PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 มิ.ย. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 271

  • @CrownMediaTZ
    @CrownMediaTZ  5 วันที่ผ่านมา +67

    Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi

    • @medadyjuma5036
      @medadyjuma5036 4 วันที่ผ่านมา +1

      Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama

    • @tofatofali9803
      @tofatofali9803 3 วันที่ผ่านมา +1

      Jamaa anajua

    • @babaloisethan7010
      @babaloisethan7010 3 วันที่ผ่านมา +3

      Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉

    • @pascalntandu1217
      @pascalntandu1217 3 วันที่ผ่านมา

      Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.

    • @akidayusuphu7104
      @akidayusuphu7104 3 วันที่ผ่านมา

      Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h 7 วันที่ผ่านมา +58

    Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya

  • @ibrahimkimweri2329
    @ibrahimkimweri2329 7 วันที่ผ่านมา +89

    Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 3 วันที่ผ่านมา +2

      Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 วันที่ผ่านมา +1

      Tanzania bila umbea inawezekana

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur

    • @happinessmassageclinic4265
      @happinessmassageclinic4265 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mawasiliano hamjatupa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 7 วันที่ผ่านมา +58

    Nimependa sana mmmmno.
    Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!

    • @salumhamdu6633
      @salumhamdu6633 7 วันที่ผ่านมา

      Maashaallaah God bless

    • @clarasimon7830
      @clarasimon7830 6 วันที่ผ่านมา

      Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji

    • @dickensdickala6601
      @dickensdickala6601 วันที่ผ่านมา

      yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda

  • @hamisibwanga674
    @hamisibwanga674 7 วันที่ผ่านมา +32

    TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 5 วันที่ผ่านมา +15

    Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!

  • @nixnovember
    @nixnovember 5 วันที่ผ่านมา +16

    Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅

  • @AmosBarnabas-wl1yl
    @AmosBarnabas-wl1yl 7 วันที่ผ่านมา +34

    Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 4 วันที่ผ่านมา +9

    Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu

  • @IPRESSTRADE
    @IPRESSTRADE 7 วันที่ผ่านมา +42

    Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia TH-cam, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana

    • @00P288
      @00P288 6 วันที่ผ่านมา +2

      Next time ataletwa Mwijaku

    • @gamadoryc4893
      @gamadoryc4893 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kweli me too

  • @shikuhata
    @shikuhata 3 วันที่ผ่านมา +7

    Nina Imani Crow media mtaibua vipaji vingi na kuibua wafanya biashara wengi wenye kufanya makubwa kwenye nchi ila hawajulikani jambo ambalo litawasaidia wananchi wengi kuwa inspired kupambana pasipo kukata tamaa

  • @TadioTV
    @TadioTV 7 วันที่ผ่านมา +30

    Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 วันที่ผ่านมา +30

    Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @issahmawee7096
      @issahmawee7096 7 วันที่ผ่านมา +2

      Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo

  • @Oficial_Eredy
    @Oficial_Eredy 7 วันที่ผ่านมา +17

    Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo

  • @Chida
    @Chida 7 วันที่ผ่านมา +17

    Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 6 วันที่ผ่านมา +12

    Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 7 วันที่ผ่านมา +13

    Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 4 วันที่ผ่านมา +6

    Kwa kweli matajiri ndio hawa sio wakina mond ni kelele tu gari mara nyumba mara ofc.huu uwekezaji wenye maana kabisa na kuna chakujifunza kwa sisi masikini.sio mziki

  • @sambnlt4626
    @sambnlt4626 5 วันที่ผ่านมา +8

    Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa

  • @Remy-og7bm
    @Remy-og7bm 7 วันที่ผ่านมา +41

    Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 7 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂

    • @adamali545
      @adamali545 6 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa ww mpka sasa umeekeza ktk nn😅

    • @mvullamanase
      @mvullamanase 5 วันที่ผ่านมา

      Egypt ya Bunyokwa...😂

  • @mtemipesatvonline9993
    @mtemipesatvonline9993 3 วันที่ผ่านมา +5

    Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana

  • @ntimi2233
    @ntimi2233 3 วันที่ผ่านมา +4

    jamaa kavaa under armour. he is one serious dude

  • @suleshalliy8039
    @suleshalliy8039 7 วันที่ผ่านมา +14

    Sauti ,video quality vyote Ni hatariii

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 7 วันที่ผ่านมา +8

    Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content

  • @user-qp5vi9yt6m
    @user-qp5vi9yt6m 7 วันที่ผ่านมา +15

    Maua yako temidayo

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 6 วันที่ผ่านมา +3

    Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 7 วันที่ผ่านมา +15

    Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 7 วันที่ผ่านมา +9

    Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool

  • @frankyeye
    @frankyeye 7 วันที่ผ่านมา +6

    Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 7 วันที่ผ่านมา +8

    Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya

  • @abdurahmanahmed2643
    @abdurahmanahmed2643 7 วันที่ผ่านมา +9

    Noma sana 🎉🎉🎉

  • @middoTv
    @middoTv 7 วันที่ผ่านมา +8

    New millard ayo

  • @Hilalisebatv
    @Hilalisebatv 7 วันที่ผ่านมา +5

    Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri

  • @jumasango9793
    @jumasango9793 7 วันที่ผ่านมา +7

    Hapa ni kwetu

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990
    @shekhabbasisharifuonlinetv5990 7 วันที่ผ่านมา +7

    kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need

  • @user-bb4hy7xq9y
    @user-bb4hy7xq9y 7 วันที่ผ่านมา +7

    Nice job

  • @user-ri5pc6es4m
    @user-ri5pc6es4m 7 วันที่ผ่านมา +7

    Kazi nzuri mkuu

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 วันที่ผ่านมา +7

    Crown ❤🔥🔥🔥🔥

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro

  • @iddiali6982
    @iddiali6982 7 วันที่ผ่านมา +5

    Crown mko vzr Sana

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa

  • @ChristopherKanyika
    @ChristopherKanyika 5 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji

  • @jacksondamian4347
    @jacksondamian4347 7 วันที่ผ่านมา +5

    Vipindi bora sana wanahabari makini sana

  • @user-vm4fe3ql5c
    @user-vm4fe3ql5c 7 วันที่ผ่านมา +7

    Temidayo 🎉🎉🎉

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 7 วันที่ผ่านมา +9

    Nzuri sana lkn chanjo nyingi sio nzuri kwa afya ufugaji wa kienyeji ndio bora mimi nimekaa Botswana ng'ombe wanaachiwa mitaani kisha wanarudi wao myumbani chanjo sio sana

    • @innocentandrea6482
      @innocentandrea6482 5 วันที่ผ่านมา +1

      Wacha bana,Botswana ipi

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 5 วันที่ผ่านมา

      @@innocentandrea6482 Botswana ng'ombe wapo huru mimi nimekaa miezi 4 ww umekaa wapi? Nimekaa Metsimuthabe,ndani ya Gaborone naijua Botswana vzr G.West mpaka mlapolole,kopong,Magodisane sehemu hizo ng'ombe wanaachiwa mitaani tu baadae wanarudi myumbani huwezi iba maana wamewekewa kitu hivyo GPS Inawaona...yapo maeneo wanakaa kwenye maeneo makubwa pia maana kule population ndogo mno hivyo wana maeneo ya ufugaji...

    • @abdulbiro7656
      @abdulbiro7656 4 วันที่ผ่านมา

      Nikweli! Botswana ngombe ni wengi mitaani

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 4 วันที่ผ่านมา

      @@abdulbiro7656 ndio nimemwambia huyo Botswana naijua vzr sema kuna watu huwa wanabisha tu...Botswana zamani ilikuwa hakuna wezi lkn wakaja wazimbabwe ndio wakaharibu kila kitu..Ni sehemu nzuri sana siasa za magharibi ndio zinaletaga ujinga..Botswana hakuna sonara lkn ukimwambia mtu anabisha hahahaha

  • @user-dv7zs9wk2b
    @user-dv7zs9wk2b 7 วันที่ผ่านมา +6

    nice job big up crown

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 6 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana, kuna soko kubwa sana la nyama quality hapa hapa Bongo, watalii zote wanakula nyama kutoka nje.

  • @pauldyuwundi7321
    @pauldyuwundi7321 6 วันที่ผ่านมา +2

    Katika maisha yakiafrica hatuna back ground yakuendeleza tulicho nacho Maana familia inakusomesha kwa kuuza hadi mashamba wakitengemea utakapo maliza ili uzirudishe lakn mambo hayawi rahis kias hicho kwahy ndio maana wa Africa wengi Hatuendelei.

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 7 วันที่ผ่านมา +5

    Nakubali

  • @AbdoulazarSalumu
    @AbdoulazarSalumu 7 วันที่ผ่านมา +6

    Temidayo………🎉

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 6 วันที่ผ่านมา +3

    Asante Kiongozi Kwa Darasa Zuri

  • @georgetarimo7520
    @georgetarimo7520 7 วันที่ผ่านมา +6

    Tunaisubiri Part 2 haraka

  • @lucksonize
    @lucksonize 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ata sikujua @temidayo yupo crown,,,,excellent work.tunategemea kuona zaidi vipindi bora kama hivi

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 วันที่ผ่านมา

    Daah aloo hii Ni level nyingine saana🎉
    Crown be blessed mungu azidi wabariki❤

  • @allywaleo3604
    @allywaleo3604 7 วันที่ผ่านมา +11

    Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥

  • @user-wu9zh1hc3i
    @user-wu9zh1hc3i วันที่ผ่านมา

    Jitaidi sana kuleta maudhui kama haya inaleta hamasa safi sana crown media

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 7 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana 🎉🎉

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 6 วันที่ผ่านมา +2

    This was highly informative

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 7 วันที่ผ่านมา +6

    Crown

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi 5 วันที่ผ่านมา +6

    Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda

  • @msokile
    @msokile 2 วันที่ผ่านมา +1

    haya Mahojiano mazuri sana, kuna Madini sana

  • @Cn_Creative7
    @Cn_Creative7 7 วันที่ผ่านมา +5

    Crown média ❤

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 6 วันที่ผ่านมา +10

    Mwandishi pamoja na makala nzuri hujaonyesha ni sehemu gani mahususi hapo Chalinze.

    • @johnmtindo276
      @johnmtindo276 4 วันที่ผ่านมา +1

      Iko Ubena zomozi ukielekea morogoro ni baada ya mdaula upande wa kulia

    • @abubakariabdallah9347
      @abubakariabdallah9347 3 วันที่ผ่านมา

      Iko Ubena zomoz ukishuka sema tu nataka kufika kwa MBOGO ESTATE

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 7 วันที่ผ่านมา +2

    Saf Sana Crown 🎉

  • @khadija5761
    @khadija5761 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaaallah 🎉🎉

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 7 วันที่ผ่านมา +2

    Big up crown 👑 media

  • @michaelcretus1490
    @michaelcretus1490 7 วันที่ผ่านมา +6

    🔥🔥🔥🔥

  • @rahmashaban4024
    @rahmashaban4024 7 วันที่ผ่านมา +4

    ❤❤❤❤so good

  • @user-vb9uc2en4c
    @user-vb9uc2en4c 7 วันที่ผ่านมา +2

    Crown 👑 medir ni hattari... high qwerlty ❤❤❤

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 7 วันที่ผ่านมา +5

    ❤❤

  • @ahsabahmed0130
    @ahsabahmed0130 6 วันที่ผ่านมา +1

    Great interview brother ,ila age ya mwamba daaah

  • @salimmseza9588
    @salimmseza9588 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hatar crown makin sana

  • @raymrash
    @raymrash 3 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana Crown 👑

  • @PaulReuben-gi2nh
    @PaulReuben-gi2nh 3 วันที่ผ่านมา

    CrownMediaTZ nawaona mbali Sana baada ya mda mfupi tu🔥🔥

  • @jeromemsele290
    @jeromemsele290 7 วันที่ผ่านมา +5

    ❤❤❤

  • @mikakuya5364
    @mikakuya5364 4 วันที่ผ่านมา

    hi elimu nimeipenda Sanaa crown 👑 👏👏👏

  • @MeckMkalisimba-bo2wq
    @MeckMkalisimba-bo2wq 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mahojiano mazuri sana yenye kutoa maarifa💯

  • @priscamungai-mshana4513
    @priscamungai-mshana4513 5 วันที่ผ่านมา

    Hongera Mnyalu

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f 2 วันที่ผ่านมา

    Hongera Sana crown by Yasinta walyuba,

  • @user-si7ib8np8c
    @user-si7ib8np8c 7 วันที่ผ่านมา +3

    🔥🔥

  • @AnkoMwaisaTz
    @AnkoMwaisaTz 4 วันที่ผ่านมา

    Nimemkubali sana huyu mwamba hakika crown wako vizuri sio kama wale wanashindana kuvaa minyororo shingoni.Crown noooma

  • @Lynnalice217
    @Lynnalice217 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Thanks mr Naweed best interview 👌

  • @vero57
    @vero57 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kazi nzuri sana, anaongea vizuri sana, maswali, majibu safii sana, tengeneza pia feta cheese tafadhali.

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 วันที่ผ่านมา

    My next president mungu akulinde

  • @HamsiniKhalid-LoveIslam
    @HamsiniKhalid-LoveIslam วันที่ผ่านมา

    Baharia kajipanga🤔 sana.. Big up bro.. uko vizuri💯👍👍

  • @panicumtz2002
    @panicumtz2002 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hyo inaitwa Embro transfer we do it in our farms, nataman sana unialike tunaweza kufanya kwako pia. niko Dar es salaam alaf nakufaham sana brother nitakuchek kwa maana namba ninayo.

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hongera sana

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 6 วันที่ผ่านมา +9

    Makala muruwa kabisa! Hongereni Crown Media

  • @user-bv9ky8zw8r
    @user-bv9ky8zw8r 3 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana mko vizuri

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 5 วันที่ผ่านมา

    Nimependa sana🎉

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 7 วันที่ผ่านมา +4

    Hapa ni nyumbani

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 4 วันที่ผ่านมา

    Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.

  • @e45mussa78
    @e45mussa78 7 วันที่ผ่านมา +3

    #usione aibu kuuliza

  • @ruhindacostantine2092
    @ruhindacostantine2092 5 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan crown media mko juu mno na ndo kwanza mnaanza

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mahojiano yenye tija,Asante Mulla,nimevutiwa na water tank lakuweza kuhamishwa kiurahisi,je linapatikanaje?

  • @Hajj-ou4ux
    @Hajj-ou4ux 5 วันที่ผ่านมา

    Nzuri

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akusaidie akubarikie akuzidishie ufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen

  • @albertmaneno
    @albertmaneno 2 วันที่ผ่านมา

    Safi sana.... hili ni darasa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 วันที่ผ่านมา

    I just love him ❤