BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2024
- #TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu
Hongera mwambia kila kitu wanatengeneza na viongozi na wenye makampuni ujanja ujanja tu
Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!
Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮
Daaa ila hii ichi mmh ina,watu wa,hovyo xana kweli kama haina raisi vile dah shida kweli
Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢
Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.
Pambana lissu tunakutegemea
Mungu wangu duuu tutakoma
Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!
❤❤❤❤❤
Tutajuana tu
Shida
Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza
Du! Hatari
Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .
Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu
Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo
Acha ulevi huooo
Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi
Hatar kubwa hii
Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!
Huyu jamaa akili kutwa sana
Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂
Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu
Hii serikari itajifunza lini
Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?
Serkali hiii!! "
👍🇹🇿💪🔥
KUNDULISU shujaa
Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu
LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!
Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje