Ameen mchungaji naomba mungu andelee kunitia nguvu nisimame katika kweli na mungu naomba anikumbuke katika maisha yangu yote mpaka mwisho wa maisha yangu anichukue nikiwa katika kweli yake ameen
Bwana Yesu apewe sifa naomba mtumishi wa Mungu uniombee nasumbuliwa sana kutemelewa na kitu mwilini nakuniletea maumivu makari sana Sasa ni miaka 12 namuomba Mungu aniponye Leo Amen
@@winiwill Kwa jina la Yesu kristo umefunguliwa shida uliyonayo damu ya Yesu imekusafisha damu Yako na Kila kilichokuwa kimeingua mwilini mwako kwa njia yoyote, umekuwa huru tangu Sasa unaposoma meseji hii
Amen mtumishi
Aminaaa mtumishiii
Amina
Amina mtumishi Yesu azidi kukuwezesha
Amen
Amen mtumishi niombee kwa mume wangu asiniache kisa mke mngine
Ni muhimu kuwa na neno la Mungu ili kuwa na maombi yenye majibu.barikiwa sana
amen
ameni 🙏💯
Amee mungu akubaliki sana na akuzidishie amee ubalikiwe mtumish
Amen
Amen.
Nashukuru kwa mafundisho yako mazuri mungu akubariki sana
Amen
Najiungamanisha mtumishi
Mungu akujibu alithibitishe neno lake kwako kwa kuamini kwako
Aminaaaa
Amen
Amen Amen Mungu akubariki na akuzidishie maana nimejifunza kitu kupitia kwa haya mafundisho
Ameen mchungaji naomba mungu andelee kunitia nguvu nisimame katika kweli na mungu naomba anikumbuke katika maisha yangu yote mpaka mwisho wa maisha yangu anichukue nikiwa katika kweli yake ameen
Niombee pastor nipate mtoto
Mwa 1:28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha.
Mungu akufanye mama wa watoto wengi
Biblia inasema omba lolote kwa jina langu utapata
Amen, hakika.
Bwana Yesu apewe sifa naomba mtumishi wa Mungu uniombee nasumbuliwa sana kutemelewa na kitu mwilini nakuniletea maumivu makari sana Sasa ni miaka 12 namuomba Mungu aniponye Leo Amen
@@winiwill Kwa jina la Yesu kristo umefunguliwa shida uliyonayo damu ya Yesu imekusafisha damu Yako na Kila kilichokuwa kimeingua mwilini mwako kwa njia yoyote, umekuwa huru tangu Sasa unaposoma meseji hii