Muhtasari: Mwanzo 12-50
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2021
- Tazama video yetu ya muhtasari wa kitabu cha Mwanzo 12-50, inayoelezea muundo wa fasihi ya kitabu hicho na mtiririko wake wa mawazo. Katika kitabu cha Mwanzo, Mungu anaahidi kuwabariki wanadamu waasi kupitia familia ya Abrahamu, licha ya ukosefu wao wa hekima na kutotii kwao kila wakati.
#BibleProject #Biblia #Mwanzo
Wahusika Katika Utayarishaji wa Video:
Timu Ya Utayarishaji Wa Toleo La Kiswahili
Tai Plus na Eternal Entertainment
Dar es Salaam, Tanzania
Toleo la Asili la Kiingereza na Utayarishaji Wake
BibleProject Portland, Oregon, USA
Thank you!!! Merci!!!! Asante!!!