Tanzanians who DON'T KNOW Kenya..Must Watch (Swahili vlogg)2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2023
- Hey guys,hope you enjoyed this video, please remember to like, subscribe for more
#tanzania #kenya #Dar es salaam#Nairobi#East Africa#streets #people #African cities #travels #johanesburg #millardayo #wcb #diamondplutnumz #harmonize #zuchu#bongo
I am from Kenya and worked in TZ. Tanzanians are one of the most generous people and funny too. They love to share and would never eat alone, always made sure that I had something to eat. Loved the country and food. Beautiful islands too. I miss mtori, bajaji rides, Dar es salaam nights, Mwanza fish and Zanzibari pweza. Kenya can learn a thing or two from them about keeping our towns clean and caring for the environment.
Very true, Tanzanians are kind people! You'll simply realize when you get to Dar es salaam
That's true...I love Tanzania so much as a Kenyan
@@almanjeri2083we love u guys, when a Kenyan come to Dar you won’t feel nothing but home
@@almanjeri2083We love u too
Ur right watanzania si wachoyo
Hongera Kaka , karibu saana TZ, Binafsi nawajua marais wote tokea uhuru, Daniel arap moi, kibaki na lucy kibaki, Uhuru, Raila, W. Ruto, na wasanii-Erick omondi, mwala , mzee ojwang, mbunge Asha Juwa, Prezoo. tunawakubali majirani Karibuni saana tena saaana
Safi bro bro.wakenya wengi watakwambia sio mikoa tu ila mitaa kama mikocheni,n.k..
Rais…mwalimu nyerere ,sijui nani kamfuata ,alafu mkapa,kitwete magufuli ..
Waimbaji wengi tu…wafafi records n.k…
Miji..arusha, dodoma,iringa,
Wapo pia wasukuma,wakuria n.k..
Pamoja afrika mashariki
tunajua ili inabidi kubalance story ukisema tanzania hawajui si kweli lengo la content ni kuonyesha tanzania hawajui kihusu tanzania
Zamani nilipo kuwa shule ya sekondari huko Ngozi inchi ya Burundi myaka ya 1960 niliskia wimbo wa John Mwale ``Shirikisho la Afrika`...`Tuwaheshimu VIONGOZI wetu w'Afrika"na nikafikirya wanasema via Ngozi (kwa kupitia Ngozi), sikujua kiswahili wakati ule. Kama mwaka 1986 nilinunua tape ya wimbo huo kwenye souvenir shop ya Museum of African American history huko Washington D.C. (labda kwasasa tape ilisha haribika and I don't have a tape player anymore).
Umetisha kaka hongera 😊
@@b.truthful Asante sana, nimepata bahati tu. Naijuwa Tanzania kuliko Burundi (Burundi nilikua tu mtoto wa shule). Nimekaa Tanzania 1977-1982 na 1984/1985 (Nilikuwa mkimbizi lakini nilikuwa na kazi nzuri). Sasa hivi nilikuwa naangalia picha za waziri mkuu Kasim Majaliwa huko St. Petersburg, Urusi. Myaka kama miwili iliopita nilikutana dukani na mtanzania mmoja, nilipozungumuza naye kwa kiswahili alifikiriya kwamba na mimi ni mtanzania.
TANZANIA OYEE!!!
Kuwaelewa wtz ni kazi!!!!
Maswali hayoo utapata majibu sahihi!!!!!!
Wao wanajuwaa kwann, hawakupi majibu sahihi!!!!
Hahahah unajuaa ni kwann yaan apoo kwanza kiswahili chake hatumuelewii
Mji msafi...Love from Kenya.
Kazi nzuri sana.Usichoke..
Dar is making good progress and clean kudos
It's a very beautiful city
Wakishidwa kujibu sahihi unafaa kuwaeleza jibu sahihi. Usiwe ukiwaacha Katika Hali ya kutofahamu.
Kaka asante sana mungu akuon'goze kwa kazi yako, video nzuri saalams nyingi kutoka nchi / UJeremani.
Dar es salaam inamuonekano sawa na Mombasa
👍 Good Job Bro.✔️
thats why kenyans go to school to study other countries kenyans know tanzanians so well
absolutely
Love from Kenya. we love Tanzania...super clean Dar es salaam
Hey Tanzanians are not interested about what goes on in Kenya, they are so busy minding their own business...which i find very good!!
wako busy kwa uchawi na ujinga. nchi ya misukule. shame on you tanzanians
@@Jossy-qk8vw Have you ever been to Tanzania?
@@Jossy-qk8vw Huna tofauti na hao aliowauliza ...Nawe hujui lolote kuhusu Tz unassume vitu tu na wakenya ndo mlivyo you pretend you know while you dont know..
@@explorewithbertin pfh !
Kenyans don't care if you know about us... Im unbothered, do not think that knowing about Kenya is doing Kenyans any favour.. alaaar!
The interviewer is one bad clout chaser😅😅😅😅😅😅
Analazimisha watu wajue kenya 😅😅😅😅😅😅
Umeonae analazimisha
❤❤❤❤❤
Keep it up bro
Asante saana kaka
❤❤❤
Nairobi my city my town the financial hurb of East African...the only city with a nationa park and a direct flight to New York ❤
We just have the busiest port😂😂😂
Tanzanians are the least educated people in africa@@CrazyAnimals-gi6ou
Atuwajui
Masamiati😂😅
One thing that Kenyans and Tanzanians have in common is that both are very sensitive people hakuna lolote mbaya unaweza sema kwa wote wawili ama wata kubomoa
That's so true
Unaitwa Nicky.....Tunakujua,,,,this time umeweza bro👊
hehee,Makhuwa madinyu.
Wat a shame😂..Rais wa Kenya sasa hivi simfahamu big up😂
Watanzania wamenishangaza sana kua hawatambui lolote kuhusu Kenya (closest East African member)
si kweli tunajua ila hii chanel imeamua kuweka content ili kuchonganiasha
@@babalad983sio kuchonganisha, ni kweli wengine hawajui kama walivyoonekana, kwani ni hatia? Hakuna mtu ambae anajua kila kitu
Wachache ndio wasiojua kuhusu Kenya lakini waTanzania wengi wanajua kuhusu Kenya .
Wato wako busy na kazi zao
Tanzanians know more about south Africa than Kenya, I don't know why
👊✌️👍*
I think kenyan education system is the best,, because in primary level we are taught of other African countries
absolutely
Most Tanzania know Kenya very well, and very rare a Tanzanian doesn't know Nairobi. I think the interviewer wanted certain answers to his questions.
TZ acha neno na jokes 😂.. As in hujui kibera at all
There uptown looks like our down town....tz will need like 10yrs to get to our level 😅
nimemiss kiti moto za dar ,beautiful ladies pia everywhere 😅😅
Kiti moto uwa ni nini?
@@AnalystTosh mixture of pork,fried matoke ,kachumbari & spices
@@KwehuMedia went to Dar but didn’t know about it… a TZ collegue later asked me if I ate it… mimi nikasema yes but in my mind sijui what that was… that was 2019 and I finally know what it is
@@KwehuMediakitimoto is just pork, all those you accompanied with aren't kitimoto but can be taken with kitimoto
Nasisi tunakupenda sana
Kwa usafi wapo vizuri sana kenya kidogo sehemu zingine balaaa
kabisa,Tanzania Hewa safi saana!
Nimependa unacho kifanya ❤
Nami nashkuru Kwa kunipa moyo
Bora elimu.
As a Kenyan niulize chochote kuhusu Tanzania nitakujibu. And I have never even been there. Miji ya tanzania nakutajia zaidi ya tano. Team za mpira za TZ nakutajia karibu zote 🤣🤣. I hope to visit Dar one day. Wow tanzanians are so polite
They're so cool
As a Kenya that loves Tanzania and travels a lot there i would urge citizens of both countries to travel more to stop assuming a lot about each other😊😊both countries are beautiful in their capacity. There is also some rivalry that exists that shouldn't be there.
True, uadui wa kijinga sana
Tunaijua bongo yetu sisi
Next time Ask Them Nimsanii mgani wa Kenya Wanamjua.
He mentioned Lubumbashi, that's a town in CD Congo not Kenya. Thanks my man for acknowledging us.
I am Burundian and have lived in Tanzania as a refugee from 1977 to 1982 and 1984/1985. I didn't suffer in a refugee camp, I got a good job when I arrived from Patrice Lumumba University in Moscow (now People's Friendship University of Russia). After I learned Swahili, only my coworkers knew that I was a foreigner. I had a wonderful life in Kahama, Dodoma, Nzega, Kahama and Kyerwa.
I recently saw an intriging picture of a huge amount of black stuff (ore or tailings?) at a plant processing copper and cobalt in Lubumbashi.
Could anyone tell me the name of that place?
Merci d'avance/Merci mingi bandeko.
There is another Lubumbashi in Zambia too!
@@thomasduke4402 ok, I've never heard of it
Mwendo kasi wa umeme 😂 wueh! 🤣
Swahili ilinipita hapo!
Alimaanisha treni za mwendokasi zinazotumia umeme. Ila bado ni za dizeli,
🤔🤔🤔🤔🤔
Wote hamjui Lubumbashi iko wapi😂😂
I live in Gachie
Hahahahaaa ati unajua nini kuhusu kenya
Najua tu kofi ya umeme 😅😅😅😅😅😅😅ooh my God😅😅😅😮
but wewe Nicki mbona huongei kama mkenya,?
Bana mi nilidhani ni mtz
Ajabu watanzania wajui Kenya wee
hahaha😁😁😁wabongo tunatia aibu. Lubumbashi ni Congo🤭
You should have told Juma about Nairobi. People take our education for granted but an average Kenyan is more educated than most people on this planet. I heard that some Nigerians have never heard of Burundi.
Depends on how you define educations, what has Kenya contributed to the planet In innovation, only mpesa
@@Allpro007 . A Kenyan who has high school education knows a lot about other countries. As you could tell there are Tanzanians who don’t know any city outside their country.
I can bet you from a Luo tribe, childish thinking as usual@@georgewabwire824
Huyu mzee akija Kenya ataingia shule ya chekechea 😂😂😂
How's vlogging experience in dar
very cool
Mm nachojua kenya kuna chokoraa wengi kila county
Very saad😢...
Kama mkenya na hisi vizuri kujua kua kuna wale watanzania ambao hawatujui😂.
Watu hujitoa data
Si lazima wajue kutuhusu. Kila mtu na nchi yake. Na mungu wake.
Ni madugu zetu wa east africa wana heshima zao
Mi sio mtanzania but najua Arusha haiko mpakani na capital city yao si Dar ni Dodoma. Kwani Tanzania hakuna shule. Kutoolewa kuhusu Kenya ni sawa but jueni nchi yenu pia.
Tanzania is much larger, unlike Kenya which is very little
Watajuaje kuvuka boda tuu ni kazi ngumu sana. Tufute mipaka ya kikoloni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hao ndio wabongo hawapendagi kufuatilia habari za nchi zingine wao wame focus na bongo fleva, hapo waulize kuhusu south africa watakuambia kila kitu lakini si kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asa ulishatangulia kusema hawafuatilii nchi za watu, inakuaje unasema tuwaulizw kuhusu S Africa ?
Sio wote bana
@@MrNoNonsenseYes Oh kwasababu vijana wengi mtaani walikuwa wakimbilia huko pia wengi ndugu zao wapo huko wakitafuta jinsi yakujikwamua na maisha na ndio maana yakusema wao waulize South Africa , nafikiri umepata kufahamu nini maana ya msemo huo
@@Mpakauseme Kwahiyo Tanzania njaa kali inabidi watu wakimbilie sauzi kujiokoa kimaisha
hahhaha hatunaga shobo
Acheni ujinga wakenya sisi watanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunajitambua acheni ukolifi
Mbona una mafeelings mtoto wa kiume....hii ni Contet braza...feelings achia wanawake
your right bro
@@pauloraver_9551😂😂miye nacheka tu
We mwenyewe hata kuandika hujui 'ukolifi' ndio nini? Unatuaibisha watanzania
Kwamba ujui smart zinachanganya
Shuweb Mohamed subscription
Mzee mjinga sana
Kaka million 700 sio pesa ndogo, hiyo ni pesa nyingi sana, international school fees minimum ni million 1.5 (food, accommodation, stationeries included) million 700 ni pesa ya kujenga several schools
samahani kaka,ulimi huteleza
Shida ni wivu ati ni wakarimu Hamna
wivu wa nini sasa na wao hawataki kupoteza muda nakujuajua miji ya watu😂😂😂😂
What's so important in Kenya,ndipo mtu ajue kenya.ask the most corrupt country in the world.
Hilo nalo neno 😊😂
It's his content that's why he chose that topic it's not about how special it is...relax
Mimi kwa maoni yangu watanzania hawataki.hii soko bandia ya East Africa community.hania faida kwa wakezaji igeka Kwanza sarafu ya nchi hizi iwe moja ndio faida ingekwa.bila hio.haina Teja.
Sishangai, kwani watanzania wanajibea shughuli zao. Hawani kimbelele kama sisi wakenya
😂😂😂😂😂😂
This is so sad that Tanzanians do not anything about Kenya and the geography! Tanzania tumekwisha ki-elimu, je utashindanaje na wenzetu kama hata hujui wako je na nini kinaendelea nchini kwao! huu ni wendawazimu wa hali ya juu, we have failed our education system!
City center na wauza samaki, ama mimi ndio nimeskia vibaya?.
that is not the city centre...that is mnazi mmoja
Nairobi CBD mpaka githeri ipo on the roadside
@@mcback4384 Yes, but not in the CBD.
@@explorewithbertin Oh I see!.
Ulimdanganya juma ww...ungemsuport ndo wajue wakenya si waongo😂😂😂...i can do that on your behalf
Kweli hapo alikosea kiasi
Usilazimishe watu kuongea
Mabongolala bongo zao hazifanyi job
Kwasababu hawaijui maandamano land sio?😊
Humu kuna Wakenya Wanatukana Watanzania kisa eti Watanzania hawaijui Kenya?😁😁😁Kwani Kenya wote Wanajua Tanzania 🇹🇿😅?Afu kitu kingine Watanzania Wanapenda Nchi yao kuliko kitu chochote.Nyerere alitujenga tuhangaike na yetu kwanza yanatuzidi
Acha kudharae helya Tanzanian, Tanzania hakuna Shule ya Milioni mia 7😮
Ulirudi nyuma kumpa sapoti Juma? Anaongea kama mtu anayetoka kijijini maeneo ya lake Tanganyika na hakupata hata primary education.
Hujui kuuliza maswali ungeuliza unajua mkoa gani kwenye nchi ya kenya
shida kuunganisha swahili
Tanzania hakna shule hiyoo ya million 700 ndugu yangu mkenya hapoo waweza shangaa adaa yake ni million 2
Tz ime pakana na ma Taifa mengi mzee habari za Kenya ka ulize mikoa mliyo pakana nayo
Mwafrika yeyote akitaka kuomoka bila the west destination ni kenya 😅😅😅😅
Kenya is the bread basket of Africa
Deny madoo mafreedom ziko kwa wingi😅😅😅😅😅
This is sad to watch...ata Nairobi hawajui.
Our tanzanian brothers are Amazing
Nimeshangaa😢
What’s special about Nairobi?😢
@@mosesjacksonkarashani2642 100 times better than Dar
@@mosesjacksonkarashani2642 really? Maybe nothing special about it but you people should have common knowledge of your neighbours and the world at large... it's not always about competition. Your education system is wanting....
MBNA uwo mji unakaa Kam kijiji
Kuwa mpole 😂😅
Kama na wewe uko hapa kusoma comment tu, karibu 😂
Mm ni MTanzania na nasoma comments zenu wakenya nacheka tu
Muonekano wa Mombasa kabisaaa..., yani Dar ni kama Mombasa sana!...,
hapo ni mnazi mmoja 3km from dar city centre....
Kwan hujui Dar nipwani ndio maana wakenya hua wanakubagueni wamombasa mnaitwa watz
Pwani baba!
@@hanschuma7734sielewi mbona una machungu mji wa Mombasa ni mji wa bahari kama daa hiyo ndio ana maanisha aaaah!
Wakenya Msi fananishe Dar na Mombasa ,Mombasa ifanisheni na mwanza
you mean Exim bank iko TZ??The Chinese have stuck root there
Yeah Chinese are in small markets like kariakor selling stuff like indians
Wtf.. That's their CBD lmao💔😭😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Stop being childish you don't eat a well organised City.
Hahahaaa bana broo
I hope hii ni downtown cause it look pathetic
Looks like Ngara estate kenya😂😂
Exim Bank in tz
What's the problem with that?
Even Standard Chartered is in Tz so many branches nothing is special
@@mcback4384 😄😄😂even Barclays too
Mbona ni kama watanzania wamezubaa kiaina hivi..., duh, wengi wapo wapo tu, sio jambo jema kabisa!.. the need exposure and good education.
Education yakuijua kenya 🤣🤣🤣
Nenda Arusha ujionee
So good education ni kuijua Kenya sio, vipi kuhusu wachina, warusi, waukraine kawaulize kuhusu Kenya au Africa kwa ujumla utaona km watakwambia wanaijua, nawasihi wakenya mjifunze kumaind nambo yenu umbea hausaidii
@@josephstephen1079 kujua ukanda unako ishi na hata dunia nzima ni jambo nzuri. Ndo maana wakenya tunawashinda kwa mengi sabab twajua yote ya kisasa yanayo endelea ulimwenguni na hata yale ya kitambo.
Watanzania ni watu wa chuki sana.Hasa kwetu wakenya
Sio wote ni hali ya ki binadamu ata kwa jamii watu sio sawa
Chuki kwa sababu hawaijui Kenya au hawajui mambo ya Kenya?
Tunachuki kwa kipi kisa hatujui Kenya?
Tatizo mnamajivuno sana
@@miltonjohn9779hamjiamini ndio manake
Sio kupenda kwao nivile masomo pia husaidia jameni.ndio maaana napenda wakenya na wa nigeria very exposed people
W atanzanian wanafahamu Kiswahili vizuri saana . Wakenya wapwani Kiswahili chao ni ki Tanzania. Wakenya wa upcountry Kiswahili chao ni broken wakati mwingine!
Wouldn't call it broken,maybe,somewhat diluted,juu wengi wetu after tushamaliza high school tunawacha kuongea kiswahili sanifu, i would even argue, maybe ni after primary .After shule unaongea vile unataka, nobody is going to test you
Tz ordinary people hawajui mambo ya nchi za nje
Same for Kenyans
@@kateciku1229correct
kabisa
Lakini jameni kwenye 4:12 mtu amekubali kwamba hakusoma.
@@stansiyomana1239 hata wakenya nao kunao wengi hawajasoma hawawezikujua mambo za Tanzania.
Siku nikikutana na hawa youtubers ntawafurahisha😂😂😂😂 kwambaaa???
Wa Tz kutosoma ilkuwa kufanyiwa maksudi
Shida yako We NIC ni Kiswahili fasaha cha Tanzania hujui. Unaweza kuwa Unajua Kiswahili Lakini ni cha Giriama Au Kisii. Yaani hujui tofauti ya “Kufahami” na “Kujua. Unawailiza Watanzania kama wa nafahamu mji wowote wa Kenya Au Nji mkuu wa Kenya . Wanakujibu hawafahamu kwasababu kufahamu ni Kwamba walishaqahi kufika wakati hawajawahi kufika Kenya.ungeuluza kama wanajua mji Kenya na sio kufahamu.
Asanti saana,Swahili la Tz gumu kweli
Wataz ni wajanja sana!!!!
Hawawezi kujibu!!! Maswali hayo!!!!!
Hawataki kueleza mambo ya nje!!!
And why are you trying to sound like Tanzanian?
Ili iwe rahisi kusocialoze na locals
Watanzania hamna kitu bwana
Kama maandamano??
@@daniells71maandamano ni haki na uhuru wa kujieleza, kenyans have the freedom to exercise their sovereignty
@@fixhubeverything6988 uuhh ok?
@@daniells71 what's wrong with demonstration.?
@@RosinaYrimu stone throwing and tyre burning .
Dar ess salaam inaka town ndogo uku kenya😂😂😂
You need to be there before you make such comments. Don't rely on video clips go there yourself. I am sure you will see it differently.
Lies...enda so that you can experience it...I'm a Kenyan and I truly hate this assumption
😳😳😳look at this clown
@@almanjeri2083thank u!
Hawajui hata wasanii wetu kenya 😂😂
Wanatakiwa kuwa aggressive na kujitangaza Tz. Naona otile brown amefanya hivyo
I don't understand you now shows the city acha mishene live alone school
Wa Tanzanian gai hawajui Nairobi ????😅
Wamechangamka nafikiri hawataki kujua habari za kenya
Lubumbashi is in congo not tanzania
😂
Na interviewer kamwambia Lubumbashi ni Tanzania 😂😂😂
They must be very ignorant.Ama ni masomo sisi hapa Kenya ask anybody about Tanzania
Ati hawajui any town from Kenya imenishangaza
The master of everything is the master of none!
@@domin842hahaha Mbona ni jambo la kawaida tu
@@mcback4384 ,yaani mi najua,mbeya,tabora,shinyanga,the great costal city of Daresaalam,Arusha,Moshi,na singida japo sijui km ni mji ama kajiji kadogo,
You will be surprised even many Kenyans assume a lot about Tanzania