TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ส.ค. 2023
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan leo August 08 ametembelea banda la Asas Dairies kwenye Kilele Cha Maadhimisho Sikukuu ya kimataifa ya Wakulima Nanenane yaliyofanyika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya ambapo ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na kampuni hiyo katika kuinua sekta ya Ufugaji.
    Akiwa kwenye Banda Hilo, Mhe. Rais Samia amepokea Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asas Ahmed Salim ambapo ametembezwa na kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa.
    Aidha Mhe. Samia amepongeza uamuzi wa Kampuni ya Asas Dairies kuipatia Serikali Ng'ombe Mmoja wa kisasa wa mbegu kwaajili ya Mradi wa Vijana kupitia programu ya wa Build Better Tomorrow, Mbuzi 110 wa nyama na maziwa.

ความคิดเห็น • 52

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 10 หลายเดือนก่อน +9

    MAMA SAMIA SHE IS UNDERSTANDING,LISTEN HOW SHE RESPONDING WHILE AHMED ASAS EXPLAIN ABOUT THOSE TYPES OF COWS AND GOATS.....SAMIA SULUHU HASSAN OEE......

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 8 หลายเดือนก่อน

    napenda kazi hiyi toka BURUNDI👌👌🙏🙏❤❤💯

  • @TheElly1976
    @TheElly1976 2 หลายเดือนก่อน

    Well explained hiyo ni mbegu gani
    tena

  • @Dunia129
    @Dunia129 10 หลายเดือนก่อน +4

    nani amenotice mkurugenz anavotumia maneno ya kitalam mama anaitikia tu mm mmm mm mmmm😅😅😅

  • @HamisHamza-uf6uz
    @HamisHamza-uf6uz หลายเดือนก่อน

    Hongera Kwa maziwa ,,Ila kwenye upande wa Ku care maderva wako ni asilimia 0 kwa ukumbuke bila maderva pia kz zako haziwezi zikaenda jirekebishe broo

  • @frankfaraja4767
    @frankfaraja4767 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ulega umeiona hiyo.....
    Nimeiona mama😂😂😂

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @binuqaasha675
    @binuqaasha675 2 วันที่ผ่านมา

    Milard ayo.. wanapatikana wapi hawa nataka nikanunue mbegu za boer

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki2066 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mama anapenda ufugaji😊😊

  • @erickmalamsha6938
    @erickmalamsha6938 8 หลายเดือนก่อน

    Good work ASAS

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako8551 10 หลายเดือนก่อน +2

    Apo kwenye majike 30 hadi 50 mother kaguna😅

  • @user-di5jr3wz2n
    @user-di5jr3wz2n 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama Kwa kutoa fursa Kwa watanzania wenye uhitaji wa kufuga. Nami sijui nitapataje hiyo mbengu ya Hawa mbizi wa gall

  • @athumanially712
    @athumanially712 15 วันที่ผ่านมา

    Tatizo Boer goats hapa nchini kwetu ni ngumu kuwapata em milad ayo waulize mimi naitaji.je?nikija kwao nauziwa pair ? Na ni bei gani?!! Nipo Kagera kwa sasa

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza6517 หลายเดือนก่อน

    mm namtaka huyo boer goat

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 10 หลายเดือนก่อน

    GMO

  • @godsonandwele5265
    @godsonandwele5265 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unaulizia mifuta tuu!😂

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂Majike 30 mpaka 40....noma

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 mama tupe story za salim kikeke

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mama ntakuja unipe story za Salim .Mama Leo hii nimejua hobby yako

  • @josephmbena611
    @josephmbena611 9 หลายเดือนก่อน

    Boer goat's ni mbuzi bora na wenyefaida

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi9592 10 หลายเดือนก่อน +1

    Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa kuna watu kazi yao nikutukana tuu hivi unadhani haya matusi yatapita hivi hivi ?.....kila kitu kiandikwa na utasimamisha mbele ya Allah acha kutukana bora kukaa kimya

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani humu kuna watu wanatukana matusi mazito ! Afande muliro upo! Wakamateni kimya kimya muashuhulikie !!! Uhuru gani huu wakumtukana kiongozi wa nchi matusi mazito namna hiii!!! Jamani cyber crime wapo wapi! Au serikali imelalaa

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 9 หลายเดือนก่อน

      Polisi wajiongeze ,hawa watu wakiwataka ni dakika 5 tu, Haiwezekani umtukane raisi ,tena mama tusi kama " kuma' ,yaani ata kama hukubaliani naye toa maoni mbadala ili tujifunze kutoka kwako .

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mama mafuta yamepanda petrol diesel mama pagumu wanao tunapita punguza mafuta angalau hata mwenye vtz aweze kumudu

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eti anaweza akapanda majike thelathini adi amsini 😂 apo rais kanunu tu uuumh😅

    • @mosseslazaro610
      @mosseslazaro610 10 หลายเดือนก่อน

      Vijana wa hovyo mmechukua hiyo tu😂

    • @josephmbena611
      @josephmbena611 9 หลายเดือนก่อน

      Yap nikwer broo kwaupande wangu tumechanganya mbuzi mmoja kwa majike arobaini

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 9 หลายเดือนก่อน

    Kila ndiyo raisi Gani huyu

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 10 หลายเดือนก่อน

    Tutapata vp hz mbegu ??

  • @bongo39
    @bongo39 10 หลายเดือนก่อน

    Safibsana hivi ndio tunavyotaka kupeana ushirikiano sio kubwaka tuu kama mbwa mtapata maradhi ya makoo kwa kusema uongo na kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 10 หลายเดือนก่อน

    Rais nakupenda ilaa GMO achana nayo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 10 หลายเดือนก่อน

    Kila Mtu Mama Kila Mtu Mama Sasa Inamana Chini Yake Viongozi C Wapo Na Wao Ndio Wako Kalibu Na Watu Wa Kila Kundi Raisi Kila Akienda Mabodigadi Sasa Shida Zote Atazijua Vipi Ndio Mana Amechagua Viongozi Wa Chini Yake Hao Ndio Wanapaswa Wapigane Zaidi Kwa Watu Wote

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 10 หลายเดือนก่อน +2

    HUYO MMBWA TU C RAIS WALA NINI KIBARAKA WA MABEBERU SERIKALI MNAJIVUNJIA HESHIMA KWA KUMLINDA HUYO KIBARAKA

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 10 หลายเดือนก่อน

      Kuwa na heshma kaka hata ww una mama akitwa hv utafurahi

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 10 หลายเดือนก่อน

      Laa! Wakati mwingine hata Mimi Mama huwa simuelewi ila mwenzetu umeenda mbali sana hayo Matusi hata kama una stress ya maisha la! Kumbuka una mama, Shangazi, Dada! Matusi na chuki haziwezi kukupa nafuu ya maisha Mwombe Mwenyezi Mungu atakusaidia!

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 10 หลายเดือนก่อน

      Ok ushatukana je tatizo lako lomeondoka? Bado unaendelea nalo matusi hayasaidii kitu

    • @SAM_163
      @SAM_163 9 หลายเดือนก่อน

      HUNA ADABU MSHENZI WEWE UWE NA ADABU NA RAISI WETU.
      Huyo unayejitoa ufaham kumtusi si rais tu Bali pia Ni Mama yetu .
      NINGEWEZA NINGEKUFUNGIA HIYO ACCOUNT YAKO MAAANA UNAKICHAA WEWE

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 9 หลายเดือนก่อน

      Mbwaaa mwenyeooo na nguruwewee

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 9 หลายเดือนก่อน

    Mama muza bandari huyo

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 9 หลายเดือนก่อน

    Bandari zetu

  • @coj7920
    @coj7920 10 หลายเดือนก่อน +1

    Msiangalie tu faida ya kuuza, wa kienyeji ndio salama kwa afya ya watanzania. No to GMOs

    • @joesimba
      @joesimba 10 หลายเดือนก่อน +1

      Huwezi kukwepa GMO kwenye dunia ya leo mdogo angu, hizi zama sio 1940s wakati dunia bado ilikua na population ya billion 2 tu.

    • @ME-kb8rk
      @ME-kb8rk 9 หลายเดือนก่อน +1

      Shukuru kwanza!!!
      Mengine baadae.....
      ASAS angalalau wana moyo wa kutoa, wapo wangapi mbona hawatoi?

    • @coj7920
      @coj7920 9 หลายเดือนก่อน

      @@ME-kb8rk kuna faida gani yakushukuru poison. The issue sio asas tu, kuna wengine wengi tu.

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 10 หลายเดือนก่อน +1

    ETI MWESHIMIWA KUMA KIBARAKA ANAWAPA MALI ZA WATANZANIA WAARABU NA ANAJENGA KWAO NYINYI MNALINDA MSHENZI TU

    • @bongo39
      @bongo39 10 หลายเดือนก่อน

      Hayo matusi unayo tukana yatakufikisha sehemu mbaya sana jee mama yako angekuwa nafasi hiyo jee ungekubali unajiamini sana

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 10 หลายเดือนก่อน

      Ndugu sio ustaarabu huo kutukana matusi, zungumza jambo lako usitoe matusi

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 9 หลายเดือนก่อน

    Majambazi wanakupa SoMo situka wote hao wapigaji

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 9 หลายเดือนก่อน

      wamemuibia baba yako?! chuki tu.

  • @ElishaJoakim-ir2qf
    @ElishaJoakim-ir2qf 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa kamer man mbon mshamb san unamchu rais t chukua n mifug tuione

  • @KEVINPHANUEL
    @KEVINPHANUEL 9 หลายเดือนก่อน

    Tuko vijana tunapenda mifugo tusaidie tufunge