Diwani ALIEZUILIWA kuongoza awasha moto kwa MAKONDA Kasulu

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 31

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe kuna watu wananyanyasa watanzania kwa sababu ya uongozi wao tu

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 5 หลายเดือนก่อน +1

    Naishauri serikali iunde tume ya chinichini kuchungunza ni mateso gani wanapitia wananchi kutoka kwa viongonzi wao

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy 5 หลายเดือนก่อน +1

    Vyombo ,bakuri, sufuria,vijikooo😅😅😅😅

  • @SamwelMsovela-nn8ci
    @SamwelMsovela-nn8ci 5 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda wesafi nduguyetu

  • @masoudmakoe561
    @masoudmakoe561 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi ngumu sana hii mahakama imetoa hukumu lakini watumishi wa umma hawaitambui arafu uje unizurumu kitu utegemee niende mahakamani nitamalizana na ww kimya kimya.

    • @JamaliOmary
      @JamaliOmary 5 หลายเดือนก่อน

      Hatar kweli inataka moyo

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂magu angeskia haya woteee wangesimamishwa yani Ni upuuziii tuuu 😂😂😂hii nchii Ina mambo ya ajabu kumbee et nchi ya amanii kumbe Kuna mikoa na wilaya zake n vijiji watu wanapitia magumu tena wananyanyaswa na viongonzi kabsa

  • @sigurdsonmathias4562
    @sigurdsonmathias4562 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna mwamba mmoja hapo chini anapambisha moto huyo 😂😂😂

  • @MabalaMasanja
    @MabalaMasanja 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda.hongela,sauna.

  • @raphaelsanya2600
    @raphaelsanya2600 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mgurugezi ametufanya Chaka hahah what country is this

  • @ChemchemiRecords
    @ChemchemiRecords 4 หลายเดือนก่อน

    Ila Makomda hii siyo kazi ya muenezi💀

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu inaonyesha Kabisa ni mkimbizi sio raia Watz akichomekea kwa mwamvuli wa ccm Kama wengi wengine .

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 5 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii imeficha mengi.
    Neno langu jamani
    Dunia ni historia baas kila mmoja awe historia nzuri kwa watu

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 5 หลายเดือนก่อน

    Nimesikia sauti za baba levo kwa wingi

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 หลายเดือนก่อน

    Walio na ziro wapo madarakani mama Samia agalia Hilo nakuomba kwa hisani yako

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 หลายเดือนก่อน

    Hao ndo wanaochaguliwa kwa kujuana so kwa kusoma,nyau kweli

  • @user-ih1sh4rs1y
    @user-ih1sh4rs1y 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂ila waha jaman

  • @user-or2wp7ss6j
    @user-or2wp7ss6j 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mama fukuza hawa

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 5 หลายเดือนก่อน

    uhamiaji wamekuwa natabia yakutumbua laiya doto delecawao ngalama niwengine mkuu nitatizo makakala kazi anayo

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 หลายเดือนก่อน

    Dada kigerenza chako nyokooo

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 หลายเดือนก่อน

    Watoto wetu wamesoma sana ila Hana watu madarakani wanaojuana,wapo wanasota nyumbani Hadi wanaenda kufanya kazi za ndani uarabuni

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe Afisa Uhamiaji ni zuzu huna Akili. Pumbavu sana. Unatakiwa ufukuzwe Kazi.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 หลายเดือนก่อน

    Muha umeutimba dada

  • @boramohamed3404
    @boramohamed3404 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda chukua kiti

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria shenzi ,Fisadi mkubwa.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria mchongo nini?

  • @user-bt7ki5pz9t
    @user-bt7ki5pz9t 5 หลายเดือนก่อน

    Uyujamaa ety ataukiningalia

  • @obinetmbena4570
    @obinetmbena4570 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna Muha mmoja apo ni mbeya

    • @user-dv4be8pp2y
      @user-dv4be8pp2y 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 NIPO NAMSIKILIZIA HAPA

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna mwamba mnafiki sana apo chini eti hata ukiniangalia wewe mzee 🙆🏻‍♂️😀😃