TANZANIA BARA 0-2 KENYA: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS ( FINAL: CECAFA WOMEN CUP - 25/11/2019)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 พ.ย. 2019
  • Kenya wameibuka mabingwa wapya wa michuano ya CECAFA kwa wanawake mwaka 2019, wakiwapokonya tonge mdomoni, Tanzania Bara.
    Ubingwa huo ni baada ya kushinda mabao 2-0 kwenye mechi ya fainali iliyochezwe leo jioni Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Jijini Dar es Salaam.
    Jahazi la Tanzania Bara, limezama kwa magoli mawili yaliyofungwa na mshambuliaji hatari, Jentrix Shikangwa, katika dakika ya 71 kwa mkwaju wa penati na dakika ya 88 kwa shuti kali.
    Hivi ndivyo mechi ya fainali ilivyokuwa, na kisha Kenya wakakabidhiwa kombe, wakiivua Ubingwa Kilimanjaro Queens, ambayo ilikuwa imetwaa mara mbili mfululizo.
    Mara baada ya mchezo, Kocha wa Kenya David Ouma akaeleza kilichowapa ushindi leo, azungumzia sababu ya kumuanzishia benchi mshambuliaji wake Jentrix Shikangwa katika kila mechi.
    Kwa upande wa Tanzania Bara Kocha wa Kilimanjaro Queens Bakari Shime akieleza kilichoiangusha timu yake, awaomba radhi Watanzania akiwataka wasivunjike moyo huku akilia na mwamuzi "Ni fainali bora iliyokosa mwamuzi bora".
    #CecafaSeniorWomensChallengeCup
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 181

  • @izoomwenyewe7840
    @izoomwenyewe7840 4 ปีที่แล้ว +34

    Kitu nimeona ni kuwa Hata watangazaji hawajui sheria za mpira...referee ako sawa sana hapa..best referee I've ever seen

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa2878 4 ปีที่แล้ว +24

    Charaza wao Tanzania magufuli nyumbani kwao... 🇰🇪 Hooe 🏆

  • @jeffk4342
    @jeffk4342 4 ปีที่แล้ว +35

    Kenya we do it twa twa twa....congrats Starlets

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 ปีที่แล้ว +1

      We lost the title because of CCM politicians. They are only thinking about flights. They don't think of young generations. Magufuli and CCM only motivate those who use them in campaign. Footballers,runners, are not essential to them. We are paying a lot of tax players should be treated well. Viongozi wa Tanzania acheni Siasa za maji taka. Hata wenzenu mnawanyima kuchagua viongozi na tunajenga nchi moja. Hizi Siasa za Magufulification mbovu sana ni za kujenga uhasama. Magufuli ameigawa nchi na imekuwa na Makundi. Magufuli, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Kinana, Makamba, Nape kila mtu kundi lake. Nchi ya Makundi na mwisho wake ni vita vya wenyewe kwa wenyewe.

    • @nativeson1559
      @nativeson1559 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe acha zako!
      Ati nini?
      Sisi Wakenya tuna mchezo mwingi sana. Lol.

  • @jamesokello9812
    @jamesokello9812 4 ปีที่แล้ว +12

    Jentrix Shikangwa! Wonderfull, Beutifull etc

  • @mainagithambo833
    @mainagithambo833 4 ปีที่แล้ว +22

    This lady commentator was a true patriot of Tz but Kenyans are always tough.

  • @lawrencekiniti336
    @lawrencekiniti336 4 ปีที่แล้ว +32

    OUR KENYAN GALS HAS SHOWN US WHAT THEY DO BEST. CONGRATULATIONS

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 4 ปีที่แล้ว +10

    Mchezo wa hali ya juu sana kutoka Africa mashariki...

  • @lennyalega1559
    @lennyalega1559 3 ปีที่แล้ว +19

    Najivunia kuwa Mkenya. I also love u Tz our good neighbours

    • @ramadhanibanyeke1189
      @ramadhanibanyeke1189 2 ปีที่แล้ว

      Mungu azidi kudumisha ujilani wetu 🤲🤲

    • @kereto20
      @kereto20 8 หลายเดือนก่อน

      sema na kiswahili waelewe

  • @wilsonmn136
    @wilsonmn136 4 ปีที่แล้ว +30

    Commentators were not fair to the starlet's but walijua hawajui. Twa twa

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว +4

    Commentator: Kenya wakipata wanapiga mbele wakimbizane huko huko... Jentrix Shikangwa.. goal getter huyu... piga shuti mbali lileee... G.O.O.O.A.A.L!

  • @alfredmazanza7116
    @alfredmazanza7116 4 ปีที่แล้ว +11

    Congrats our girls for making Kenya Proud! Wanasiasa ndio wanaturudisha tu nyuma hii nchi yetu.

  • @lennyalega1559
    @lennyalega1559 3 ปีที่แล้ว +15

    That second goal was a painful Twaaaaa! To the keeper.

  • @wallenpilrapt6679
    @wallenpilrapt6679 3 ปีที่แล้ว +5

    Nyinyi watangazaji mnaegemea upande mmoja na hata hamjui sheria za mpira (kenya rules😍✌)

  • @peterwaywela896
    @peterwaywela896 4 ปีที่แล้ว +7

    Naomba hiki kikosi cha Kenya kiende vile kilivyo Uropa 3/3/2020 wasiache mtu inje is the best team

  • @marienicholus6528
    @marienicholus6528 4 ปีที่แล้ว +8

    i can't stop watching this game mwa stalets

  • @getrudewanyonyi4598
    @getrudewanyonyi4598 3 ปีที่แล้ว +5

    Wonderful memories reawakened; congratulations Harambee Starlets.

  • @wambuimoses5676
    @wambuimoses5676 4 ปีที่แล้ว +37

    Goli la pili kweli ilikuwa ya kimataifa... Mchezaji mzuri kweli...

    • @Don-fq3yg
      @Don-fq3yg 4 ปีที่แล้ว +2

      boss, tuongee sheng yetu

    • @thevipers4727
      @thevipers4727 2 ปีที่แล้ว +2

      @@Don-fq3yg aache umbwakni 😂😂😂😂

    • @alhadrynassir1757
      @alhadrynassir1757 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣😂😂

    • @yupinikipkoech5408
      @yupinikipkoech5408 2 ปีที่แล้ว

      @@thevipers4727 mujitume kuwesa kufuzu kuigia katika ligi kubwa kule parani iji sa kigeni kujioyesa mumeshinda kwa jia ya utaratibu na watakia mema

  • @mildredlibendi2542
    @mildredlibendi2542 3 ปีที่แล้ว +5

    Hongera🇰🇪🇰🇪

  • @danbitali713
    @danbitali713 4 ปีที่แล้ว +7

    Jentrix angeanzishwa Tanzania ingeumizwa💥

  • @omarkhamis9514
    @omarkhamis9514 4 ปีที่แล้ว +3

    Wembe ni ule ule wa Misri, safari hii watasema Emunike hayupo, asiyekubali kushindwa..........🤩

  • @Kny-tn1mg
    @Kny-tn1mg 4 ปีที่แล้ว +4

    Timu zote nzuri.
    Hongera kutoka Kenya

  • @eddymtoro2778
    @eddymtoro2778 4 ปีที่แล้ว +14

    jamani mnaona kama mimi!! goli la pili naona kama badala ya kurukia mpira yeye kainama na kukaa chini

  • @user-ic5yl7mz4d
    @user-ic5yl7mz4d 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ball position kenya hatumo kabisa😂😂😂 hatujatulia
    Ball control hamna😂😂
    But congratulations to Kenya
    Coaches mfanye kazi muache uzembe

  • @Kelvin_njengak
    @Kelvin_njengak 4 ปีที่แล้ว +16

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twa twa

  • @digitalcyber8170
    @digitalcyber8170 4 ปีที่แล้ว +5

    They only concentrated on TZ's moves and passes, unaeza dhania Kenya hawakua na ball. Anyway ushindi ulikua wetu

  • @virussella9979
    @virussella9979 4 ปีที่แล้ว +11

    Hii timu ya wanawake inapiga mpira mtamu sana kuzidi wanaume watt wanapiga sambusa zenye nyama na iriki

  • @harunmugweru7002
    @harunmugweru7002 4 ปีที่แล้ว +10

    You can't get bored watching all this beautiful jewelries play and score great goals. Wanaenda mbali. Great future here indeed

  • @magnusbugingo7471
    @magnusbugingo7471 4 ปีที่แล้ว +7

    deonisia my lovely one forever

  • @mainagithambo833
    @mainagithambo833 3 ปีที่แล้ว +3

    Kenyan ladies are superb

  • @serahkalunde7440
    @serahkalunde7440 3 ปีที่แล้ว +8

    Proud of my fellow Kenyans,,,,how can I join you I'm good in this section.

  • @lakishatoili6479
    @lakishatoili6479 2 ปีที่แล้ว +2

    Nani yupo hapa from Kenya na confarm to

  • @ameeraaljassim4138
    @ameeraaljassim4138 4 ปีที่แล้ว +3

    Wote wako sawa hapo ilikua simchezo from kenya

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 4 ปีที่แล้ว +6

    Comments are interesting twa twa mpaka viwanjani

  • @aminkeyali3854
    @aminkeyali3854 2 ปีที่แล้ว +1

    harambe star well play i am so happy for our lady extremely fantastic

  • @georgemwendwa1520
    @georgemwendwa1520 3 ปีที่แล้ว +2

    Hawa wawili (commentators) ni wabinafsi sana

  • @brodricksbaruni3645
    @brodricksbaruni3645 3 ปีที่แล้ว +3

    am proud of country kenya big up

  • @neymarkkinyua8421
    @neymarkkinyua8421 4 ปีที่แล้ว +1

    TWA! Ball ya kwanza.TWA ,ball ya pili ,Tanzania wakazaa.Kenya forever na sihamii

  • @jmidunga82
    @jmidunga82 4 ปีที่แล้ว +5

    TWA!!TWA!!

  • @dadysteve9096
    @dadysteve9096 4 ปีที่แล้ว +7

    Congratulations harambee starlets

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud 4 ปีที่แล้ว +7

    Daaaah nimeumia kishenz

    • @dhakomodherooherokoko6037
      @dhakomodherooherokoko6037 4 ปีที่แล้ว

      Na bado.....tuliwapiga Afcon tena tukawapiga kwenu...heshima ya mpira idumu.

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 4 ปีที่แล้ว

      Ibrahim Were umesahau kuwa umetolewa CHAN wapi eti??

    • @saheelameir4313
      @saheelameir4313 4 ปีที่แล้ว

      Mm mzanzibar funga hao watanganyika 100

    • @jayramadhan4584
      @jayramadhan4584 4 ปีที่แล้ว

      @@mnzavachris5423 chan ilikua penalties hamuku wafunga kwenye 90 mints

  • @ibrahimomary8484
    @ibrahimomary8484 4 ปีที่แล้ว +8

    Wanao sema awa mademu wazuri kuliko wanaume uyo fara

    • @mudmohamed6911
      @mudmohamed6911 3 ปีที่แล้ว +1

      Nikweli mademu wanazidi wanaume kwani uwongo fatilia mechi utajua

  • @chinuruhchinuruhbae2254
    @chinuruhchinuruhbae2254 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawa commenters ni wabinafsi sana,,but kubali tu we are de best

  • @peterotieno3992
    @peterotieno3992 11 วันที่ผ่านมา

    Hii game Kenya walicheza vibaya

  • @allanmwangi4843
    @allanmwangi4843 6 หลายเดือนก่อน

    Big congratulation to a girls for making Kenya proud

  • @abdallaahmed9032
    @abdallaahmed9032 4 ปีที่แล้ว +4

    Viva Tanzania 👍👍👍👍👍

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Kenya twastahiki kushinda, Tanzania wametuzoea vibaya mda mrefu sana

  • @r..6842
    @r..6842 3 ปีที่แล้ว +4

    Kenya tunakalianga hao watanzania sana 😂😂

  • @Josephmakokha-pn9mu
    @Josephmakokha-pn9mu 8 หลายเดือนก่อน

    Congratulations 👏👏👏👏 Kenya proud of being a Kenyan citizen by birth much love.

  • @rarefootball10
    @rarefootball10 2 ปีที่แล้ว +3

    These are biased highlights. Kwani Kenya haikua na attacks before wapate mabao"?

  • @nooornoor120
    @nooornoor120 9 หลายเดือนก่อน

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 hongera❤❤❤❤❤

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 4 ปีที่แล้ว +3

    Haaaahaaa safi sana nmefurahi mno

  • @luigipellegrini9221
    @luigipellegrini9221 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa kandanda wajaluo ndio hubeba Kenya ❤

    • @mylekaka4630
      @mylekaka4630 2 หลายเดือนก่อน

      Luhya and luo

  • @user-vm9me9jr5n
    @user-vm9me9jr5n 6 หลายเดือนก่อน

    Congratulations kenya imeenda hiyo tumebeba

  • @fredgomes8639
    @fredgomes8639 3 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe kenya women kwa football ni wazuri.

  • @aliimwasiri2764
    @aliimwasiri2764 4 ปีที่แล้ว +2

    Pengine wawashinde kwa kudanga ila kimpira aaahhh subuuutu

  • @stvkun8438
    @stvkun8438 4 ปีที่แล้ว +2

    Luv 2 b a Kenyan indeed

  • @jamesmulwa1137
    @jamesmulwa1137 8 หลายเดือนก่อน +1

    Suluhu daughters wamesuluhiswa

  • @richardjuma7584
    @richardjuma7584 4 ปีที่แล้ว +1

    Good luck and congratulations starlet

  • @canon5059
    @canon5059 8 หลายเดือนก่อน

    Jez ya Kenya nayo huwa top notch. Nimeona ya Tz inakaa kws😂

  • @zakiazubery2055
    @zakiazubery2055 4 ปีที่แล้ว +3

    Gaucho ni mchoyo sana

  • @saint_j7263
    @saint_j7263 4 ปีที่แล้ว +15

    Tunafanyaje sasa ndo washachukua shemeji zetu😭😭😭😭😭

  • @EvansMzito-xt4zj
    @EvansMzito-xt4zj 7 หลายเดือนก่อน

    Mpira mzuri kweli 🔥🔥

  • @davidongeng3631
    @davidongeng3631 4 ปีที่แล้ว +1

    These young ladies are great

  • @DaughterofUbuntu1988
    @DaughterofUbuntu1988 3 ปีที่แล้ว

    Nithamu chaii, anyways proudly Kenyan

  • @benmzuri
    @benmzuri 4 ปีที่แล้ว +6

    THIS TEAM IS THE TRUE HARAMBEE STARS. NOT STARLETS. That name diminishes their power. They are more powerful than Kenya Mens Team.

  • @danielodongo2417
    @danielodongo2417 8 หลายเดือนก่อน

    Amazing keep the good work❤❤❤

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172 8 หลายเดือนก่อน

    1981 Kenya iliwafunga Tanzania Final kwao . 1982 Kenya ikawafunga Uganda Final kwao . 1983 Kenya ikawafunga Zimbabwe Final Nairobi .

  • @listerkongola6872
    @listerkongola6872 4 ปีที่แล้ว +3

    Simuelewi kocha wetu,kwanini alibadilisha kikosi kilichocheza kwenye makundi??? Tukakoswakoswa na Uganda,tumekuja fungwa na Kenya! WHY CHANGE A WINNING TEAM???

  • @jacobomondi6471
    @jacobomondi6471 7 หลายเดือนก่อน

    Congratulations Kenyan ladies

  • @dribros3754
    @dribros3754 4 ปีที่แล้ว +3

    Kwani team ya kenya hawakai wanawake hata hawana titi

    • @josephwafula7558
      @josephwafula7558 3 ปีที่แล้ว +3

      Ni mavazi rasmi ya soka siyo kuingia uwanjani Na sindiria kucheza soka!

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว

      Ndio maana wamewabaka wenzao!!

    • @azmanaman5503
      @azmanaman5503 3 ปีที่แล้ว +1

      hata wewe uko na recism

    • @peterchege6657
      @peterchege6657 2 ปีที่แล้ว +1

      Nimegudua hivi majuzi kua tz katika mechi za riadha wao hushida diamond na Platinum 😂😂😂😂😂

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 2 วันที่ผ่านมา

    Kenya hatuingei mengi ila vitendo

  • @mohamedalawy6172
    @mohamedalawy6172 8 หลายเดือนก่อน

    Mechi hii inanikumbusha Final ya Senior Challenge Cup 1981 Kenya ikiifunga Tanzania moja bila uwanja wa Taifa Dar es Salam mfungaji James Jacaranda Ouma . Timu ya Kenya ikiwa na wachezaji kina Mahmoud Abbas , Hussein Kheri , Peter Otieno Bassanga , Bobby Ogolla , Josphat Murila , Sammy Tabu , Aggrey Evayo , Wilberforce Mulamba , James Ouma , Nashon Mahila

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 3 ปีที่แล้ว +1

    Kenya is not a joke

  • @luigipellegrini9221
    @luigipellegrini9221 2 หลายเดือนก่อน

    Samia Suluhu must be fuming at this 😂😂😂😂

  • @mohammedalimohammed9322
    @mohammedalimohammed9322 8 หลายเดือนก่อน

    Ww mtagazaji wakike hana mana huchocheya tu kazi yke😊

  • @mubecomedyofficial7720
    @mubecomedyofficial7720 2 ปีที่แล้ว +2

    kama uko hapa ju a national anthem ya kenya tujuane

  • @kahindisimba8406
    @kahindisimba8406 6 วันที่ผ่านมา

    Hata iyo taida stars wanaitambua harambee sisi ni wale wabaya

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 3 ปีที่แล้ว +1

    Kenya tanzania uwani nduggu

  • @davidmanyasa5848
    @davidmanyasa5848 3 ปีที่แล้ว +1

    Kitu mnatushindia ni kiswahili tu

  • @kensimiyu5926
    @kensimiyu5926 8 หลายเดือนก่อน

    Kenya pongezi ijapokuwa watanzania majirani wapenndeza muno

  • @user-lp7dq3hf1p
    @user-lp7dq3hf1p 8 หลายเดือนก่อน

    Good job ladies🎉

  • @sammynjuguna9658
    @sammynjuguna9658 3 ปีที่แล้ว

    Uyo namba 10 ni kuoa tu

  • @marienicholus6528
    @marienicholus6528 4 ปีที่แล้ว +1

    walikiona kweli, walijua kweli samaki harusingi reverse

  • @bobtalksseries650
    @bobtalksseries650 4 ปีที่แล้ว +1

    Twa TWA Twa nation ...uzito

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 4 ปีที่แล้ว +7

    Inauma lakini itabidi mzoee

  • @judaspantaleo9779
    @judaspantaleo9779 4 ปีที่แล้ว +3

    Refer was not good in the final that's why Tanzanian team has became the desprined team in the tournament

  • @peterkyalo8569
    @peterkyalo8569 7 หลายเดือนก่อน

    Nice to kenya

  • @Ochieng-eh3hg
    @Ochieng-eh3hg 8 หลายเดือนก่อน

    Wonderful

  • @jafarali2372
    @jafarali2372 3 ปีที่แล้ว +1

    We are winners mpaka kwao.ile kitu wanaeza tushinda nao ni uchawi tu

  • @RajabuMajidi-lm7gv
    @RajabuMajidi-lm7gv 8 หลายเดือนก่อน

    Aisee refarii alikuwa upande wa Kenya bila kificho kabisa na alidhamiria Kenya awe bingwa

  • @njerunjiru609
    @njerunjiru609 7 หลายเดือนก่อน

    As part of EastAfrica integration They should have only sang East African Anthem.

  • @MARK-nh4hx
    @MARK-nh4hx 3 ปีที่แล้ว +1

    Kiwanja high class napongeza tz pia kazi nzuri cameraworks...Kenya hatujafika hapo...hongera TZ.

    • @Excuvation04
      @Excuvation04 2 ปีที่แล้ว +1

      Unless haujui Kenya

    • @peterchege6657
      @peterchege6657 2 ปีที่แล้ว

      Sasa hiki n kiwaja Cha kulingia😂😂😂😂

  • @valaryawour6016
    @valaryawour6016 3 ปีที่แล้ว

    Wao

  • @hodanmohamud9880
    @hodanmohamud9880 3 ปีที่แล้ว

    woman soccer kenya vs men Kenya play International friendly stadium

  • @mediacare6744
    @mediacare6744 2 ปีที่แล้ว

    WaTZ wamejaa maziwa daa!

  • @wonjadenno974
    @wonjadenno974 4 ปีที่แล้ว

    wanacheza ngoma ya NASA TIBIM tanzania wametii

  • @evarlynekemboi1887
    @evarlynekemboi1887 3 ปีที่แล้ว

    Waaaaaoooo

  • @peterwaywela896
    @peterwaywela896 4 ปีที่แล้ว

    Wanacheza better than Harambee stars wanaume

  • @gideonobongo8641
    @gideonobongo8641 3 ปีที่แล้ว +1

    the tz keeper looks shady way he conceded the second goal

  • @johnMorris...4032
    @johnMorris...4032 2 ปีที่แล้ว

    Huyu commentator anafaa viboko😂😂😂🥲