Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane Nakupenda kwa ajili.ya Allah
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
Ssa mma Una nyumba na kazi unadhani utakosa mume??? Na waume wa siku hzi wanapenda kujiegemesha??? Na hao wa nje wengi wao hawakujenga au nyumba zao wamekodisha wanatafuta pakufikia.
Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah
Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..
Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe
Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane
Nakupenda kwa ajili.ya Allah
ALLAH akujaze kheri zaidi
Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama
Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang
Wa kwanza au wa mwanza 😀
@@user-uj1bt7gq6n😂😂😂😂
nimekupa habibi ❤
@@user-uj1bt7gq6n wa mwaka😁
❤❤❤ usafi muhim kweli mama
mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi
Ipi nyingin
@@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.
@@tanzcanmediatv4473kichwa waz
@@tanzcanmediatv4473afunike nywele
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂
Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr
Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani
Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤
maa shaa Allah nyumba safii
Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤
kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii
Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site
Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha
Mama msafi sana 👌🏽👌🏽
huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah
mashallah ❤
Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤
Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏
Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600
Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe
Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤
Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍
Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana
Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you
Mashaallah ❤
Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini
Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire
Tuko pamoja
😂😂😂😂😂
Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂
Mashaallah , msafi sana
Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa
Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊
Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌
Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa
Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel
Kwake pa safi kabisa
Napenda anavyoongea Uyu mama❤
Mama mzuri na ajipenda mashallah
Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka
Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje
@@mariamdullazy8166
Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu
Hats mie napenda nando nipo hivo😅
Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@mariammnongo2149
Hahahaaaa ndo kila siku?
Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi
maashallah tabaraka Allah mama msafi sana
Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤
Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi
Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe
Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤
Mashaallah❤❤❤❤
Super MaMa😍 Masha'Allah🙏
Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅
Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko
Nampendaga uyu mama yanii na ni msafii
msafii na mrembo hana tabu mashallah
Ndio ajajipenda kama shangazi zangu
Ndio ajajipenda kama shangazi zangu
Kumbe mpemba nikajuwa warabu mwanzo nilitaka sema warabu wasafi
@@VickKulekana-si1ib muarabu wa kipemba
Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo
Mm nampenda sana huyu mama
Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10
Masha Allah nice
Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
Mashallah msafi
Beautiful house tour...
Mashallah
Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu
Okay 🎉
Mashahallah mama etu mpendwa ❤❤❤❤
Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu
Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷
yan ww kama mimi
Super mama
Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂
Mashaalah ❤
Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim
Love u mama
MaashaAllah
Hongera
KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂
Mamaa msafi huyu
Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo
User uko right kabisa
Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham
Mama hongera
Nampenda sanaa uyu mama
❤❤❤
Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka
Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site
Kajitahidi Sana
Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi
Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅
😂Apana bn
Mi namtaka Allyyy😂😂
Sio aly ni alwiy
Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr
Ametuonesha ili tujifunze.
Haya namm naomba link
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮
Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue
Kuna watu wanaishi na kuna wasindikizaje 😂😂
😂😂😂😂 Faidha
Banae😂😂😂😂
Ni upotezaji wa mda tu
😀😀 mh jmni binadamu
Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC
Mpitie na kwangu jamani
Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake
😂😂😂saleh
kwake pako vizuri na usafi anaujua
Mwanamke hufai kumsinga wanaume
❤❤❤❤❤
Swala inakataza maovu jistiri nyelezako na mwiliwako dada
Maua mazurii
Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗
Hahahw😅😅
😂😂😂😂😂
Hahahahaa
Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.
👌🏽👌🏽
It's 9.99 not 66..
Anauza bei rahis hadi raha
Ssa mma Una nyumba na kazi unadhani utakosa mume??? Na waume wa siku hzi wanapenda kujiegemesha??? Na hao wa nje wengi wao hawakujenga au nyumba zao wamekodisha wanatafuta pakufikia.
❤❤❤❤