MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 48

  • @AliAdam-ve4ms
    @AliAdam-ve4ms 2 หลายเดือนก่อน +7

    Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi

  • @user-nw6nh7yb4q
    @user-nw6nh7yb4q 3 หลายเดือนก่อน +7

    Bas kama VP tumpe nch mabeho

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c 3 หลายเดือนก่อน +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭

  • @mwabimulungamulungamwabi7201
    @mwabimulungamulungamwabi7201 2 หลายเดือนก่อน +2

    nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali

  • @IssaMwaluko
    @IssaMwaluko 3 หลายเดือนก่อน +2

    mungu aisaidie famlly yake amina

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi 3 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @philipo6318
    @philipo6318 3 หลายเดือนก่อน

    Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.

  • @EmmanuelJohn-eg9rg
    @EmmanuelJohn-eg9rg 3 หลายเดือนก่อน

    Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 15 วันที่ผ่านมา

    Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu

  • @OmaryHamisi-fz7hq
    @OmaryHamisi-fz7hq หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @MaikoMamboleo-qt9df
    @MaikoMamboleo-qt9df 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 15 วันที่ผ่านมา

    Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna5233 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲

  • @AnnaKipetha
    @AnnaKipetha 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.

  • @PendoMwitewe-on3hj
    @PendoMwitewe-on3hj 3 หลายเดือนก่อน

    Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 3 วันที่ผ่านมา

    Apewe

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 3 หลายเดือนก่อน +2

    huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?

    • @bensonwissa5777
      @bensonwissa5777 3 หลายเดือนก่อน

      Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo

  • @DaniKadaga
    @DaniKadaga 2 หลายเดือนก่อน

    Goody xong

  • @OmaryHamisi-fz7hq
    @OmaryHamisi-fz7hq หลายเดือนก่อน

    Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu

  • @user-ne7cl4cx9o
    @user-ne7cl4cx9o 3 หลายเดือนก่อน

    Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo.
    Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.

  • @shadymsigwa
    @shadymsigwa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Duuuuh mungu saidia taifa rangu

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 3 หลายเดือนก่อน +1

    mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 3 หลายเดือนก่อน

    Tunaumia sana

  • @SiriOmari
    @SiriOmari 3 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭

  • @user-yg9fh9sj1w
    @user-yg9fh9sj1w หลายเดือนก่อน

    Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo

  • @ErnestMeshack
    @ErnestMeshack หลายเดือนก่อน

    .
    . No❤

  • @HussenMashaka-os9ok
    @HussenMashaka-os9ok 3 หลายเดือนก่อน

    Nikweli Tanzania inashirikiana.

  • @isalamKhasan
    @isalamKhasan วันที่ผ่านมา

    😂tuna kukunbuka sana

  • @omuze1290
    @omuze1290 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!

  • @fanueledmund6408
    @fanueledmund6408 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota

  • @livematchcentre21
    @livematchcentre21 3 หลายเดือนก่อน

    Moyo wa kizarendo

  • @user-po5mm5vk6d
    @user-po5mm5vk6d 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau

  • @user-hd7zx9ns7q
    @user-hd7zx9ns7q หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kujiunga unafanyaje

  • @esterlogose
    @esterlogose หลายเดือนก่อน

    Hana lolote ni msakiti

  • @mapesaevarist9094
    @mapesaevarist9094 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mwamba alinyoosha 😂

  • @edmundphilemon3054
    @edmundphilemon3054 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 3 หลายเดือนก่อน +1

    lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja 3 หลายเดือนก่อน

      😂hela

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u 3 หลายเดือนก่อน

    Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M

  • @JosephKowelo
    @JosephKowelo 3 หลายเดือนก่อน

    Natak kuchat na pendo

  • @ObediKinkusha-gq8fw
    @ObediKinkusha-gq8fw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?