MEDICOUNTER: Mafua ya mzio "allergy", chanzo chake na tiba yake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Umeshawahi kukutana na mtu ana mafua yanayojirudia kila anapovuta hewa yenye harufu kali? Au hewa yenye vumbi?
Mara nyingi watu wa aina hiyo huwa na mafua ya mzio au kwa Kiingereza, allergy.
Mafua haya huwa mepesi na yasiyokwisha haraka na yanayojirudia mara kwa mara.
Leo daktari bingwa wa pua na masikio kutoka hospitali ya Aga Khan, Christopher Mwansasu anauelezea ugonjwa huu na namna ya kukabiliana nao.
Ungana na Dafrosa Prosper hadi mwisho wa kipindi.
MEDICOUNTER ni kipindi kinachoangazia masuala ya afya na huruka kila Jumatatu saa 1:30 usiku ndani ya Azam TWO.
Jaman sisi wengine n wagonjwa sugu😭😭😭😭plz tupen no halisi ya dr tujue tunamfikiaje hapa nilipo koo lina hio midonda pua zinawasha zinakauka macho yanauma na hapa maskio yanauma hata mate cwez kumeza unayasikia maskioni yakigonga
Nashukuru sana daktari kwa maelezo mazuri
Tatizo namba za huwakika zako hakuna ..SMS nazo hum hujibu
Ata koo na macho pia yanawasha sana
Shukrani sana
Docter mm naumwa na mafua hadi kero hadi nishakata tamaa naona yashanioa haya mafua jamani nisaidie docter
Jmn mi hya mafua had nmekata tamaa...had mackio yanazba...daktar hyu anapatkn hospital gan jmn
Tena mie imeanz tngu utotoni.
Tafuta ndimu mbichi au limau ,chemsha maji ya uvugu vugu kamulia limao na kinywa ,mim imanisaidia saana
@@marylunyungu9687 Unakamua vipi
@@yohanakephawapiliboy260 maji ya moto nunua ndim mbichi zipo kama limao ,ukikosa tumia hata limao ,.au chukua kitunguu swahum na tangawizi zisange alafu huwe unalamba
Jmn Dr mie nshakuwa suguuuuu napataje contact
Umeelezea vzr sana,mm nasumbuliwa sana mpaka macho hutoka machozi yenyewe
Doctor Mimi nimeacha kunisa taomba msaada wako
Ata koo linawasha
Vp ulishapata suluhisho la tatizo lako?
Good
Nashukuru.nasumburiwa.mafua.pua.zinaba.marakwamara
Kumbe tupo wengi mm nilishakata tamaa kesho nakuja hapo pengine naweza pata ufumbuxi wa tatizo lango
🥰😘😘 lakin tiba hasa ya kukomesh Dr😔
Nahitaji msaada wako Dr. Pleaseee
Mimi Dr nikikutana na marashi yaani kichwa kinauma sana hadi natokwa machozi kwenye macho sana
Nifanyej
Nitakupata wapi docter
Jamani naomba no ya dokta
Naomba namba yako doctor
Mm nAHANGAIKA MAFUA KIL siku
Sijawahi kupumuzika hata siku moja yani natowa chapfa mala kwamala nawachwa kwemye masikio naumia yani najisikia nujikuna kwemye koromeo ndani habiwezekani
Nashikuru nimejifunza kitu, nitjitahid kuacha Vyakula sababishi
Mimi nikimeka jamani yanatoka ya njano shida nn daktari
Hi mim nahitaji hiy daw nitaipata wap
Nisaidieni jamaniiiiiiiii
Asantee doctor mim Nina mafua kwa mda wa miezi 6 ivi sipigi chafya mara kwa mara lakini mda mwingine pua zinaziba mda mwingine nakua vizuri tu shida kubwa sipati harufu ya vitu na sipati Radha ya chakula, apo cjui unanisaidiaje
Ukipata msaada nambie
Ukipata msaada nambie
Ukipata msaada nambie
Ukipata msaada nambie ❤
Ht mm ilo tatizo nnalo jmn 😢
Anapatikana agakhan
Hili ni tatizo kubwa Sana kwangu , ninasumbuliwa na mafua mwaka wa nane Sasa, toeno. Naomba ya Dr ili nipate msaada
Ni kama mimi kbisa yan
Jmn mm ni muanga nna miaka miwili sasa napiga chafya kama mvua nawashwa Koo na na pya adi kelo mafua ayakai mbali na mm nateseka asee tunaomba namab
Mbona mimi nimeenda hospital mala mbili ila mafua haya ishi kila siku ninakuwa namafua
Mimi nimetimiza wiki tatu na siku Tano Sasa,,Bado hayajapona,,,,nikakaa tu kwenye vumbi tayari
Naomba namba ya doctor kama inawezekana
Umefanikiwa kupata kuwasiliana na doctor? Naomba msaada mimi mwenyewe ninatatizo hilo umetibiwaje?
Mbona number walizo weka hapo sio za Doctor???masada naomba number ya Doctor maana nikipiga iyo inayoonekana hapo anasema sio yeye
Doctor me sipati harufu ya vitu mafua Hadi kero
Naomba namba yako docter please
Mimi sahii nimemaliza miezi Tano nahii hali
Mm mweli unawasha mala navimba mdomo mala mikono
Naombeni ushauri jamani pua zangu zinatoa uvundo kama wa mzoga tatizo nini jaman
Ulipata huduma au bado tatizo lipo?
Ilinikuta hiii ni allerg ukila kinachokuzur kuna daw nltumia
@@rukyomar1955dawa gani
Nahitaji namba ya huyo daktari
namb kaeka mwishoni hapo
Nateseka sana na hili tatizo jamani na nimefika hospital ya wilaya nikaambiwa hawana bipimo hivyo kiukweli nateseka sana
me mafua yananitesa mno
Nko na miaka na hii hali s
Ninawashwa macho sana na pua ina mafua hayaishiu
Umeeleweka
Mimi hata naona nitakufiya huku saudia Arabia maana hili tatizo limikuwa sugu haki naomba unisaidiye plz
Kama mimi lkn macho kuwasha pengn ni usingizi,,mimi nilipata dawa ya macho nikajiweka lkn hayo mafua hayeshi
Nimependa mafundisho yako ira mimi ninamatatizo naomba munisaidie
Napataje mawasiliano yadoctr
Jamaa amelezea kama vile nimeshamwambia
Yaani nina makamasi toka nmezaliwa mpk sasa hayaishi nmeenda hadi Muhimbili...nmetumia dawa za mitishamba lkn wap nishakata tamaa kabisaa
Huu ugonjwa unanisumbua sana
Mm nahangaika sana
Namba tunaomba
Naweza kupata contact ya doctor?
Jamani naomba namba ya doctor, maana familia yangu yote tunasumbulia namafua hayo yakila siku nimesha tafuta tiba Hadi nimechoka,
POLENI SANA KWA MAHITAJI YA MATIBABU YA M,ASIKIO NA KOO OANANA NA DR MFUKO KWA NO HII 0713 159133
@@dafrosaprosper7165 asante da dafrosa
Jamani tunaomba namba yake
Doct nami ninashida hio naomba unisaidie
Mpaka nasema nimerogwa jamani mafuwa kila siku nimechoka😅
Wacha imani potofu
Ety mbn Kun doctor w pua alinambia Ety MTU mzim han nyam za pua
Na kikohoz jmn,sijui aregy. Nao washikwa kikohoz?
Hapana si aghlab.
Munisaidie mimi nateseka
Tunataka utupatie namba zako
Kunamuda nakuwa namadonda kwemye puwa
aisee me mwezenu sija wahi pona kabisa yan pua ikiwasha tu mafua tayali yan sitakiwa kuweka kitu chochote kwenye pua nateseka sana na hata kwenye sikio kuna washa sana
Jamani uyu dokta nimzuri sana wallahi mie ninamiaka miwili now sikio langu linalia lia tuuu na mafua kubana mpk nisisikie uzuri sometime
Mwanangu anapiga sana chafya ila apati mafua mara kwa mara
Anaptkana wapi huyu dr jamani
Je ipo dawa ya kuondosha allegy
Wao wanasema haina dawa ni kuweka miko tu sijui mtu ataweka miko mingap maana hapa nilipo hivi sasa ivi taaban kwa mafua na chafya mpaka nalegea saivi sina ninachokula kila kitu kinanizuru saivi kuna wakati nakula kidogo tu angalau nipate uhai lakini mwisho wake ni kuumia tu allergie yangu saiv ina miaka 5.
Me hutumia sana cetrizin, Puriton na amoxllin hiyo piriton sili sana maana inanilaza balaa na dawa za kinyumbani hutumia pia. Kwa ufupi napambana tu kumuomba mungu.
Jamanii mwanangu anamafua hayaishi...na uskivu wake umepungua
Jamani nateseka mimi
Pole wangu vp umepata suluhisho mimi mwenyewe ninashida hiyo nateseka sana km umefanikiwa tujuzane
Sijapata nasubir dactar ajibu
jamani menaombeni tu namba yake maana mateso nayopata najua mwenyewe sio poa yaani
Yaani daktari nihivyo hivyo inavyoelezea mm ndoinavyonitokea km ulikuwepo au km uliniona vile dah nihatari yaani mm kila siku nnamafua sipimui hadi pua inafanya vidonda nisaidie docter
Mm dalili zote hizo ninanazo mafua yananisumbua sana sana chafya napiga kila mda bua zinawasha, macho yanawasha pia koo linawasha doctor tusaidie tunateseka xana.
@@amirikijangwa4195 vp ulishafanikiwa wangu mimi mwenyewe ninatatizo hilo napata shida miez sita sasa tujuzane mpendwa km umefanikiwa ili nami nitibiwe
Nakwambia weee ni wengi
Mm ni muanga wa miaka miwili sasa Yani adi Leo imebidi nitafute uhu ugonjwa ndo nimekutana na aya maelezo