Hawo wote walaji. Tofauti kati ya matajiri na masikini inazidi kukuwa, hii ni kwasababu bunge liko upande wa mafisadi. Ukiwachunguza matajiri hawa, wamejitajirisha kwa kupiga tenda. Hata Magufuli alichukiwa wakati wengine bila yeye wasingekuwa bungeni. Mpina tumeona mbele ya macho yetu. Inasikitisha wanapoanza kutowa na kumutanguza Mwenyezi Mungu huku hawafuati haki. Hii ni aibu kubwa kwa bunge. Hawa wameshaona wanaongoza wajinga. Wabunge wengi bungeni wamebandikwa tu. Wengi hawajuwi kinachoendelea bungeni ni kushangilia tu na kupiga meza
Kunyamaza kwetu ndiyo tunaonekana wajinga na viongozi kutuongoza kama ng’ombe. Na ukiona mtu anaonewa na wewe kukaa kimya na wewe unakuwa mmoja wa waoneaji. Ujinga wetu ni kukubali kuzibwa midomo. Hakuna mtu Ana haki ya kutunyamazisha
Wa kushauruwa kunyamaza ni wewe wala siyo Mpina. Mpina anatimiza wajibu wake kuwasemea wananchi wapiga kura wake. Uungwana kwake ni kutokuwa mnafiki kwa kuyanyamazia maovu.
Kaka punguza jaziba vita Yako binafsi ya wewe na Bashe na mwigulu kuwa nayo makini, njia unayotumia na mahala ulipo uenda sio sahihi. Nafikiri unawafahamu korimba, kigoma Malima na wengine. Kuwa jasili Toka huko nenda upinzani ukatetee hizo hoja zako .
Kumfungia mpina kuna maana bunge halitaki wananchi wajue nini kinaendelea na limeshindwa wajibu wake wa msingi kuisimamia serikali
Hawo wote walaji. Tofauti kati ya matajiri na masikini inazidi kukuwa, hii ni kwasababu bunge liko upande wa mafisadi. Ukiwachunguza matajiri hawa, wamejitajirisha kwa kupiga tenda. Hata Magufuli alichukiwa wakati wengine bila yeye wasingekuwa bungeni. Mpina tumeona mbele ya macho yetu. Inasikitisha wanapoanza kutowa na kumutanguza Mwenyezi Mungu huku hawafuati haki. Hii ni aibu kubwa kwa bunge. Hawa wameshaona wanaongoza wajinga. Wabunge wengi bungeni wamebandikwa tu. Wengi hawajuwi kinachoendelea bungeni ni kushangilia tu na kupiga meza
Hongera Muheshimiwa Luaga Mpina
HAKIKA Wewe Ni Mtu Na Robo Tatu
Kwa kweli hawakukutendea haki,tulia nimetokea kukuchukia sana
Speaker Tulia, kuna wabunge anawaogopa. Hata wakiwa na Mąkosa hasemi kitu, zaidi ya kumung’unya maneno.
Wataelewa tu
wabunge wanafiki tumeshawajua 😅😅😅hadi wewe msukuma
Unajua sana mpina na unafaa kuigwa na watu wote sena ukwel unaumaaaa na ukwel wako washajua
Bribe is leading in the world and no body will listen you front of thieves whom your accusing them.
Speaker Tulia upoooooooooo!!!!
Luhaga uko sahihi
Huyu mwamba anahoja ya msingi nimemuelewa sana spika alichochewa tuu na wabunge kwa kuambiwa eti amemdharau
Waziri si wakisesa semea tz na subiri mamlaka
hasan una maslahi gn na upigaji mali za umma kwa baadhi ya viongozi? Acha kuwa chawa wa wapigaji
Mbunge Mpina mzarendo,wapeleke mahakani hao mafisadi,
Mpina kunyamaza ni ungwana maana adhabu ushapewa na hamna kitakacho badirika. Kaka acha kulialia utaharibu Tena, shauri Yako.
Usiwe mpumbavu huyo mpina yuko sahihi sana
Mpina mtetezi wa wananchi,peleka mahakamani hao mafisadi
Kunyamaza kwetu ndiyo tunaonekana wajinga na viongozi kutuongoza kama ng’ombe. Na ukiona mtu anaonewa na wewe kukaa kimya na wewe unakuwa mmoja wa waoneaji. Ujinga wetu ni kukubali kuzibwa midomo. Hakuna mtu Ana haki ya kutunyamazisha
Wa kushauruwa kunyamaza ni wewe wala siyo Mpina. Mpina anatimiza wajibu wake kuwasemea wananchi wapiga kura wake. Uungwana kwake ni kutokuwa mnafiki kwa kuyanyamazia maovu.
Anyamaze ili iweje?Ili waendelee kuwalinda mafisadi na wezi wa mali ya umma.
Kaka punguza jaziba vita Yako binafsi ya wewe na Bashe na mwigulu kuwa nayo makini, njia unayotumia na mahala ulipo uenda sio sahihi. Nafikiri unawafahamu korimba, kigoma Malima na wengine. Kuwa jasili Toka huko nenda upinzani ukatetee hizo hoja zako .
Mpina yuko sahihi
akae huko huko awanyooshe,na tuwaone wanafiki wengine ndani ya ccm
Mpina badilika ndugu yetu, usijifanye wewe unajua kuliko wabunge wote, jitathimini wewe ni binadamu huwezi kujua Kila kitu
Maelezo ya Mpina umeyasikiliza na kuyaelewa au bado umelala Comrade?
Ushabiki mbaya
Hakika
Jitathimini wewe si mbunge huwezi kujua kila kitu, badilika ndugu!
Hassan wewe unajua nini kuhusu sakata hili? Au ni shabiki wa wanasiasa? Unajua kashfa ya Escrow Richmond Dowans nk. yalivyoanza?