halooo, naitwa maria npo mwanza nina xhda ya uti wa mgongo, nina maswal mawil naomba kuuliza, kama uti wa mgongo umepinda ni zoezi gan la kufanya ili uti unyooke?, pili je mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo anaweza kubeba mimba?
Doctor me nasumbiliwa na mgongo nimepimwa nimeambiwa mgongo umenyooka hivyo nimepewa dawa natumia lakini bado unasumbua ? Nomba maraschino doctor nipate kuwasiliana
Habari Hilda, pole kwa tatizo hili... Ninakushauri ungetembelea Hospitali ya MOI, Clinic., ili vipimo kadhaa vya mgongo vifanyike kuona shida haswa iko wapi uweze kupata matibabu stahiki kwa shida hii... Kama unalipia cash,clinic ni Jumatano mchana au Ijumaa asubuhi... Kama unabima ya afya, Clinic zipo kila siku.
@@consolatashayo616 asante sana kwasasa yenyewe naumwa sana laba ukikaa sawa nifanye kuja huko Dr au Arusha mna kituo chochote, na je sidano za mgongo huwa nisababu ya haya maumivu.
Nasumbuliwa na tatizo a kiuno lumber four na five nimehudhuria vipimo vya MRI na ninapewa dawa ya ligaba Mara nyingi tu na dawa za maumivu maumivu makali yamepungua nahudhuria mazoezi mwaka sasa bado sijapona naomba ushauri hakuna pingili iliyosagika kama kuna dawa itakayonisaidia naomba msaada kazi zangu ni mwl
Naomba no zako docter
Ahsante sana Dr.Laurent Mchome kwa Elimu kubwa hii unayotupatia,ni Vizuri sana na tunawafuatilia kupitia MOI TV!
Ni elimu nzuri sana, tupatie mawasiliano dokta wa viungo
mnapatikana wap doctor mm nna tatizo la mishipa ya mgongo .
Daah namimi naumwa nimepiga x ray naambiwa mifupa imekakamaa nifanye mazoez hivi nitakua sawaa
Asante Sana doctor... Umetuelewesha vizuri Sana. Mungu akubariki Sana
Asant sana doctor MUNGU AKULINDE
Hat mm napata maumiv sana
Mimi nimeambiwa disc aitibiki lakini Asante doctor Kwa elimu uliotoa matibabu disc Kwa ujumla yote yanafanyika apakwetu moi.
halooo, naitwa maria npo mwanza nina xhda ya uti wa mgongo, nina maswal mawil naomba kuuliza, kama uti wa mgongo umepinda ni zoezi gan la kufanya ili uti unyooke?, pili je mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo anaweza kubeba mimba?
Naomba namba zako
naomba namba ya simu
Docter Mimi naumwa kiuno sana kinakuja mpk mgongo
Boss
Dokta naomba no Nina mgonjwa wangu anaumwaa
Doctor mamba zako
Mm nmefika hyo hatua ya ganzi kwenye miguu doctor
Dokta nomba namba zako
doctor unaptikana wapi
Mimi naumwa sana mgogo naomb tu nisaidie dkt,
Vipi ulipata tiba ya mgongo
Doctor me nasumbiliwa na mgongo nimepimwa nimeambiwa mgongo umenyooka hivyo nimepewa dawa natumia lakini bado unasumbua ? Nomba maraschino doctor nipate kuwasiliana
Pls doc your numbers
Napia nikibeba tu mimba mgongo unauma mpka inatoka
Habari Hilda, pole kwa tatizo hili... Ninakushauri ungetembelea Hospitali ya MOI, Clinic., ili vipimo kadhaa vya mgongo vifanyike kuona shida haswa iko wapi uweze kupata matibabu stahiki kwa shida hii...
Kama unalipia cash,clinic ni Jumatano mchana au Ijumaa asubuhi... Kama unabima ya afya, Clinic zipo kila siku.
@@consolatashayo616 asante sana kwasasa yenyewe naumwa sana laba ukikaa sawa nifanye kuja huko Dr au Arusha mna kituo chochote, na je sidano za mgongo huwa nisababu ya haya maumivu.
Ninaumwa mgongo tokea2018 nilifanyiwa cityscan wakaniambia pingili imebend mwishoe walinipa dawa ya maumivu mpaka Leo bado maumivu yanazidi
Poleni sana ndugu zangu kwa changamoto mnazopitia
Nawashauri mzingatie hii elimu inayotolewa na wataalam wetu
Nasumbuliwa na tatizo a kiuno lumber four na five nimehudhuria vipimo vya MRI na ninapewa dawa ya ligaba Mara nyingi tu na dawa za maumivu maumivu makali yamepungua nahudhuria mazoezi mwaka sasa bado sijapona naomba ushauri hakuna pingili iliyosagika kama kuna dawa itakayonisaidia naomba msaada kazi zangu ni mwl
nitumie namba yko docta