Ivi jamani!! Mbona kila siku wanawake ndio wanafundwa!! Fundeni wanaume wawe wanatufanyia haho yote. Maana mapenzi ya kweli hutoka kwa Mme na sio kwa mke.....sio kila siku wanawake tuu...
Mimi ninaswali ninataka kuuliza kwa bibi hapo! Ivi kama uko nampenzi yako nayeye anakupenda sana, ata nawewe pia unampenda sana alafu hinafika atuwa anapenda kutembea nawewe kimweli. And wewe aujawai kufanya ivyo kwa mwanaume wowoteule. Nayeye ndo wakwanza kukuambia ivyo, alafu na wewe unampenda sana sasa mtu anaweza kufanyanini.
@@suzanailembo5469 unajuwa wanaume kwa muda huu ni wachache wanao hitaji kuowa kwa iyo Alisha kuchezea baadae anakuacha itakuwa unamazowea ya kuwa na mwanaume asa itabidi utafute mwengine naye akikuacha utaenda kwa mwingine kwaiyo itakuwa no kuchezewa na Kila mwanaume ndoa ni muhimu kwakweli baadae ndio yafate maingiliano
Jamani habari za hapo naomba sana no. Yake ya simu mimi nipo znz
Mashallah somo nzuri Asante hongera Sana
Nampenda Da Maamisaa😍😍
Sauti ya zegee👌🏾
Eti niko up to date nakupenda saana mama
Mama pambe wewe ni fire
Sawasawa ma amissa nimependa manenoyako.
Nakubali mama tufunze atuyajui hayo ss
kungwi noma sana huwa nakuelewa sanaaaa
Siyo wanaume wa sasa duuu utakura kama hutaki basi duuuuu kazi kabisa 😆😆😆😆😆😆😁
Mama hatariiiiiiiii uyu..
@@witnessmarley5391 sanaaaaa
Mom hatari wew unanifurahisha haswah
Waume wa sasa mtihan sana waweza kufa njaa et wamgojea inataka somo sana hii other wise mtu atajapata ulcers 😎
asantee mamaaaaa tuvunzeee 👌Tiraaaa😘
Somo nzuri asante
hahahaha maamisa kabisaaa wewe ndo mama lao hahahaha
Hongera mamaa
Nimekusoma ila na huyo bwana awe mtunzaji hupewi huduma utakua smati jmn vingine muangalie
Receive Love from your Kenyan fan. This is my best Swahili channel. Tira you always sound mature and lovely
Thank you so much and keep spreading the luv out there
Piga Kelele kwa somo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakuhanya hata umshushie mbingu atatoka tu. Hayo siwezi hata kwa madawa
Nampenda huyu bibi naitaj group lake
😄😄😄
Mashallah
Na wapenda sana
Nkpnda bureee MAMY!!!
🔥🔥🔥🔥
Mambo ayooo tupe mama
❤️❤️
Asante maa Misa kwa Somo zuru
Maashaalaah
Kabisa dada
I really loved this show oooh my Goodness fantabulous
Teljan Ahsanteeeee
Ivi jamani!! Mbona kila siku wanawake ndio wanafundwa!! Fundeni wanaume wawe wanatufanyia haho yote. Maana mapenzi ya kweli hutoka kwa Mme na sio kwa mke.....sio kila siku wanawake tuu...
Kweliii
Kwel kabisa so kila kitu wafanye wanawak tu
Jamani sindo apo sasa mambo ni 🔥🔥🔥😁😂🤣
Kweli kabisa mwanaume ndo anatakiwa ampende mwanamke sana
Mwanamke akiongoka familia itaongoka pia
Jaman tunaomba no ya somo
Asante sana wamama, mungu awabariki, mafunzo mazuri mmm
Asante Kwa darasa mama
Mummy ♥️🌹
👌👌👌👌👌🔥🔥🔥
Asante mama.
Mmeskia nyie, mmeomba kazi mkafanye kazi
Maamisa natamani mwenzi wangu angekuwepo na akusikilize na apate hayo mafundisho,Kwakweli ange jiona jinsi ambavyo hajui masuala ya mapenzi
Hahahàa
Nitakutafuta mma kma naolewa uwe kungwi wangu mummy
Huyu hayupo tena.iña kuna mwingine anaitwa mama Tariq ni mzuri sana pia
Nimeona waliofanya yote hayo na bado wakaachika khah! Alafu huo muda wa kupokea mabegi upo??? Mwanamke hufanyi kazi au?
Kweli kabisa 👌
Kwanza wanaume wengine ukimpokea pokea anaona kero kero wajifanyisha
Talk Designed for stay at home mums
Lazim nirudi home harak sna
Haaahaaa mama mavunzo mazuli
Asante kungwi
Hii
Kna wanaume hawaridhiki nifanyeje?
Wanawake wa siku hizi wathamin nywere na kucha za bandia kuliko mumewe
Ila sio wote
Huyu mama anatumia jina gani youtube au instrgrm
Jambo?mimi nahitaji dawayakumuludisha Mumu aliyekimbiya akamuacamuke
Me mme wangu hapendi nivae vitu vifpi anataka anikute na vitenge nifanya nini mamy?
😁😁😁😁
Jmn huo muda wa kukaa na night dress au kanga watoto hawapo?
Chumbani kwako
Unakanayo ata wakiwepo si watoto wako
Chumbani mama unamaliza
Mimi ninaswali ninataka kuuliza kwa bibi hapo! Ivi kama uko nampenzi yako nayeye anakupenda sana, ata nawewe pia unampenda sana alafu hinafika atuwa anapenda kutembea nawewe kimweli. And wewe aujawai kufanya ivyo kwa mwanaume wowoteule. Nayeye ndo wakwanza kukuambia ivyo, alafu na wewe unampenda sana sasa mtu anaweza kufanyanini.
Mwambie mufunge ndoa Kwanza baadae ndo mufanye maana ukifanya nae saivi hakuowe ataenda kuowa kwemgine
Riziki Salum sasa kama yeye ndo amekuaribu wewe nabado ajakuowa naunampenda! sasa inaweza kuaje hapo.
@@suzanailembo5469 unajuwa wanaume kwa muda huu ni wachache wanao hitaji kuowa kwa iyo Alisha kuchezea baadae anakuacha itakuwa unamazowea ya kuwa na mwanaume asa itabidi utafute mwengine naye akikuacha utaenda kwa mwingine kwaiyo itakuwa no kuchezewa na Kila mwanaume ndoa ni muhimu kwakweli baadae ndio yafate maingiliano
Mpe uone kama atakuoa
@@laylasuliman5805 haha