PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 มิ.ย. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - กีฬา
Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi
Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama
Jamaa anajua
Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉
Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.
Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!
Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya
Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic
Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪
Tanzania bila umbea inawezekana
Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.
@@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur
Mawasiliano hamjatupa
Nimependa sana mmmmno.
Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi
Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!
Maashaallaah God bless
Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji
yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda
TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪
Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!
Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅
Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality
Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu
Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia TH-cam, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana
Next time ataletwa Mwijaku
Kweli me too
Nina Imani Crow media mtaibua vipaji vingi na kuibua wafanya biashara wengi wenye kufanya makubwa kwenye nchi ila hawajulikani jambo ambalo litawasaidia wananchi wengi kuwa inspired kupambana pasipo kukata tamaa
Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up
Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo
Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo
Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii
Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana
Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.
Kwa kweli matajiri ndio hawa sio wakina mond ni kelele tu gari mara nyumba mara ofc.huu uwekezaji wenye maana kabisa na kuna chakujifunza kwa sisi masikini.sio mziki
Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa
Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.
😂😂😂😂
Sasa ww mpka sasa umeekeza ktk nn😅
Egypt ya Bunyokwa...😂
Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana
jamaa kavaa under armour. he is one serious dude
Sauti ,video quality vyote Ni hatariii
Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content
Maua yako temidayo
Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅
Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤
Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool
Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤
Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya
Noma sana 🎉🎉🎉
New millard ayo
Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri
Hapa ni kwetu
kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need
Nice job
Kazi nzuri mkuu
Crown ❤🔥🔥🔥🔥
Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro
Crown mko vzr Sana
Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa
Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji
Vipindi bora sana wanahabari makini sana
Temidayo 🎉🎉🎉
Nzuri sana lkn chanjo nyingi sio nzuri kwa afya ufugaji wa kienyeji ndio bora mimi nimekaa Botswana ng'ombe wanaachiwa mitaani kisha wanarudi wao myumbani chanjo sio sana
Wacha bana,Botswana ipi
@@innocentandrea6482 Botswana ng'ombe wapo huru mimi nimekaa miezi 4 ww umekaa wapi? Nimekaa Metsimuthabe,ndani ya Gaborone naijua Botswana vzr G.West mpaka mlapolole,kopong,Magodisane sehemu hizo ng'ombe wanaachiwa mitaani tu baadae wanarudi myumbani huwezi iba maana wamewekewa kitu hivyo GPS Inawaona...yapo maeneo wanakaa kwenye maeneo makubwa pia maana kule population ndogo mno hivyo wana maeneo ya ufugaji...
Nikweli! Botswana ngombe ni wengi mitaani
@@abdulbiro7656 ndio nimemwambia huyo Botswana naijua vzr sema kuna watu huwa wanabisha tu...Botswana zamani ilikuwa hakuna wezi lkn wakaja wazimbabwe ndio wakaharibu kila kitu..Ni sehemu nzuri sana siasa za magharibi ndio zinaletaga ujinga..Botswana hakuna sonara lkn ukimwambia mtu anabisha hahahaha
nice job big up crown
Safi sana, kuna soko kubwa sana la nyama quality hapa hapa Bongo, watalii zote wanakula nyama kutoka nje.
Katika maisha yakiafrica hatuna back ground yakuendeleza tulicho nacho Maana familia inakusomesha kwa kuuza hadi mashamba wakitengemea utakapo maliza ili uzirudishe lakn mambo hayawi rahis kias hicho kwahy ndio maana wa Africa wengi Hatuendelei.
Nakubali
Temidayo………🎉
Asante Kiongozi Kwa Darasa Zuri
Tunaisubiri Part 2 haraka
Ata sikujua @temidayo yupo crown,,,,excellent work.tunategemea kuona zaidi vipindi bora kama hivi
Daah aloo hii Ni level nyingine saana🎉
Crown be blessed mungu azidi wabariki❤
Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥
Jitaidi sana kuleta maudhui kama haya inaleta hamasa safi sana crown media
Safi sana 🎉🎉
This was highly informative
Crown
Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda
haya Mahojiano mazuri sana, kuna Madini sana
Crown média ❤
MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress
Mwandishi pamoja na makala nzuri hujaonyesha ni sehemu gani mahususi hapo Chalinze.
Iko Ubena zomozi ukielekea morogoro ni baada ya mdaula upande wa kulia
Iko Ubena zomoz ukishuka sema tu nataka kufika kwa MBOGO ESTATE
Saf Sana Crown 🎉
Mashaaallah 🎉🎉
Big up crown 👑 media
🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤so good
Crown 👑 medir ni hattari... high qwerlty ❤❤❤
❤❤
Great interview brother ,ila age ya mwamba daaah
Hatar crown makin sana
Hongereni sana Crown 👑
CrownMediaTZ nawaona mbali Sana baada ya mda mfupi tu🔥🔥
❤❤❤
hi elimu nimeipenda Sanaa crown 👑 👏👏👏
Mahojiano mazuri sana yenye kutoa maarifa💯
Hongera Mnyalu
Hongera Sana crown by Yasinta walyuba,
🔥🔥
Nimemkubali sana huyu mwamba hakika crown wako vizuri sio kama wale wanashindana kuvaa minyororo shingoni.Crown noooma
Thanks mr Naweed best interview 👌
Kazi nzuri sana, anaongea vizuri sana, maswali, majibu safii sana, tengeneza pia feta cheese tafadhali.
My next president mungu akulinde
Baharia kajipanga🤔 sana.. Big up bro.. uko vizuri💯👍👍
Hyo inaitwa Embro transfer we do it in our farms, nataman sana unialike tunaweza kufanya kwako pia. niko Dar es salaam alaf nakufaham sana brother nitakuchek kwa maana namba ninayo.
Hongera sana
Makala muruwa kabisa! Hongereni Crown Media
Hongereni sana mko vizuri
Nimependa sana🎉
Hapa ni nyumbani
Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.
#usione aibu kuuliza
Yaan crown media mko juu mno na ndo kwanza mnaanza
Mahojiano yenye tija,Asante Mulla,nimevutiwa na water tank lakuweza kuhamishwa kiurahisi,je linapatikanaje?
Nzuri
Mungu akusaidie akubarikie akuzidishie ufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen
Safi sana.... hili ni darasa
I just love him ❤