PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 442

  • @CrownMediaTZ
    @CrownMediaTZ  7 หลายเดือนก่อน +138

    Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi

    • @medadyjuma5036
      @medadyjuma5036 7 หลายเดือนก่อน +5

      Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama

    • @tofatofali9803
      @tofatofali9803 7 หลายเดือนก่อน +3

      Jamaa anajua

    • @babaloisethan7010
      @babaloisethan7010 7 หลายเดือนก่อน +4

      Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉

    • @pascalntandu1217
      @pascalntandu1217 7 หลายเดือนก่อน

      Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.

    • @akidayusuphu7104
      @akidayusuphu7104 7 หลายเดือนก่อน

      Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!

  • @ibrahimkimweri2329
    @ibrahimkimweri2329 7 หลายเดือนก่อน +189

    Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 7 หลายเดือนก่อน +4

      Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 7 หลายเดือนก่อน +4

      Tanzania bila umbea inawezekana

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 7 หลายเดือนก่อน +4

      Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 7 หลายเดือนก่อน

      @@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur

    • @happinessmassageclinic4265
      @happinessmassageclinic4265 7 หลายเดือนก่อน

      Mawasiliano hamjatupa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 7 หลายเดือนก่อน +93

    Nimependa sana mmmmno.
    Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!

    • @salumhamdu6633
      @salumhamdu6633 7 หลายเดือนก่อน

      Maashaallaah God bless

    • @clarasimon7830
      @clarasimon7830 7 หลายเดือนก่อน

      Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji

    • @dickensdickala6601
      @dickensdickala6601 7 หลายเดือนก่อน

      yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda

    • @eltoncastory7087
      @eltoncastory7087 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂et kungwi

  • @nixnovember
    @nixnovember 7 หลายเดือนก่อน +37

    Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 7 หลายเดือนก่อน +23

    MashaAllah tabaraka Rahman, kiswahili kwenda mbele haweki English hata kidogo, wangekuwa hao wajinga wengine ,mwaka tu nje atia English, kuwa wakujivunia lugha yetu kiswahili,Allah akubariki twashukuru kwa elimu ya maendeleo

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hana ulimbukeni anajua anachokiongea kitatusaidia wengi tusojua lugha

  • @IPRESSTRADE
    @IPRESSTRADE 7 หลายเดือนก่อน +70

    Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia TH-cam, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana

    • @gamadoryc4893
      @gamadoryc4893 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli me too

    • @ismailchibonda5005
      @ismailchibonda5005 7 หลายเดือนก่อน

      Mtangazaji kaenda shule big up sana

  • @rehemabakari986
    @rehemabakari986 6 หลายเดือนก่อน +13

    Haya ndio mahojiano ambayo ukiyasikiliza unapata kitu chakujifunza . Hongera mtangazaji

  • @ZiguanGiant
    @ZiguanGiant 7 หลายเดือนก่อน +44

    TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪

  • @AmosBarnabas-wl1yl
    @AmosBarnabas-wl1yl 7 หลายเดือนก่อน +54

    Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 หลายเดือนก่อน +39

    Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @issahmawee7096
      @issahmawee7096 7 หลายเดือนก่อน +2

      Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 7 หลายเดือนก่อน +33

    Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!

  • @TadioTV
    @TadioTV 7 หลายเดือนก่อน +38

    Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 7 หลายเดือนก่อน +94

    Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 7 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 5 หลายเดือนก่อน

      hahahahaha huyu jamaa watatoa wapi pombe wasomi wetu wasipofungua Bar??

  • @sambnlt4626
    @sambnlt4626 7 หลายเดือนก่อน +18

    Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa

  • @fionamariamkundetarimo3781
    @fionamariamkundetarimo3781 7 หลายเดือนก่อน +9

    I am happy to see a Tz citizen young. Educated. Studied abroad. But decided to come back home to invest at home. And empower the local people.
    You are one example that young Tz people need to learn this

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 6 หลายเดือนก่อน +4

      😢kwa Nini usitumie kiswahili Ili ueleweke na Watanzania wengi Zaidi?

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 7 หลายเดือนก่อน +16

    Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana

  • @Chida
    @Chida 7 หลายเดือนก่อน +20

    Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 7 หลายเดือนก่อน +5

    Kaeni hivyo hivyo crown media msije kuwa machawa amen.

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu ibariki Tanzania yetu,na azidi kubariki pia vizazi vyetu.Amen

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 7 หลายเดือนก่อน +19

    Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nimependa sana haya maongezi. Ninapenda ufugaji . Nitakutafuta. Shukrani sana.

  • @mtemipesatvonline9993
    @mtemipesatvonline9993 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana

  • @arthurkasiba751
    @arthurkasiba751 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hiyo Familia Toka Babu ni watu kazi..wapo smart sana..lipo la kujifinza

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 7 หลายเดือนก่อน +9

    Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content

  • @Binahmed1234
    @Binahmed1234 7 หลายเดือนก่อน +9

    Noma sana 🎉🎉🎉

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 7 หลายเดือนก่อน +18

    Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990
    @shekhabbasisharifuonlinetv5990 7 หลายเดือนก่อน +9

    kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need

  • @Oficial_Eredy
    @Oficial_Eredy 7 หลายเดือนก่อน +21

    Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 7 หลายเดือนก่อน +11

    Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kwa uwekezaji mkubwa ulioufanya. Mungu azidi Kukutangulia🙏Pia mtangazaji Ubarikiwe

  • @-thegreat-zawadimmasa307
    @-thegreat-zawadimmasa307 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Crown Media. Ki ukweli mmefanya interview bomba sana.

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 7 หลายเดือนก่อน +1

    craun media, safi. sana.jikiteni kTka mambo mazri kamahaya,kuwenitofauti na wenzenu tumewachoka

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi 7 หลายเดือนก่อน +9

    Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 7 หลายเดือนก่อน +6

    Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅

    • @costagomela3511
      @costagomela3511 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nahitaji number na email address ya huyo Mfugaji

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kaka Kuna jambo kubwa la kujifunza hapa kwa vijana pia wa Tanzania wote

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 7 หลายเดือนก่อน +1

    Postive and Inspiring, natamani sana kukutana na Mr Richard Phillips wa Iringa nijifunze nadhani hawa ndo Giants wa Ufugaji Ng'ombe na Farasi Tanzania.❤

  • @Remy-og7bm
    @Remy-og7bm 7 หลายเดือนก่อน +56

    Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @adamali545
      @adamali545 7 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa ww mpka sasa umeekeza ktk nn😅

    • @mvullamanase
      @mvullamanase 7 หลายเดือนก่อน

      Egypt ya Bunyokwa...😂

    • @oscarkiwia2810
      @oscarkiwia2810 7 หลายเดือนก่อน

      Urudi na wewe uwekeze mkuu

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@mvullamanasembona huendani naunayo yafanya 😢

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 7 หลายเดือนก่อน +21

    Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu

    • @MuhamedAjigar-dw9ve
      @MuhamedAjigar-dw9ve 7 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kbs angeongea kimombo kitupu na kujifanya kiswahili akijui na utajiri alojaliwa

  • @LetdiscussBusiness
    @LetdiscussBusiness 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jitaidi sana kuleta maudhui kama haya inaleta hamasa safi sana crown media

  • @ChristopherKanyika
    @ChristopherKanyika 7 หลายเดือนก่อน +5

    Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji

    • @edgarshayo9720
      @edgarshayo9720 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nakuunga mkono

  • @didashi1901
    @didashi1901 4 หลายเดือนก่อน

    Hii Interview inanifanya nipate fikra tofauti kabisa katika upambanaji wangu. Ahsanteni Crown Media

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 หลายเดือนก่อน +8

    Crown ❤🔥🔥🔥🔥

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro

  • @christiannjau7191
    @christiannjau7191 7 หลายเดือนก่อน +9

    Kipindi Bora kabisa cha maendeleo na uchumi,hongera sana muundaaji na team yako yote...

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 7 หลายเดือนก่อน +12

    Makala muruwa kabisa! Hongereni Crown Media

  • @AdamKessy
    @AdamKessy 7 หลายเดือนก่อน +7

    nice job big up crown

  • @allywaleo3604
    @allywaleo3604 7 หลายเดือนก่อน +14

    Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 7 หลายเดือนก่อน +12

    Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool

  • @pauldyuwundi7321
    @pauldyuwundi7321 7 หลายเดือนก่อน +6

    Katika maisha yakiafrica hatuna back ground yakuendeleza tulicho nacho Maana familia inakusomesha kwa kuuza hadi mashamba wakitengemea utakapo maliza ili uzirudishe lakn mambo hayawi rahis kias hicho kwahy ndio maana wa Africa wengi Hatuendelei.

  • @ntimi2233
    @ntimi2233 7 หลายเดือนก่อน +13

    jamaa kavaa under armour. he is one serious dude

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 7 หลายเดือนก่อน +10

    Kwa kweli matajiri ndio hawa sio wakina mond ni kelele tu gari mara nyumba mara ofc.huu uwekezaji wenye maana kabisa na kuna chakujifunza kwa sisi masikini.sio mziki

    • @imranmushi3627
      @imranmushi3627 7 หลายเดือนก่อน +1

      Broo af ukiangalia humo hamnaga vat hmnaga kodi yan huko kuna fursa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 หลายเดือนก่อน +2

    This was highly informative

  • @SublimeMU
    @SublimeMU 7 หลายเดือนก่อน +8

    Nice job

  • @LameckBundala
    @LameckBundala 7 หลายเดือนก่อน +9

    Kazi nzuri mkuu

  • @mwandambojunior9101
    @mwandambojunior9101 7 หลายเดือนก่อน +7

    Themidayo! You're the Best....Good Interview..👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @frankyeye
    @frankyeye 7 หลายเดือนก่อน +8

    Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 7 หลายเดือนก่อน +9

    Nzuri sana lkn chanjo nyingi sio nzuri kwa afya ufugaji wa kienyeji ndio bora mimi nimekaa Botswana ng'ombe wanaachiwa mitaani kisha wanarudi wao myumbani chanjo sio sana

    • @innocentandrea6482
      @innocentandrea6482 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wacha bana,Botswana ipi

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 7 หลายเดือนก่อน

      @@innocentandrea6482 Botswana ng'ombe wapo huru mimi nimekaa miezi 4 ww umekaa wapi? Nimekaa Metsimuthabe,ndani ya Gaborone naijua Botswana vzr G.West mpaka mlapolole,kopong,Magodisane sehemu hizo ng'ombe wanaachiwa mitaani tu baadae wanarudi myumbani huwezi iba maana wamewekewa kitu hivyo GPS Inawaona...yapo maeneo wanakaa kwenye maeneo makubwa pia maana kule population ndogo mno hivyo wana maeneo ya ufugaji...

    • @abdulbiro7656
      @abdulbiro7656 7 หลายเดือนก่อน

      Nikweli! Botswana ngombe ni wengi mitaani

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 7 หลายเดือนก่อน

      @@abdulbiro7656 ndio nimemwambia huyo Botswana naijua vzr sema kuna watu huwa wanabisha tu...Botswana zamani ilikuwa hakuna wezi lkn wakaja wazimbabwe ndio wakaharibu kila kitu..Ni sehemu nzuri sana siasa za magharibi ndio zinaletaga ujinga..Botswana hakuna sonara lkn ukimwambia mtu anabisha hahahaha

    • @kiatu
      @kiatu 6 หลายเดือนก่อน

      Sio hivyo, huwezi kuuza nyama ulaya bila kuchanja mifugo yako

  • @OmarSamganga
    @OmarSamganga 6 หลายเดือนก่อน +2

    Crown 👑
    Mko vzr

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 7 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana, kuna soko kubwa sana la nyama quality hapa hapa Bongo, watalii zote wanakula nyama kutoka nje.

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana sana My Son Mulla. Move forward we need Young Boy s like you because foolish young are Many in the world. Well-done job.

  • @lucksonize
    @lucksonize 7 หลายเดือนก่อน

    Ata sikujua @temidayo yupo crown,,,,excellent work.tunategemea kuona zaidi vipindi bora kama hivi

  • @issaissa7528
    @issaissa7528 7 หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana , interview yakiwango imeenda shule, tatizo hatujapata mawasiliano ya uyo jamaa wengine tupo mbali

  • @middoTv
    @middoTv 7 หลายเดือนก่อน +14

    New millard ayo

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 7 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni zaidi ya milardayo

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 7 หลายเดือนก่อน +2

    Big up crown 👑 media

  • @JoseWilson-vb2di
    @JoseWilson-vb2di 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mmeleta mageuzi kwel katika tasinia hii nawapa mwaka mmoja mtakuwa top ya TV zote za hapa tz

  • @MuddyMigenge
    @MuddyMigenge 7 หลายเดือนก่อน +8

    Temidayo 🎉🎉🎉

  • @mikakuya5364
    @mikakuya5364 7 หลายเดือนก่อน +1

    hi elimu nimeipenda Sanaa crown 👑 👏👏👏

  • @VictorMmari
    @VictorMmari 10 วันที่ผ่านมา

    This is a good thing to hear and to learn as well.Big up

  • @iddiali6982
    @iddiali6982 7 หลายเดือนก่อน +5

    Crown mko vzr Sana

  • @Hilalisebatv
    @Hilalisebatv 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri

  • @Cn_Creative7
    @Cn_Creative7 7 หลายเดือนก่อน +5

    Crown média ❤

  • @YussuphKansela-l4j
    @YussuphKansela-l4j 7 หลายเดือนก่อน +2

    Crown 👑 medir ni hattari... high qwerlty ❤❤❤

  • @rahmashaban4024
    @rahmashaban4024 7 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤❤❤so good

  • @DevotaMlelwa-l1i
    @DevotaMlelwa-l1i 5 หลายเดือนก่อน

    Asante mtandazaji kutuletea mtu mwenywe maon kwenye Tanzania yetu

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 7 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 7 หลายเดือนก่อน +7

    Background yake ina capital investment tutafute jinsi ya kuwasaidia wasio na msaada wa vizazi vyao

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 7 หลายเดือนก่อน

    Daah aloo hii Ni level nyingine saana🎉
    Crown be blessed mungu azidi wabariki❤

  • @lobikopayana
    @lobikopayana 7 หลายเดือนก่อน +1

    Everything is quality

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 7 หลายเดือนก่อน +2

    Saf Sana Crown 🎉

  • @shikuhata
    @shikuhata 7 หลายเดือนก่อน +12

    Nina Imani Crow media mtaibua vipaji vingi na kuibua wafanya biashara wengi wenye kufanya makubwa kwenye nchi ila hawajulikani jambo ambalo litawasaidia wananchi wengi kuwa inspired kupambana pasipo kukata tamaa

  • @panicumtz2002
    @panicumtz2002 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hyo inaitwa Embro transfer we do it in our farms, nataman sana unialike tunaweza kufanya kwako pia. niko Dar es salaam alaf nakufaham sana brother nitakuchek kwa maana namba ninayo.

  • @halimamghana2293
    @halimamghana2293 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Crown media ama kweli Hapa ni nyumban#

  • @AnkoMwaisaTz
    @AnkoMwaisaTz 7 หลายเดือนก่อน

    Nimemkubali sana huyu mwamba hakika crown wako vizuri sio kama wale wanashindana kuvaa minyororo shingoni.Crown noooma

  • @PaulReuben-gi2nh
    @PaulReuben-gi2nh 7 หลายเดือนก่อน

    CrownMediaTZ nawaona mbali Sana baada ya mda mfupi tu🔥🔥

  • @Lynnalice217
    @Lynnalice217 7 หลายเดือนก่อน

    Thanks mr Naweed best interview 👌

  • @MasaluMartine-xe1kb
    @MasaluMartine-xe1kb 7 หลายเดือนก่อน

    Hongerèni crown sio wengine wanaleta vipind vya kipuuz

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 7 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana 🎉🎉

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 7 หลายเดือนก่อน +6

    Crown

  • @DismasMaturine
    @DismasMaturine 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana wawelezaji kuwa waaminifu na serikali pia hongera

  • @sweetnasra3613
    @sweetnasra3613 7 หลายเดือนก่อน

    This is a profitable interview , nice , keep it up ,

  • @sleyumrashid7794
    @sleyumrashid7794 6 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa Haya mambo ndiyo tunatakiwa kusikia kama vijana, jamaa Yuko open ana moral ana inspire lolote unaweza fanya kama una ndoto, na ufanye research kabla kuliendea Jambo, na ufanye Kwa ubora Wa hali ya juu, tumepata madini ndio maudhui mazuri tunayoyata kusikia

  • @HamsiniKhalid-LoveIslam
    @HamsiniKhalid-LoveIslam 7 หลายเดือนก่อน

    Baharia kajipanga🤔 sana.. Big up bro.. uko vizuri💯👍👍

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 7 หลายเดือนก่อน +6

    Nakubali

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 หลายเดือนก่อน +1

    My next president mungu akulinde

  • @mselimsuya6952
    @mselimsuya6952 6 หลายเดือนก่อน

    This is nice, bring things like this, motivational

  • @Mapishi_TV
    @Mapishi_TV 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana. Kipindi kizuri. Hongera kaka yangu kwa uwekezaji.

  • @ahsabahmed0130
    @ahsabahmed0130 7 หลายเดือนก่อน +1

    Great interview brother ,ila age ya mwamba daaah

  • @Happynmb
    @Happynmb 6 หลายเดือนก่อน

    I love this kind of content ❤