INATISHA BAHARIA YUZO:NILICHOMWA MOTO/WALIJUA NIMEKUFA/MELI YA AJABU/NILIENDESHA MELI PEKE YANGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Ni historia ya kustaajabisha ya kijana aliyepata misukosuko ya kimaisha tangu akiwa nchi kavu, baba yake mzazi alimtamanisha maisha, kutokana na hali ngumu ya kiuchumi ya nyumbani kwao.
Aliishi na mama yake kwa kipindi kirefu huku baba yake mzazi akipotea kwa zaidi ya miaka miwili, alisoma kwa tabu mpaka alipoamua kujitoa kafara kwa ajili ya familia yake, ili iishi vizuri.
Maisha yake ya shule hayakuwa rafiki sana, kutokana na uhalisia wa kilichokuwa kikimsibu tangu nyumbani kwao, endelea kuifuatilia story hii kwa undani, ili kujua nini kilimtokea kijana huyu aliyependa maisha ya melini tangu akiwa na umri mdogo!
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #kabunyau #dupamdupange
Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761
Pamoja sana
Hebu mpeni like za kutosha #SIMBA WA BAHARINI-YUZO MTUNDU TRUE SAILOR ⛵️
By maniga #DAX
Bless up my gee
Yuzo Mtundu SIMBA WA BAHARINI sijawahi kukupinga by #DAX-MONGA
My bloodline💪🏻💪🏻💪🏻always⚓️
Kweli kila Baharia ana safari ndefu sana ila huyu mwamba respect kwake
Vipi toka uhuru tupate,hatujawai pata waziri baharia serikalini,lazima ccm waangalie hili jambo,baharia moja ateuliwe kuwa waziri
Professor Makame Mbalawa
Dahh kumbe familia pugu kajungeni primary school
nachoshukuru nilimuwa kicjwa sijwahi kufeli shule na kutumia pombe
Sailor
Sawa tuko Brazzaville wajaribu.storý sawa
refrect my life but nilikuwa kichwa sijawahi kufeli
Tupo na yuzo Leo baharia big up
Baharia. Baharia mbabe ni baharia balozi bhanaa
Ili bonge la tambara dupaaaa...mwana kwanza kapoa alafu safiiii
madownloadi mm kweli ni mpambanaji
🚢 ⚓ 🛳 sailor
Mwamba uyo apo
Simchezo tumeanza tena saf sana
Baharia sauti haisikiki vizuri
Baada ya kabunyau akaja gamba mla chake .,leo tupo na uyu..tupo pamoja saana
ila Gamba mla chake alikua na ile mmmrrrrghhh😂😂 swaga flanu hivi mix kingereza kizuuuri
mule mule
Nawapenda wote hakuna kukata tamaa kwa magumu yoyote jua mungu anamipango na ww god is able
Hii nayo Kali
Safi sana My Brother 🔥🔥🔥
Long time sijashow love ndaaani ya mbanga
Pugu kajiungeni umemaliza mwaka gani
Kwa mujibu wa mwaka aliomaliza form 4 ilikuwa ni 2012 sasa kwa hesabu za haraka haraka darasa la 7 kamaliza mwaka 2008 bado dogo sana kiumri huyu mdogo wetu.
🍿🔥🔥
We mwanangu dupa sela ❤kaka tumewasha Tena
Born hapa mzaliwa
Huyu mbona mlaini hivi? Huyu baharia kwel?
Ww mgumu unafanya kazi mbona unaleta umama kichwa km tango
Huyu ni SIMBA WA BAHARINI ... muhuni kuliko wewe kama humjui piga chini kabla wauni hatuja kulukia
jichanganye tu uone show