Mwanamke mnyenyekevu hapigwi na mumewe hata siku moja, mwanamke mjuaji, jeuri, mbishi, asiyejua kuomba msamaha hawa nd 'o wanaopigwa mpaka kutolewa meno. Hakuna mwanaume katili kwa mwanamke mnyenyekevu na mwenye heshima.
Correct mke mwenzangu ni mjuaji balaa Kila siku kipigo nashkuru sijawahi guswa yy ugomvi mkubwa kupekuwa sim ya mume mm naiyona kama kituo Cha polisi kavunjwa mkono Kwa vipigo 😂😂😂
Mwanamke kama ua hapigwi hupendwa na kuengwaengwa. Kiswahili cha pwani hichi kama hufahamu ulizia. Mwenye kujua mapenzi anajua kuwa wanawake ni vitulizo na starehe zetu kwanini kuwapiga. Hebu lipige ua halafu uone matokeo yake.
Saafi Mama mtu mzima waambie hao vijana wabishi na wanapandisha kauli kwa Wanaume wakiwa na majeans yao wanayovaa mpaka kitandani ndio maana wanaoteshwa nundu mchana kwa kubondwa kila wakati.
Mwanaume atakuwa na mwanamke akimpenda tu huyo mwanamke Hakuna lolote mwanamke atafanya ili apendwe na mwanaume Wapo wanawake wagomvi, wachafu, wakorofi, wana hila BADO WANAPENDWA SANA NA WANAUME ZAO Mwanaume hata umnyenyekee vp, akiamua kuwa msumbufu, atazidi kukusumbua tu maana unavomnyenyekea ndo anazidi kukuona mnyonge au unampenda sana na huwezi kuishi bila yeye na atakutesa km uko jela.
Assalamu aleikum madam maamisa, unaeza ukawa mnyeyekevu na ukatumia utulivu ukakaa nae na kuongea nae na asikujib au asikir kosa lake vp hapo utafanyaje au utachukua maamuz gan
Si kweli, kuna waume hata umfanyie lipi hashughuliki na wewe wala hata uke wako haumsisimui. Anakaa mwaka hakushiki wala hata busu. Je huyu naye ni wa kuvumiliwa?
Mwanamke mnyenyekevu hapigwi na mumewe hata siku moja, mwanamke mjuaji, jeuri, mbishi, asiyejua kuomba msamaha hawa nd 'o wanaopigwa mpaka kutolewa meno. Hakuna mwanaume katili kwa mwanamke mnyenyekevu na mwenye heshima.
Mwanaume wa kupiga niwa kupiga tu
Mh atari sana
Kweli kabisa ! Ndoa inashindikana kwa kuwa wengi ni dreamers na wana unrealistic expectations. Ndoa ni za mature people sio za watoto !
Julius from.kenya
Maamisa chuma ,,wasema ukweli mtupu.
I love ur shows
Mwezangu sio waleo hawo wanaume. Wazamani sawa. Hawa wa sasa. Mmm
Waleo ni dotcom. Wadigital vichwa vigumu!
Mwanamke ukiwa mpole mnyenyekevu na unaheshima Mumeo na kuwa na sauti ya upole pia kuomba radhi hata kama huna kosa wallah huwezi pigwa kamwe,
Kipindi chako kizuri sana Dada. Ni kweli sisi wanaume tunataks maneno matamu hasira zote zinaisha
Mm nimwanaume mama anasema kweli
haha ss tunapgwa kila siku
Asante mama mungu akuzidishie umri
Hamna we Kwa mkeo lazima ale kpigo labda mchepuko,Kwa wife nishamzoea hawez kunitega nishndwe kufanya nilopanga
Correct mke mwenzangu ni mjuaji balaa Kila siku kipigo nashkuru sijawahi guswa yy ugomvi mkubwa kupekuwa sim ya mume mm naiyona kama kituo Cha polisi kavunjwa mkono Kwa vipigo 😂😂😂
Mama mesa nimependa hiyo umeomba kazi umepata kazi kwahiyo uwajibike sio kulala mika
Pacha wa bihindu mungu akuweke
Uko vizuri
Kweli mwanaume ukikaa nae ujue anakupenda sio Siri
Mwanamke kama ua hapigwi hupendwa na kuengwaengwa. Kiswahili cha pwani hichi kama hufahamu ulizia. Mwenye kujua mapenzi anajua kuwa wanawake ni vitulizo na starehe zetu kwanini kuwapiga. Hebu lipige ua halafu uone matokeo yake.
Kabisa aiseee
kungwiiii saulaaaaaa
HahaHahaha Alhamdoulillah uyu mama Allah akuifadhi. Daah nikiolewa nakuja TZ nikutafute
ZCuwimigisha Zchelsea njoo nikuoe Tanzania lkn visiwani.
Saafi Mama mtu mzima waambie hao vijana wabishi na wanapandisha kauli kwa Wanaume wakiwa na majeans yao wanayovaa mpaka kitandani ndio maana wanaoteshwa nundu mchana kwa kubondwa kila wakati.
Maana wanawake wasaiv wajeuri Kama nyoka au kenge
Je kama alikotoka kashakutana na nyingine kama hiyo? tena ya mwanamwali? unafikiri ataijali hiyo yako? ukiona hivi basi huyo hajakasirika.
Akunakupigwa nimwendo wakusaula2
😂😂😂 mapenzi ya majani uota popote😅
Kiukweri huyu mama ni mkwer naomba nikuoe japo umri umeenda
Hahahahha
Mwanaume atakuwa na mwanamke akimpenda tu huyo mwanamke
Hakuna lolote mwanamke atafanya ili apendwe na mwanaume
Wapo wanawake wagomvi, wachafu, wakorofi, wana hila BADO WANAPENDWA SANA NA WANAUME ZAO
Mwanaume hata umnyenyekee vp, akiamua kuwa msumbufu, atazidi kukusumbua tu maana unavomnyenyekea ndo anazidi kukuona mnyonge au unampenda sana na huwezi kuishi bila yeye na atakutesa km uko jela.
Ukweli💯💯
Maneno kuntu!
Sasa jamani uwo mtandio utauva kweri sem zabaridi kari 😨😨
Mama wanaume wasiku hizi wanapiga hadi huku chini yan shida tupu
Mimi ni mwanaume huyu mama ameongea ukweli kabisa
Si utakuja kukimbia uchi anakupiga uvue nguo
Assalamu aleikum madam maamisa, unaeza ukawa mnyeyekevu na ukatumia utulivu ukakaa nae na kuongea nae na asikujib au asikir kosa lake vp hapo utafanyaje au utachukua maamuz gan
Asante
Waambie ukweli mtupuuuu mama hawaelewi hao
Hahahaha hahahaha mama wewe noma
maa asante kwa mafunzo yako😅😅😅
Si kweli, kuna waume hata umfanyie lipi hashughuliki na wewe wala hata uke wako haumsisimui. Anakaa mwaka hakushiki wala hata busu. Je huyu naye ni wa kuvumiliwa?
...imekukuta nn Dada hiyooo
Kuna kitu hapo
Hakuna mwanaume mbabe kwa mwanamke mnyenyekevu na anaejitambua, jifanye mjuaji, jifanye jeuri,utatolewa meno, jifunzeni kubembeleza,muwe na heshima.
Hakika ht akikasirika baadae atarud t
Mwanaume mwingine nyenyekea were mwisho wa picha unaomba matumizi anaanza ugomvi,huyo na aende tu
Ni kweli mamangu
Kutana na msukuma uone moto wake " tuulize sisi hakuna hapo cha kuchaura wala nini
Mwenyezi mungu akulaze mahalo pema shoga yangu mamisa
Weee! Siwezi.
Da mamisa hahahaha unahatari wallah
Saw
Yuko vizur
thancs much
Waambie hao wanawake wasasa hawana isipokua ujeuri ndo wanachokijua
hahahahahaha iyo kweli kabisa. kapatia
Haki ntarudi jandoni ntakuja kwako somo unifunde
Daaaah
🤣🤣🤣Sukaaaa
MTT wa b Hindu maamisa chuma teeynaa
Kumbe na amefanana nae kweli
Ndio wanatolewa uchi jaribuni muoneee 😂😂😂😂
Zam Maulidi 😁
Wew
Mmh sio karne ihi
Lvyu Tira
Wakati ajachukia adihiyo inapigwa
Hahahha Aunt mamisa me nakukubali kinomaaa
Waooo
Mama mzee bado uko sawa
😀😀😀😀😀
Saw
Kipo kitakachokupiga
Nini
Dudu
@@bayportsikonge6380 kwani dudu linapiga
@@rizikisalum9678 mboo
P
😂😂😂😂😂😂😂😋😋😋😋
🤣🤣🤣
Tira hassan
😂😂😂😂😂
Ww mama unaongea tu s ukute uko ameshapata toto moja matata ukimvulia ww anakuona km kabati la nguo
Kama umesikia hawezi kukupiga ila kipo kitakachokupiga gonga like
🤣🤣🤣🤣