@@youngvijo hawajacheza na timu nyingne Bali walicheza WACHEZAJI WA SIMBA Kwa WACHEZAJI WA SIMBA wenyewe Kwa wenyewe Mwl aliwagawa TIMU mbili wakacheza Mechi mazoezi na hii n kawaida Kila TIMU inafanya hvo siku ya mwisho ya mazoez Kwa week Taarifa ya wamecheza na TERSANA n uongo imetungwa kutoka hapo walipocheza wenyewe Kwa y
Hasira za nini sasa? si mechi za maandalizi tu au kufungwa ni kuchafuliwa na uzuri mechi za mpira hazichezewi chumbani kwamba ukweli hauwezi kujulikana
Alikamwe ndio anatuma hizo taarifa yy anajisahau anadhani YANGA atadumu kama hizo clip zake u tube zitakuja mfelisha interview baadae ajifunze kupitia Manara akiwa bado na umri mdogo kabla hajayatimba uzeeni
TUNAOMBA HAO WANAOTANGAZA HUO UONGO WACHUKULIWE HATUA WANAIDHARIRISHA TIMU NAKUWAKATISHA TAMAA WACHEZAJI. WALIPIE KWA UONGO WAO. ILI KUVIKOMESHA VIDOMODOMO VYAO.
Hakuna mechi waliyocheza Bwana bado mapema sana.
Mbon mmethibitisha wamecheza wakat mmesema hawajacheza mwanzoni!!?
@@youngvijo hawajacheza na timu nyingne Bali walicheza WACHEZAJI WA SIMBA Kwa WACHEZAJI WA SIMBA wenyewe Kwa wenyewe Mwl aliwagawa TIMU mbili wakacheza Mechi mazoezi na hii n kawaida Kila TIMU inafanya hvo siku ya mwisho ya mazoez Kwa week Taarifa ya wamecheza na TERSANA n uongo imetungwa kutoka hapo walipocheza wenyewe Kwa y
Ifike wakati Uongozi wa Simba uchukue hatua kuzipeleka mahakamani media hizo kwani zinaichafua Sana timu ya Simba
Hawa wanaotangaza uongo wachukuliwe hatua wasichafua Simba yetu
Hamna haja ya kujibu tetesi za kipuuzi, japo idara ya habari ya Simba inabidi wawe wepesi wa kudaka tetesi hiz na kuzikanusha.
Matumiz mabaya ya hizi media na shida zimekuwa nyingi zinaandika ujinga tu kuna vilabu vingi kila siku simba tu kuashwa tu
Midea nyingi Ni za hovyo kabisa zinatoa taarifa za uongo wanatua taarifa za uongo ili kuganga njaa bila kujua madhara ya taarifa za uongo
Ukuda huu, na mnaposti Ili iweje
Hasira za nini sasa? si mechi za maandalizi tu au kufungwa ni kuchafuliwa na uzuri mechi za mpira hazichezewi chumbani kwamba ukweli hauwezi kujulikana
Hata kuongopa hamjui Fred ni mzambia toka lini
Ndg yangu ni madhara ya story za kutunga wasamehe 🤣🤣
ACHENI USENGE,,,PUNGUZENI SAUTI YA MZIKI TUSKIE VIZURI....HALAFU ACHENI UWONGO WA TAARIFA ZA KIJINGA,,,,
Sasa ally kamwe kipi.kinamuuma?
Alikamwe ndio anatuma hizo taarifa yy anajisahau anadhani YANGA atadumu kama hizo clip zake u tube zitakuja mfelisha interview baadae ajifunze kupitia Manara akiwa bado na umri mdogo kabla hajayatimba uzeeni
TUNAOMBA HAO WANAOTANGAZA HUO UONGO WACHUKULIWE HATUA WANAIDHARIRISHA TIMU NAKUWAKATISHA TAMAA WACHEZAJI. WALIPIE KWA UONGO WAO. ILI KUVIKOMESHA VIDOMODOMO VYAO.
Yule ally kamwe niumbeatu una muwasha yake yanamshinda
Mimi Niko uku misri kweri kafungiwa Gori cta juzi
@@user-yr4pv2vj7m Misri wanaishi wasiojua kuandika
Falaa wewe
Upuuzi mtupu
Wajinga