LULU DIVA ALIVYOVAMIWA NYUMBANI KWAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- #LULUDIVA #BUCHA_YA_LULUDIVA
.
.
.
#luludiva #luludivatz #luludiva_tz1 #luludivalopez #luludivautamu #luludivaatakuwepo #luludivacat #luludivaeterna #luludivafez2 #luludivafans #luludivagemukcute #luludivahandraise #luludivaindodoma #luludivajax #luludivakamariri - บันเทิง
Kama naww umekuja kuangalia uku baadae ya kuona intavew ya divathebos like yako ila LULU mwezi wa razani ndo mtu inatakiwa usinywe pombe au miezi yote kwa mtt wa kislam arafu mwezi mtukufu unafunga na hayo manywele ya bandia uswali
Mzungu manywele🤣🤣
Jisitiri hujajufunika kichwa.
Mm ht cjaimalizia iyo hbr
Hao uwaga awafanyi ata ibada wanavyoonekana maskini dooh
Bora ata wewe nyumba yako mashaallah naiko smart 💕💕💕💕👌👌nawala mishauzi huna sio DIVA kwake pachafu ala mishauz mingi nyumba yenyewe haina vitu vizur alafu mchafu alafu mishauz mingi 😏😏
Mashahallaha hongera kipenzi umejitahidi 💯💯💯💓👌
Kwake pazuri mungu akuzidishie
And you are very proud of having that bar in your house. Allah akuongoze
Hongera lulu
Nimependa nyumba ya lulu diva afu kunaileya yule mkewanganga diva nimecheka😂
Nakubaliii san janja wang naona uko na div
Mmmh hongera
yaan uyo mtangazaji kwakwel doh ,anabid apikwe kwel kwel yaan ,kapoa kinoma
Ulimbukeni huo uisilamu haujasema iucha mungu ramadhani tu mumezidi uislamu wenu wakujipangia astaghfirullah muogopeni Allah mutakwenda ulizwa
Chumban ujawapeleka na vp umepnga au yko hii nyumb.
ramadhn jiwig mtt wakiislamu kichwa wazi
Hi ramani ya nyumba ya lulu naipenda
Msiba was mama luludiva
Unajidanga itoe pole mwezi 1 miezi 11 unaweka pombe apo mezeni, ukiamuankutenda meme tenda mema miezi yote, zambi za miezi 11 aziwezi kufutwa na swawabu za mwezi 1 wa Ramadhani
imagine
Nakupenda sana
Mungu akuongoze. Ulevi umekatazwa kabisa. Allah (SWT) hakusema watu wasilewe
mwezi wa Ramadhan. Kasema ulevi haram siku zote
Mashallah hongera sana yanyumba mzuri sana
Eti mm.mtoto wa kisillaam mhh mwisilam hata kutaka pombe kwakwake ni raam ssa wisalam wako as mwez mtukufi hutoiyona pepo
Yani Mungu akuongoze.. Mtt wa kislamu pombe ramadhan hunywi lkn ikiisha tabu iko pale pale. Mnachezea sana dini
HUYO MTANGAZAJI MWENYEWE NI MSHAMBA .
Hata Hana maswali ya kuliza
Ukipaka mekapu unapendeza hatausipo paka pia
Wewe achaa ujinga kila siku mwezi yote ni mtukufu yaani hila kwako ni ramadhani tu ndio mwezi bora, pumbafu mkumbwa
i realize it is kinda off topic but does anybody know a good place to stream new tv shows online ?
@Ashton Langston i watch on flixzone. You can find it on google :)
@Karson Maximus yup, I've been watching on flixzone for since march myself :D
@Karson Maximus yup, I have been using flixzone for since april myself =)
@Karson Maximus thanks, signed up and it seems to work :D I appreciate it !!
Ila jihifadhi mpenzi
huko vzur dada achana na wanaokusema
Nyama zakoo😉😆😆😆
Hongera ila pombe acha na jisitiri my dear Allah akupe hidaya
Unatoa kipindi cha mwez mtukufu kikiisha unarudisha da mageni haya kwangu.
Kumbe we mzuri ivooo
Nyumba mashallah
Heeeeeee siku ya ramadhani ndo hutii makucha daaah kweli hatri
Vicent
Kwa nini haoneshi chumbani kwake juu musione kitanda chake storry ya diamond ya pisha ya kitanda . 😂😂😂
Dah nilidhan mwenye manguo mengi ni mm peke yangu maana Nina nguo hadi kero kila chumba ni nguo nguo tuuuuu
Mtangazaji mwenyw kishoia
Nyumbani au umepanga semeni ukweli
Wangine na mapurukushano ya vyiwanja wewe mapurukushano yako ni mavazi.jinga we
Lulu mcharukooo
Miezi yote ya Kiislamu ni Mtukufu a hana na Biashara haraam ya POMBE.
Uyo mtangazaji akuna kitu
Saphy
Nyumba nzuri aisee
Showing people fridge awa juwi 😂🤪
Hapa simskii muongeaji ni mikelele tu ndio inaskika
Etii hana kucha sababu mwezi mtukufu wa ramadhan kichwa kipo wazi hahahahaha wasanii bana
Imani ya mwezi mmja sio imani
Na mm natka nyumbaa jmn
Sasa we mtoto wa kiislam alafu unaringa umeweka bar ndani kwako. Ndio dini inavyo kufundisha?pambavu sana
Miezi yote ni mitukufu,mtukuze Mungu siku zote usiwe na siku au mwezi kuwa mtakatifu.
Diva !!! Nilegeze
Hata yesu I tenga mwezi mmoja akafunga that's what Muslims are doing wakirsto wanatumia new testament jifunze dini yenu vizuri achani kufata wazungu
True
eti nimezitowa pombe zote coz ya mwenzi mtukufu wa ramadhani
Kwahy mtangazaj nilulu diva au
ramadhan hali iyo je ikiwa miez ya kula na mchana..
Kumbe ulevi umekatazwa mwezi mtukufu wa ramadhani tu.? Jitambue
Jaman kan kuna kit hatukijua hapo anatufundisha kupanga vitu ndani nan hajui Brenda jaman haraf kamsaprice Au walipanga MH wasanii ni shidaaaa
Nani ameona hyo blueband
Bloooooody!!!😍😍
Kwa hivo una heshimu Mungu mwezi mtukufu tu?? Heshimu MUNGU kila dadika kila saa na kila siku
Aache ujinga eti one month ndio tukufu
Lulu machepere yazidi
Natural wapi
Alooo ushamba gani uwooo?
Msarimie Bite
Uwoniushamba
Dar Dunia una advice nyumba
Awavamii wanakuwa wanajiandaa
Allah akuongoze hata huna wacwac kusema una sehemu ya bar
Pombe hapo ndio kwao
Watanzania wajiita tu waislamu,tangu lini dini ya kislamu yaruhusu pombe!? Wala qurani haijasema.tahadharini jameni
Haikuusu kira mtu nakaburi lake
Mashaa Allah
Anasema yuko naturel na hizo nywele ni zake ? avuwe ndo utakuwa naturel 😂😂😂😂😂
Hapana hizo ni nywele zake za kuzaliwa🤣🤣😜
HAWA NI WALE WANAWAKE WALIOKUFA MOYO NA DINI NA WAKAIPENDA DUNIAA ..
Tumuombe dua abadilike
Ameen duaa zetu sisi ata hukum
Hongera diva
ka self kametulia
nakubali mrembo
Maisha mengine bana mngekua na mjengo wa Ginimbi ingekuaje?
Lulu diva mrembo alafu ata hata
Zari kawafundisha vyumba vya nguo na viatu
Halo sio kushtukiza mbona kama aliku anajua vileee
Haya
Pazur
Lulu😀😀😀
Lulu asokujuw atapat tabu xan
mlumbukeni mmmmh
Acheni usamba jmn
Hidaya ikuzidie zaidi usiwe wa heshimu Ramadhan pekeyake utowe kabisa pombe na manywele
Mwezimtukufu wa ramadhan na hayo manyoya huko kichwan yanafanya nn
Sawa tushaona
Hapo ni jikoni huna dining ww usizue cc sio washamba wa nyumba mpuuzi ww
Hadija abdallah hahahah
Mmmh show of nyingi sijawah muona v money afanye upuuzi huo
Umeulizw
vyote huna mtanga mwezangu ila wivingu unalo so na nimwezimtukufu ety
Mzuri
Unakajumba kazur yaan
Si ni ofisi
We nasri masood. Wanacho laumu kuhusu pombe nasio kumchukia. Kwani we kwenu mmeweka bar ndani. Usitetee ujinga wewe
Mi sijaelewa walikuja kukuhoji au walija kuonyeshwa thamani ynyumbani mwako?
Umenichekesha
nakukubal dadaGood Night 💤🌙
😊 Sweet Dream
🌠🌠🌠🌠🌠🌠🌠
Mama ako amekufa kulu diva
Yani wew bule kabsa
Hakuna msanii Ata post ATI nyumba yangu niamini waongo WA kwanza wema alipost nyumba ATI ya kwake mbna anaishia kupanga
Mtoto wa kiislam mwenz wa ramadhn t ukiish km kawa
Mtoto wakiislam na wigi ilo udhu unaingia?
Nifnyajee
Kwan mpka utangaze mtandao
Sasa kwani lazma ujioneshe?
Hana hela ya kupaka rangi nyumba
Nyumba nzuri mashallah