Ila Mpina bana wewe ni mwamba kweli kweli hadi speaker kajichanganya ww nomaa akili kubwa sana hiyo ni yawachache wewe ni mzalendo wa kweli kabisa unapigania taifa letu👍👍👍👍👍
NAONA HURUMA SANA KWA SABABU HAKUNA USHIRIKIANO. WALE Gen Z WAMETOA SOMO KWA WANANCHI WEEENGI KWA HII AFRICA. MPINA ANAPAMBANA NA ANASHIKILIA HAKI, LAKINI MJENGONI WANATABIA KINYUME,VINYONGA. HIZI NDIZO ZAMA ZA ATAKAYE SHIKILIA HAKI ITAKUWA KWAMBA NI SAWA NA ALIYE SHIKILIA MKONONI MKAA ULIOKOLEA MOTO.IKIWA HANA COMPANY ATAACHIA TU,AU NAYE ABAKIE KIMYA AKILA KITU KIDOGO .Gen Z WAMEADABISHA BUNGE POYOYO NA SERIKALI KOLONI
Mungu akutie nguvu Mh Mpina ukweli wa Mungu umeonewa na wananchi tumeonewa na kudharauliwa sana huna kosa kabisa ila spika ameamua kumlinda mwizi ambae katika uongozi wake uyo waziri wakulima tumeuziwa pembejeo feki wakulima wa tumbaku chunya wanalia mborea feki na ushahidi upo wakulima wanalia sukari ameingiza pasipo code ila iko juu kuliko nchi jirani ukweli inauma sana.
Yaan kiufupi tu pina wew ni jembe ❤❤❤ ndo maana wanakupiga mawe mti mzr mwenye matunda lazima upigwe mawe cha msingi Pina wew piga kazi wengine ni watanzamaji tu mungu atakuongonza na arakupingania nami nakuombea
Viva Luhaga mpina, Tunakupenda watanzania . Wewe nimbunge pekee uliyebakia mwenye kujitambuwa na mzalendo wakweli. Mungu akujalie afya tele mpaka kieleweke, walio kushambulia tuna mashaka nao wote walionekana kama machawa badala ya kuwa watetezi wa raia
Hongera Mpina mzalendo haswaaa walittaka umpelekee Spika huo ujumbe ili aufiche umekuwa mkweli na Mungu yu pamoja nawe haya mabweha mwisho wao uu karibu big up sana
Hapo kwenye kanuni umenyooka sana nikweli spiker alikuwa anakukomoa hvyo vipengere kumbe vilikuwepo hakusoma spika nanilikuwa nafatilia siku hyo duuu nchi hii
Tumekosa viongozi wazalendo katika Nnchi mama hii, hatutafanikiwa tukiendelea kujali mishahara yetu badala ya nitalifanyia nini taifa. Viongozi ingine mfano wa Mwl Nyerere. Nyerere was faithful man, man of Nation. May his soul rest in peace.
Mh.Mpina wewe uko sahihi na Mungu husimama na haki,hata wewe Mungu atakusimamia katika hatua zako zote! Hebu angalia kama taratibu zinakuruhusu kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Spika ukate rufaa ili hayo maamuzi yasikilizwe na yabatilishwe! Asante.
Nachanganyikiwaaaaaaaaa !!! Sielewiiiii!!! Bora wakenya waje Tanzania ... uzalendo hakuna kila mtu anajali turbo lake. Uuuuuuwiiiì!!! Tanzania amka kymekucha. Wabunge wanalipqa Hamilton ya pesaro mjumbe wa nyumba kumi 000000 . Hawa wabunge wanafaida gani? Namthamini mjumbe wangu kuliko mbunge wangu. Uuuuuuwiiii Tz amka kumekucha!!!!
Kweli watanzania tujitambue kabisa make watanzania wengi tumekuwa mitaji ya watu wachache. Sasa hii ifike mwisho yaani kuna kikundi kidogo tu , kiko tayari kukunyag'anya mpaka kanda mbili ubaki peku . Huo upuuzi tusiuluhusu tena sisi tumekuwa kama mashamba ya watu wachache aaaaa@@lizymtei4132
BRAVO Vijana wa Kenya mmeionyesha njia Afrika kwamba nguvu ya umma uliojidhatiti unaweza kuzinyosha serikali dhalimu. Bravo Mahakama ya Kenya kuwaondoa wanajeshi kwenyemapambano na wananchi wanaodai haki ya maisha yao kwa nchi yao na rasilimali zao. Hizo ndizo mahakama zinaweza kuleta mageuzi makubwa. Mahakama za Tanganyika zitende kama wenzao wa Kenya na sio vibaraka wa Serikali na kulambishwa makombo hakika mtakuja nyongwa na asiwepo wa kuwatetea.Tunaona leo Mpina anahukumiwa kihovyo na mjalala toka jalala kuu kosa ati anawasakama watoto wa mama wanaokula kwa urefu wa kamba zao. Jamani nchi inakwisha huyu msomali akiiba si atakimbilia kwao na wengine na wengine Arabia.JAMANI TUMUUNGE MKONO TAL MAANA TANGANYIKA IS STRIPED NAKED.
Mungu asimame na wewe, maana umetanguliza maslahi ya wengi na yote yanakupata sio Kwa faida ya wewe na family yako Bali ni Kwa Taifa - umesimamia haki na tupo pamoja na wewe - hakuna wa kukutisha Mungu yupo na wewe na wote wataaibishwa simama imara, wewe ni shujaa umetekeleza WAJIBU. History haitafutika. Utakumbikwa, umenitia moyo maana unajiamini na unasimamia ukweli.
Safi sana mh. Mpina, Mbunge wa Taifa. Kwa kuwa unayoyafanya ni kwa maslahi ya Watanzania na wala si kwa manufaa yako binafsi, hakika utashinda na ushindi utakuwa mkubwa mno kuwahi kutokea. Mungu atakuwa pamoja nawe lakini hata sisi Watanzania tunaochukizwa na kitendo cha WAPIGANIA HAKI kuonekana wahalifu na WAHALIFU kulindwa na MIHIMILI tutakuwa pamoja nawe. Hapo huwa namkumbuka sana Mwamba wa Afrika, Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu, aliyetoa SADAKA maisha yake kwa ajili sisi Watanzania, JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, Mwenyezi Mungu amrehemu. Angekuwepo Mwamba, JPM, haya mauza uza yanayoendelea sasa yasingekuwepo kabisa, maana yeye alikataa kata kata Tanzania kuwa shamba la Bibi. Saa ya ukombozi ipo karibu sana. Amina.
Mpina tuko pamoja nawe,na tunakupenda sana ila hatuipendi CCM kwaajili tu inapenda dhulma,mpina Fanya kazi,tulijua tu kitakachotokea dhidi yako Maana Rushwa iliotembea hapo ni mtambuka sana,bilioni zaidi ya 500 walizosamehewa kodi hao walanguzi na Msomali wao mgao wake ni mtambuka sana, Viva mpina,we love you 💪💪💪💪💪💪💪💪
>NDG. MPINA HAPA ANALALAMIKA KWA KUONEWA LKN LINI CCM HII ILISIMAMA KWENYE HAKI? >SAKATA LA UHABA WA SUKARI KUWA UCHOCHORO WA NEEMA KWA WACHACHE HAIKUANZA LEO!
Hakili ndogo haiwezi ongoza Hakili kubwa,big up Mpina wewe ni jembeeeee viva mpina Magufuli styleee,Makondaaa nyinyi ndiyo mlibaki na upako wa Magufuli.
Waafrica tuamke tustiwatukuze viongozi tuwaheshimu. Wakikosea tuwakosoe ni watu sio miungu. Kipindi cha uchaguzi tuu bosi ni mwananchi mpiga kura. Ikipita hiyo mwananchi unakuwa mtumishi bosi anakuwa mbunge. Hii ni shidaaaaaa!!!!
Mh.Mpina usihuzunike sana,siku zote mambo yote yanayofanyika gizani Mwenyezi Mungu huyaweka kwenye Mwanga.wananchi wengi wanaendelea kuujua ukweli wa sakata hili la uagizaji sukari kinyume na sheria za nchi. Ni vizuri tusikie maamuzi ya mahakama sasa kwa vile umejua vyema kwamba ungekata rufaa ndani ya Bunge yawezekana usingesikilizwa na kutendewa haki. Tuna imani kubwa kwamba mahakama itasikiliza kesi unayotarajia kufungua kwa hekima,maadili,haki na kutoa hukumu inayostahili. Tunaomba mola akupe nguvu,afya njema na ujasiri katika kazi zako za kibunge.
Spika alipanik sana kwenye hii issue ya Mpina. Huwezi kuongoza Bunge kwa kutumia feelings. Nchi za wenzetu kesi ipo mahakamani inaongelewa kwenye vyombo vya habari na mahakama hazipaniki. Msomi mkubwa kama Spika amenishangaza sana jinsi alivyo shughulikia kesi ya Mpina na Bashe. She is not supposed to pick side, yet she did.
Sana alipanik ila hahah atajutia kwa kumfukuza MPINA si kweli mpina amemkosea heshima spika na bunge ni chuki za kuto kutetea haki na maendeleo ya watanzania maskini
Mpina anafaa kuongoza nchi hii ni mtetezi kwa masrahi ya nchi hatetei chama chama chake huo ndiyo uongozi mungu mbariki mpina aendelee kuitetea nchi siyo chama
Yaani huyu hamaa anataka sukari isiagizwe wakati kuna shida,anatetea waizi wa viwanda waendelee kuuza sukari ghali Hala fu mnasema anatea wanyonge,viwanda vya sukari ni wanyonge?au wananchi waliopandishiwa sukari bei kiholela.
Kweli huyu Tulia naye ni tatizo na ushahidi ni pale ambapo ameamua kuwalea "COVID-19" wakati wamefukuzwa chadema na taarifa rasmi alipewa. Hao wabunge ni hewa siyo halali kwa mujibu wa katiba kwani hawana chama Cha siasa. Tunaibiwa wanalipwa mishahara na posho kwa Kodi zetu. Inawezekana kila mwezi huyo Tulia anapata chochote kutoka kwa hao COVID 19.
Kiukweli huyo mama nilikua shabiki yake sana ila kwahili staki hata kumuona kabisa muonevu mkatili majivuno kwanini ufurahie mwenzako anashambuliwa bungeniivi nawewe umekaa kimya unatabasam kinafiki
Mweshimiwa mpina Fanya kazi ya mungu tete a wanyonge Kama mungu you upande wako hakuna yoyote atakaye kuangusha. Kumbuka mti wenye matunda ndio upigwao mawe.
Kaka mpina umepewa adhabu kwa sababu unaongea ukweli , lakini watanzania wote wanao fuatilia hoja zako uwapo kuwa wakilisha watanzania wakisesa na jamuhuri kwa ujumla Wana kupenda ila hatuna namna kwa maana wasio kupenda ndio mapilato watoa hukumu batili, lakini kaka KAZI yako njema sana.
Unajua watu wasio na akili za kiuchambuzi ni wengi kuliki wenye akili... Hivi we uko kundi gani?. Maana ukisikiliza vizuri coment zake juu ya spika unagundua jambo na utajua kuwa hata kiswahili tu cha kawaida Mpina hajui
@@mwalimulossilamsuya1944 yani upo sawa maana hapa wengi ni washabiki lakini hawajui lolote spika ni mwanasheria anajua analofaya huyu jamaa hata kuongea kiswahili kinamshinda
Nakuelewa mpina na kikao kinacho fata wew nenda bungeni kama uko na point yako shusha sis tupo kwa ajili yao na sio kwa ajili yao maana majambazi wako ndani ya bunge
Nchi nzima tunakupenda asante usijali watanzania tunajitambua kwa Sasa hv watakaa Tena wanaogopa Nini kwani wabunge SI ndio watanzania milioni sitini wamwogope mungu
@@NixonJohnson-zn8nk Mungu wetu wa mbinguni anajua dhuluma inayo fanywa na viongozi wa nchi hii . Kitendo alicho fanyiwa Mpina ni kitendo cha kuwanyamazisha watanzania . Tunamwambia spika na vibaraka wako ipo siku hamtamini kitakacho wapata . Wapumbavu nyie
Mungu akupe moyo utu karama yauvumiivu,kwani mti wenye matunda mazuri hupigwa mawe.Tunakuombea sana mweshimiwa Mpina kwani nimzalendo mahiri kwenye nchi yko nawatanzania wanyonge.Mungu amekuandalia kiti chauflme siku Moja atatoa majibu yko.Kikweli wakati huu ukisema ukweli hutopendwa Bali utaonekana msaliti.Magufuli ukale pema peponi.Uoate furahaa telee namalaika wema hko mbinguni.🎉
wanao sema 2025 kitaeleweka gonga like hapa
Fanyeni kama Kenya
Hapa hii ni isidingo kuna kitu kinapitishwa chin chini
umeonae😂😂@@youngsachafurniture5482
gen-z bado maisha hayaja tupiga ngoja yachanganye😂
Qumamke walahi 🤔🤪😩🤪
Love this Guy, ni Binadamu halisi mwenye Ufahamu na anatumia ubinadamu wake vema
Mungu Mwenyezi akulinde na akufunike kwa Damu yake takatifu,waabike na wafedheheshwe wote wanao kuchukia big up kwa Mpina
Ila Mpina bana wewe ni mwamba kweli kweli hadi speaker kajichanganya ww nomaa akili kubwa sana hiyo ni yawachache wewe ni mzalendo wa kweli kabisa unapigania taifa letu👍👍👍👍👍
Wenzanko walikusaliti baada ya kulambishwa sukari ya kisomali pole sana mh.ila Naamini nafasi Yako ipo Mungu atakupandisha tu🎉🎉
Ongea mtanzania mzarendo wa nchi hii, mbunge Mpina,be blessed 🙏🙏
LUHAGA MPINA..A.K.A GEN Z..BIG UP. PAMBANA.
NAONA HURUMA SANA KWA SABABU HAKUNA USHIRIKIANO. WALE Gen Z WAMETOA SOMO KWA WANANCHI WEEENGI KWA HII AFRICA. MPINA ANAPAMBANA NA ANASHIKILIA HAKI, LAKINI MJENGONI WANATABIA KINYUME,VINYONGA. HIZI NDIZO ZAMA ZA ATAKAYE SHIKILIA HAKI ITAKUWA KWAMBA NI SAWA NA ALIYE SHIKILIA MKONONI MKAA ULIOKOLEA MOTO.IKIWA HANA COMPANY ATAACHIA TU,AU NAYE ABAKIE KIMYA AKILA KITU KIDOGO .Gen Z WAMEADABISHA BUNGE POYOYO NA SERIKALI KOLONI
Mungu akutie nguvu Mh Mpina ukweli wa Mungu umeonewa na wananchi tumeonewa na kudharauliwa sana huna kosa kabisa ila spika ameamua kumlinda mwizi ambae katika uongozi wake uyo waziri wakulima tumeuziwa pembejeo feki wakulima wa tumbaku chunya wanalia mborea feki na ushahidi upo wakulima wanalia sukari ameingiza pasipo code ila iko juu kuliko nchi jirani ukweli inauma sana.
Ubarikiwe sana Luhaga Mpina mungu yupo nawe
Bunge lipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wapigaji na sio kwa ajili ya wana nchi,VIVA MPINA mapambano yaendelee
Yaan kiufupi tu pina wew ni jembe ❤❤❤ ndo maana wanakupiga mawe mti mzr mwenye matunda lazima upigwe mawe cha msingi Pina wew piga kazi wengine ni watanzamaji tu mungu atakuongonza na arakupingania nami nakuombea
Kabisaa
Viva Luhaga mpina,
Tunakupenda watanzania .
Wewe nimbunge pekee uliyebakia mwenye kujitambuwa na mzalendo wakweli.
Mungu akujalie afya tele mpaka kieleweke, walio kushambulia tuna mashaka nao wote walionekana kama machawa badala ya kuwa watetezi wa raia
Hongera Mpina mzalendo haswaaa walittaka umpelekee Spika huo ujumbe ili aufiche umekuwa mkweli na Mungu yu pamoja nawe haya mabweha mwisho wao uu karibu big up sana
Tunatambua kazi, zako kaka mpina, big up ! Endelea hivyo hivyo mungu atakulinda
Hapo kwenye kanuni umenyooka sana nikweli spiker alikuwa anakukomoa hvyo vipengere kumbe vilikuwepo hakusoma spika nanilikuwa nafatilia siku hyo duuu nchi hii
Tumekosa viongozi wazalendo katika Nnchi mama hii, hatutafanikiwa tukiendelea kujali mishahara yetu badala ya nitalifanyia nini taifa. Viongozi ingine mfano wa Mwl Nyerere. Nyerere was faithful man, man of Nation. May his soul rest in peace.
Saluteeeee mpina....tunahitaji vijana km nyieee wapiga kazi....
Wewe ndo mbunge,wengine wote hakuna kitu Amina msukuma lusende Yani hao waliandaliwa ila ukweri tunao hongela mpina mungu akurinde
Huyu jamaa nijasiri mungu amlinde,
Mh.Mpina wewe uko sahihi na Mungu husimama na haki,hata wewe Mungu atakusimamia katika hatua zako zote! Hebu angalia kama taratibu zinakuruhusu kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Spika ukate rufaa ili hayo maamuzi yasikilizwe na yabatilishwe! Asante.
Ana haki, kaongea ukweli lakini bunge halitabatilisha uamuzi wake. Nchi yetu aliyeturoga kafa.
Ndiyooo!
Hakuna uongoz wa mwanamke
Mpina smart.hakurupuki.mbunge w aftica hiuo na Dunia huko kwenye mabunge yanayojielewa
Mtu na nusu
Kwa hiyo CV
Hongera saana Mpina, Ukweli utabaki kuwa Ukweli.....tutajivunia kuwa na wewe kama Mwakilishi wa Wananchi
Mungu anawaona MPINA tumeona walikuwa wamekupania na wote walio kushambulia tumepata wasiwasi nao 2025 inafika
Ni kweli
Tuanze na Msukuma mnafiki sana tushamjua sahizi inatosha
Msukuma yule mnafiki sana afu wapumbavu pumbavu na wachekeshaji ndo wanao pewaga airtime.
Mapambano yana endelea,,tupo pamoja Mr mpina,,
😊
Matatizo ya kupitia bila kupingwa....na uzembe kazini
Kwa mamla ya jina la YESU.mpina unakuja kuwa rais
Wa nchii hii.save hii koment maana.hakika itatokea amina
YESU ALISHINDWA KUJITETEA MWENYEWE MSALABANI PAMOJA NA KUOMBA MSAADA KWA ALOY ALOY NA AKACHUNIWA WATU WAMMALIZE NS KUMUULIYA MBALI IJE IWE MPINA?
Acha ujinga wewe! Kama mambo ya MUNGU hujui, basi nyamaza kimya! Na BWANA YESU na akukemee!@@user-oh6pc7zd4s
@@user-oh6pc7zd4ssoma alipofufuka na kuishinda mauti na kumshinda huyo ibilisi na shetani
Kimsingi tuko na ww Mpina,,ni mbunge mtetezi wa Watanzania,,the soul of Jpm
Nakukubali sana wewe ndiye jembe no 1 Tanzania mungu akutangulie kwani unatupigania sisi watanzania
Usiku na mchana havichangamani, Mpina ni nuru, wengine wale ni wapigaji wa gizani❤❤❤🎉
Aliyesema wabunge wawe waganga wa kienyeji ameachiwa lkn aliyetoa taarifa za wizi amefukuzwa. Hii ndo tz
Kweli kabisa
Na Tuliambiwa "TUHAMIE BURUNDI"😭 Yaani🤐😭
Aisee inauma be strong Mh MPINA
Viva mhe Luhaga Mpina
Nachanganyikiwaaaaaaaaa !!! Sielewiiiii!!! Bora wakenya waje Tanzania ... uzalendo hakuna kila mtu anajali turbo lake. Uuuuuuwiiiì!!! Tanzania amka kymekucha. Wabunge wanalipqa Hamilton ya pesaro mjumbe wa nyumba kumi 000000 . Hawa wabunge wanafaida gani? Namthamini mjumbe wangu kuliko mbunge wangu. Uuuuuuwiiii Tz amka kumekucha!!!!
Kweli watanzania tujitambue kabisa make watanzania wengi tumekuwa mitaji ya watu wachache. Sasa hii ifike mwisho yaani kuna kikundi kidogo tu , kiko tayari kukunyag'anya mpaka kanda mbili ubaki peku . Huo upuuzi tusiuluhusu tena sisi tumekuwa kama mashamba ya watu wachache aaaaa@@lizymtei4132
😂@@lizymtei4132
Mpina Yuko vzr ila hiyo ya Kenya ni ujinga na kukosa misingi Bora na Hali mbovu ya kisiasa Kenya dio maana Wana historia mbovu @@lizymtei4132
Jamani 50 50 mmeona kuongozwa na Wanawake ninachojua mimi uongozi hawakupewa Wanawake ,Hawa niwasaidizi,tz tujitathimin
Mmmh!
Yaani ni shida tupu
Tunazidi kuchelewa kufanikiwa kama nchi kwa zulma kama hizi serikali
Ulitaka upewe wewe uongozi wasenge wameja hapa hawana kazi matako zenu
Wewe bila mwanamke wala usengelijulikana wala usengezaliwa ,acha ujinga wewe
Safi mpina. Bunge la Tanzania linaunafki mwingi 👏👏
Mungu atuwezeshe wote tuwe majasiri kama huyu mbunge
Ukionekana unatetea wanyonge unaambiwa unazarau
Makonda alianza na moto lakini akpigwa kijembe kwamba kwamba watu wanatumia ubabe
BRAVO Vijana wa Kenya mmeionyesha njia Afrika kwamba nguvu ya umma uliojidhatiti unaweza kuzinyosha serikali dhalimu. Bravo Mahakama ya Kenya kuwaondoa wanajeshi kwenyemapambano na wananchi wanaodai haki ya maisha yao kwa nchi yao na rasilimali zao. Hizo ndizo mahakama zinaweza kuleta mageuzi makubwa. Mahakama za Tanganyika zitende kama wenzao wa Kenya na sio vibaraka wa Serikali na kulambishwa makombo hakika mtakuja nyongwa na asiwepo wa kuwatetea.Tunaona leo Mpina anahukumiwa kihovyo na mjalala toka jalala kuu kosa ati anawasakama watoto wa mama wanaokula kwa urefu wa kamba zao. Jamani nchi inakwisha huyu msomali akiiba si atakimbilia kwao na wengine na wengine Arabia.JAMANI TUMUUNGE MKONO TAL MAANA TANGANYIKA IS STRIPED NAKED.
Kwa maneno YA MPINA. JAMANI TULIA AKSONI HAFAI. KABISA KWENYE KITI HICHO. KITI kinamzidi kabisa
Kale kamama kamekaa kinafki sana
Hongera unaejielewa, Mbunge wa wananchi.
Mungu asimame na wewe, maana umetanguliza maslahi ya wengi na yote yanakupata sio Kwa faida ya wewe na family yako Bali ni Kwa Taifa - umesimamia haki na tupo pamoja na wewe - hakuna wa kukutisha Mungu yupo na wewe na wote wataaibishwa simama imara, wewe ni shujaa umetekeleza WAJIBU. History haitafutika. Utakumbikwa, umenitia moyo maana unajiamini na unasimamia ukweli.
Tuliowengi ni wanafiki wakati wa magufuli mpina nyiewenyewe mulimutupia lana nyingi leo munamsifu na kumpongeza
You know what your doing big up next year big changes are coming according to the prophet
Nikupe maua yako mtumishi. You're a smart person, and your future is great.
Mpina anajieelewa sana
Big up my role model
Mungu atakua pamoja hao wote niwapigaji Nchi imeuzwa ndugu wanalamba Asali Mzarendo alikua JPM pekee
Rasilimali zetu na za wajukuu na vitukuu wetu jamani. ZIMEENDA 😢😢😢
Bado wapo wengine ambao hawapewi nafasi.
Kuna malengo tofauti wengi wako kwa ajili ya matumbo yao
Je hauwezi kukata rufaa?
Safi sana mh. Mpina, Mbunge wa Taifa. Kwa kuwa unayoyafanya ni kwa maslahi ya Watanzania na wala si kwa manufaa yako binafsi, hakika utashinda na ushindi utakuwa mkubwa mno kuwahi kutokea. Mungu atakuwa pamoja nawe lakini hata sisi Watanzania tunaochukizwa na kitendo cha WAPIGANIA HAKI kuonekana wahalifu na WAHALIFU kulindwa na MIHIMILI tutakuwa pamoja nawe.
Hapo huwa namkumbuka sana Mwamba wa Afrika, Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu, aliyetoa SADAKA maisha yake kwa ajili sisi Watanzania, JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, Mwenyezi Mungu amrehemu.
Angekuwepo Mwamba, JPM, haya mauza uza yanayoendelea sasa yasingekuwepo kabisa, maana yeye alikataa kata kata Tanzania kuwa shamba la Bibi.
Saa ya ukombozi ipo karibu sana. Amina.
Mungu anaruhusu haya yatokee ili kuamsha mioyo y watanzania iliyolazwa miaka mingi siku yaja waTanzania wataamka acha tu majira n nyakati ziongee
Watanzania wenyewe hawamjui adui yao
Fantastic Mheshimiwa Mpina, usipo jifunza kwa magufuri, Makonda, Mpina basi
Kwani mwisho wa mwanadamu ni nino. Itasaidia nini kupata yote batili na mwisho ni kufa. Kuna atakayeishi milele
Hao ni Viongozi wazuri sanaaaa Hayati Magufuli Makonda na Mpina wako Vizuri sanaaaa kanda ya Ziwa kiboko yombaga tu mwanawane
Mpina wewe ni mtumishi wa kweli wa watanzania! Tunakuombea ulinzi kwa Mungu wa majeshi yote
Munamdanganya na kumvibisha KICHWA, Bado hata hii taarifa yake anafanya kosa, alipaswa kupeleka malalamiko yake kwenye Kamati siyo public
Mpina tuko pamoja nawe,na tunakupenda sana ila hatuipendi CCM kwaajili tu inapenda dhulma,mpina Fanya kazi,tulijua tu kitakachotokea dhidi yako Maana Rushwa iliotembea hapo ni mtambuka sana,bilioni zaidi ya 500 walizosamehewa kodi hao walanguzi na Msomali wao mgao wake ni mtambuka sana, Viva mpina,we love you 💪💪💪💪💪💪💪💪
Mpina we love and appreciate you.
Viva panguwa kilahoja ndio ajue spika kasoma Sheria lakini hajui Sheria na wananchi mpina huu utetezi wake tumeusikiliza kiumakini sana,
Huna akili kama yeye tu.. Acha ushabiki.. Huu sio mpira
We unajua Nini?@@mwalimulossilamsuya1944
@@mwalimulossilamsuya1944😂😂😂
Kwa jicho la sheria Mh. Mpina yupo sahihi na maelezo yake yamekomaa sana viongozi tunatakiwa kuwa waangalifu sana tunapoongza
Mpina umeongea Hadi roho yangu inauma sana.ila kunajambo linaenda kutokea Tanzania.mwenye macho ataaona.mungu akutie nguvu Amina
Ameni
Dawa Yao hawa wabunge jinga jinga wasirudi bungeni 2025. Tunataka wabunge watakalibeba taifa na sio maslahi Yao. Hongera sana mpina
Nimelia sana kiukweli wamekuonea kuanzia leo namchukia sana spika ndio maana hana nyama mweusi kama mkaa kama vipi hamia kenya
Hahahaaaa, kwel ndugu ,huyu Spika ni mpumbavu na anajisikia sana na kanajifanya Dunia yoote ni yake
Nahamiya mm kenya
Hahaa😂
Wamemtoa bado wanalalamika kuhusu sukari wanafiki wakubwa
@ibrkasenge sana kaspika🤪🤪ahshifta1595
>NDG. MPINA HAPA ANALALAMIKA KWA KUONEWA LKN LINI CCM HII ILISIMAMA KWENYE HAKI?
>SAKATA LA UHABA WA SUKARI KUWA UCHOCHORO WA NEEMA KWA WACHACHE HAIKUANZA LEO!
HAKI HUINUA TAIFA
Hakili ndogo haiwezi ongoza Hakili kubwa,big up Mpina wewe ni jembeeeee viva mpina Magufuli styleee,Makondaaa nyinyi ndiyo mlibaki na upako wa Magufuli.
I see a bright future for you mheshimiwa Mpina
Huu mwamba ni musumari wa moto bigup Mr mp
Waafrica tuamke tustiwatukuze viongozi tuwaheshimu. Wakikosea tuwakosoe ni watu sio miungu. Kipindi cha uchaguzi tuu bosi ni mwananchi mpiga kura. Ikipita hiyo mwananchi unakuwa mtumishi bosi anakuwa mbunge. Hii ni shidaaaaaa!!!!
Mh.Mpina usihuzunike sana,siku zote mambo yote yanayofanyika gizani Mwenyezi Mungu huyaweka kwenye Mwanga.wananchi wengi wanaendelea kuujua ukweli wa sakata hili la uagizaji sukari kinyume na sheria za nchi.
Ni vizuri tusikie maamuzi ya mahakama sasa kwa vile umejua vyema kwamba ungekata rufaa ndani ya Bunge yawezekana usingesikilizwa na kutendewa haki.
Tuna imani kubwa kwamba mahakama itasikiliza kesi unayotarajia kufungua kwa hekima,maadili,haki na kutoa hukumu inayostahili.
Tunaomba mola akupe nguvu,afya njema na ujasiri katika kazi zako za kibunge.
Hongera sana Mpina kwa kutafsiiri sheria na tumejua watanzania kilichojificha nyuma ya spika
Akili kubwa sana hii
Mungu wa mbinguni akutete huna kosa
Hongera kwa ujasiri na uwajibikaji. Hakika wewe Ni mzalendo wa kweli.
Your inteligence mpina...mbaka waseme 😮izo n chuki bnafsi wananchi wamekuamn miaka 19 hakika mungu asimamie 🔥
Mpina jifunia 2025 ❤️❤️❤️❤️100%uko sawa.
Spika alipanik sana kwenye hii issue ya Mpina. Huwezi kuongoza Bunge kwa kutumia feelings. Nchi za wenzetu kesi ipo mahakamani inaongelewa kwenye vyombo vya habari na mahakama hazipaniki. Msomi mkubwa kama Spika amenishangaza sana jinsi alivyo shughulikia kesi ya Mpina na Bashe. She is not supposed to pick side, yet she did.
Sana alipanik ila hahah atajutia kwa kumfukuza MPINA si kweli mpina amemkosea heshima spika na bunge ni chuki za kuto kutetea haki na maendeleo ya watanzania maskini
Abras huyo Spika kwa sasa ni wa ridhiki mantashalla
She is incompetent
Alicho fanya nikosa, na bado anafanya kosa
@@birianination7097 ila bashe anaetuhumiwa kudanganya bunge aachwe tu au sio
Huyu sipika wa muchongo anasumbua sana generation mpya tunawaona na tunajiandaa tuwanyoshe watu kama wale
Mpina anafaa kuongoza nchi hii ni mtetezi kwa masrahi ya nchi hatetei chama chama chake huo ndiyo uongozi mungu mbariki mpina aendelee kuitetea nchi siyo chama
Mpina oyeeee❤
Yes ana wivu wa kuwatetea wanyonge. Tanganyika tuamke
Jaman Tanganyika ndyo Nini hapa inatetewa Tanzania
Tanganyika Iko wapi
Kweli kabisa
@@jumaseifally6337 TANZANIA????
Yaani huyu hamaa anataka sukari isiagizwe wakati kuna shida,anatetea waizi wa viwanda waendelee kuuza sukari ghali Hala fu mnasema anatea wanyonge,viwanda vya sukari ni wanyonge?au wananchi waliopandishiwa sukari bei kiholela.
I love the confidence of honourable MPINA as well as his factual evidences presentations
Commendable follow up action to address the truths.God help the people of Tanzania Tanganyika to free themselves of wrong doings.
Mpina Yuko vzr ila kumbuka sisi niwatanzania hiyo Tanganyika yako mzee pita hivi
Mpina tupo nyuma yako Mtumishi wa Mungu.
Mpina haupo pekeako tupo pamoja❤❤❤
Asante Mpina, Mungu akulinde na uendelee kuwaumbua wapigaji kwa kutumia uchochoro wa sukari.
Mungu akusaidie sana ktk utumishi mwema.Mungu pekee anajua yote sio sisi Wanadamu Mungu anahukumu kwa haki
Mbunge wa Taifa anaongea🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Spika amekukosea Mpina. Watanzania tunasimama na wewe Mpina. ❤❤
Si watanzania sema wewe
@@halimamasai2234goofy
@@halimamasai2234 jitoe ww sisi tupo na mpina
Namkubali huyu mpina ni mwamba ajengewe minara bungeni na ikulu huyu jamaa ni brave tumuombee asijechukuliwa na watu wasiojulikana
Kama upo tayar mpina awe raisi wetu 2025 gonga like
Mpina ni mtu na nusu, Big up commander we are together
Tulia ana kiburi dharau na anajionaga kwamba kayamaliza.
Sana huyo dada mjinga sana alafu kamekomaa kama nn
Kabisa yaani
Kweli huyu Tulia naye ni tatizo na ushahidi ni pale ambapo ameamua kuwalea "COVID-19" wakati wamefukuzwa chadema na taarifa rasmi alipewa. Hao wabunge ni hewa siyo halali kwa mujibu wa katiba kwani hawana chama Cha siasa.
Tunaibiwa wanalipwa mishahara na posho kwa Kodi zetu.
Inawezekana kila mwezi huyo Tulia anapata chochote kutoka kwa hao COVID 19.
Kiukweli huyo mama nilikua shabiki yake sana ila kwahili staki hata kumuona kabisa muonevu mkatili majivuno kwanini ufurahie mwenzako anashambuliwa bungeniivi nawewe umekaa kimya unatabasam kinafiki
Mweshimiwa mpina Fanya kazi ya mungu tete a wanyonge Kama mungu you upande wako hakuna yoyote atakaye kuangusha. Kumbuka mti wenye matunda ndio upigwao mawe.
Nawaonea wivu wananchi wa jimbo la mpina mko na jembe,
Wenzenu tuna wabunge wa piga Meza tu hamna kitu,
Great Man
Hujawahi kudanganya tunakuelewa
Uchaguliwe na wanainchi hafu wabunge wakusimamishe Bila ridhaa ya wanainchi.. Mungu Akulinde mpina.. CCM ikufe.
Kwa hiyo
Nenda mahakamani ulishahukumiwa
Mwananchi gani alimchagua, sisi hatukumchagua
Ndio Kawa Mbunge Sasa Ata Kama Hujamchagua Wewe@@mzalendomzalendo2567
kwani wewe unakaa Jimbo la kisesa?@@mzalendomzalendo2567
Mungu akuogoze kupambana na bunge butu
Kaka mpina umepewa adhabu kwa sababu unaongea ukweli , lakini watanzania wote wanao fuatilia hoja zako uwapo kuwa wakilisha watanzania wakisesa na jamuhuri kwa ujumla Wana kupenda ila hatuna namna kwa maana wasio kupenda ndio mapilato watoa hukumu batili, lakini kaka KAZI yako njema sana.
Kwani spika ni mungu? hahojiwi wala kukosolewa,
Akikosolesa mnageuza katukanwa,
Mpina mzalendo wa ukweli, tupo na wewe, bunge limeoza
Cy 45:59 46:00 😅
Unajua watu wasio na akili za kiuchambuzi ni wengi kuliki wenye akili... Hivi we uko kundi gani?. Maana ukisikiliza vizuri coment zake juu ya spika unagundua jambo na utajua kuwa hata kiswahili tu cha kawaida Mpina hajui
@@mwalimulossilamsuya1944 yani upo sawa maana hapa wengi ni washabiki lakini hawajui lolote spika ni mwanasheria anajua analofaya huyu jamaa hata kuongea kiswahili kinamshinda
@@mwalimulossilamsuya1944Mpina anakwama sana!
Anatafuta huruma kwa wananchi!
Akikosea lazima aadabwishwe
8:44 8:46 🤪🤪🤪kaspika🖕😩😩🤲🏻💪🏿
Mpina umetisha Sana kwa kuonesha msimamo wako respect my brother❤
Nakuelewa mpina na kikao kinacho fata wew nenda bungeni kama uko na point yako shusha sis tupo kwa ajili yao na sio kwa ajili yao maana majambazi wako ndani ya bunge
Bunge likianza Nenda kaingie,. Kwani huna kosa.
Nchi nzima tunakupenda asante usijali watanzania tunajitambua kwa Sasa hv watakaa Tena wanaogopa Nini kwani wabunge SI ndio watanzania milioni sitini wamwogope mungu
Wacha uongo si nchi nzima sema wewe mwenyewe
Mheshimiwa mpina nakupenda na wananchi wote wanakupenda na tunakuelewa. tupo pamoja.
Mungu amsimamie huyu mwamba a naweza kuwa tunu sio kumnyamazisha no no no ipo siku patajaa sio kuchimbika...
@@NixonJohnson-zn8nk Mungu wetu wa mbinguni anajua dhuluma inayo fanywa na viongozi wa nchi hii . Kitendo alicho fanyiwa Mpina ni kitendo cha kuwanyamazisha watanzania . Tunamwambia spika na vibaraka wako ipo siku hamtamini kitakacho wapata . Wapumbavu nyie
❤❤❤❤
Unampenda wewe peke yako wacha uongo
@@halimamasai2234pumbav wew
Viva mpina vivaaa
🤝Vivaaaaaaaaaaaaa!!🎉
Mungu akupe moyo utu karama yauvumiivu,kwani mti wenye matunda mazuri hupigwa mawe.Tunakuombea sana mweshimiwa Mpina kwani nimzalendo mahiri kwenye nchi yko nawatanzania wanyonge.Mungu amekuandalia kiti chauflme siku Moja atatoa majibu yko.Kikweli wakati huu ukisema ukweli hutopendwa Bali utaonekana msaliti.Magufuli ukale pema peponi.Uoate furahaa telee namalaika wema hko mbinguni.🎉
Viva Mpina viva.
Huyu mbunge ni noma Sana anajiamini
Hata ungekuwa wewe ungekubqli ccm oyeeeee kazi inaendelea turamkumbukq daima Hayati Magufuli tunaombq Amani tu Tanzania
CCM,kama kweli mnajielewa kwa karne hii watu wanajielewa kuna siku hamtaamini ,,..hakuna mbumbumbu watu wamesoma,wanajielewa...
Ni suala la muda tu...
Dah! Nmejikuta napata hasira asee nimemchukia Tulia kweli maniner😢😢
😂😂😂😂😂bado saaana je utamchagua tena Samia 2025??
Ndo uongozi wa wawanake huo