TAHARUKI! KIJANA ALIYEPOTEA MWILI WAKE WAKUTWA KWA MGANGA, MABOMU YATUMIKA KUTAWANYA WANANCHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 220

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน +27

    Uchaguzi ukikaribia kunakuwa vitu vya ajabu ajabu 😢😢😢
    Pole kijana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli kabisa, viongozi wachawi tupu

  • @ommyshopangi9543
    @ommyshopangi9543 2 หลายเดือนก่อน +26

    Mliombee sana hili Taifa....kuna namna limewekwa bond kuzimu!!!!

    • @storytownTv
      @storytownTv 2 หลายเดือนก่อน +4

      Af umeongea jambo la kwel kabx nadhan mzimu wa nyerere ,magu na mkapa huwa unashangaa sana

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli kabisa hili ndio jibu halisikwa haya yanayoendelea, Yesu Aingilie kati

  • @paullameck-r5j
    @paullameck-r5j 2 หลายเดือนก่อน +5

    huu ni mwisho wa dunia nawambia kweli kabisa nyakat za mwisho upendo wa watu utapoa nd hivi sasa Mungu atusaidie😢

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 2 หลายเดือนก่อน +13

    😢😢😢 mmmh huyo mganga atakua kufukia watu wengi sana hapo

    • @florangido202
      @florangido202 2 หลายเดือนก่อน +2

      Auliwe tu
      Huyo ni Shetan Live 😮😮😮

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wam'binye mpaka aseme. Waganga wote wangepigwa marufuku ni ushetani tupu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mtuakitekwa Harudi tena😭😭😭tunauliwa kama mbuxi siyobinaadam ilamachoxi yawatu na dam zawatu.zitawajibu.lnshaallah

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 2 หลายเดือนก่อน +3

    Haya mambo ya kuzimu kabisa,roho ya mauti ndio upo kwenye anga duuuu Yesu Kristo tuokoee

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 หลายเดือนก่อน +8

    Maadili ya kazi kwa watumishi wa serikali inatia mashaka!

  • @PoulinSimon
    @PoulinSimon 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daah poleni san ndugu zangu

  • @RosemaryShilla-dr6kp
    @RosemaryShilla-dr6kp หลายเดือนก่อน

    Daa! Nyie wanyaturu mama zangu meacha kufuga mbojo sasa mnaua watu nakuwazika

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 หลายเดือนก่อน

      Huyu mganga ni msukuma,muhamiaji,matukio mengine kayafanya kijiji Cha pili na kwetu huko dom

  • @RashidRamadhani-b5o
    @RashidRamadhani-b5o 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna askari hapo ndugu zangu ni wahuni watupu

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu wangu tunaelekea wapi sasa

  • @Wiliam-n9k
    @Wiliam-n9k หลายเดือนก่อน

    Mama sana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 หลายเดือนก่อน +6

    M/MUNGU Ilaze roho ya marehem mahalii pema peponi pole kwa familia ilibidi raia wange wauwa wote wawili hatali sana

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi hii imejaa maovu, imejaa machozi, viongozi wanafeli majukumu yao. Maovu ni mengi. damu nyingi isiyo na hatia inayomwagika, humlilia mungu. Hii huleta laana ktk taifa

  • @yonahmsyani3232
    @yonahmsyani3232 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusamehe sisi waja wake.

  • @HidayaJamali-v1g
    @HidayaJamali-v1g 2 หลายเดือนก่อน

    Sbhanallah inallih wainalahi rajikhun

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 2 หลายเดือนก่อน +3

    USHIRIKINA UMEKITHIRI MNO.

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 17 วันที่ผ่านมา

    Tanzania tumezidi tunalaana. Tuna kila kitu lakini tuko maskini. Kwa sababu yakuabudu miungu

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 2 หลายเดือนก่อน +3

    Eeeh Mungu litazame taifa hili la Tanzania tunaelekea kubaya tusamehe Mungu pale tulipokukosea kama taifa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli tuombe toba Kwa nguvu zote, haiwezekani kila Kona watu wanapotea na wanakufa

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 หลายเดือนก่อน

    Muuweni huyo mganga mbona ni rahisi sana tuu

  • @obed_artz5418
    @obed_artz5418 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwanini police wanawaachia hawa waarifu baada ya kuwakamata na wanajua wameshaleta taharuki ktk jamii wananch wakichukua hatua basi wasilaumiwe wawaache wafanye kimachostahili.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli inaumiza sana Tanzania USHIRIKINA UMEKITHIRI MNO

  • @japhetsamson773
    @japhetsamson773 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo mganga anatafuta nn polisi akati mlitakiwa kuwamaliza mapema

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭 Mungu tusaidie🙏🙏🙏🙏

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani jamani😢😢😢

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 2 หลายเดือนก่อน

    Vita iishe nikachukua mahindi choma 😢😢😢

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 2 หลายเดือนก่อน

    Wananchi wema chagueni watu wacha Mungu. Wewe mama unayelia usililie polici akusaidie lia ukimtaja Mungu wa kweli akusaidie. Viongozi tzn yote machawi kwanza ni mauaji. Uongozi wa kuua ndipo utawale matokeo ndiyo hayo. Tumwombi Mungu tu. Make sasa raia tuko matekani babeli

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 2 หลายเดือนก่อน

    Waganga wa Iddi Amini mama samia hao kutoka kizimkazi kwao

  • @AholeLifilima
    @AholeLifilima 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani matukio ya kuuana kutekama yamezid tumechoka jamani

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 หลายเดือนก่อน

    Tusipige kula kwanini tanzania imekua hivi magufuli baba mungu mrudishe tunaisha uku

    • @JacobSanday-u9h
      @JacobSanday-u9h 2 หลายเดือนก่อน

      Magufuli mwemyew alikuwa anapoteza watu

  • @RosemaryShilla-dr6kp
    @RosemaryShilla-dr6kp หลายเดือนก่อน

    Makuro kwa wajomba zangu jamani kueni makini.naogopa

  • @AliamryBakar
    @AliamryBakar 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dunia simama nishuke😢😢

  • @VantinMassawe-dh2xf
    @VantinMassawe-dh2xf 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 หลายเดือนก่อน

    Ni muda wa waganga wa kienyeji kuuwawa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 หลายเดือนก่อน +8

    KITENDO Cha Serikali kuwapa LESENI hawa Waganga ni jambo baya sana,na hawa Waganga hawana faida futa maleseni Yao yoteeee,Kwa sababu wakati anafanya kazi yake Serikali haipo utajua anachokifanya ???

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa wapigwe marufuku

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 2 หลายเดือนก่อน +1

      Juzi walijazwa kwebye treni wakiebda Dom

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu 2 หลายเดือนก่อน

      Hao ni watu ambao siku zote ni wachawi aliojificha kwenye tiba za asili

  • @NadiaRamadhan-q1m
    @NadiaRamadhan-q1m 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani singd yetu mbona imearibka mimi nipo singd kijji cha itaja nimepotewa na mdgo wangu toka 16 mwezi 6 nahaptikani tumemutafuta sehemu mbali mbali hatumupti na haujui yuko wap mpka Sasa tunaumia sana

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw 2 หลายเดือนก่อน +2

    aitakuwa nawatu kweli mwanangu

  • @isaackemanuel3712
    @isaackemanuel3712 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kupatikana Kwa haki hapo wananunua hizo viungo wao Ndiyo wateja

  • @RoseKaiza-g2j
    @RoseKaiza-g2j 2 หลายเดือนก่อน

    Eee mwenyezi mungu tusaidie umebaki wewe tu ndio kimbilio letu

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 หลายเดือนก่อน

    du mbona twarudi kule tulipotoka jamani haya matukio yalipungua sana

  • @chalesimtundu7633
    @chalesimtundu7633 2 หลายเดือนก่อน

    Ndo haya ya simiyu

  • @MayaAlamari
    @MayaAlamari 2 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah
    Innalillah wainaillah rajoon

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe waganga ndo wanaua watu afu mnasingizia serikal

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche 2 หลายเดือนก่อน

    Polisi mnatakiwa kujitafakari,naona maadili ya Polisi yamepotea

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 2 หลายเดือนก่อน

    Tumekwisha

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 2 หลายเดือนก่อน

    Hv hao waganga wa kienyeji wa kaz gan pigen ua hawafai ndo wanasababisha watu wanapotea ovyo

  • @Kutaila99
    @Kutaila99 2 หลายเดือนก่อน

    Wanya2ru na niny mmeanza ushirikina😢

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 2 หลายเดือนก่อน

    Waganga wakienyeji selikali kwanini inawakumbatia waganga wakienyeji ndio chanzo cha watu kutekwa na kuuwawa selikari iliangalie sana swala hili

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani sasa hv unatembea barabarani wenzio wanakupigia hesabu ya tufigo twako jamani.tujifiche wapi sasa?

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @sergebaleke695
      @sergebaleke695 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 eti tufigo

    • @mugishamajeba9628
      @mugishamajeba9628 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😂😂 unasema wana ira wew mutu anaweza kucheka kama mazuli

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 หลายเดือนก่อน

    Waganga wa kienyeji wapigwe marufuku wasipewe leseni.wanaagua nini na ndio wanaoroga watu

  • @NgemeWalwa-f6u
    @NgemeWalwa-f6u 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabixa kwa mfano lamad watu wanapotea hafu hawaonekani

  • @williamngalla1068
    @williamngalla1068 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ferdinand irunde anafaa kuwa mtangazaji wa BBC

  • @ValentineFrisch
    @ValentineFrisch 2 หลายเดือนก่อน +16

    Sasa Tanzania haipo salama

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 2 หลายเดือนก่อน

      Yaaani sio kwa matukio hayaaa

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaaaa😢😢😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 2 หลายเดือนก่อน

    Irunde maana yke n wingu,yan hio singida,Moja police hawana lolote wapigaji tu mwisawa anyampaa,hao wagaga n noma,

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania yetu 😢ht sijui Inaelekea wapi kila kona watu wanapotea

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน

      HIYO NI VITA YA KIMAMLAKA... WATU WANATAKA NA WAO WAKALIE KITI KWA KILA AINA YA MBINU...

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

    Tuna shida gani sisi wabongo? Uchawi unaabudiwa. Kama hatumjui Mungu. Poleni ndugu na jamaa

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kuuliza swali jamani!
    Hiv nyie mnaowalilia polisi mna akili timamu kweli?
    Hiv kuna tofauti gan kati ya polis na wahalifu??
    Wa kumlilia ni mmoja tu na ndiye alipizaye kisas cha kweli na mtetezi wa kweli aitwaye Mungu Mwenyezi!
    Polisi+wahalifu=
    Mwenye jibu anipe.

  • @pendobundala-t7f
    @pendobundala-t7f 2 หลายเดือนก่อน

    Mbn kla kukcha matukio yanazd jmn, mungu tusaidie waja wko

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu tuongezee manabii kama Mwamposa

    • @AshrafuJuma-l3l
      @AshrafuJuma-l3l 2 หลายเดือนก่อน

      Uyo.mwamposa sio nabiii.uyo.ni.mwizi tuuu

  • @ramadhansadallah9894
    @ramadhansadallah9894 2 หลายเดือนก่อน

    Nilikuepo pale sio poa

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 2 หลายเดือนก่อน

    Yan Tena WATUMISHI wa serikali wanahusishwa?!!! hatar sana!

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mmh dunia imefika ukingoni.

    • @phare_tz
      @phare_tz 2 หลายเดือนก่อน

      Uongozi haupo makini tu

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 2 หลายเดือนก่อน

    Tuseme kwamba usalama Kwa sasa ni mdogo, maana matukio yamekua ni Mengi

  • @DeusdedtBernard
    @DeusdedtBernard 2 หลายเดือนก่อน

    mtanikumbuka RIP JPM

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน

    We jamaa unayeshuhudia upo sahihi li maviongozi baadhi ya serikali kuna muda yanashirikiana na hao wanaharamu wauaj na yenyewe yauwawe maana auwaye kwa upanga naye atauwawa kwa upanga!😢

  • @annamussa185
    @annamussa185 2 หลายเดือนก่อน

    Ila police yani pkpk tena ya uharifu anatembelea

  • @mariammkenga2017
    @mariammkenga2017 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeumia sana 😢😢😢

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo mganga. Muuweni chap

  • @victoriafaronendakwamakond4816
    @victoriafaronendakwamakond4816 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani Jamani

  • @promisetenson7258
    @promisetenson7258 2 หลายเดือนก่อน

    huyo mkuu wa kituo cha polisi kumuachia mhalifu alafu kuanza kutembelea piki piki ya mhalifu ni kitendo cha aibu polisi huyo amepoteza sifa.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭

  • @YohanaMathayo-r7p
    @YohanaMathayo-r7p 2 หลายเดือนก่อน

    Jeshi la polis limeshindwa kuwakamata watekaji? Mungu tusaidie tukimbilie wapi kwa matukio haya

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mganga auwawe na yeye!

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mkuu wa kituo jina lake nani??

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 2 หลายเดือนก่อน

    Taarifa zenu hazija kamilika hujasema hili tukio limetokea wp

    • @yohanaemanuelylazaro5109
      @yohanaemanuelylazaro5109 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa we umekamilika nn wakat unaanza c wamesema mtinko makuro ckiliza vzur WEWE uache shobo

  • @Saum-o1w
    @Saum-o1w 2 หลายเดือนก่อน

    Wanyaturu mwatendawore jmn, sokontoni jmn😢😢 mnaua Vijaya Taifa la kesho " tuungane kuwaua mi nipo tayar

  • @LloydsTech
    @LloydsTech 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Gondwe unasema timu ya jeshi la polisi ambao uchunguzi huwa haukamiliki

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 2 หลายเดือนก่อน

    Dawa katibatu

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw 2 หลายเดือนก่อน +2

    kweli kabisa jamami poleni

  • @MKOLOSAIZENGO-o7f
    @MKOLOSAIZENGO-o7f 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania tanzania TANZANIA

  • @SalumuBakari-w8r
    @SalumuBakari-w8r 2 หลายเดือนก่อน +5

    Awa askari wanaumiza wananchi sana

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa akili za kisoda unataka police wafanye nn😢

    • @emmanueljohn7253
      @emmanueljohn7253 2 หลายเดือนก่อน

      Nachoamini polisi wana kazi ngumu sana kuliko jamii inavyowachukulia​@@nancolower_8032

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 2 หลายเดือนก่อน

      Chadema mnakazi Sana

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 2 หลายเดือนก่อน

      Askari wameingiaje hapo sasa wewe ukiruhusu kila mtu ajichukulie sheria mkononi kutabaki na mtu nchini hapa!? Taratibu zipo sio kuchoma nyumba au kuua mtu

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@nancolower_8032wafanenini wenae kaamjinga kwanini mualifu anakamatwa Kisha wanamuachia ngoja apotee ndugu yako

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 2 หลายเดือนก่อน

    Rpc kutumia pikipiki ya mtumiwa ni sawa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 หลายเดือนก่อน

    Huko vijijin watu wanapotea sana kama hiki ni Kijiji kimoja tu watu 6 je mikoa mingine Sehem ambazo hakuna hata mitandao😭😭😭

  • @phare_tz
    @phare_tz 2 หลายเดือนก่อน

    Apo kwenye uchunguzi sasa

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 2 หลายเดือนก่อน

    Ivi awa wachawi wameluhusiwa nini kufanya uganga wao?

  • @STAZIUSMAGOMA
    @STAZIUSMAGOMA 2 หลายเดือนก่อน

    sasa mwili umekutwa kwa mganga lkn alivyopotea watu bado wakasema polisi wamemchukua ni ujinga tuu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani askari shida ni nini? Utatumiaje pikipiki ya muhalifu! au ndiyo rushwa yenyewe!

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 2 หลายเดือนก่อน

    Duuuh polelen Kwa familia

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 2 หลายเดือนก่อน

    Selikali haijawahi shindwa hili swala nyuma ya pazia mnahusika kila siku watu wanapotea na kuuliwa

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakoelekea binadam 😢😢😢

  • @SAVETHEGENERATIONFOUNDAT-bc8xc
    @SAVETHEGENERATIONFOUNDAT-bc8xc 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni KUOMBA serikali Muombeni Mungu

  • @AnatoriaRwabatwa
    @AnatoriaRwabatwa 2 หลายเดือนก่อน

    Pole

  • @aishakhamis2996
    @aishakhamis2996 2 หลายเดือนก่อน

    Kumamako samia jizulu 2...!!

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 2 หลายเดือนก่อน

    Hv na nyie wananch mtu mnamufahamu alafu mnamuacha hv hv au kawachezea Kijiji kizima

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 2 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu mnailaumu serikali
    Kumbe ninyi wenyewe mnaikaribisha waganga

    • @HALIHAMISI
      @HALIHAMISI 2 หลายเดือนก่อน

      Waganga wanapewa vibali selikalin vya kufanya kaz zao

  • @juliusmashauri
    @juliusmashauri 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uchaguzi

  • @khadijahamisi5561
    @khadijahamisi5561 2 หลายเดือนก่อน

    Msilie atuna watetez kabisaaaa

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh 😢😢😢😢 nyumban kabisa aisee daah ee Mungu Linda watu wangu waliopo huko aisee maumivu

  • @adammapuyanga8818
    @adammapuyanga8818 2 หลายเดือนก่อน

    mbona kama nchi haipo kwenye amani

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw 2 หลายเดือนก่อน +1

    polesana jamani