BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.08
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #safari #mbanga
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761
Mbn sehem ya 9 imekawia mpk sahv
Mnyamwezi anajua sana kusimulia, hadi inashawishi kuzamia...
Mkubwa kaish….😂iyo story ya mwamba ndio story bora ya mwaka kwa mabaharia
Jamaa anasimulia vizuri Sana , napenda Sana
Kama tin white 😂😂😂😂
Stori tamu Sana halafu jamaa anajua kujieleza
Duh- stering ✔️ kavuruga sana ULAYA huko safi sana 👍 tukopamoja hadimwisho wastori - Veema pia- Dar24 kwastori zenye Mafundisho👍
🔥🔥🔥
Miaka 1000 mzg ni hatari ❤
Ukikataliwa kesi yako mara ya pili ulikuwa ukimbie tu udiende tena mahakamani au imagination ulikuwa ukimbilie ireland au Scotland ukajiripue kiburundi kiriwanda au kisomali update kuoshi ndivyo watu wanavyofanya kosa lapili ulikuwa ujichanganye nawatu wa nyumbani au waafrika wanaojua mitikasi ya uk wangekupa information ya kwenda nchi nyengine na bilevile wangekutafutia kazi zawiziwizi
brother yupo sahihi kabisa,pia umenikumbusha mbaali hizo zilikua zinaitwa Jairo check
Twende kazi, ndani ya mbanga
Noma
Nimekuwa nikiinjoi sana mazungumzo haya, stori za huyu jamaa zinanikumbusha mbali sana kama mzawa wa Tanga, jamaa na marafiki wengi walijaribu kuzamia, wachache walifanikiwa wengi haikuwa riziki, kwa kila namna stori hizi zinatufundisha mengi.
Poa sana ,enzi za kuzamia, asee, vijana kuwaen wazarendo
Balia mwana sana
Ulikua unatutembelea ma Bolton Manchester
Nice bro
Bro yupo makini sana
Tupo Newcastle sasa ...nakubali
Daah wanangu tukakwee tumbwi.. Mbele kuchele wazee
Nimeskia tusi kweli hiyo baharia😁😁😁😁
Next pls
Respect
Tulikiwa tunaisubri
mchele n'gombe kuku ubavu😂😂
Mwana case yako ya Immigration uliimalizaje?
Breki ya kwanza kwenye kokoriko😂😂😂😂
Nilicheka mnoo niliposikia hii ....breki ya kwanza mwewe sio😂😂😂😂😂
Breki ya Kwanza kokoriko 😂😂
Jamaa anajuwa kuongea sana kama kurudi juzi iyo story anavyoicharaza
Waingereza ni wazungu WA roho aisee
mbona haiendlei
anamisi vitumbua vya moto 😄
hahahahahahaha
Hahahahaha wewe si mshkaji wake dido? Alikua anakuja sana huko Newcastle pamoja na chukiii
Mi dupa mdupange.
Story ya dogo Azizi ni yangu kabisa hii Norway 2013 full kulia daeile
😂😂😂😂 wascani hao wagumu kutoa Uraia
@@salimgharib9888 Nilisota nao mpaka nikarudi bongo mwamba but now nipo nao kama kawa
0:29 0:30 0:30
Pool
Ni mchechemuzi
Oya hivyo vitu bure kula nini tee bite bite hz eeh😂😂 au vinapatikana kwa mtonyo wako kama mtonyo wako kwann viwe na mda maalum na kama free kwann free tuu sabab maalum au nikwanch za wenzet umoja flan
Saf sana
Episode zote niko,mkebe ndio nini mkuu
Mkebe ni taxi
@@omarmsuya2459 daah ok