Duh
Yaan ni htri hii nchi yet
Nimelia kwa uchungu kwa nini watu wamekuwa na roho ngumu kiasi hicho jamani tuombe na kuomboleza tumlikie mungu
Innalilah wainalilah rajuun poleni sana 😭😭😭😭
Jmn bc naona ni huku kwetu Kenya tu kumbe nyinyi wenzetu piya kazi nihiyo tupoweni SOTE duh cjui tufiche watt wetu wapi jmn cjui tuwarudishe matumbo I hata celewi
Nimeona uchungu sana 😭😭😭😭 waliyo fanya hivyo WANAFURAHIA tu haki ya MUNGU MASHETANI wanafanya tuone MUNGU WAKWAO PEKE YAO OOOH
Hao watakuwa wa fanya biashara wanadanganywa NA WAGANGA hivyo viungo vinaingiz ahela. Kumbe niuongo ukimwamini mungu tuu inatosha
@@زيتونتنزانيا Kama ndo hao watu wa madini kwanin wasiue watoto sasa
@@lucyjeremia1381 hee mhh yani tena watu wa madini wa naushilikina balaa
Hao wa fanya biashara hao huko kuna migodi ya madini
Inauma kwakweli zama izi usiogope simba ogopa binaadamu mwenzio
😭😭😭😭😭
Imeniuma jaman😭😭😭😭
😭😭😭😭