INATISHA BAHARIA YUZO:NILICHOMWA MOTO/WALIJUA NIMEKUFA/MELI YA AJABU/NILIENDESHA MELI PEKE YANGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • Ni historia ya kustaajabisha ya kijana aliyepata misukosuko ya kimaisha tangu akiwa nchi kavu, baba yake mzazi alimtamanisha maisha, kutokana na hali ngumu ya kiuchumi ya nyumbani kwao.
    Aliishi na mama yake kwa kipindi kirefu huku baba yake mzazi akipotea kwa zaidi ya miaka miwili, alisoma kwa tabu mpaka alipoamua kujitoa kafara kwa ajili ya familia yake, ili iishi vizuri.
    Maisha yake ya shule hayakuwa rafiki sana, kutokana na uhalisia wa kilichokuwa kikimsibu tangu nyumbani kwao, endelea kuifuatilia story hii kwa undani, ili kujua nini kilimtokea kijana huyu aliyependa maisha ya melini tangu akiwa na umri mdogo!
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #kabunyau #dupamdupange

ความคิดเห็น • 39

  • @dar24media
    @dar24media  10 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761

  • @demolenebooysen2085
    @demolenebooysen2085 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hebu mpeni like za kutosha #SIMBA WA BAHARINI-YUZO MTUNDU TRUE SAILOR ⛵️

  • @demolenebooysen2085
    @demolenebooysen2085 10 หลายเดือนก่อน +2

    Yuzo Mtundu SIMBA WA BAHARINI sijawahi kukupinga by #DAX-MONGA

    • @Simba_wa_bahari
      @Simba_wa_bahari 8 หลายเดือนก่อน

      My bloodline💪🏻💪🏻💪🏻always⚓️

  • @Kiwambakiwamba
    @Kiwambakiwamba 10 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli kila Baharia ana safari ndefu sana ila huyu mwamba respect kwake

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 10 หลายเดือนก่อน +4

    Vipi toka uhuru tupate,hatujawai pata waziri baharia serikalini,lazima ccm waangalie hili jambo,baharia moja ateuliwe kuwa waziri

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dahh kumbe familia pugu kajungeni primary school

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759 10 หลายเดือนก่อน +1

    nachoshukuru nilimuwa kicjwa sijwahi kufeli shule na kutumia pombe

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sailor

  • @lawrencedeocary9940
    @lawrencedeocary9940 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa tuko Brazzaville wajaribu.storý sawa

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759 10 หลายเดือนก่อน +1

    refrect my life but nilikuwa kichwa sijawahi kufeli

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tupo na yuzo Leo baharia big up

  • @michealjoseph3207
    @michealjoseph3207 10 หลายเดือนก่อน +1

    Baharia. Baharia mbabe ni baharia balozi bhanaa

  • @kasimumudy0269
    @kasimumudy0269 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ili bonge la tambara dupaaaa...mwana kwanza kapoa alafu safiiii

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759 10 หลายเดือนก่อน +1

    madownloadi mm kweli ni mpambanaji

  • @Laizer3
    @Laizer3 3 หลายเดือนก่อน

    🚢 ⚓ 🛳 sailor

  • @MuddMunishi
    @MuddMunishi 5 หลายเดือนก่อน

    Mwamba uyo apo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 10 หลายเดือนก่อน +1

    Simchezo tumeanza tena saf sana

  • @njegeledaniel3446
    @njegeledaniel3446 10 หลายเดือนก่อน +1

    Baharia sauti haisikiki vizuri

  • @InnocentRichard-qs8ux
    @InnocentRichard-qs8ux 10 หลายเดือนก่อน +1

    Baada ya kabunyau akaja gamba mla chake .,leo tupo na uyu..tupo pamoja saana

    • @fallykhan2383
      @fallykhan2383 10 หลายเดือนก่อน

      ila Gamba mla chake alikua na ile mmmrrrrghhh😂😂 swaga flanu hivi mix kingereza kizuuuri

  • @josephmay4260
    @josephmay4260 10 หลายเดือนก่อน +1

    mule mule

  • @Simba_wa_bahari
    @Simba_wa_bahari 9 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda wote hakuna kukata tamaa kwa magumu yoyote jua mungu anamipango na ww god is able

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nayo Kali

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana My Brother 🔥🔥🔥

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 10 หลายเดือนก่อน

    Long time sijashow love ndaaani ya mbanga

  • @saraicharles2450
    @saraicharles2450 10 หลายเดือนก่อน +1

    Pugu kajiungeni umemaliza mwaka gani

    • @frankdanford8245
      @frankdanford8245 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa mujibu wa mwaka aliomaliza form 4 ilikuwa ni 2012 sasa kwa hesabu za haraka haraka darasa la 7 kamaliza mwaka 2008 bado dogo sana kiumri huyu mdogo wetu.

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 10 หลายเดือนก่อน +1

    🍿🔥🔥

  • @HijaxZone
    @HijaxZone 10 หลายเดือนก่อน

    We mwanangu dupa sela ❤kaka tumewasha Tena

  • @Ander61tz
    @Ander61tz 10 หลายเดือนก่อน

    Born hapa mzaliwa

  • @michealjoseph3207
    @michealjoseph3207 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mbona mlaini hivi? Huyu baharia kwel?

    • @lailahmohd9395
      @lailahmohd9395 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ww mgumu unafanya kazi mbona unaleta umama kichwa km tango

    • @demolenebooysen2085
      @demolenebooysen2085 10 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu ni SIMBA WA BAHARINI ... muhuni kuliko wewe kama humjui piga chini kabla wauni hatuja kulukia

    • @mosongatz4534
      @mosongatz4534 9 หลายเดือนก่อน

      jichanganye tu uone show