TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ส.ค. 2023
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan leo August 08 ametembelea banda la Asas Dairies kwenye Kilele Cha Maadhimisho Sikukuu ya kimataifa ya Wakulima Nanenane yaliyofanyika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya ambapo ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na kampuni hiyo katika kuinua sekta ya Ufugaji.
Akiwa kwenye Banda Hilo, Mhe. Rais Samia amepokea Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asas Ahmed Salim ambapo ametembezwa na kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa.
Aidha Mhe. Samia amepongeza uamuzi wa Kampuni ya Asas Dairies kuipatia Serikali Ng'ombe Mmoja wa kisasa wa mbegu kwaajili ya Mradi wa Vijana kupitia programu ya wa Build Better Tomorrow, Mbuzi 110 wa nyama na maziwa.
MAMA SAMIA SHE IS UNDERSTANDING,LISTEN HOW SHE RESPONDING WHILE AHMED ASAS EXPLAIN ABOUT THOSE TYPES OF COWS AND GOATS.....SAMIA SULUHU HASSAN OEE......
napenda kazi hiyi toka BURUNDI👌👌🙏🙏❤❤💯
Well explained hiyo ni mbegu gani
tena
nani amenotice mkurugenz anavotumia maneno ya kitalam mama anaitikia tu mm mmm mm mmmm😅😅😅
Hongera Kwa maziwa ,,Ila kwenye upande wa Ku care maderva wako ni asilimia 0 kwa ukumbuke bila maderva pia kz zako haziwezi zikaenda jirekebishe broo
Ulega umeiona hiyo.....
Nimeiona mama😂😂😂
Safi sana
Milard ayo.. wanapatikana wapi hawa nataka nikanunue mbegu za boer
Mama anapenda ufugaji😊😊
Good work ASAS
Apo kwenye majike 30 hadi 50 mother kaguna😅
Hongera mama Kwa kutoa fursa Kwa watanzania wenye uhitaji wa kufuga. Nami sijui nitapataje hiyo mbengu ya Hawa mbizi wa gall
Tatizo Boer goats hapa nchini kwetu ni ngumu kuwapata em milad ayo waulize mimi naitaji.je?nikija kwao nauziwa pair ? Na ni bei gani?!! Nipo Kagera kwa sasa
mm namtaka huyo boer goat
GMO
Unaulizia mifuta tuu!😂
😂😂Majike 30 mpaka 40....noma
😂😂😂😂 mama tupe story za salim kikeke
Mama ntakuja unipe story za Salim .Mama Leo hii nimejua hobby yako
Boer goat's ni mbuzi bora na wenyefaida
Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa kuna watu kazi yao nikutukana tuu hivi unadhani haya matusi yatapita hivi hivi ?.....kila kitu kiandikwa na utasimamisha mbele ya Allah acha kutukana bora kukaa kimya
Jamani humu kuna watu wanatukana matusi mazito ! Afande muliro upo! Wakamateni kimya kimya muashuhulikie !!! Uhuru gani huu wakumtukana kiongozi wa nchi matusi mazito namna hiii!!! Jamani cyber crime wapo wapi! Au serikali imelalaa
Polisi wajiongeze ,hawa watu wakiwataka ni dakika 5 tu, Haiwezekani umtukane raisi ,tena mama tusi kama " kuma' ,yaani ata kama hukubaliani naye toa maoni mbadala ili tujifunze kutoka kwako .
Mama mafuta yamepanda petrol diesel mama pagumu wanao tunapita punguza mafuta angalau hata mwenye vtz aweze kumudu
Eti anaweza akapanda majike thelathini adi amsini 😂 apo rais kanunu tu uuumh😅
Vijana wa hovyo mmechukua hiyo tu😂
Yap nikwer broo kwaupande wangu tumechanganya mbuzi mmoja kwa majike arobaini
Kila ndiyo raisi Gani huyu
Tutapata vp hz mbegu ??
Safibsana hivi ndio tunavyotaka kupeana ushirikiano sio kubwaka tuu kama mbwa mtapata maradhi ya makoo kwa kusema uongo na kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli
Rais nakupenda ilaa GMO achana nayo
Kila Mtu Mama Kila Mtu Mama Sasa Inamana Chini Yake Viongozi C Wapo Na Wao Ndio Wako Kalibu Na Watu Wa Kila Kundi Raisi Kila Akienda Mabodigadi Sasa Shida Zote Atazijua Vipi Ndio Mana Amechagua Viongozi Wa Chini Yake Hao Ndio Wanapaswa Wapigane Zaidi Kwa Watu Wote
HUYO MMBWA TU C RAIS WALA NINI KIBARAKA WA MABEBERU SERIKALI MNAJIVUNJIA HESHIMA KWA KUMLINDA HUYO KIBARAKA
Kuwa na heshma kaka hata ww una mama akitwa hv utafurahi
Laa! Wakati mwingine hata Mimi Mama huwa simuelewi ila mwenzetu umeenda mbali sana hayo Matusi hata kama una stress ya maisha la! Kumbuka una mama, Shangazi, Dada! Matusi na chuki haziwezi kukupa nafuu ya maisha Mwombe Mwenyezi Mungu atakusaidia!
Ok ushatukana je tatizo lako lomeondoka? Bado unaendelea nalo matusi hayasaidii kitu
HUNA ADABU MSHENZI WEWE UWE NA ADABU NA RAISI WETU.
Huyo unayejitoa ufaham kumtusi si rais tu Bali pia Ni Mama yetu .
NINGEWEZA NINGEKUFUNGIA HIYO ACCOUNT YAKO MAAANA UNAKICHAA WEWE
Mbwaaa mwenyeooo na nguruwewee
Mama muza bandari huyo
Bandari zetu
Msiangalie tu faida ya kuuza, wa kienyeji ndio salama kwa afya ya watanzania. No to GMOs
Huwezi kukwepa GMO kwenye dunia ya leo mdogo angu, hizi zama sio 1940s wakati dunia bado ilikua na population ya billion 2 tu.
Shukuru kwanza!!!
Mengine baadae.....
ASAS angalalau wana moyo wa kutoa, wapo wangapi mbona hawatoi?
@@ME-kb8rk kuna faida gani yakushukuru poison. The issue sio asas tu, kuna wengine wengi tu.
ETI MWESHIMIWA KUMA KIBARAKA ANAWAPA MALI ZA WATANZANIA WAARABU NA ANAJENGA KWAO NYINYI MNALINDA MSHENZI TU
Hayo matusi unayo tukana yatakufikisha sehemu mbaya sana jee mama yako angekuwa nafasi hiyo jee ungekubali unajiamini sana
Ndugu sio ustaarabu huo kutukana matusi, zungumza jambo lako usitoe matusi
Majambazi wanakupa SoMo situka wote hao wapigaji
wamemuibia baba yako?! chuki tu.
Sasa kamer man mbon mshamb san unamchu rais t chukua n mifug tuione
Tuko vijana tunapenda mifugo tusaidie tufunge