Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe
Mimi ninayo stori yangu nilizamia meli.mwaka 1987 December katika bandari ya Kenya mombasa.inaitwa port kilindini .maisha ya Mombasa yalikuwa magumu Sana . nchini kanya nilifungwa mara mbili mara ya Kwanza nilifungwa miezi 6 kwa kosa lakuishi nchini Kenya bila kibala.baada ya kutoka jela sikurudi nyumbani nakaendelea kukaa Kenya ni kashikwa tena na nikafungwa miezi mitatu katika jela baridi inaitwa majengo Preson.baada ya kumaliza kifungo changu sikurudi nyumbani.nikaona apa nitakufa kwa maisha Aya nikaamua nipande meli yoyote intakayoi jua kama inaondoka Nilipata habari kwamba kuna meli ya wachina inaondoka kesho yake .nikaenda pale get no 9 usiku kama saa Saba nikapanda ngazi
Mtangazaji kazingua maswali yake yanenda mbele na kurudi nyuma ila huyu kaka ana mambo mengi yakuelezea jamii tukajifunza ingefaa km milard akamuhoji tupate kujifunza
Wahuni tunauchungu sana na familia zetu sema rahia hawatujui tu, mimi before nilikua naonekana mvuta bange tu lakini leo Mungu kanijalia nipo kiwanjani na nawapiga tag ndugu zangu
Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekumbia muhuni ni lazima avute bange au madawa ? , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na engine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,
@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekubia muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,
@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe
Mkuu siyo pekee mpanda mitenga ujue kunao waboti boti wanaskikiza msg zako lkn jaribu ujielewe kwa za na kama ulikua unatafuta Kiki fresh.. Kwa maneno yako unavyoengea unaonekana umeyapata kwa stowaway original lkn sio wewe.. =na kwa wanaoishi South Africa Kuna wastaarabu na washenzi pengine wewe uliangukia ushenzini samahani kwa kutumia lugha kali kidogo
Yaani badala aulize ilikuwajekuwaje mkatekwa, ulikuwa ukaweza kutoroka , ulipata mikasa gani huko njiani ulikuwa pekeyako ? Je ulifikampaka nchigani? Au ulifanikiwa kufika South Afrika moja kwa moja. Yaani jmn huyu mama
Mshkaji unajitahid ktk maongezi lkn unakosoro. Ya wazazi alafu kama mbeach bichi acha kuwaponda wazazi iwe bimkubwa au mdigi.. Ukumbuke msela uko kwenye social media huyo ni ushamba... Umeongea fresh mdigi kakupa ujasiri lkn sio kumuongelea utumbo.. Oyaa za wapi hizo
we reporter embu mind your interviewing ethics unataka aseme nn sasa zaidi ya hayo a expose kila kitu kuhusu familia yake....kasha ongea kuhusu ubaharia....mambo ya familia ataongea akipenda na kwa limit yake....Eish
Yaani watangazaji saivi bora msisomee huo utangazaji hamjui kuuliza maswali kabisaaa mnaboa mnauliza maswali nje ya mada mwangalien millard ayo anavyohoji maswali mkoje nyie
Bashiru ana vitu vingi vingi vimejificha sema dada ana moto haendi nae kihekima.
Huyu jamaaa anatakiwa ahojiwe na media kama millardayo ana vitu sana , huyu maza anafeli kumuuliza maswali
Kabisa bro
Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe
Dada hujui kuhoji kabisaaaaa
Napendaga saaaaana hz stor sarut kwako Bashir
Hujui kuhoji sister samahani lakini.
Hujui kumuhoji mtu kabisa
Dah noma aisee hiyo yakutiwa kwenye kiroba alafu mzima alafu unatupwa kwenye maji...umekwishaa...
Mtangazaji unahoji vizuri, keep it up, comments zisikushushe moyo
Mtangazaji waki anaharib story damn shubakengemti
NDANDA LUBEBELA BASHIRI KUTOKA MABIBO BEACH ❤
Ungemuacha aelezee mwenyewe siyo kumuhoji
Unamuingilia sana ssa unamfundisha maisha yake hauna lolote
Simulizi kama hiz huwa napenda sana kuskiliza zina mafunzo
Ayo tv na dar24 dupa mdupange mtafuteni Huyu jamaa ana madini sanaaa
Safi Sana lakini baharia asikiki vizuri asogelee mic
Vijana tunapitia changamoto nyingi. Mimi Nina mkasa mzito kuhusu safari yangu ya Mbagala Kiburugwa 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Mbagala kiburugwa tupe story
🤣🤣🤣
Nilizamia meli kutoka posta Hadi mtwara nikajua nipo Durban 🤣🤣
Mbona tunaishi vizuri tu south Africa 🇿🇦🇿🇦
Huyu angeachwa ajielezee mwenyewe...mtangazaji maswali hayakuwa na umuhimu
Anaemuhoji anazingua
Jamaa anamadini sana ila mtangazaji anakosea kumuoji ajafanya utafiti kabisa
Bab kubwa twahitaji part3
Mimi ninayo stori yangu nilizamia meli.mwaka 1987 December katika bandari ya Kenya mombasa.inaitwa port kilindini .maisha ya Mombasa yalikuwa magumu Sana . nchini kanya nilifungwa mara mbili mara ya Kwanza nilifungwa miezi 6 kwa kosa lakuishi nchini Kenya bila kibala.baada ya kutoka jela sikurudi nyumbani nakaendelea kukaa Kenya ni kashikwa tena na nikafungwa miezi mitatu katika jela baridi inaitwa majengo Preson.baada ya kumaliza kifungo changu sikurudi nyumbani.nikaona apa nitakufa kwa maisha Aya nikaamua nipande meli yoyote intakayoi jua kama inaondoka
Nilipata habari kwamba kuna meli ya wachina inaondoka kesho yake .nikaenda pale get no 9 usiku kama saa Saba nikapanda ngazi
Part 1 jaman,mbona sijaiona
Mbona tunaishi vizuri south Africa 🇿🇦🇿🇦
🤣🤣🤣🤣
Kijana huyo,ana kitu hidden behind
Story nzuli anaye muhoj hayupo
waburundii badoo tupoo kwa mzee dizoongaa uyoo ni jeshii kashapitiya life ngumuu
Mwandishi hujui kumfanyia mtu interview
Bashir yuko real G
Unamuhoji mtu unaenda mbele una ludi nyuma hatukuelew
Dada hujui kutangaza
Huyu mdada anazingua kweli yaani unajua hasomeki..!
Stori za uongo
Jamaa anastory mzuri ila anayemuhoji alitakiwa afahamu mazingira ya Mabaharia na wazamiaji ndo ingekuwa bomba
Ila mwamba nimemkubali muuni flani hv...
Bashir ndava Lubebera Skupingii kaka Msafiri KAFILI
Hapana huyo kijana anamatatizo hakuna mzazi asie penda mtoto huyu kijana sio mtu mzuri anashida Sana kwanza bange anaonekana anavuta
Hii kazi ya kuhoji mabaharia mwachie yule jamaa wa Ughaibuni wewe dada hujui kuhoji unaboa
Maswali unayoyauliza yakijinga sana hata huendani na kazi yenyewe
Mtangazaji anaonesha kuwa na huruma sana,ndio maana hata anapoteza confidence hivi
Basi bb yako labda pesa zake za masharti na alikuwa anataka ufe lkn mizimu inakulinda
Global Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
Siyo bahari sema mzamiaji
Hivi huwa wanalipwa kidogo baada ya kuhojiwa
Dada unafanana na brenda fasi
Dada hajui kuhoji kabisa mpaka anaboa
Mtangazaji kazingua maswali yake yanenda mbele na kurudi nyuma ila huyu kaka ana mambo mengi yakuelezea jamii tukajifunza ingefaa km milard akamuhoji tupate kujifunza
Huyu dada atakuwa beki Tatu, siyo mwandishi
Taja kampuni ya Meli ndugu zake wafungue kesi ubaficha ninii sasa
Mdada mtangazaji mpuuzi kwel😂
Wahuni tunauchungu sana na familia zetu sema rahia hawatujui tu, mimi before nilikua naonekana mvuta bange tu lakini leo Mungu kanijalia nipo kiwanjani na nawapiga tag ndugu zangu
Sasa kama we ni muhuni SI unatakiwa ubadilike we unaona kula bangi ni ujanja ndio mnavyodanganyana jinga kabisa wewe
Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekumbia muhuni ni lazima avute bange au madawa ? , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na engine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,
@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekubia muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,
@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe
Mkuu siyo pekee mpanda mitenga ujue kunao waboti boti wanaskikiza msg zako lkn jaribu ujielewe kwa za na kama ulikua unatafuta Kiki fresh.. Kwa maneno yako unavyoengea unaonekana umeyapata kwa stowaway original lkn sio wewe.. =na kwa wanaoishi South Africa Kuna wastaarabu na washenzi pengine wewe uliangukia ushenzini samahani kwa kutumia lugha kali kidogo
Kweli kaka inshope nimefika Mimi naishi huku msumbiji
Jee huyo baba yake bado yu hai ??
Huyu mtazaji chenga
Baalia, baharia
Maanayake ni nini sasa
Ndava ckupingi kaka unaongeaga vitu quality kabisa
Dupa mdupange wa dar 24 tv unamuachaje huyu jamaa ?
😅😅
Mtangazaji chenga😁😁😂😂
Yaani badala aulize ilikuwajekuwaje mkatekwa, ulikuwa ukaweza kutoroka , ulipata mikasa gani huko njiani ulikuwa pekeyako ? Je ulifikampaka nchigani? Au ulifanikiwa kufika South Afrika moja kwa moja.
Yaani jmn huyu mama
@@leahlucas479 interview moja mbovu sana , i never seen before
vipindi kama hivi muache mtu ajielezee mwenyewe
Bashir katoa taarifa za uongo huyo dah!
Unamjua kiundani
mtoto wa kiume ni wa mama sio baba.
na mtoto kike ni wa baba
Mshkaji unajitahid ktk maongezi lkn unakosoro. Ya wazazi alafu kama mbeach bichi acha kuwaponda wazazi iwe bimkubwa au mdigi.. Ukumbuke msela uko kwenye social media huyo ni ushamba... Umeongea fresh mdigi kakupa ujasiri lkn sio kumuongelea utumbo.. Oyaa za wapi hizo
Jamaa alikuwa kwenye kundi la chakama ni kama kundi au chama pizani kama ccm na cuf
we reporter embu mind your interviewing ethics unataka aseme nn sasa zaidi ya hayo a expose kila kitu kuhusu familia yake....kasha ongea kuhusu ubaharia....mambo ya familia ataongea akipenda na kwa limit yake....Eish
Yaani watangazaji saivi bora msisomee huo utangazaji hamjui kuuliza maswali kabisaaa mnaboa mnauliza maswali nje ya mada mwangalien millard ayo anavyohoji maswali mkoje nyie
Dupa mdupange
Dada hajafanya utafit kujua historia ya mabaharia na jinsi ya kuwahoji maswaliii jamaaa anaokana na story nyingi sana
Unaoji Kama unadeka...unaoji Kama unaongea..sauti sio ya kuoji maswali ya kijinga