TUKIO MOJA LILILOFANYADUNIA KUFIKA ZANZIBAR MWEZI HUU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Allah azijaze kheir nyoyo za waislam wote,nawaombea kila wote mlokusanyika Allah apokee dua zenu na kuwalipa mema dunian na akhera ameen yarab
Amiin
Amen🙏
Amiin
Aamin
hudhuni katika nafsi yangu walimu wa hizi shughuli hasaa ni wale waliokuweko gerezani Inshaallwah Allwah awafanyie sahali watoke Amen.
SUBHANAALLAH ALLAH AKBAR ❤️waislm sot n ndugu tushikamane tusaidiyan 🙏🙏🙏YA RABBY TUJALIYE TUTIMIZE NDOTO ZETU ZA KWENDA MAKKA KUHIJI AMIN 🙏🙏🙏
Amiiin mungu atuzidishie iman
Amen
Mashallah uislamu tamu,tnx ktv kwa habari njema
Wznz wabaguzi vip na kila mmoja nataifa Lake ivo wa tanganyika nyinyi mnatupenda?
manshallah Allah awazidishie
SHUKRAN KTV TZ ONLINE KIDOTI HAKIKA HII NI FAHARI YETU
Unapayikana wapi
@@khajumkhamis7910 hapa hapa Ktv tz online kidoti
@@zayyatiyussuf9566 Unapokaa
@@khajumkhamis7910 Unataka kuja?
@@zayyatiyussuf9566 Mdio
Mashallah Allah awalipe mbadala iyo ni mihanga ya kutafuta radhi za Allah.kwenda kupata fikra na imani iyongezeke
Naam naam dadaangu hakika hujakosea maneno yako yapo sawa shukran
Mungu awape umli mlefu wenye kufanya yakumpendeza allah ! wallah nilishtuka nikajua maiti apo mana kilicho ndani na kilicho nje ya kichwa cha habari ni kingine laa hawla wala quwwata illa billah
Maashallwah wewe mtanganyika lakini sio mjinga kama wenzako Allwah akubariki,na kwa upole nakukosowa sio umli bali ni umri sawa?kiswahili ni lugha tabu sana kama ww sio mswahili sawa?
Solomon Adams 😂😂😂asante sana mana kushtuka nayo inachangia ! ALLAH akulipe kwa kunikumbusha
Allah atujalie uhai 2020 in shaa Allah tukutane tena ktk afya njema uisilamu raha sana.
Amin insha Allah
@@ukhtysakinaa7664 Allahumma amin
Amen
@@zayyatiyussuf9566 mm naxhangaa sana nnapoona unaonexha ubaguzi hali ya kuwa dini moja
@@solomonadams6337 Allahumma amin
Mashallah na mm nilitamani niendee Allah anifanyie wepesi siku nyengine
Allahuma tujalie umma wa kiisilam pepo yako ya Rabbi
Mbona kichwa cha habari nahisi kipo sawa tu, ukitoa hilo kosa la kutoacha space. Hivi kwa mfano unaposema, ukifika mfunguo 3 dunia nzima huelekea Makka kwenda kuhiji inamaanisha Makka sio duniani?
jazzaka Allahu hairaa Allah awazidishe iman
MashaAllah. Allah baarikk
ALLAH AKBAR
Yaarab iongoze znz kwa mema.. Na uwaokoe waislam wote na upotevu.. Na uviongoze vizazi vyote
Mashaallah allah azidi tufanyia wepesi
allah atuwafiqishe
Vuq onlan
2:17
MA SHA ALLAH
Namuomba Allah azidumishe ijtimai
Mashaallah Allah atabali maombi yenu 🤲🏼
Amen
Maashaallah
Khuruju Fiysabililah wada'awatu ILallah
Vaileth acha ujinga ww uo ubaguz wa zanzibar si mmeulet nyny watanganyik pia jua sehem gn unatuma coment kama hutupend wazanzibar ss twajipend na umoj wetu ndio mnaumia na mnaon wazanzibar wabaguz
Allah atuzidixhie upendo wetu wazanxibari
@@khajumkhamis7910 Allah atuzidishie tupendane waisilamu wote dunia zima hata wale maadui wa uusilamu Allah azifanye nyoyo zao ziwe zenye utu ktk hii dunia ili kupatikane amani dunia zima. Mnafiki Mkubwa ww.
@@zayyatiyussuf9566 aamin yaarabil aalamini
@@chamamichbabu2946 Allahumm amin
fatma HAMED mhhhhhhhh sifa ya mdomo kutamka Ila sasa kinachotamkwa,,,,ukweli nyie wabaguz na huyo mungu wenu hana hasira
MashaAllah
😲Kushangaa mwisho mala moja dunia imefika zanzibar 🤗 swali na Zanzibar imefika wapi?Ktv tz online kidoti swali hilo🙄😞
😂😂 inaonekana iko kwa planet nyengine sasa ndo ishafikiwa na dunia
@@ukhtysakinaa7664 😂😂😂😂😂😂😂MUACHIE KTV TZ ANIBU
Me nauliza, kwani unaposema mwaka 2022 dunia nzima itaelekeza macho yao Qatar kufatilia michuano ya World cup; unakuwa unamaanisha Qatar sio duniani?
Au unaposema ukifika mfunguo 3 dunia nzima hukimbilia Makka kwenda kuhiji inamaanisha Makka sio duniani?
@@zayyatiyussuf9566 ZANZIBAR imefikia ktk planent ya Mars ila kama ww unazidi kutuekea chuki achana nasi coz naona comment zako nyingi sana ya kwamba unaonesha ubaguzi na utofauti ila umesahau kama dini moja sisi
Mashallah ❤
Dunia kufika Zanzibar huhuhu hahahahaha sorry kwa atakae kwazika nacheka tu kichwa cha habari
Mwanzo mumeonyesha msikiti wa kiembe samaki na watu wake ndani na baadae munatuonysha picha ya watu wamelala. Mbuna hamueleweki!!!!!
ewe ya allahu tujaalie heri
mtangazaji rekebisha maneno yako hii haifanani na hija hata siku moja
🤲🙏😭
Hayo matangazo yenu yanakera
wazanzibar walivyo wabaguz huyo mungu wao yuko wap
Astaghfirullah sasa ww unafanya nini uandishi wako tu inaonekana na ww mbaguzi .mufike pahala muzingatie yanayompendeza mumba .
Usiseme maneno mabaya kwa wenzio fikiria kabla ya kuanza kuandika au kuongea.
Elimu muhimu maana kwa jinsi ulivyoiandika iyo coment yako tu imejuulisha kama haufai ht kueka mahojiani kasome kwanza ndo utaujua ukwelia
Maninawe weh mshenz nn ubaguz si nyny mmeanz na wazanzibar mung wetu Allah kaa kimya pumbav weh
Muogopeni mungu mjinga usimjibu
Mashallah