MAOMBI YA KURUDISHA VILIVYOIBIWA NA ADUI YAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- #biblia #maombi #rudisha #okoa
Isaya 42:22
Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa; wote wamenaswa katika mashimo, wamefichwa katika magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka, wala hapana asemaye, Rudisha.
Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Virudishwe katika jina la yesu kristo , amen amen🙏
Amina 🙏🙏🙏
Amen amen
Amina
Amen
Tunarudisha vya kwetu kwa jina la Yesu Kristo.Amen
I receive I receive I receive I receive I receive I receive
Yesu tukomboe
Amina napokea kwa jina la yesu
nina imani zitarudi amen na ubarikiwe
Amen 🙏 warudishe kila walichokiiba kwangu kwajina la yesu christo wanazaret amen 🙏🙏🙏
Amen narudisha vyote nilivyoibiwa na adui
Narudisha nguvu,uweza na mamlaka,vipawa,karama na kiu yakumtumikia mungu nashauku kwaajili ya bwana mungu nitie nguvu kwajina layesu napokea kwaimani😢
Naomba mung afany miujiza waludishi vitu walivyo nibia amen
Amen narudisha kila kitu changu kwa jina la Yesu
Mungu awe nasi
Amen Yesu Kristo katika maisha ya nyu
Ameen
Tunarudisha kwa jina la yesu🙏🙏🙏
Amen,Amen,,naregesha,Kwa,iman
Amen kwa jina la yesu
Namm nimo nahitaji vitu yvagu viliyoibiwa viludi ktk jinalayesu
Asante mtumishi.neno lako taa yangu
Viludishwe kwa jina la yesu aliye hai
Mari zangu ziludi , utajili wangu uludi biashara yangu uludi , ndoa yangu uludi familia yangu uludi mtaj wangu uludi kwa jina la yesu
Kwa Jina La Yesu Mwenyezi Mungu Atu-fu guest
Kila kilichobebwa kwenye maisha yangu kuanzia nikiwa mdogo narudisha kwa jina la Yesu
Amen 🙏🙏 in Jesus name
MUNGU wewe ndio UNAETENDA,,,kwa Jina la Yesu kristo Turejeshee kila kilichotekwa,,,kila kilichotekwa kila kituuuu ,,,TUREJESHEE Jehovah🙏
Nirudishiwe hela yangu yote iliyochukuliwa katika jina la YESU ameni
Uchumi wetu kwa jina la Yesu pia ufahamu wa mwanangu
Narudisha kwa jina rayesu 🙏🙏🔥🔥🔥
Mali na fedha zangu zirudi kwa jina la Yesu Kristo- amina
Amen jina la mungu lipewe sifa
Nimependa maelekezo Yako na maombi
Amen, vinarudishwa vyote kwa mamlaka ya JINA LA YESU
Asante Mungu kwa kunikomboa
Amen amen
Narudisha kila kilichoibiwa na adui narudisha uzazi watoto wangu kwa jina la Yesu
Baraka zangu
Magereza yote ya kiroho achia hatima yangu narudisha ktk jina la Yesu Ameni 🙏🙏🙏
Chochote arichochukua adui
Narudisha kwa jina la Yesu
Popote nilipofungwa iwe na ukoo wa Damas karimanzila huko kwenye ukoo wa magdarena Bruno natoka kwenye magereza ya kichawi ktk jina la Yesu kristor Ameni 🙏
Amen amen ninaota sana cm yangu imeibiwa
Ameeeeeen God bless you so much
Mungu naomba nirudishie kila changu ambacho adui ameiba katika jina la yesu
Amina
Naomba uregesho
Narudisha Biashara zangu katika Jina la YESU,ndoa yangu nairudisha, afya yangu nairudisha katika Jina la YESU, nyota yangu nairudisha katika Jina la YESU, mafanikio yangu ya kiroho, kiuchumi, kiakili na kiufahamu nayarudisha katika Jina la YESU
Mafanikio yangu yarudishwe kwa jina la yesu
Ubarikiwe mchungaji kwa naombi mazuri hubaikiwe sana tumepokea
Ndoa yangu na Mari zangu zirudishwe kwa jina la yesu
MUNGU naomba niludishiwe vyote kwa jina LA yesu kristo
Amen 🙏🙏
Amen in Jesus mighty name 🙏
Ameni
Amen😭🤲
Mungu naomba anirudishie ambayo nilioibiwa
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina
Chochote kile nilichopoteza au kunyanganywa virudishwe kwa jina la Yesu Kristo Amina Amina asante Yesu Kristo. Mungu akubariki zaidi Mtumishi wa Mungu kwa maombi
Vyangu vyote nakejesha kwa damu ya yesu
Chochote kilichoibiwa au kutekwa kunarejeshwa kwa jina la yesu Kristu mwana wa Mungu aliye haii
Ila tunashukuru kwa maombi ambayo mumeendeleya kruombeya
Ndoto za kujiona kwenye mapango na mapori na matope na kwenye makaburi na majeneza na mashimooo yanitapokeeeeeeee kwa radi ya Moto wa roho mtakatifuuu
Asante sana kwamaombi mungu akubariki🎉🎉
Uchumi wangu ulioibiwa kwenye ndoto ya Leo hii,pochi yangu iliyopotea kule msituni katika ulimwengu wa roho ,natamka kwa Mamlaka ya Jina la Yesu vikarudi vyooooote.Amen🙏
Amen 🙏
Naomba Mungu anisaidie vitu nyangu virudi
Amena mtumishi umekua msaada sana kwetu Yesu akutunze
Mahusiano yangu yarudishwe Kwa Jina la Yesu kristo na Kwa damu ya yesu
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏
Naludisha kila kilichoibiwa na adui kwa jina la yesu
Vilivyo vyangu virudishwe katika jina la YESU CHRISTO wanazaleth
Mungu atuinue kwenye hii vita kwa damu ya yesu maria na joris tupone hawa maadui kupitia maombi haya tumepona kwa imani mungu tudaidie na kizazi chetu aminaaaa🙌🙌🙌👏
Amen Amen asante sana Mungu akubariki mtumishi na akuinue kiwango chengine cha juu
Mungu naomba kukanirudishia kilicho potea
Amen nakupokea vitu vyote nilivyopoteza wafadhili Baraka na kibali cha kusafiri ikawe sehemu ya Maisha yangu katika Jina la yesu
Ameen 🙏🙏🙏🔥🔥
Ndoa yangu irundi in the name of the Farther the Son and the Holy spirit
Amen ♥️ 🙏 ♥️
Amen mtumishi wa mungu
Amina hujakosea unasema ukweli ni vingi ambavyo adui ametunyang'anya. Asante kwa maombi barikiwa sana mtumishi wa mungu
amen
Katika jina la Yesu Kristo Amen 🙏
Amen amen amen
Ameen🙏🙏🙏
Amen IJN 🙏🙏🙏
Asante,Mungu,kwangu,najua,nilivyo,nyanganywa,na,madui zangu,vinarudishwa,kwa,jina,Yesu,kristo
AMINA kila changu kilichoibiwa virudishwe leo kwa jina la Yesu
Amen Ameeeen
Ameen amen amen
Amen 🙏🙏 Amen 🙏🙏 nafarjika sana nkisikia neno lamungu nashukru 🙏🙏 kwaku nibadilisha
Nyota yangu na kipawa changu virudishe kwa jina la Yesu Kristo
Kill kilicho ibiwa kwenye maisha yangu naomba virudi na mipaka yote naing,oa mipaka yote ambayo imewekwa kwenye maisha yangu naniwe huru Alie niwekea mipaka asguse maisha yangu kilakitu changu
Amen Amen Asante mutumushi hakika ni nkweli ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana kwa maombi haya naamini nimefunguliwa kwa jina la yesu
Amina napokea
Ubarikiwe mchungaji Kwa maombi mazurii
Vyote vilivyotekwa na adui chochote nilichoibiwa na adui virudi kwa jina la Yesu kristo biashara yangu nyota yangu Afya yangu rudiiiiii kwa damu ya Yesu
Ninaenda kurudisha vilivyo vyangu kwa jina la yesu kristu
Nikumbuke kwenye maombi ya kufunguliwa. Jina langu Danieli Imani Lusingu. UBARIKIWE
Nataka urejesho Kwa chochote changu kilikuwa n nzege siku ya Leo,Kwa kutumia damu ya yesu Kristo
Ahsante mtumishi AMEN 🙏🙏
kilavifungo nilivyo fungwa vikatike katikajina layesu na rejesha uchumi wangu nanyota yangu navingine vilivo ibiwa kwajina layesu kritu
Ahsante Yesu kwa ukombozi 🙏🏽walionifungia nami nimewafungia katika jina la Yesu....Amina
Amen maombi hayo yamenigusa kabisa , ubarikiwe
Amen, Ameeeen!
Narudusha kila changu kilichoibiwa katika Jina la Yesu Kristo
Virudishwe vyote vilivyo ibiwa kwa jina la yesu kristo
Katika jina la Yesu napokea