MCH. HANANJA afunguka SAKATA la KIBOKO YA WACHAWI, akiwa Congo amuomba Muumini Milioni 10 ya maombi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 364

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 หลายเดือนก่อน +28

    Huyu mzee japo anachekesha ila kuna mengi anaongea yenye point aisee! 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AyoubMajuto
    @AyoubMajuto 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mzee anahekima ya MUNGU sana...Glory to God

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 หลายเดือนก่อน +34

    Uy mzee nampenda amesema kwel

  • @user-vx4ss6uo9x
    @user-vx4ss6uo9x 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ubarikiwe mzee uko sahi kweli kabisa

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY หลายเดือนก่อน +37

    Mzee ANANJA UPO SMART SANA
    KWENYE INTERVIEW ZAKO FATHER
    I am muslim lakin upo makin unaongea
    Ukweri sana mzee wew

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy หลายเดือนก่อน +1

      Mwambie asilimu kwanza

    • @omarymbonde6748
      @omarymbonde6748 หลายเดือนก่อน

      ​@@abdallahdataguySio uongo

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns หลายเดือนก่อน

      ​@@abdallahdataguyacha upuuzi😢

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns หลายเดือนก่อน

      ​@@abdallahdataguyacha upuuzi😢

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns หลายเดือนก่อน

      ​@@abdallahdataguyacha upuuzi😢

  • @swalehdiesel8340
    @swalehdiesel8340 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee hananja uko na hikma kwenye kujibu maswali....unaeleza vizuri kwa jinsi ya maisha ya watu wanaopitia....mimi ni muislamu na napenda majibu Yako... Mombasa Kenya 🇰🇪

  • @christopherbuyah4679
    @christopherbuyah4679 หลายเดือนก่อน +16

    Vijana wengi tunakuitaji sana Mchungaji ubarikiwe sana

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial หลายเดือนก่อน +4

    Kwa kwel baba hananja nakupenda na kukuheshim huwa nafatilia mafundishi yako umebaki kuwa baba mwenye hekima katika mafundisho ya bibilia ❤ubarikiwe sana baba hananja

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 หลายเดือนก่อน +19

    Shida leo hii watu wanaamini sana Miujiza, kuliko ibada na maombi(Dua). Ni hatari asee

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 หลายเดือนก่อน +5

      Kweli kabisa...na sana wanawake wanakuwa victims.

    • @putilegamagama6049
      @putilegamagama6049 หลายเดือนก่อน +1

      @@saidnoumani7244 We acha tu kaka yani Dah!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 หลายเดือนก่อน

      ​@@saidnoumani7244na Wanaume wamo

  • @amisibilly5084
    @amisibilly5084 หลายเดือนก่อน +12

    Mzee umenifuraisha saaana 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 หลายเดือนก่อน +12

    Wanawake wa tanzania ndio wateja wakubwa wa wachungaji feki

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly หลายเดือนก่อน +14

    😂😂😂😂😂😂😂hii nayo kali😂😂😂ndo kwaza mwezi wa 8😂😂mpaka ifike December tumecheka mpaka basi

  • @rachel-mwashikuhenga342
    @rachel-mwashikuhenga342 หลายเดือนก่อน +7

    Umeongea kweli kabisa pastor

  • @Joh-p9f
    @Joh-p9f หลายเดือนก่อน +17

    Jamaa anaongeaga vizuri sana na anamafundisho yaa ukweli sana

  • @salimakida95
    @salimakida95 8 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi ni muislam lakinj huyu mzee namkubali sana,anaongea point sana

  • @mrdanico5937
    @mrdanico5937 หลายเดือนก่อน +6

    Haujaongea vibaya ❤❤❤

  • @shadrackmijjinga9793
    @shadrackmijjinga9793 หลายเดือนก่อน +11

    Miongoni mwa wachungaji wachache wakweli waliosalia hapa Duniani

  • @user-wm9oi5fw3r
    @user-wm9oi5fw3r หลายเดือนก่อน +22

    Daaa huyu mchungaji namkubali sana anaongea ile kweli yake ya neno la mungu

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 หลายเดือนก่อน +1

    Duuu mchungaji nakuelewa sanaa watuwengi niwavivu sanaa awataki kufanya kazii hasaa vijana niatarii sanaa mungu atatusaidia tukifanya kazii sio kwamba wewe nimvivu eti mungu akusaidie akuna kitu kama hichooo kazi kazii💪💪💪💪💪

  • @user-vx4ss6uo9x
    @user-vx4ss6uo9x 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndio shuka namandiko mzee ❤❤❤

  • @JacquesLaitbébe
    @JacquesLaitbébe 4 วันที่ผ่านมา

    Niko evengeliste kutoka Congo Ila papa wangu Mungu akutiye nguvu nakupenda

  • @MaryNzioka-jt5fw
    @MaryNzioka-jt5fw หลายเดือนก่อน +18

    Huyu mtumishi Mungu anmtumia kwa nja ya maajabu sana.Mungu ni mwaminifu atatenda.

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน

      TUKO PAMOJA SANA YESU HAJAWAHI KUSHINDWA

    • @user-lv5np3ys1j
      @user-lv5np3ys1j หลายเดือนก่อน

      Umeongea point

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 หลายเดือนก่อน +1

      Ondoa ujinga we.mkristo mpumbavu

    • @fideschacky
      @fideschacky หลายเดือนก่อน

      Hee wewe unanichekesĥa

    • @RuthSilaa
      @RuthSilaa หลายเดือนก่อน

      Kwani yeah alidai pesa kuponya watu ? Acheni utapeli huyo kiboko ya wachawi nayeye ni mchawi vikama wachawi wengine na anatumia pepo la utambuzi kujua shida za watu mungu atuepushe na Hilo balaa neno linasema mmepewa bure toeni bure uponyaji wa mungu ni bure mbona mnadai pesa watu wa mungu fungukeni macho muone

  • @rogersiddy
    @rogersiddy หลายเดือนก่อน +12

    Kifupi nasubutu kusema hata hawa wanaouza mafuta maji mawe Apple 🍎 wote matapeli

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha หลายเดือนก่อน +34

    Kwanini mnapenda kutudanganya. Alichokuwa akifanya huyu tapeli si huduma bali hujuma. Ninachoweza kusema ni kwamba Tanzania imegeuka taifa la mataahira na wanaotapatapa wakiogopa kubuni na kuchapa kazi badala yake wakitegemea maombi. Huyu mbwa ni shetani na mchawi wala si kiboko ya wachawi. Tatizo ni taifa la hovyo lenye kujaa wajinga wengi. Serikali iko wapi? Hawa ndiyo wanaojisifu eti wameleta maendeleo wakati wameeneza uchawa na ujinga mtupu.

    • @florencemushi6561
      @florencemushi6561 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe ingekuwa unaumwa ugonjwa ulioshindikana kwa waganga na mahospitalini ie cancer alafu kiboko akuombee upone hiyo lugha yako ingebadilika. Mungu akuhurumie

    • @Extraordinarynation
      @Extraordinarynation หลายเดือนก่อน +2

      @@florencemushi6561😂😂daah aloooh sasa kiboko ya wachawi ndio mungu wako mbaka akuponye 😂🤣kweli watanzania wengi mna matatizo yaan auhamini kuwa wewe mwenyewe ukisali na kumuomba mungu ata kusaidia utapona bali unakaa una muamini binadamu mwenzio anae kutoza hela si bora izo hela utoe kwa watu wenye maitaji kuliko kuumpa uyo tapeli wenu😂

    • @ElishaMakuza-i2p
      @ElishaMakuza-i2p หลายเดือนก่อน

      Hahahahahahahaha

    • @VeronicaRugoyi
      @VeronicaRugoyi หลายเดือนก่อน

      ​@@florencemushi6561wewe utakuwa una shida ya akili kumtegemea tapeli na siyo mungu

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha หลายเดือนก่อน

      @@florencemushi6561 Acha ukumbaff. Mbona hakujiponya pale alipokabiliwa? Kwa sababu ya kutojua, hawa matapeli huwaletea watu wao kushuhudia kuwa waliombewa wakapona magonjwa mbali mbali bila ya nyinyi kutaka ushahidi au kushuku kama mimi. Nawajua vizuri sana. Nimesoma saikolojia yao hadi PhD mwanangu. Siongei kwa chuki wala ujinga elewa. Naona jina lako la kichaga. Japo si wote, wachaga wengi wana tatizo hili kutokana na mila zao. Nawajua wanawake wengi walioharibikiwa ndoa zao wakatembea na waganga wa kienyeji tokana na malezi mabaya ya uhuria hasa wamachame. Namjua mmoja toka kimbushi Hai. Alifanya uhuni hadi na kaka. na wajomba zake. Alipoolewa alipendwa sana. Lakini mumewe alipogundua uhusiano wa kingono na kaka na wajomba zake, alimuacha bila maelezo. Na bahati mbaya aliyemripoti ni ndugu yake mtoto wa mama yake mdogo. Unanipata hapa?

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo6639 5 วันที่ผ่านมา +1

    He always speaks truth only truth which hurt

  • @zamdanamwenje9415
    @zamdanamwenje9415 หลายเดือนก่อน +9

    Uyo ndo hananja huchoki kumsikiliza

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yaan amenifanya nimalizie interview bila kutarajia, kama kaclip kafupi vile 🤣🤣🤣

  • @abdunasiriathumani9011
    @abdunasiriathumani9011 หลายเดือนก่อน +9

    Jmn hamtaki miujiza ya yesu kristo!!kiboko ya wachawi ameletwa na mungu kufanya miujiza

    • @samorajama8833
      @samorajama8833 หลายเดือนก่อน

      BAADA YA MASAA 24 UNAKUFA

    • @jesusfirstchurch4162
      @jesusfirstchurch4162 หลายเดือนก่อน +1

      Kaletwa na Mungu angesema yeye hataki utakatifu?Mungu wa wapi huyo aliyemleta kama siyo wa shimoni..jifunze maana ya mavazi anayovaa na kofia zake utajua ni wa ufalme UPI..au vibuyu vitatu ulimpa wewe?muulize roho wa Mungu kabla hujamshabikia MTU..kujaza watu kwa lengo la kukusanya pesa na kutangaza ukweli kwamba wewe hutaki utakatifu basi 😅huyo si wa Mungu maana haongozi watu ktk kweli. Si kanisa Hilo..hamna toba hamna uadilifu..kama wewe hukuingia ktk taratibu zake nyamaza Tu.

    • @WiselightOfficial
      @WiselightOfficial หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @abdunasiriathumani9011
      @abdunasiriathumani9011 หลายเดือนก่อน

      Wewe nakupa masaa 8 kuanzia Sasa hauna uhai

  • @EdenMcharo
    @EdenMcharo หลายเดือนก่อน +10

    Mchungaji wa ukweli,sio wale wanangata maneno

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 หลายเดือนก่อน +21

    Tatizo la wakristo wanapenda sana miujiza namaombi mengi ya ajabu yasiyo na msingi keklele nyingi hata majirani hawapati usingizi maombi yakitapeli tu dini yakisanii tu haijulikani imeletwa na mtume nani na imetoka wapi hata Mungu wamjui imekuwa shida sasa

    • @nicksonlyimofundivyunguvya6220
      @nicksonlyimofundivyunguvya6220 หลายเดือนก่อน +2

      Jidanganye wakirsto na waisilam

    • @mussamdoe4619
      @mussamdoe4619 หลายเดือนก่อน +1

      Naukiwaambia ukweli wakari sana

    • @neemansasu9761
      @neemansasu9761 หลายเดือนก่อน +6

      Ukifuatilia wanaojaa huko ni waisilamu

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiyo haujitambui maombi. yanakele kwamajilani aise unapepo lakiloho. mungu akusaidi au ukaishi makabulini. hapo wamelala hakuna kelele

    • @africa7479
      @africa7479 หลายเดือนก่อน

      ​@@neemansasu9761 hao ni wa mchongo tu nikupashe sasa dada neema wa kwetu singida..

  • @user-qv4wh2pb1d
    @user-qv4wh2pb1d หลายเดือนก่อน +15

    Kiboko nakushauri mtu yyte akipiga cm anataka huduma mwambie akupe ela yyte utakayo maana watanzania wanataka vya bure. Sema milioni 100 wakome.

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 หลายเดือนก่อน +2

    Mi nakupenda bureee

  • @RICHARDMBUKWA-r9e
    @RICHARDMBUKWA-r9e 6 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana muchungaji

  • @NuruJara
    @NuruJara หลายเดือนก่อน +5

    Mm mkenya lakini huyu rev nimempenda Ako sawa nikija tiz nitakutafuta mch

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas4522 หลายเดือนก่อน

    hongera sana mchungaji hannanja kwa kujali watu waliotengwa

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 หลายเดือนก่อน +4

    MATHAYO 10: 8 neno linasema
    Pozeni wagonjwa,fufueni watu,takaseni wenye ukoma,toeni pepo;mmepata bure,toeni bure.

    • @geofreyj.1986
      @geofreyj.1986 หลายเดือนก่อน +1

      Ww ukiumwa uwe unaenda kwa mchungaji wako upozwe sawa!! Hata mtoto wako akiumwa malaria mpeleke kanisani akapozwe sawa kichwa boga

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 หลายเดือนก่อน +28

    Tapeli sn uyo mkongo amekutana na kiboko wa TANZANIA 🇹🇿😂😂😂

  • @Njeriii536
    @Njeriii536 หลายเดือนก่อน +8

    Yaan hili tapeli la kimataifa libaki hukohuko

  • @BABAGVANY
    @BABAGVANY หลายเดือนก่อน +3

    Napenda anatowa na neno lililoko kweny Bibilia,kila akisema andiko na noti na kupitia yupo vizuri huyu mzee

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน +5

    dunia inaelekea dakika za jiooni...mtaona mengi tu hayo madogo...shinda nafsi yako achana na dunia

  • @AmiriJumaLema
    @AmiriJumaLema หลายเดือนก่อน

    Pole kwa hilo mchungaji iko vizuri mno

  • @AsiaDismas
    @AsiaDismas หลายเดือนก่อน +2

    Hapo umejiby vizuri hananja

  • @CharlesDororo
    @CharlesDororo 24 วันที่ผ่านมา

    Upo vizuri mzee

  • @righitkileo
    @righitkileo 21 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤Mchunqaji anajielewa sana❤❤❤Munqu.akuweke zaidi❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SayuniHokelai
    @SayuniHokelai 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu ambari sana anaerimisha

  • @StephanoLihedule
    @StephanoLihedule หลายเดือนก่อน

    Mchungaji safi sana kwa kuelimisha. changamoto ya watanzania hawataki kujishugulisha wao wenyewe kumtafuta Mungu wanataka mambo ya rahisi rahisi wakikumbwa na changamoto hawaelewi changamoto za kulogwa ni zipi na changamoto za maisha ni zipi wenyewe wanakimbilia miujiza

  • @igweemsuto6141
    @igweemsuto6141 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee sim laumu kwa sababu ameogopa kuongea kwani inaonekana hao wapigaji wanamtishia sana
    Ila nakupa heko mtangazaji upo vizuri umetumia akili nyingi kumuhoji mzee

  • @EdwardMandikilo
    @EdwardMandikilo 3 วันที่ผ่านมา

    Kweli baba

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 หลายเดือนก่อน +5

    Namuonea huruma sana mke wake huyu baba ni tapeli

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 หลายเดือนก่อน +1

      wote matapeli bwanawee...unadhani alikua hajui au vipi? funguka

  • @zaramuneer3257
    @zaramuneer3257 หลายเดือนก่อน +8

    Yaani watz kwakutapeliwa jmni khaaa

  • @Milla_2024
    @Milla_2024 หลายเดือนก่อน +5

    Wale wa Proud to be, tuna-like wapi??😅

    • @RayChausa
      @RayChausa หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂tulia kwanza

  • @benedictmichael2425
    @benedictmichael2425 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Hananja maneno yako yawekee breki. Wakati mwingine unapitiliza. Utanaswa kwa ukiri wa maneno ya kinywa chako.

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 หลายเดือนก่อน +20

    Abaki huko huko kwao congo, tunaomba asirudi uku

    • @iddykwangaya2794
      @iddykwangaya2794 หลายเดือนก่อน +3

      Sasa arudi bongo tena aje kufanya nini,wakati mtu kashamaliza kazi,

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 หลายเดือนก่อน +2

      Akae huko congo " Kwa jina la Yesu"😂

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 หลายเดือนก่อน

      ​@@iddykwangaya2794bado hajamaliza huon analilia kurud😂😂😂😂

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน +2

      ATARUDI KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI. Wachawi MTAKOMESWA SANA MWAKA HUU. Wachawi wanaumia ni kipindi cha kukomesha wachawi kwa MOTO ULAO KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI.

    • @dandy_unique
      @dandy_unique หลายเดือนก่อน

      Weendo omba asirud sababu nyie ndo mnamfata

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq หลายเดือนก่อน +5

    Mm binafsi namkupe sana huyu baba MUNGU akupe maisha marefu❤❤❤wasema hii game ni ngumu 😂😂😂

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 หลายเดือนก่อน +7

    Nafungua kanisa jamani naombeni sappot laki sitaki kuanzia miloni 😂😂😂😂😂

    • @saidymbagalla6622
      @saidymbagalla6622 หลายเดือนก่อน +1

      We fungua tu wajinga wapo wengitu utapiga hela wakristo ni kama samak...unawavua unavyotaka

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 หลายเดือนก่อน +1

      @@saidymbagalla6622 😂😂😂😂karibu nitakuponya unaonekana unahitaji kuokoka

    • @DivNg27
      @DivNg27 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂​@@Badvoice707

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@saidymbagalla6622😂😂😂

  • @LeahEmmanuel-y7f
    @LeahEmmanuel-y7f 11 วันที่ผ่านมา

    D Hananja we n mchungaji mkweli sana mungu akulinde sana

  • @lucasmveyange3339
    @lucasmveyange3339 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor Dominick kiboko ya wachawi .Kwanza nalipongeza kwa kuwaponya watu walipoona kwenye huduma yako . Sisi tumeona watu walipona walifika mmoja Kigoma tena ulisema asingepona ingeweza wapi uso wako ulisema inashukuru Yesu kristo mwanangu Mwana wa Mungu ametenda . Pastor Dominick kiboko ya wachawi naomba sema neno moja tu na Roho yangu nipone.Amina

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 24 วันที่ผ่านมา

      DAWA YA KUTODANGANYWA NA MANABII WA UONGO HII HAPA👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
      Kiini cha BIBLIA ni "AMRI 10 ZA MUNGU", zile zilizoandikwa kwa chanda chake mwenyewe KUTOKA 20:1-18, mengine yote katika BIBLIA ni maelezo yake kwamba ukizishika unapata nini na ukizikanyaga unapata nini.
      Ndugu; usiruhusu kumuamini au kulishwa kiroho na mtu yeyote aliyeikanyaga kwa makusudi mojawapo ya amri hizo 10.
      Yakobo 2:10
      [10]Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.Yohana 16:13
      [13]Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye "KWELI YOTE"; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
      Zingatia neno "KWELI YOTE ", sio kisa umesikia tu anatajwa Mungu basi unaamini ni mtumishi wa Mungu.
      Isaya 8:20
      [20]Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asuhi.
      Hao wanaojiita Vyeo vikubwa vya kiutumishi wanaijua vizuri tu BIBLIA ila wanazikanyaga Amri za Mungu (sio kukosea au kuanguka dhambini kama ilivyo na kwasisi wengine, la!) Wanazikataa kwa makusudi kwa maslahi yao binafsi, wamejitoa kwa kiwango chote kutumika na yule adui.
      Pia tuzingatie sana hili; kipaumbele chetu kwa Mungu ni Uzima wa milele.
      Mathayo 6:33
      [33]Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
      Hao wanaohubiri vice versa si watumishi wa Mungu. Wanahubiri mibaraka ndicho kipaumbele chao, si sawa na mpango wa Mungu bali ni makusudi ya yule adui kutuangamiza.
      Marko 8:36
      [36]Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?
      BARIKIWA.

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @jacquelinegama8001
    @jacquelinegama8001 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee hananja hapo kachoka sana na hanafuraha yaani uso wake hauja changamka

  • @PhinaEdmund
    @PhinaEdmund หลายเดือนก่อน

    Yesu alisema mimi ndimi njaa ya kweli na uzima mtu hafiki kwa baba ila kwa njia ya Mimi.. Ndg zangu tusome sana maandiko na Tutengeze mda wakitafuta uso wa Mungu.. Mungu atanivusha na anatuepusha na mafundisho ya mafundisho ya mashetani

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂iyokali sana Mungu awabariki sana Tunakupata sana 5/5 Stockholm Sweden

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 หลายเดือนก่อน +1

    Acha kuendekeza utapeli, tofautisha utapeli na huduma ya kanisa. Kuna utaratibu wa kuwawezesha na kuwahudumia watumishi wa Mungu, siyo wizi

  • @LeonceMushy
    @LeonceMushy หลายเดือนก่อน

    Kweli🔥🙏🙏

  • @user-qv4wh2pb1d
    @user-qv4wh2pb1d หลายเดือนก่อน +5

    Mnaongea kutoza ela nyingi ila waliopona hamusemi

  • @johnchatanda6759
    @johnchatanda6759 หลายเดือนก่อน +3

    Mchungaji muongo ulikuwepo kwenye wanavua izo braxia yaani bongo bwana 😊

    • @geofreyj.1986
      @geofreyj.1986 หลายเดือนก่อน

      Umeandika nn hapa

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y หลายเดือนก่อน +6

    From south Africa Durban tunawapata vizuri kutokea hapa

    • @KilagulaOscar
      @KilagulaOscar หลายเดือนก่อน +3

      Brother naomba namba yako

    • @user-gb1hn5ml8y
      @user-gb1hn5ml8y หลายเดือนก่อน +1

      @@KilagulaOscar mmmmh send yako ntakuchek

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 หลายเดือนก่อน

    Safi mtumishi

  • @StelahElias
    @StelahElias หลายเดือนก่อน +2

    Mch, hongera kwa kipindi chako kizuri, bila shaka tumejifunza mengi sana kupitia kipindi hiki.

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 หลายเดือนก่อน +2

    Nawaambiaga hivi wachungaji wa sku hizi hawafai kabisa, wanatokeaga kuzimu! Unaona sasa? Mchungaji gan anaomba 10 milion ili amponeshe mtu? Afu mgonjwa mwenyewe wa kuekiti!

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 หลายเดือนก่อน

    Yule Katumwa Kuja Kualibu Amani Ya Nchi Kwa Kuwalubuni Wananchi Kutokua Na Imani Mwisho Wa Siku Tz Tuwe Kama Congo

  • @sebastianmushi6247
    @sebastianmushi6247 หลายเดือนก่อน +1

    kun watu wamebarikiwa akiongea unatamani hasimalize,sijawai kukusikiliza nkaacha kucheka,Mungu akupe umri mrefu husio na mateso

  • @felixniyibitanga
    @felixniyibitanga 10 วันที่ผ่านมา

    Muze wahekima sana

  • @cassianhaule3681
    @cassianhaule3681 27 วันที่ผ่านมา +1

    Moja anatuma kwa watu wote nikastuka sasa kila mtu anadanganywa na huyu kiboko

  • @user-lv5np3ys1j
    @user-lv5np3ys1j หลายเดือนก่อน

    Umeingia point

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe matapeli. Bibilia Moja madhehebu 10000000000000000. Hakuna ukweli hapo. Kila mmoja anakokotea kwake. Mimi mkweli, na yule sio mkweli. Dini lazima zife kwakua sio ukweli

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f หลายเดือนก่อน

      Ukristo sio dini bali ni kumwamini Bwana Yesu, kupitia maandiko. Mwamini Bwana Yesu ili usihukumiwe. Yohana 3:17-18.

    • @ShawnBeatz
      @ShawnBeatz หลายเดือนก่อน

      ​@@MichaelMathew-j3fbombastic answer

  • @Keyjop
    @Keyjop หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 Kuna kitu nakiona 😂😂

  • @jumamwaramoyo8603
    @jumamwaramoyo8603 6 วันที่ผ่านมา

    Lakini kwanini watu wanafungua kanisa alafu zinafungwa kama mchungaji anavyosema kwani kanisa ni nyumba ya ibada ama ni nyumba ya biashara,maana kile naelewa ile ni sehemu ya kuabudu kama msikiti mahali mtu anaenda kuongea na Mungu wake mbna ifunguliwe alafu ifungwe kisa hakuna sadaka hapa sijaelewa

  • @user-el8rp6pd5q
    @user-el8rp6pd5q หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna huduma bila gharama wememuona kiboko tu watumishi wangapi wanatonza hela?? Au kwa sababu sio mtz. Waliousika kiama kinakuja yule sio wakawaida viwango n vya juu hatari Sana

  • @saxo-mm4me
    @saxo-mm4me หลายเดือนก่อน

    Huyo ni noma namjua moigaji mbaya

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 หลายเดือนก่อน

    Ananja ni mchungaji bora mungu amlinde

  • @muridundhikri
    @muridundhikri หลายเดือนก่อน +4

    Shida ni kwamba mko kibiashara dini hailazimishi mchango wala kuombewa unaomba mwenyewe

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 หลายเดือนก่อน +1

    Wapo wengi sanaaaa ,mwaposa, zumarid,Suguye, IPM, Mzee wa Upako, wako zaidi ya million moja Tuu fake,

  • @mudrickjuma4159
    @mudrickjuma4159 7 วันที่ผ่านมา

    Yareo reo

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana baba kwakututia moyo ususani sisi vijana Amina

  • @benedictogasper9977
    @benedictogasper9977 10 วันที่ผ่านมา

    Namkubali hananja

  • @habarinjema7663
    @habarinjema7663 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi katika siku ambayo umeongea vitu vya maana ni leo nimekuelewa by mch Jose

  • @habarinjema7663
    @habarinjema7663 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi katika siku ambayo umeongea vitu vya maana ni leo nimekuelewa by mchJose

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi1404 หลายเดือนก่อน

    Kibnoko wala siotapeli mmem yanyapaa kwaaslahi binafc na hiyo sauti imefanya kutengenezwa waandishi mungu awape maisha mpate kutubu huyo mwanamke alieigiza kama mgonjwa mungu anamuona iko cku mungu atamlipa

    • @benardmapuga4737
      @benardmapuga4737 หลายเดือนก่อน

      Tumia akili kufikiria usitumie miguu na makalio

    • @geofreyj.1986
      @geofreyj.1986 หลายเดือนก่อน

      Halafu ww Una akili kweli?? Au zuzu?? Kwamba mtu anaomba million 10 Ili atibu kwani anatibu yy Au anatibu Mungu.....akili huna...sasa na ww uwe na mtoto af umchape wakati hata ww hauna akili😂

  • @nestorymsagati626
    @nestorymsagati626 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @ZainamshaharaMshahara
    @ZainamshaharaMshahara 7 วันที่ผ่านมา

    Uko vuzuli sana

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 หลายเดือนก่อน +1

    Dah aisee bora huyu mtu kafukuzwa kha ni balaa

  • @joshuasimon598
    @joshuasimon598 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji una hekima sana maneno yako yanarekebisha na kuelimisha na sio kuhukumu

  • @user-hb6ij9wb1m
    @user-hb6ij9wb1m หลายเดือนก่อน

    Mama yangu alinisimulia kisa cha mjomba wake alipotoka kanisani akiwa ana chakula na waumini wake walikuwa watu maskini wafamilia moja tena mama wafamilia alikuwa mgonjwa walipofika nyumbani mchungaji alisema fumbeni kumshukuru Mungu walipomaliza kuomba tu watu watatu wakapiga hodi kwa nyakati tofauti wakiwa na chakula mikononi

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 หลายเดือนก่อน +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣koo linakauka motomoto hata juic hakuna koo linakauka

  • @gabrielfurahas5723
    @gabrielfurahas5723 หลายเดือนก่อน

    How do I communicate with sky workers?

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel หลายเดือนก่อน +3

    Acha watu wakome kwamana hawataki kupata njia sahihi mwisho wasiku njo mazara sasa hayo . 🤣🤣🤣🤣 nilicheka eti nipe milioni 10 halafu kafukuzwa ila anaendeleya kutapeli watu

  • @godblesshudson1564
    @godblesshudson1564 หลายเดือนก่อน +4

    Mwandishi amecheka mpaka basi , hasa kwenye TANZANIA YA VIWANDA.

  • @JaxBeatKiller
    @JaxBeatKiller หลายเดือนก่อน

    Mung akup maish maref mzee Hananja

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa ukisikia mchungaji mwenye upako ndiyo huyu. Kusema kweli na jinsi alivyo yule asikiaye na kwa nyakati zake. Upako siyo kuvaa misuti na fayaaa nyingi, watu wakianguka ndiyo watu wanaamini. Kumbe neno la kweli ndiyo upako.

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 หลายเดือนก่อน +1

    😂hananja anacheka kwa mbaaali kimoyo moyo😂😂 ah dunia ina mambo hii

  • @ElishaMakuza-i2p
    @ElishaMakuza-i2p หลายเดือนก่อน

    Uyo kiboko wa wachawi Afai kuendelea na Neno La Yesu

  • @AdamusonKomba
    @AdamusonKomba 24 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 umeongea point mzeed