Mshuhudie Paul Makonda Uone Kitakachotokea Hapa!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amepiga marufuku watendaji wa serikali wa mkoa huo kutoka nje ya mkoa bila kutoa taarifa kwake. Makonda amepiga marufuku hiyo wakati wa kongamano la tathimini ya hali ya miundombinu ya barabara za mkoa huo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar.
Kauli hiyo ya Makonda imekuja baada kukosekana kwa watendaji ambao walitakiwa kuhudhuria kongamano hilo kwa madai kuwa wako nje ya mkoa kikazi huku waliobakia wakishindwa kueleza kuwa wapo kwa ajili ya kazi gani.
” Kuanzia sasa hakuna mtumishi wa mkoa huu kutoka nje bila kutoa taarifa hata kama ni kazi ya wizara gani lazima mtoe taarifa, kumekuwa na tabia ya watu kujitengenezea tu safari ambazo hazijulikani wakati hata rais wetu alishazikataza,” alisema Makonda.
hongera sana makonda....!!!! chapa kazi. nataman wakuu wote wa mikoa wangekuwa wachapakaz wa aina yako.......!!!!!
Haya yako wapi
Hongera baba makonde mungu aendelee kukulinsa nakumbuka babawetu magufuli mungu amulazepahalipema
Wallah m natokea KENYA but nafatilia sana habari zako muheshimiwa makonda.kazi yako safi. Mungu akulinde
unataka barabara nzuri au unataka vyeti?wwe unataka vyeti utatembea juu ya vyeti?🙌piga kazi makonda wangu👏
makonda nakukubali sn unachofnya hua wa5anzania wengi hawan huo ujri play ure part makondà
tuache kufcha hili limakonda liko vizuri lina travailler bien vraiment
Kati ya watu wa muhimu katka Taifa la Tz ni huyu mkuu wa mkoa, blessed mkuu
Ulikuwa vizur baba k tunakukumbuka ati wengine ufe ndo wakusifie jaman mungu akuongeze baraka na family yako
Safi sana makonda mama akurudishe tena uwe wazirii mkuu 2025. Ila ungemsikiliza huyo muheshimiwa ndyo umuhukumu hata kama alijaribu kukurubuni mpe nafasi ajieleze. Ila upo vzri next prime minister.👏👏🙏🙏
Asante Sana makonda
nampenda sana makonda piga kazi baba tuko nyuma yako hiyo kauli ni nzuri sana wanaotaka kujipasua vichwa wajipasuetu we songa mbele
Dah, piga kazi mkuu wa mkoa wangu mimi nakukubali sana kutokana na upigaji kazi wako, hill zoezi liwe endelevu lisiishie hapo tuu.
Swadakta Mkuu wa mkoa!wewe ndie kiongozi tuliekua tunakusubiri kwa muda mrefu。
InshAllah kwa uwezo wake Allah atatujaalia
Asante kaka makonda piga Kazi waache watu wabaki na majungu yao
very nice makonda, ha ha ha ha aaa arongwi mtu piga kazi kaka wenye chuki wapotezee tu.
Sasa ww makonda, hapo Mheshimiwa Ruge anakujaje!? Na kama katumwa we umechukua hatua gani!? Taja na hao wengine bac,,, mbona umemtaja tu Mheshimiwa Ruge,,?
We upo tu kisiasa na Kiki za social media tumekuchoka huna jipya
inapendeza muheshimiwa Makonda.Endelea utazidi kufanikiwa.Ziba masikio.
Mungu akubaraki makoda
uko vizur sana makonda duniani huwezi kupendwa na kila mtu hao niwachovu wasio penda maendeleo chapa kazi kakaaa
Huyu ndie kiongozi aliyeteuliwa kupitia mikono ya Mungu PMakonda karibu tunakupenda sana si kwa sura ni kwa Utendaji kazi wako na kuwasaidia Wanyonge Mungu atakulinda chapa kazi
Piga Kazi MWANANGU MAKONDA achana na wababaishaji .Wasikutishe kwa maneno Mungu ndiyo jibu kwa kila jambo.
Hongera makonda ilitakiwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani ili uwatumikie watanzania wote hongera kwa misimamo isiyo yumba
Mi makonda, sijawahi kuona ubaya wake. For me hata kama angekuwa mkulima hana hata darasa la saba kama anafanya kitu kinachohitajiwa na jamii na tunaendelea is better kuliko profesa mwizi mwizi tu na hakuna maendeleo yoyote anayoleta.
Ni kweli Mh. Makonda ni mchapakazi.. Hana Baya..ni mfumo tu
Makonda 2024
Kaka Mungu akutangulie upo vzr sana
Vizur sana makonda.ukweli una mweka mtu kuwa huru.
namkubali sana my brother nikiongozi hasa wakuigwa
Na sifa zote hizo ulizompa leo ameshitakiwa mahakama inamsubiri
Kazi iendelee hahahahaha hii ndo Tanzania yetu
Namuoana Diwani wangu Mzee Haroub wa makumbusho....kazi nzuri sana kiongozi wetu,,,pigana tujengewe barabara nzuri., ila sijakusikia katika issue ya Team Lipumba Vs Team Maalim.
Kwan waliofukuzwa kwa ajili ya v yeti w alikuwa hawafanyi kazi pumbavu sana uonevu tu
wanaomponda Mkuu wa mkoa mh Paul Makonda ni Lofa tena ni Mpumbavu tunapambana na kuboresha miundombinu harafu mijinga isiyokuwa na haya inazungumzia Vyeti Naichukia sana mipuuzi haya
Mungu akulinde sana mkuu katika kazi zako.Tenda haki tu.
anaetaka cheti. aje achukue hapa kliniki vimejaa sana
Hongera sana mh makonda
Huyu ndiye makonda tunayemhitaji kuwateteawwanyonge tumbuwatumbuwa iendelee🇹🇿
nashukuru kwa kunitusi ndugu yangu mimi nimelelewa vyema na famili yangu wewe tu ndio umelelewa kishetani umezea mitusi kwa wakubwa hiyo ni moja ya laaana kwako
hongera sana mkuu wa mkoa piga kazi hakuna kuangalia sura.
Safi sana mukuu wee ni jembe hapa kazi tu hao wakandalasi inatakiwa waende kwa viboko
Kazi ipo...
Mi ni ukawa lakin utendaji wa mamb kama haya kwa mh makonda namsapot bila kujali mapunguf mengine cz asiposemwa kwa mabaya mtu atasemwa kwa mema
god Simba mwenzangu
Calvin Morgan Safi kakaangu maendeleo hayana Chama.
Big up sn kiongozi
Nashukuru sana
Kaz kaz makond
Hakuna kitu muhimu kama performances kwenye kazi. Elimu bila performance ni bure, lakini performance bila elimu ni nzuri zaidi. Lakini vyote viwili ni muhimu, na Mh Makonda anavyo. Big up!
piga Kazi kaka mkubwa ufi Wale ulogwi. Mungu yu upande wako
Munizi
Pao
Leah Eddy kaka Fanya kaz
piga kazi mimi nakuelewa sana mkuu wa mkoa makonda mchana watasema usiku watalala walio soma wenyewe badala yakutusaidia wanataka mpaka tuwape rushwa kwanza ndio wafanye kazi inauma sana yani
❤
Hapo ulikuwa sawa kabisa
Wewe ni Rais ajae Ndugu yangu aisee kwa sasa naweka bando baada ya Mzee wangu Magu aisee Kwa sasa wewe ni Mwenezi na Kazi unaupiga mwingi sana
Sana mweshimiwa makonda piga kaziiiiiiiiiiii
Makonda mi namkubali Sana anajua jinsi ya kuongoza respectful mister wabongo mnataka mafanikio kilaisilaisi ndomaana tunaibiwa hata na madini kwakupenda slope
Makonda Fanya kazi yako
Pambania hali zetu tuna pata shida sn wakazi Wa airpot Barbara zate mashimo mashimo had kero usiombe mvua inyeshe
pemba
Makonda ni jembe sana,watu tu waTanzania hawana shuklani ya kile wanachokitaka.huyu ndugu ni mtenda kazi mzuri sana,anatenda vyema
Inaonekana hivyo.
Japo swala LA vyeti limebaki gizani,pia nimeskia kwenye daladala eti unajituma ili awamu ijayo uteuliwe uwaziri mkuu,nasema Kazi njema.
wakalishe kt moto
Co kama co mchapa kaz wachapa kaz wako weng zaid yake na wametolewa
wanafunzi wachaf
Jeuri yako Mungu amwalipia, sasa imekula kwako.
Boss, Njoo unijibu: jamaa karudi kwasababu ya"SALA YA TOBA" au sisitimu ndo mpaka mwamba katoboa?
sasa sijui bado yuko hai arudi ajibu tena kija.karudi.mzigoni❤😂
Nimekupenda bure makonda simamia kazi vzr watu wanaotesha vitambi hawawajibiki
Pastor chria
Mpambanaji Mungu atakulinda
nimekukubali Baba Uko Vizuri Sana
Twanga KAZI Mh.Makonda
Daaaaah, what a personality!!
Makonda Piga Kazi Achana Na Wanafiki
duuh nishidah san han ata lestning skill and jugmnt anlysis koz anaingilia spech ndyo maana kam wanazozona vle hiii ni 0 brain
Watu awaitaji mapenzi ,watu tunaitaji mtoto,chapa kazi makonda wangu Allah atakulinda kwa jicho la 3
Piga kazi babangu piga kazi ww ni jembe la nguvu Nataman sana had mikoani watumbuliwe maana madiwani mikoani wazembe sana Chapa kazi babaaa nakupenda sana
Mungu wajalie Hekima nabusara viongozi wote Tanzania,
Wasomi wanapigwa maswali na mtu asiye soma na msomi hanamajibu
Hiv hapo nani kilaza sasa
hao wanaosema huna vyet ndio waliotufikisha huku na vyet vyao.mafisad wakubwa hao piga Kaz makonda
Woote
Nataman awamu hii ya pili ya Jpili Magufuri apate nafasi tena maana mchapakazi sana kma upo sawa na mm gonga like twende sawa
Kazi yako nzur Sana jaman
WATANZANIA ELIMU NDOGO SANA WAPO NYUMA KIMAENDELEO WIZI NA DHULMA NO 1
sio siri nampenda sana makonda sana kwa utendaji wake wa kz ila sisi watanzania atuna shukurani
Mis you daddy
mh kuu wa mkoa .nakupongez sana tupo pamoja kama kijana wako
Sijajutia mb zangu nimepata kitu nzuri endeleen kutupa vitu nzuri nzuri kama hii
mh p hufi hurogwi pigania haki mungu yupo nawe mungu akubaliki sana mh P
Kwenye hili la barabara hapo nakusifu ..barabara inajengwa miezi miwili tuh ,mashimo mashimo imeshachimbika yoooote ..kwa kweli wamezidi jamani
Uko vizuri sana kaka
kwani hawa watu mnawatoa wapi mpaka mnawapa kazi?....tanzania mbona inakua nchi ya mambumbumbu tu..dah kweli inaskitisha,inaonekana hawa watu wanapeana kazi bila ufanisi
Nimependa maamuzi yako makonda mungu akupe afya njema
Hongera makonda kwamamuzi yako
Dah maisha bhana
makonda bola mungu alivokuteua ww maana Wana zinguwa
piga kazi mh...... hao wanao dai vyet ivo vyeti ndo vingekuja kufanya yote ayooo......... tetea haki baba
Piga kazi baba
Rizzy Ramadhan piga kaka kaka
Kamanda Makonda
Piga kazi!! Makonda.Majungu waachie wanawake
Piga kazi mkuuu
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee watanzania ukiwafanyia kazi nzuri utaambiwa anamasifa ila ukiwafanyia kazi bibaya watasema hajuilolote/hana akili
N:B kaa na akili kaa na maskini
That's very good my DC. I love you for this.
Makonda kaz yako njema mungu akubariki, mungu akupe hekima na maarifa, endelea kumtumainia yeye
Makonda Mungu Akutunze Daima wewe ni Kamanda yaan Bregedia mkuu sarute Sana 🙏🙏🙏
piga kazi kijana. wanaokusumbua ni kama wanakupunguza mwendo. ulishaendesha gari, kama likishamaliza mlima kwenye tambarare linafanyaje?
good Sana tukiwa na viongozi Kama Hawa Tz itakuwa Bora.
Nabii ni nabii hata kama hakubaliki kwao
Jamaa hajasoma na hana vyeti ilankazi anazo fanya nikama kasoma
Ahhh kumbe nibora mtu asiye soma tu
kaz nzur mueshimiwa makonda
Haswaaaa makonda. Yukosawaaa haijalishi kma wabaya wake wanadai ishu ya vyeti at I vyeti vinaongozwaaa
asante sana mkuu
Heti inatia kinyaaa, kauri gani ya kiongozi, kweli ulifanya jeuri, hapo ndo mnakosea kukosa ustarabu ziro .
nyinyi mnae dai vyeti mmelaaniwa na washilikina kwani ofisini kwake hamajui wehu nyinyi
Saidi Meshack Fuck you
Charles Ased ,hii nimeifuta isiingie kwenye hansard ya social media
Fuck u too and toooooo
bila shaka huna hata cha kipaimara
Saidi Meshack ok pow
du 🤔🤔🤔kweli makonda kazi ulifanya kwa weredi na pesa umepiga sana unazo mpaka leo, ila kwenye maamuzi yako kwa wafanyakazi wenzio ulijifanya mungu mtu mwisho wa siku ukavuna ulichokipanda na kurudi mtaani ulikowapereka wenzio, pole sana kwa hilo japo unapesa ila nazani imekuwa fundisho🏌️🏌️🏌️🏌️🛌🛌🛌🛌
LETE CHETIIIIIII BOYA WEWE MFUMULIWA MARINDAAAAAAAAAAAAAAAAA
Zima moto Style, maneno mengi ufuatiliaji wake ni F. Agenda na nia ni nzuri, utaratibu hakuna. Mabadiliko yatakujaje? Maneno yametujaa wabongo kuanzia viongozi mpaka wananchi.
piga kazi muheshimiwa Makonda
duhhh chet tu ndo kitakukwamisha usiwe rais
Noo good makonda
uko vizur baba ila unavyomjibu hiyo moja kwamoja kuwa huna kazi anaweza akazimia kaka maisha magum
Makonda Ni mtendaji. Kazi nzuri sana.
Magufuli wa Pili. Gombea Urais. Kura yangu unayo.
Uko vizuri muheshimiwa wangu nakukubali sanaa
Safi kabisaaa
MAKONDA mi sana cha kusema ila unanikonga sana nyoyo! kaza kaza ukicheka Cheka umekwama! tunakuelewa sana, PIGA KAAZIIII
Pigs kazi
its not fair boss..ndomana kuna defect liability period la sivyo wakandaras wote wangefukuzwa
Makonda kazi kazi
Simamia haki ,piga kazi big up