Hongereni lakini macho yenu yawe wazi kabsaaa kuhusu hio kampuni Yaki faransa roho zao mbaa hawapendi maendeleo kwa nchi za afrika ipo tarehi mbaa katika aéroport ya mwalimu nyerere kwa ujengo wakwanza mwaka 80 zaidi ambao mfaransa ndo aliijenga nini lilotea ???? kafuteni document mtaelea uhuni wa ufaransa
Mcheki vizuri kila vifaa zinazo toka nje kwa ujengo huo hadwa france namuombeni asante sana
Mama kwenye moyo safi mungu akulinde na akujaalie afya njema amiin amiin amiin
Hongera mama samia
Chapa kazi utuachie alama
Kiongozi bora ndio fahari ytu
Hongereni lakini macho yenu yawe wazi kabsaaa kuhusu hio kampuni Yaki faransa roho zao mbaa hawapendi maendeleo kwa nchi za afrika ipo tarehi mbaa katika aéroport ya mwalimu nyerere kwa ujengo wakwanza mwaka 80 zaidi ambao mfaransa ndo aliijenga nini lilotea ???? kafuteni document mtaelea uhuni wa ufaransa
"VIVAA...TZ..VIVAA"...
Hajjj kavuma
Kwa Nini mama asiwezi ????si mwana funzi wa marehemu ???yalale Salama hapo alipo. Jpm
Safi sana mama
Jpm +mama🙏🙏🙏🙏🙏
Hajjj kavuma