NYUMBANI KWA KUNGWI/KUNA DUKA LA UREMBO NDANI/ANAFAGIA SAA NANE USIKU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ย. 2023
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 235

  • @anathjuma6813
    @anathjuma6813 6 หลายเดือนก่อน +2

    Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 8 หลายเดือนก่อน +13

    Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..

  • @user-vj6qs8sv8i
    @user-vj6qs8sv8i 8 หลายเดือนก่อน +29

    Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe
    Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane
    Nakupenda kwa ajili.ya Allah

    • @arafakiloli749
      @arafakiloli749 8 หลายเดือนก่อน +1

      ALLAH akujaze kheri zaidi

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 7 หลายเดือนก่อน

      Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama

    • @JanethMadios-oe5ue
      @JanethMadios-oe5ue 7 หลายเดือนก่อน +8

      Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko

  • @ethanevans2971
    @ethanevans2971 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....

  • @AsmaSalim-rx4fb
    @AsmaSalim-rx4fb 8 หลายเดือนก่อน +48

    Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang

    • @user-uj1bt7gq6n
      @user-uj1bt7gq6n 8 หลายเดือนก่อน +3

      Wa kwanza au wa mwanza 😀

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-uj1bt7gq6n😂😂😂😂

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 8 หลายเดือนก่อน +1

      nimekupa habibi ❤

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 7 หลายเดือนก่อน

      @@user-uj1bt7gq6n wa mwaka😁

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 8 หลายเดือนก่อน +11

    ❤❤❤ usafi muhim kweli mama

  • @africa7479
    @africa7479 8 หลายเดือนก่อน +30

    mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 8 หลายเดือนก่อน

      Ipi nyingin

    • @africa7479
      @africa7479 8 หลายเดือนก่อน

      @@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.

    • @sinyooo6583
      @sinyooo6583 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@tanzcanmediatv4473kichwa waz

    • @awatifsaleh7450
      @awatifsaleh7450 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@tanzcanmediatv4473afunike nywele

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 8 หลายเดือนก่อน +13

    Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 7 หลายเดือนก่อน

      Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂

    • @user-vv5nx7rw5g
      @user-vv5nx7rw5g 7 หลายเดือนก่อน

      Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 หลายเดือนก่อน +5

    Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl 8 หลายเดือนก่อน +4

    Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 8 หลายเดือนก่อน +8

    maa shaa Allah nyumba safii

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 8 หลายเดือนก่อน +23

    Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 8 หลายเดือนก่อน

      kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

      Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

      Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mama msafi sana 👌🏽👌🏽

  • @Lexerjoh
    @Lexerjoh 7 หลายเดือนก่อน +4

    huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 8 หลายเดือนก่อน +10

    Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏

    • @utaani1
      @utaani1 7 หลายเดือนก่อน

      Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 หลายเดือนก่อน

    Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 6 หลายเดือนก่อน

    Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you

  • @fatmabby0017
    @fatmabby0017 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mashaallah ❤

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 7 หลายเดือนก่อน +4

    Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini

  • @faidhacute
    @faidhacute 8 หลายเดือนก่อน +19

    Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire

    • @zuwenakabwe1017
      @zuwenakabwe1017 8 หลายเดือนก่อน +1

      Tuko pamoja

    • @maryrich
      @maryrich 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @najathtemo3908
      @najathtemo3908 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 8 หลายเดือนก่อน +5

    Mashaallah , msafi sana

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 7 หลายเดือนก่อน +1

    Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 8 หลายเดือนก่อน +8

    Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 8 หลายเดือนก่อน +2

      Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌

  • @user-kb3yg5jl1g
    @user-kb3yg5jl1g 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

      Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 8 หลายเดือนก่อน +5

    Kwake pa safi kabisa

  • @nasraabdul6878
    @nasraabdul6878 7 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda anavyoongea Uyu mama❤

  • @user-ox2uw9ds5o
    @user-ox2uw9ds5o 8 วันที่ผ่านมา

    Mama mzuri na ajipenda mashallah

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 8 หลายเดือนก่อน +14

    Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 8 หลายเดือนก่อน +1

      Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 8 หลายเดือนก่อน

      @@mariamdullazy8166
      Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hats mie napenda nando nipo hivo😅

    • @mariammnongo2149
      @mariammnongo2149 8 หลายเดือนก่อน

      Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 8 หลายเดือนก่อน

      @@mariammnongo2149
      Hahahaaaa ndo kila siku?
      Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 8 หลายเดือนก่อน +3

    maashallah tabaraka Allah mama msafi sana

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤

  • @islam.with_juneyd
    @islam.with_juneyd 7 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi

  • @HalemaHhhh
    @HalemaHhhh 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe

  • @zezenuvel7612
    @zezenuvel7612 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤

  • @khadija5761
    @khadija5761 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah❤❤❤❤

  • @meowzna
    @meowzna 8 หลายเดือนก่อน +7

    Super MaMa😍 Masha'Allah🙏

  • @elenlazaro3192
    @elenlazaro3192 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅

  • @user-rj1gc5xk8k
    @user-rj1gc5xk8k 8 หลายเดือนก่อน

    Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 8 หลายเดือนก่อน +30

    Nampendaga uyu mama yanii na ni msafii

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 8 หลายเดือนก่อน +1

      msafii na mrembo hana tabu mashallah

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio ajajipenda kama shangazi zangu

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio ajajipenda kama shangazi zangu

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe mpemba nikajuwa warabu mwanzo nilitaka sema warabu wasafi

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 8 หลายเดือนก่อน

      @@VickKulekana-si1ib muarabu wa kipemba

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HeriethHaule-ct9gx
    @HeriethHaule-ct9gx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo

  • @SharifaOm
    @SharifaOm 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mm nampenda sana huyu mama

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 6 หลายเดือนก่อน

    Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10

  • @rukiaathumanathuman7875
    @rukiaathumanathuman7875 7 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah nice

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 8 หลายเดือนก่อน +5

    Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤

  • @esterjames7407
    @esterjames7407 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤

  • @nuruyusuph5562
    @nuruyusuph5562 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah msafi

  • @ninaken7109
    @ninaken7109 5 หลายเดือนก่อน

    Beautiful house tour...

  • @lulushawaka6200
    @lulushawaka6200 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 6 หลายเดือนก่อน

    Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 8 หลายเดือนก่อน

    Okay 🎉

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w หลายเดือนก่อน

    Mashahallah mama etu mpendwa ❤❤❤❤

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 8 หลายเดือนก่อน

    Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 8 หลายเดือนก่อน +5

    Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷

    • @Lexerjoh
      @Lexerjoh 7 หลายเดือนก่อน

      yan ww kama mimi

  • @user-pq5my4ih2v
    @user-pq5my4ih2v 8 หลายเดือนก่อน

    Super mama

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w หลายเดือนก่อน

    Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mashaalah ❤

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim

  • @nasramduli5097
    @nasramduli5097 8 หลายเดือนก่อน +2

    Love u mama

  • @lilianmkumbi6770
    @lilianmkumbi6770 11 วันที่ผ่านมา

    MaashaAllah

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera

  • @edyboyChamilion
    @edyboyChamilion 4 วันที่ผ่านมา

    KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂

  • @minafadhil3837
    @minafadhil3837 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mamaa msafi huyu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

    Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo

  • @w4058
    @w4058 7 หลายเดือนก่อน

    User uko right kabisa

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 8 หลายเดือนก่อน

    Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham

  • @Ismail-kp7dx
    @Ismail-kp7dx หลายเดือนก่อน

    Mama hongera

  • @jamilamnetya6228
    @jamilamnetya6228 8 หลายเดือนก่อน +6

    Nampenda sanaa uyu mama

  • @zulfayusra8747
    @zulfayusra8747 8 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 8 หลายเดือนก่อน

    Kajitahidi Sana

  • @sinyooo6583
    @sinyooo6583 8 หลายเดือนก่อน +4

    Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi

    • @skymoontravel7140
      @skymoontravel7140 5 หลายเดือนก่อน

      Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅

    • @sinyooo6583
      @sinyooo6583 5 หลายเดือนก่อน

      😂Apana bn

  • @yusufuyasin2347
    @yusufuyasin2347 8 หลายเดือนก่อน

    Mi namtaka Allyyy😂😂

    • @rouhysaleh6421
      @rouhysaleh6421 8 หลายเดือนก่อน

      Sio aly ni alwiy

  • @user-rj1gc5xk8k
    @user-rj1gc5xk8k 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr

  • @user-gm1vt3bt1h
    @user-gm1vt3bt1h 6 หลายเดือนก่อน

    Haya namm naomba link

  • @Boaz22
    @Boaz22 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi

  • @agathachughu
    @agathachughu 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w หลายเดือนก่อน

    Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue

  • @faidhacute
    @faidhacute 8 หลายเดือนก่อน +7

    Kuna watu wanaishi na kuna wasindikizaje 😂😂

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Faidha

    • @munaashyahya1059
      @munaashyahya1059 7 หลายเดือนก่อน

      Banae😂😂😂😂

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni upotezaji wa mda tu

  • @marthahozza2964
    @marthahozza2964 7 หลายเดือนก่อน

    😀😀 mh jmni binadamu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 8 หลายเดือนก่อน

    Mpitie na kwangu jamani

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂saleh

  • @ashamavunde3913
    @ashamavunde3913 8 หลายเดือนก่อน +8

    kwake pako vizuri na usafi anaujua

  • @w4058
    @w4058 7 หลายเดือนก่อน

    Mwanamke hufai kumsinga wanaume

  • @antiyasanitiago3221
    @antiyasanitiago3221 8 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤

  • @SophiJeilan-vq5cp
    @SophiJeilan-vq5cp 8 หลายเดือนก่อน +5

    Swala inakataza maovu jistiri nyelezako na mwiliwako dada

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maua mazurii

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗

  • @MissRafikieli
    @MissRafikieli หลายเดือนก่อน

    Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 8 หลายเดือนก่อน

    👌🏽👌🏽

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 6 หลายเดือนก่อน +1

    It's 9.99 not 66..

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 8 หลายเดือนก่อน

    Anauza bei rahis hadi raha

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ssa mma Una nyumba na kazi unadhani utakosa mume??? Na waume wa siku hzi wanapenda kujiegemesha??? Na hao wa nje wengi wao hawakujenga au nyumba zao wamekodisha wanatafuta pakufikia.

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤