Mpina wewe Wafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania uwezo huo unao na Uongozi unauweza. Hakika Mungu akusimamie Tanzania ikipata wabunge 100 tu wenye nia thabiti kama wewe Nchi yetu itapona kwa yanayoendelea na tuyaonayo kiukweli yanaumiza mioyo yetu kama watanzania.Endelea kututetea.
MAONI YANGU MWANAINCHI " MHESHIMIWA SPIKA TULIA NI MWANA SHERIA ,ASIACHE WABUNGE WA WIN KWA KILA WANACHOTAKA AU KUFILIA! WAKIFARANSA HUSRMA" JE TE LAISSE PAS GAGNE " TON PANSE"😂!ADHABU IKITOLEWA HAIPUNGUZWI ,WALA KURUDIWA TENA ! ITAMANISHA NINI AU KULETA PICHA GANI KWA,SPIKA NA WANAINCHI??
Tuko pamoja kiongozi ktk kuwafanya viongozi walioapa kuilinda katiba badala yake kuikanyaga kanyaga lazima wafundishwe kwa kupelekwa mahakamani.
VIVA MPINA MANAFIKI YANAJIKANYAGA TU
He isclever head and genius for ourdays.incabinates.
Hamia upinzani kaka
Mpina akili huna,wanaokushabikia humu mitandaoni sio wabunge,huwezi kupata msaada zaidi ya kujimaliza mwenyewe
We ndo hauna akili,
The incredible mbunge
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
Itakuwa safi sana Mungu afanye hilo litokee
Mpina wewe Wafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania uwezo huo unao na Uongozi unauweza.
Hakika Mungu akusimamie Tanzania ikipata wabunge 100 tu wenye nia thabiti kama wewe Nchi yetu itapona kwa yanayoendelea na tuyaonayo kiukweli yanaumiza mioyo yetu kama watanzania.Endelea kututetea.
Wewe ulipaswa kuwa makam wa rais wewe msukuma mwenzangu unahofu namungu simama imara
Tatizo la ukabila ulilonalo ni dalili ya ushamba,obvious tunajua ninyi ni washamba kwahiyo sishangai sana
MAONI YANGU MWANAINCHI " MHESHIMIWA SPIKA TULIA NI MWANA SHERIA ,ASIACHE WABUNGE WA WIN KWA KILA WANACHOTAKA AU KUFILIA! WAKIFARANSA HUSRMA" JE TE LAISSE PAS GAGNE " TON PANSE"😂!ADHABU IKITOLEWA HAIPUNGUZWI ,WALA KURUDIWA TENA ! ITAMANISHA NINI AU KULETA PICHA GANI KWA,SPIKA NA WANAINCHI??
Ww siulikuwa waziri wacha zako
Kuwa waziri ndo wamuonee
mpina ndo kionzi ambaye anapaswa. kukipwa mshahara wa kibunge coz ndo mtu anayejua nini maana ya ubunge
Hana lolote huyo Mpina spika ni mwanasheria anajua analofanya
Kama anajua analofanya mbona hajasikiliza hoja zake za tuhuma za Bashe kulindanya Bunge kuhusu uagizwaji wa sukari
Hivi unawasikiliza au unashabiki upupu kujua sheria ndo kuvunja sheria@@halimamasai2234
@@robertzamani5612wanyonyaji mnajuana kwa kuteteana mpina KICHWA
Exactly