BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/NIMECHEZEA MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2024
- MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #dupamdupange #dar24
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Kazi nzuri sana mzee baba ila jaribu kuweka Playlist kwenye Chanel yenu yan iwe rahisi mtu akiingia tu anaziona story zote
dar24 mpo vzur san nawakubali sana
Unakosea Sana kuwatia hao stoloway mabaharia,
Hao ni stowaway na ni watu hatari Sana Kwa Mabaharia hao.
Hao kukutana nao kwenye Meli mnaweka sehemu na mnawafungia Kwa usalama wenu na usalama Wa meli.
Hao SIO MABAHARIA HAO NI STOW AWAY watu hatari Sana kwetu sie mabaharia wenye document tunaofanya kazi kwenye meli
Oya kazi nzuri mnafanya ila huo mziki unazingua
Mapambano forever
Muendelezo lini mnaweka dakika cha he sana
Hio gari nimeicheck kwa google ni kali ata saa hii ukiwa nayo bado watamba
Sound track iko juu
Mchongo mchongoma na kazi iendelee
hyu jamaa anaonekana atakua na story nzuri sna
Pamoja
Safi
Unataka waeke yote afu maokoto youtube yawapite ?😅
Saut haisikiki
Muendelezo lini mzee❤❤
Muendelezo ni Jumatano na Jumamos kaka
@@emanueljohn9601 thank you bro
👊👍✌.
Datsun 1200
Tanga finest 💪
Balaa kabisa uyu mwamba
Sound travk ina bore
Hii nayo siyo yakukosa
Hii yamoto sana
Dupaaa
mtangazi kwan ww ndo unatoa story maana ww na mhojiwa wote 50/50
Nda mfup aana
Msenge huyo siri ya jando Haitolewi