MUHA WA KIGOMA AJIPATA KIMAISHA, ALIZAMIA DAR KWA MIAKA 30 KUTAFUTA MAISHA ''WANANIITA FREEMASON"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 238

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 หลายเดือนก่อน +90

    Kinachowafanya watu wa kigoma wafanikiwe. 1. Ni uvumilivu 2. Kutokuchagua shughuri ya kufanya. 3. Kutokuwa na aibu ya kazi wanayotaka kuifanya. 4. Kujituma 5. Kujishusha 6. Heshima 7. Kutojali kudharauliwa 8. Uaminifu 9. Ucheshi 10. Kuthubutu hata kama wataonekana dhalili. Nk. Ndio maana waha wameteka soko la nchi hii mpaka nje ya mipaka ya nchi hii. Muha mtafutaji sana, hana aibu ktk kazi yake. Wewe mcheke, mdharau lakini mpaka afikie ndoto yake. Hongereni sana WAHA.

    • @SudyKamonongo
      @SudyKamonongo หลายเดือนก่อน +2

      Hakika tupo vzur umenena

    • @glorysungura3180
      @glorysungura3180 หลายเดือนก่อน +2

      @@SudyKamonongo kweli kabisa kaka

    • @glorysungura3180
      @glorysungura3180 หลายเดือนก่อน +4

      Kigoma Oyeeeeee

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 หลายเดือนก่อน +1

      Amin amin❤

    • @AncillaHulilo
      @AncillaHulilo หลายเดือนก่อน +1

      Weweee tupo!!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +17

    Kaka yangu ninajutakia maisha marefu sana sana.
    Kwa ajili hiyo ninakupigia magoti ufanye mazoezi uache vyakula vya wanga kabisa iliuzito upungue ufurahie maisha yako bila kuwa na kisukari au Bp Na stroke.
    Kaka yangu unatuendeleza na unatupenda sana.Uwezo wa kula chakula kizuri unao,km mboga nyingi za majani za matunda,maharage ,nyama isiyokuwa na mafuta Sukari na ,vyakula vitamu mikate na vyakula vyote vya wanga achana navyo Ndizi za kupikwa sawa kaka yangu. Ninamuomba Mungu uishi miaka 100 na zaidi.Tunakupenda❤
    Ahsante home boy

  • @AbiudZachariaNgereza
    @AbiudZachariaNgereza หลายเดือนก่อน +19

    Kwenye hii interview nimefurahi sana kwani kwenye hiyo nyumba wakati inajengwa binafsi nilinufaika sana kwa kujipatia ujira, hongera sana kwake hakika ameleta mabadiliko makubwa kijijini kwetu, hata millard ayo kufika kijijini kwetu yeye ndo amekuwa wa kwanza kuwa mfano katika jamii yetu✊🇹🇿🤝 hakika yeye ni mtu wa watu , mfano wa kuigwa katika kijiji chetu cha Titye, Mungu amjalie afya njema na katika kufanikisha malengo yake maana amekua chachu ya maendeleo kijijini kwetu🙏

    • @MusaSelemani-x2c
      @MusaSelemani-x2c หลายเดือนก่อน +1

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongera kukumbuka nyumbani na unatufundisha sana kurudisha fadhili kijijini

    • @MikidadiMughuna
      @MikidadiMughuna หลายเดือนก่อน +1

      Kaka abi upo janani jilani yangu titye

  • @shashemuzyo4537
    @shashemuzyo4537 หลายเดือนก่อน +10

    Hapo karibu na kijiji kwetu murufiti.. watu wa titye wengi wamejenga kwao.. safi wa muhila

  • @JeanToyi-u6r
    @JeanToyi-u6r หลายเดือนก่อน +3

    Kwaukweli Mungu Ni Mwema Kwetu Sisi Tunao Jielewa! Big UP Kaka; Na Maisha Mrefu Kwako!..

  • @HumphreyLupembe
    @HumphreyLupembe หลายเดือนก่อน +13

    tuache kudharau watu jamani hiyo tabia siyo nzuri.Binafsi nakupongeza sana una ubinadamu sana na kuonesha njia ya mafanikio kwa sisi vijana Mungu akubariki

  • @pendokaaya-y5e
    @pendokaaya-y5e หลายเดือนก่อน +7

    huyu jamaa nilisoma nae chuo mtwara kipindi anafanya kazi ardhi ni mtu poa sana sanaaa , huyu mwamba alianza kujipata vizur pale ambapo bank ilivyo kodi nyumba yake ya kibada kwahyo mkwanja ambao analipwa na bank ni mrefu sanaaaaa kwahyo kupitia huo mkwanja ndo akawa anafanya hayo maendeleo na bado atarndelea kufanya maendeleo , na mwenyez mungu aendelee kumbariki kwa huu uwekezaj maana jamaa ni mtu poa sanaaa sanaaa ila kama watu wa jimbo lao huko kigoma watagundua mapema huyu jamaa wangempambania awe mbunge tu kwanza elimu anayo saiz na pesa anayo na anapapenda kwao naamin atawasaidia sana but kama unahasira na maisha huwez mwelewa jamaa utafikiria ni frimason na upumbavu mwingine huyu jamaa ukikutana nae nakulezea mwanzo mwisho pesa zake anapataje ni mtu poa sana mwamba mpeni ubunge nyie waha

  • @trillionthamani
    @trillionthamani หลายเดือนก่อน +2

    Proud to be "Ha" all the way from mwandiga but living sinza Dar.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq หลายเดือนก่อน +8

    Hongera sana mzee wangu mungu akuzidishie neema

  • @thomaskulikiza6811
    @thomaskulikiza6811 หลายเดือนก่อน +6

    Mzee wangu hongera sana kwa kutuheshimisha leo tunapaona nyumbani kupitia millard ayi

  • @JovinJosephat
    @JovinJosephat หลายเดือนก่อน +8

    Safi sana. Maisha hayahitaji kukata tamaa. Hata ukidharauliwa au kunyanyaswa usikate tamaa. Ni funzo kubwa kutoka kwa huyu baba

  • @TEHL727
    @TEHL727 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu Jamaa wa kigoma ua yupo Smart sana na kitu ambacho ua anakifanya bora aletwe palm village Nampenda sana🎉🎉

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana nimependa hii interview. Mzee yuko vizuri.

  • @sylvesterf.mbonimpaye1413
    @sylvesterf.mbonimpaye1413 หลายเดือนก่อน +8

    Anaweza asiwe tajiri sana lakn kwa maisha ya watanzania wengi assets zake zunatosha kumuita mtu aliyefanikiwa.
    Pili. Kwa sisi wanakigoma huyu ni shujaa kwa sababu kawekeza nyumban na kuwafumbua macho watu kwa sababu kuna watu walizipata mpaka wamekufa hawana hata kibanda kwao na vjjn washasahaulika.
    Mtu kwao

  • @MOUNTFIREGOSPELCHOIR-CHAMWINOI
    @MOUNTFIREGOSPELCHOIR-CHAMWINOI หลายเดือนก่อน +2

    My young daddy Mungu akubariki Sana, fanikiwa Zaid

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +1

    Glory Sungura hongera sana kwa hoja yako.Umesema ukweli kabisa🎉❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +1

    HongeraHongera sana sana kaka yangu
    Home boy.Wewe ni mpambanaji na funzo kwa vijana❤

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaa bingwa kubali kataa hongera sana dogo

  • @KisagaJohn-o6b
    @KisagaJohn-o6b หลายเดือนก่อน +4

    Ase TIYTE Kalibu na kijiji chetu NYENGE HAPO DUH ❤👏👏👏👏👏

  • @DanielJoshua-v7d
    @DanielJoshua-v7d 12 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndo role model wangu namkubali Sanaa

  • @ElizabethMartin-u1d
    @ElizabethMartin-u1d หลายเดือนก่อน +2

    Watu wataongea mengi ila cye tumeona jitihada zako japo ndo tulikua tunakua Mtaani Mzee tunajivunia wewe Hongera Baba

  • @RodrickBarack
    @RodrickBarack หลายเดือนก่อน +52

    Naomba waha tujuane hapa kwenye hii comment
    Tusikate tamaa🙏🙏

  • @MgasaEmanoeli
    @MgasaEmanoeli หลายเดือนก่อน +7

    Wachaga mnaindwa na mfumo
    Muha anabaguliwa na mfumo toka zamani
    Bila hivyo mchaga asingeingia hata kidogo

  • @MathewKaduma
    @MathewKaduma หลายเดือนก่อน +11

    Acheni duarau eti kagari jamani, ww unako hatakama unako zaidi ya Hy jitahidi kuwa na adabu.

  • @bertoldluambano7860
    @bertoldluambano7860 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa kama jina langu. Nahisi tunafanana Kila kitu. Kasoro umbo tu.❤😅😅

  • @ShafiiRashid-x9m
    @ShafiiRashid-x9m หลายเดือนก่อน +1

    Mungu yupo na Kila mtu anaejituma tufanye Kaz jaman

  • @LiberatusRaphael-be8hi
    @LiberatusRaphael-be8hi หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kka kwa atua nzuri

  • @Abdirealonce
    @Abdirealonce หลายเดือนก่อน +8

    First view ,comment,and like

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana หลายเดือนก่อน +2

    Big up baba Kirahumba kigoma mjini mzima

  • @bensongodfrey
    @bensongodfrey หลายเดือนก่อน +1

    Hongera san baba mungu ni mwma

  • @FridaMatanila
    @FridaMatanila หลายเดือนก่อน +1

    We kakaaaaa nakukumbuka sana pale wizara ya ardhi nje

  • @AluminiumMandela
    @AluminiumMandela หลายเดือนก่อน +3

    Mzee ni tajili,vijana tafiteni pesa acheni majungu mwenzenu ana utajili wa million 250 we unae msema umevimbiwa mihogo unawaza kumkimbia mwenye nyumba wako.mzee ni tajili sio amejipata

  • @BenardSambilo-h2h
    @BenardSambilo-h2h หลายเดือนก่อน +5

    Jifunzeni kumsikiliza mtu na kumuelewa nyie mnaobeza alijenga nyumba ya mama yake kabla hajajipata ulitaka amjengee gorofa wakati wengine tunamiaka kibao dar na hatawahi hata kujua bei ya uwanja.

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga หลายเดือนก่อน +4

    Kwakweli kaka umenitia nguvu🎉

  • @andrewkalubi3524
    @andrewkalubi3524 หลายเดือนก่อน +1

    Home boy yupo smart sana

  • @Jamila-c7k
    @Jamila-c7k หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mzee wewe ni bosi

  • @JaneAssey-x2f
    @JaneAssey-x2f หลายเดือนก่อน +3

    Eti wachaga wanaiga Muha😮 du nimasikitiko haitatokea wala kuzaliwa hiyo siku hata tulale miaka kumi bila kufanya kazi unatujua unatusikiaa😊

    • @Proches-wu8ii
      @Proches-wu8ii หลายเดือนก่อน +2

      Shemeji makasiriko ya nn, waha ni hustlers sana kuliko wachaga sema nyie promo iliwabeba🤣

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA หลายเดือนก่อน

      Wachaga tumuige muha duh sio kweli

    • @georgengadada2946
      @georgengadada2946 21 วันที่ผ่านมา

      @@Proches-wu8ii Aende Kariakoo, Au afanye reference ya Ajali ya Ghorofa iliyoanguka, Misiba Mingi ilikuwa Nyanda za juu kusini; Wachagga wana Historia nzuri na biashara ila kwa time hizi mambo ni tofauti

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu ni mwema kikubwa afya tuu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 หลายเดือนก่อน +4

    HONGERA SANA BROTHER UMETUWAKILISHA VIZURI WABONGO WA VIJIJINI. ONDOA HOFU WACHAWI WALISHASHINDWA PAMBANA SASA UKIZEEKA UTAKULA SAMAKI MCHEMSHO.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 หลายเดือนก่อน +2

    Inatakiwa mtu awe smart

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations muha

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana kaka

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana 🎉

  • @lullebolle808
    @lullebolle808 หลายเดือนก่อน +1

    Acha watuzarau Ila nasisi iko siku yet inshallah

  • @muslimmuslim512
    @muslimmuslim512 หลายเดือนก่อน +3

    Baba nimependa interview yako nakuomba kwa eshima Yako upunguze ulaji nyama nyekundu ili upadate kuwa na apya nzuli ili uendelee kufanya mambo mengi

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana wachu umenifunza kitu

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc หลายเดือนก่อน +4

    Huyo jamaa ni mfanyakazi wa serekeli huko dar, tena yuko ardhi

    • @FridaMagomba-lj4zc
      @FridaMagomba-lj4zc หลายเดือนก่อน +1

      Kajiendeleza Kisha kapata kazi wizarani - wizara ya ardhi si mchezo

  • @ngasakayeji8507
    @ngasakayeji8507 หลายเดือนก่อน +4

    2009-2021 alikuwa serikalini kwenye ajira alafu 2013 alikuwa anauza matunda na vocha mtaani cjaelewa kwakwl 😁

  • @oman-c7y
    @oman-c7y หลายเดือนก่อน +4

    Acheni dharau kwenye comment zenu.Tafuteni pesa roho za korosho haziwasaidii.

  • @Yangaza
    @Yangaza หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana🎉

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz หลายเดือนก่อน +3

    Watu wengi wanadharau kwao wakishakupata,

  • @RajabuNgole-s9k
    @RajabuNgole-s9k หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 หลายเดือนก่อน +4

    Ingomba ilike kusa😂😂😂😂😂😂😂

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli หลายเดือนก่อน

    Tatizolako unakula sana miaka 50 unaonekan mzee punguza kula bro

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +1

    Waha ni chapakazi🎉

  • @IsakoKino
    @IsakoKino หลายเดือนก่อน +1

    Mimi waha siwaamini kama wanatafta ki halali Hawa watu nihatari 😂😂😂😂

  • @AluminiumMandela
    @AluminiumMandela หลายเดือนก่อน +4

    Ni tajili anasitahili kuhojiwa

  • @kazikazicompany-yl6sd
    @kazikazicompany-yl6sd หลายเดือนก่อน +1

    kweli baba

  • @oman-c7y
    @oman-c7y หลายเดือนก่อน +3

    Kajitaidi sana tumpe hogera .sio kumkashifu

  • @dezideliusandrew2139
    @dezideliusandrew2139 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana

  • @PaulSitta-w8x
    @PaulSitta-w8x หลายเดือนก่อน

    Jaman jaman waha bado sanna yan kama nitilen nile ya magogo ila kwa waha una weza

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-Gwanko หลายเดือนก่อน

    KIGOMA❤

  • @JastinWiliam
    @JastinWiliam หลายเดือนก่อน +2

    Naomba naomba namba zake

  • @bakarially253
    @bakarially253 หลายเดือนก่อน

    Point kila mtu ajenge kwao sisi tutajenga kazuramimba. Mwijaku ametukimbia lakini hakuna shida sisi tutajenga tu

  • @GodriverKabelela
    @GodriverKabelela หลายเดือนก่อน +4

    Hongera shem mpambanji mungu aendelee kukubariki

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 หลายเดือนก่อน

    Apo kwenye wizara ya ardhi sina hakika sana kama viwanja vya watu vili😮😮😮😮😮😮

  • @godrickdutch3565
    @godrickdutch3565 หลายเดือนก่อน +3

    Acha kurudia maneno,nyooka Kama wenzako,unazingua,Acha ujinga

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 หลายเดือนก่อน +2

    Ila watu Wa TITYE 😂😂 sawa lakini niho atanwa kubhaka nakazi gasole

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +1

    Anasema ukweli

  • @zakiakusaja8603
    @zakiakusaja8603 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo marefu sana bwana

  • @taifateule8540
    @taifateule8540 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo ninavyofaham nikwamba mzee kafanikiwa ila nimwongo kama kauza vocha wakati simu zimekuja tz 2004+ sasa kauzaje nakaingia mda gani serikalini hadi kustafu?

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 หลายเดือนก่อน +3

    Mbunge au diwani mtarajiwa

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 หลายเดือนก่อน +1

    Hiv sahiv ukiwa na pesa kidgo to lazm uhojiwe na milady et😂😂😂

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 หลายเดือนก่อน +1

      @@ramajuma5620 Hii inasaidia kuwapa ujasiri wale wanaoanza kupambania maisha.

  • @JastinWiliam
    @JastinWiliam หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzl kujenga nyumban una hakili

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 หลายเดือนก่อน +2

    Warundi wajanja kuliko waha.hata kwa kutafuta pesa.

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu njama ameshiba kweli

  • @GeraldElias-s7j
    @GeraldElias-s7j หลายเดือนก่อน +1

    WAHA JUUUU 😂😂😂

  • @lizaeli6732
    @lizaeli6732 หลายเดือนก่อน

    We baba umenikwaza kwani murundi na muha kuna utofauti gani? wote ni mtu mmja baba

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 หลายเดือนก่อน +2

    😅😅Wapo wauni wameuza maembe na Machungwa miaka 50 , hivi mnatuonaje nyie Bakhereza na yeye alisemaga alianza kushona viatu😅😅 waambieni vijana Ukweli mnapataje pesa nyie

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 หลายเดือนก่อน +6

      Sio kila kazi itamtajirisha mtu. Kuna watu wanalipwa milion 20 kila mwez na bado wakistaafu wanarudi kuwa masikini wa kutupwa. Akili ya maisha na uthubutu ndio vitakufanya uwe tajiri na sio kiasi cha pesa unachopata

    • @dallasmusic6465
      @dallasmusic6465 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga HeLa ipo kwenye mipango na kuwekeza na kuzuia matumizi mabaya ya fedha.. Na kuwa na miradi mingi ya kuingiza HeLa sasa kama unapata HeLa huna mipango na kuongeza miradi utabaki hapo hadi kifo chako mm nimekuja mjini kama konda wa dala dala na Leo ni gar mbili za kutembelea duka LA simu na baba shop na nyumba na sijui hata njia za kwenda kwa waganga men's ni mipango tu so jiwekeze na kwingine usigande hapo 😂😂😂😂

    • @dallasmusic6465
      @dallasmusic6465 หลายเดือนก่อน

      ​@@rumdeesonsoa1811Akili kubwa mipango na kuwekeza uko sawa

    • @boazikibuyu7457
      @boazikibuyu7457 หลายเดือนก่อน

      Usimsahau na rugumi😮😢😅

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema1464 หลายเดือนก่อน +2

    Wachaga waige waha? Kweli hii kituko.

    • @neemamassawe8091
      @neemamassawe8091 หลายเดือนก่อน

      Woiii hata mm nmeshangaa😂

  • @amonalexander1513
    @amonalexander1513 หลายเดือนก่อน

    Point kubwa maendeleo yanaletwa na wazawa wenyewe

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 หลายเดือนก่อน +2

    2009-2021(upo kwenye ajira)
    2013 ulinyang'anywa vocha zako mbona umenichanganya??

    • @ngasakayeji8507
      @ngasakayeji8507 หลายเดือนก่อน +2

      Tupo wengi😂

    • @SubiraMhina-w7l
      @SubiraMhina-w7l หลายเดือนก่อน +1

      Hapo ni kabla hajaajiriwa hapo amezungumzia maisha ya nyuma huko

    • @j4amas5
      @j4amas5 หลายเดือนก่อน +2

      Amesema 2003 mkuu sio 2013

  • @DicksonMandalu
    @DicksonMandalu หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi uko vzr an kongole

  • @monicamaganga8681
    @monicamaganga8681 หลายเดือนก่อน +1

    Wahq washqmba me mnyamwezi namtafuta hyu mha anagari kama yangu crossroad mmm muha wewe kweli kiboko ila nataka nkuone mie kwetu urambo

    • @EzekielChija
      @EzekielChija หลายเดือนก่อน

      Acha ufara wanyamwez mnajiona af akuna kitu

  • @peterShaweshi
    @peterShaweshi หลายเดือนก่อน

    Uyo kaipa wanafanya kazi ofsi za ardhi ni hatari sana

  • @jacobpaulkiimbauganda9256
    @jacobpaulkiimbauganda9256 หลายเดือนก่อน +1

    MTU HADI ANAPATA KAZI SERIKALINI HALAFU MNASEMA KAHANGAIKA.... ACHENI UJINGA BWANA...KUNA WATU WANAKULA MSOTO NA SERIKALI HAIWAJUI...LEO HII MTU KALA SHAVU SERIKALINI NA HADI KASTAAFU HALAFU MNAMUITA MHANGAIKAJI? AISEE MNASIKITISHA SANA..

  • @AmarinoBahha-p7y
    @AmarinoBahha-p7y หลายเดือนก่อน +2

    Mpambanaji haswaaa

  • @Donrugi
    @Donrugi หลายเดือนก่อน

    Mwandishi kashindwa kumuuliza kwa kina Huyu Mzee wetu. Kulikuwa na mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwake.
    mwandishi anauliza swali ndani ua majibu kunacontent nzuri anaziskip😢 Mfano kasema anampango hadi wakujenga Zahanati mwandishi kaipotezea, Biashara ya mbao na milango ilikuwa fursa nzuri kuiongelea mwandishi kapotezea,
    Anyway kazi nzuri. Mungu aendelee kumfungulia huyo mzee 🫡🙏🙏

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 หลายเดือนก่อน +1

    Zaman na sasa bdo wapo wachawi

  • @MJOMBA888
    @MJOMBA888 หลายเดือนก่อน

    Ni vingi tu nimejifunza kupitia hii channel

  • @mwingwa4148
    @mwingwa4148 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mwamba sasa

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 หลายเดือนก่อน

    Muha ana kitu angekisema tu

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 หลายเดือนก่อน +3

    Ngoja nami nimtafute mwamdishi anihoji..nimefungua saluni 😂

    • @blessingntuli3796
      @blessingntuli3796 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂 utampa zawadi gani akimaliza kukuoji au free cut

  • @GodloveEmmanuel-official
    @GodloveEmmanuel-official หลายเดือนก่อน +2

    Iwachu

  • @Shadiasemdami
    @Shadiasemdami หลายเดือนก่อน

    Uyubanamjua. Na hayoanayo yasema nikweri. Minipo kibada

  • @AboubakarYahya-m3u
    @AboubakarYahya-m3u หลายเดือนก่อน +1

  • @oman-c7y
    @oman-c7y หลายเดือนก่อน +1

    Tuache roho za kwanini

  • @Deezingotz
    @Deezingotz หลายเดือนก่อน +1

    Mnaosoma comment mjifunze kitu msifate umbea tyuuu

  • @FrancisNgomaitara
    @FrancisNgomaitara หลายเดือนก่อน +1

    Elimu Haina mwisho

  • @rosefredy5398
    @rosefredy5398 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nashindwa kuelewa comment za umu kwani tajiri ni nani maan naona kuna mabishano hahah sielew ndugu zangu