Dr hongera sana kwa kweli unajua kazi yako,sababu umeeleza sababu nyingi kiasi kwamba ni rahisi kwa mgonjwa kujitathimini,binafsi nilifnyiwa operation ya tonsil but sasa hivi nasumbuliwa sana na allergy pia pumzi nahisi kitu kinanikaba kooni,msaada please
Doctor ulivoeleza mim nina tatizo la koo la hewa maan hata wakati mwingine napumua kwa shida na haruf ya pafyum nikinusa tu basi kwenye koo naumia mpk ile haruf ya pafyum iishe na mdom wa juu karibu na klim kuna viupele haviish vinawasha kweli kweli nakun mpk natoa damu
Dr hongera sana kwa kweli unajua kazi yako,sababu umeeleza sababu nyingi kiasi kwamba ni rahisi kwa mgonjwa kujitathimini,binafsi nilifnyiwa operation ya tonsil but sasa hivi nasumbuliwa sana na allergy pia pumzi nahisi kitu kinanikaba kooni,msaada please
Asante sana doctor nimejifunza mengi sana
Asante doctor
Dokt nimwjifunza kitu amina nimekupenda sn sn na ns na ns barikiwa
Kweli mm nasumbuliwa na acid kwenye Koo nifanyeje
Mm nasumbuliwa na koo yan linakwaruza ht kula nakula kwa shd pia linakauka San naomb nisaidie
Docter unapatikana wapi naomba namba namba kwa mawasiliano zaid hilo tatizo la kooo nalo
😢 doctor habari na m natatizo kama Hilo nilianza kukata saut na Sasa mais maumivu kwa Koo na ata kukauka
Hata mm ni nailo tatzo la koo kukukaa nkinywa maji na kuwa sawa na makohoz yana toka muda mwingi yanakuwa na damu
Naomba namba kaka
Mimi kaka Koo linakauka nashindwa kumeza mate na pumzi zinakata
Unamda gani jamani ilo tatizo me
Dokta ninaweza kupata namba zako tukawasiliana
Mwez wa tatu huu koo linanisumbu😢
Samahani docta Mimi nipomeza chochote nahisi kama Nina kidonda inaweza kuwA tatizo gani?
Infection s .caused by bacteria . nashaur ufike Hosp kuchunguzwa
@@manaseyona9260number zako sasa tutazipata vp
Naombeni namba zasimu nimutafute
Doctor ulivoeleza mim nina tatizo la koo la hewa maan hata wakati mwingine napumua kwa shida na haruf ya pafyum nikinusa tu basi kwenye koo naumia mpk ile haruf ya pafyum iishe na mdom wa juu karibu na klim kuna viupele haviish vinawasha kweli kweli nakun mpk natoa damu
Kweli mimi sinywi maji
Mimi sauti ilikata afu ikarudi lkn koo linauma sana
Mm mefanyiwa oppression ya koo lkn ndo sauti aitoki sijui shida ni nn
Naomba namba
Mm niko na tatizo nahisi kunyogwa kwa koo hadi kifuwa kujaa je nitasaidika vipi na kuteuka sana
Badilisha namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu namba hizo ni 0744243577
He kwanini Sasa wadanganye kutoa namba zao kumbe si zao
@@hanifatanzania7258 ni kweli watu wanao toa no zao qakat sio doctor matapeli hao
Badilishen namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu ni 0744243577
Habali
Huyu doctor anajua Sana kazi take.
Dr nakupataje ninashida na wewe no zako yafadhar
Dr naomba namba zako nasikitika uko kimya juu ya mawasliano
@@mussarupia159 tunahitaji msaada Dr ninayi hiyo shida ya kupata sauti namaumivi wakati wa kumeza