Mmh, hii kalikali kwelikweli. Yaani polisi hujui unamkamata mtu kwa kosa gani badala yake unawaburuza tu watu na kuwaweka selo?? Huu ni u - polisi au uhuni na ujambazi tu? Je, ni kwa kuwa tu umepewa amri na Mkuu wa Wilaya? Bongo tuna kazi kwelikweli!!
@@deogratiusyudatadei5658Wanajua Sheria na wanajua wakiua watu watapelekwa Mahakama za Dunia za Haki za binaadamu kama walizopelekwa wale walioua Rwanda .Kwa hiyo wanajua mipaka yao ,hata hapa Tanzania ni vile hawajadhuru raia la sivyo huwa Dunia inaona .Kumbe Raisi Ruto Jana aliamuru Jeshi liingie barabarani lakini wamegoma maana wanajua wajibu wao na wanajua hatma yao itakuwa ni Jela
Hawa mapolice nao wanatumika vibaya, yaani unakwenda kuwakamata watu bila kujua unawakamata kwa kosa gani, hii ni aibu, nakuomba sana kaka Madereka wanyooshe hao watovu wa nidhamu.
KUNA WAJINGA WANATOA MAONI YA KISHABIKI BADALA YA KUSOMA SHERIA NA NINAWÀSHAUTI WANATOA MAONI YA KISHABIKI WAKASOME SHERIA ZA NCHI.WASOME CLIMINAL LAW,CLIMINAL EVIDENCE,CLIMINAL INVESTIGATON ZOTE WASOME PIA WASOME KATIBA YA NCHI INASEMAJE WASITOE MAONI YA KISHABIKI
Hongera sana Madeleka. Haki la wewe ni Mzalendo, wanyooshe hao wanaopindisha taratibu za ufanyaji kazi kwa maslahi ya vyeo vyao.
Tokomeza umayala ayo ya sheria ni yako tokomeza umalaya ndio muhimu kwa taifa hili
Wakamatwe pia mashoga na wasagaji ili tuamini tunafuata sheria.
Mmh, hii kalikali kwelikweli. Yaani polisi hujui unamkamata mtu kwa kosa gani badala yake unawaburuza tu watu na kuwaweka selo?? Huu ni u - polisi au uhuni na ujambazi tu? Je, ni kwa kuwa tu umepewa amri na Mkuu wa Wilaya? Bongo tuna kazi kwelikweli!!
Alafu mnasema police wakenya hawana akili kumbe wanajua Sheria 😂😂😂
Nchi hii tumekubali kufanywa hivyo ndio maana tunaburuzwa tu
@@deogratiusyudatadei5658Wanajua Sheria na wanajua wakiua watu watapelekwa Mahakama za Dunia za Haki za binaadamu kama walizopelekwa wale walioua Rwanda .Kwa hiyo wanajua mipaka yao ,hata hapa Tanzania ni vile hawajadhuru raia la sivyo huwa Dunia inaona .Kumbe Raisi Ruto Jana aliamuru Jeshi liingie barabarani lakini wamegoma maana wanajua wajibu wao na wanajua hatma yao itakuwa ni Jela
Hii game GG haitoii😮 man
Uyu jamaa ni mtu na nusu anajua anacho kifanya
Wee wakili
Subirikdg utavuna ulicho kipanda unatetea zinaa pumbavu bora miye nisiyesoma
Sijaona wakili mjinga Kama huyu unatetea jambo ambalo limeharamishwa na mungu au Hana dini huyu?
Makahaba wanaisaidia sana serikali dhidi ya ubakaji,maana wasiojua kutongoza wanaonyesha hela tu na kupewa huduma ,
Siyo kweli
Hakuna kosa mtu kuuza mwili wake polisi wahamie mitaani wanyoa kiduku😂wakamatwa waondoa plet number
TEMBEENI MADADA POWA HAWAJAWAHI KUISHA TAUNI...HAMUYAJUI MACHAKA NYIE
Nashuhudia Dunia inavyomalizwa na wasomi 😅
Selikali hainakazi yakufanya kwasasa madada powa tokaenzi za
Tunajenga Utamaduni gani kwa taifa kama watu watakuwa wanajiuza kutakuwa na madada watakaokuwa tayari kujenga familia
Wewe ni ziro pita
huna akili
Kweli kabisa
Samahn naomba namba za wakiri peter madereka
Hawa mapolice nao wanatumika vibaya, yaani unakwenda kuwakamata watu bila kujua unawakamata kwa kosa gani, hii ni aibu, nakuomba sana kaka Madereka wanyooshe hao watovu wa nidhamu.
Watanzania bhana kwa hiyo hamjaona kosa, mawakili Mungu anawaona
@@edsonnelson4464 ww onyesha hilo kosa
Uyo akimu atakua ni ccm asie elewa shelia na aki
KUNA WAJINGA WANATOA MAONI YA KISHABIKI BADALA YA KUSOMA SHERIA NA NINAWÀSHAUTI WANATOA MAONI YA KISHABIKI WAKASOME SHERIA ZA NCHI.WASOME CLIMINAL LAW,CLIMINAL EVIDENCE,CLIMINAL INVESTIGATON ZOTE WASOME PIA WASOME KATIBA YA NCHI INASEMAJE WASITOE MAONI YA KISHABIKI
Ivi kumtetea malaya hujui kama ni kumkosea mungu au huyu wakili hana dini? Anajionesha kuwa yey hajitambui Mmmmh
Usiihusishe sheria na dini
Je yesu pia alimtetea Malaya??? Hakuna aliyemsafi , Soma kilichotokea Italy mpaka serikari nzima ikajihuzuru
Wakili uanwatetea watanzania wote itakuwa hatari kukamatana kwa mavazi na sehemu na muda ya ulilokuwa
Kizazi cha rutu yaani Sodoma na gomola kibeliti kinawahusu
NLIKUWA NAKUKUBAL ILA KWA HILI UMEJICHAFUA KUNA WATU WA MAANA AMBAO UNGEWEZA KUWA SAIDIA MAHAKAMAN SIO HAO😢😢😢😢
Kajichafua kwa lipi sasa. Nchi inaendeshwa kwa sheria sio unakurupuka tu kukamata watu.
WAKILI uwe upande wa neno la MUNGU amri ya 6 inasema USIZINI ...Wacha MUNGU wote tunakushangaa
Hii sio nchi ya kidini
Kweli nimeamini hizi ni reasoning age wakili na akili zake anatetea upumbavu huu is very sad kabisa mungu wewe atakuhukumu
Pumbavu kabisa unatetea uovu yaan unaongea ujinga, Hawa mawakil tukae nao chonjo kumbe Hawa makil ndio wanaoharibu maadil shenzi kabisa wakil kenge
We wakil taira ww
Huyu hakimu analana
YAN KWEL UNATUMIA TAALUMA YAKO KUTETEA UKAHABA
Hii nchi inahitaji watu makini sana
Huyu wakili na yeye ni malaya vile vile kama hao anao watetea
😂😂😂kumbe na ww umeona eee😂
Wewe mwenyewe na mamako malaya umezaliwa mkunduni
Huyu wakili anatetea machakudoa ni shoga
@@mohddelo wewe ndio shoga kenge wewe tena kuma
Ipo haja police wapewe eleimu zaidi
Ila kweli tukiwambia mawakili wa chadema mkapimwe akiri mnakataa
Pole kwa ufahamu wako mdgo....hao waliokamatwa ni chadema...
😅
Weewe wakili unayetetea umalaya mungu anakuona
Mjinga ww angelifanya mama ako je
Nishoga huyo wakili
Unatetea umalaya
Mungu akusamehe kwa hujui unachokisema..
Nyie hamjui nini anachokipigania hapo