BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2024
  • #TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
    Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 33

  • @DullahKalanje
    @DullahKalanje 13 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hongera mwambia kila kitu wanatengeneza na viongozi na wenye makampuni ujanja ujanja tu

  • @user-on5cj4mj6s
    @user-on5cj4mj6s 13 วันที่ผ่านมา +2

    Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!

  • @MatayoLekitonyi
    @MatayoLekitonyi 3 วันที่ผ่านมา

    Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Daaa ila hii ichi mmh ina,watu wa,hovyo xana kweli kama haina raisi vile dah shida kweli

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon 13 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 10 วันที่ผ่านมา

    Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 15 วันที่ผ่านมา +1

    Pambana lissu tunakutegemea

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu wangu duuu tutakoma

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!

  • @zhaozlyoung
    @zhaozlyoung 16 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @Mwalazanyi
    @Mwalazanyi 2 วันที่ผ่านมา

    Tutajuana tu

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 14 วันที่ผ่านมา +1

    Shida

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 16 วันที่ผ่านมา +3

    Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 11 วันที่ผ่านมา

    Du! Hatari

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 14 วันที่ผ่านมา

    Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .

  • @binismail2029
    @binismail2029 15 วันที่ผ่านมา +1

    Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu

    • @amosdickson6318
      @amosdickson6318 14 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo
      Acha ulevi huooo

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 14 วันที่ผ่านมา

    Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hatar kubwa hii

    • @user-uh3eg5cj2r
      @user-uh3eg5cj2r 16 วันที่ผ่านมา +1

      Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa akili kutwa sana

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 3 วันที่ผ่านมา

    Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 14 วันที่ผ่านมา

    Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 14 วันที่ผ่านมา

    Hii serikari itajifunza lini

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 11 วันที่ผ่านมา

    Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 16 วันที่ผ่านมา +1

    Serkali hiii!! "

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 16 วันที่ผ่านมา +1

    👍🇹🇿💪🔥

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 3 วันที่ผ่านมา

    KUNDULISU shujaa

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 15 วันที่ผ่านมา

    Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 8 วันที่ผ่านมา +1

    LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 13 วันที่ผ่านมา

    Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje